Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      mirindimo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2009
      Posts : 248
      Rep Power : 535
      Likes Received
      57
      Likes Given
      12

      Default Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi



      Askari polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia maarufu FFU, wakidhibiti eneo la Tegeta jijini Dar es Salaam leo baada ya wananchi wenye hasira kurushia mawe masafara wa Rais Kikwete. PICHA;ROMI

      Msafara wa Rais Jakaya Kikwete leo umepigwa mawe na wananchi wenye hasira eneo la Tegeta Namanag jijini Dar es Salaam.

      Polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni imekiri kupigwa mawe kwa msafara wa Rais Kikwete wakati msafara huo ukielekea Bagamoyo kutoka jijini Dar es Salaam.


      Kamanda wa Mkoa wa Kinondoni Charles Kenyela amesema kuwa anashikilia baadhi ya wananchi waliodaiwa kurushia mawe msafara wa Rais Kikwete.

      Kenyela amedai kuwa wananchi hao walipatwa na hasira baada ya kubomolewa nyumba zao kiholea na tajiri mmoja jijini anayedaiwa kubomoa nyumba hizo ili aweze kujenga kituo cha mafuta eneo hilo.

      SOURCE :Taarifa ya Habari ya TBC1 saa mbili usiku, tarehe 30/June/2012 ,IKULU imetoa taarifa kukanusha kua msafara wa Rais haukupigwa mawe na haukusimama popote zaidi ya kusimama kwa Mh. Wasira.
      Last edited by mirindimo; 1st July 2012 at 00:46. Reason: Kutoa source ya KANUSHO

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      mzalendokweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 426
      Likes Received
      86
      Likes Given
      52

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Sasa uongo upi umekanushwa?
      Taarifa ya ikulu ya kukanusha iko ap?

    4. #3
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,366
      Rep Power : 12710
      Likes Received
      2191
      Likes Given
      1819

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By mzalendokweli
      Sasa uongo upi umekanushwa?
      Taarifa ya ikulu ya kukanusha iko ap?
      Mzalendokweli naona jamaa kakurupuka tu kuanzisha uzi.


    5. #4
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Mijitu mingine sijui imeshakunywa? kichwa na utumbo tofauti.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    6. #5
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,794
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1221
      Likes Given
      543

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      liwalo na liwe siku watu wataufumua na rocket launcher, si liwalo na liwe halafu tunawa dump mabwepande!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Las Mas Bobos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2012
      Posts : 911
      Rep Power : 531
      Likes Received
      297
      Likes Given
      84

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By zomba
      Mijitu mingine sijui imeshakunywa? kichwa na utumbo tofauti.
      Anaona wivu kwa kuwa pembeni ya kila kituo cha mafuta kuna nyumba za ibada yetu
      By the time a man comes to realize that his father was right, he usually has a son who think he is wrong.

    9. #7
      samilakadunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 777
      Rep Power : 539
      Likes Received
      98
      Likes Given
      13

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Wangerusha hata tuburunet tutano tu jaman, mawe tu? Ila sio mbaya ujumbe kaupata.

    10. #8
      mirindimo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2009
      Posts : 248
      Rep Power : 535
      Likes Received
      57
      Likes Given
      12

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By mzalendokweli
      Sasa uongo upi umekanushwa?
      Taarifa ya ikulu ya kukanusha iko ap?
      Habari ya leo saa mbili tarehe 30/June/2012 TBC1 imetoa taarifa kukanusha kua msafara wa Rais haukupigwa mawe na haukusimama popote zaidi ya kusimama kwa Mh. Wasira.

    11. #9
      mirindimo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2009
      Posts : 248
      Rep Power : 535
      Likes Received
      57
      Likes Given
      12

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By Mzee wa Rula
      Mzalendokweli naona jamaa kakurupuka tu kuanzisha uzi.
      Sikurupuki dogo....katika habari ya TBC tar 30/6/2012 saa mbili usiku IKULU imetoa taarifa za kukanusha tukio kama hilo na kusema msafara huo haukusimama popote zaidi ya kusimama kwa Mh Wasira ambapo ****** alienda kutoa pole za msiba

    12. #10
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,107
      Rep Power : 568
      Likes Received
      262
      Likes Given
      84

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By mirindimo
      Sikurupuki dogo....katika habari ya TBC tar 30/6/2012 saa mbili usiku IKULU imetoa taarifa za kukanusha tukio kama hilo na kusema msafara huo haukusimama popote zaidi ya kusimama kwa Mh Wasira ambapo ****** alienda kutoa pole za msiba
      Title na content tofauti, Viroba@work

    13. #11
      Radhia Sweety's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 0
      Likes Received
      639
      Likes Given
      4

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Sasa ikulu imekanusha uongo gani huo wakati wewe mwenyewe umeweka picha za tukio? Au wewe ndiye unayekanusha uongo wa ikulu kwa kuweka picha za tukio?

    14. #12
      mzalendokweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 426
      Likes Received
      86
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By mirindimo
      Sikurupuki dogo....katika habari ya TBC tar 30/6/2012 saa mbili usiku IKULU imetoa taarifa za kukanusha tukio kama hilo na kusema msafara huo haukusimama popote zaidi ya kusimama kwa Mh Wasira ambapo ****** alienda kutoa pole za msiba
      Ulikurupuka ndio mana haya maelezo hayapo kwe mada.
      Edit uongeze haya unayoeleza sasa.

    15. #13
      muyanga mose's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      hongereni vijana wa halima mdee, lazima wawe kama radio ya wafu,shit ol mafisadi

    16. #14
      mirindimo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2009
      Posts : 248
      Rep Power : 535
      Likes Received
      57
      Likes Given
      12

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By Radhia Sweety
      Sasa ikulu imekanusha uongo gani huo wakati wewe mwenyewe umeweka picha za tukio? Au wewe ndiye unayekanusha uongo wa ikulu kwa kuweka picha za tukio?
      Asante Radhia , tufanye mimi ndio nakanusha uongo wa ikulu kwa kuthibitisha kua msafara ulishambuliwa kwa mawe na kuwalizimu kusimama kwa mda

    17. #15
      Radhia Sweety's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 0
      Likes Received
      639
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By mirindimo
      Asante Radhia , tufanye mimi ndio nakanusha uongo wa ikulu kwa kuthibitisha kua msafara ulishambuliwa kwa mawe na kuwalizimu kusimama kwa mda
      Halafu wenzako wanakuambia umekurupuka, wewe unabishabisha tuu!

    18. #16
      mirindimo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2009
      Posts : 248
      Rep Power : 535
      Likes Received
      57
      Likes Given
      12

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By Radhia Sweety
      Halafu wenzako wanakuambia umekurupuka, wewe unabishabisha tuu!
      Wao ndio wamekurupuka wangeuliza hata source basi....ooh viroba...

    19. #17
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,107
      Rep Power : 568
      Likes Received
      262
      Likes Given
      84

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By mirindimo
      Wao ndio wamekurupuka wangeuliza hata source basi....ooh viroba...
      mkuu umeona eeh! Source; Viroba

    20. #18
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,107
      Rep Power : 568
      Likes Received
      262
      Likes Given
      84

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Quote By Radhia Sweety
      Halafu wenzako wanakuambia umekurupuka, wewe unabishabisha tuu!
      Duuuuh Radhia Sweety naona leo umekuwa mkali kwa wanaochangia bamia za chalinze sijui na mrenda.... Punguza basi watu wengi wako keroroooo, by the way its midnite


    21. #19
      mamabaraka's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th October 2011
      Posts : 81
      Rep Power : 400
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default

      ki ukweli Mirindimo habari yako wengi hatukuielewa hasa wale wenye aleji na taarifa za Tbc 1, ungetuambia kuwa ikulu inametengua ukweli kuwa uongo. Asante Radhia umemsaidia mtoa mada kidogo kueleweka.

    22. #20
      GIVENALITY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 804
      Rep Power : 595
      Likes Received
      164
      Likes Given
      200

      Default re: Askari watuliza ghasia za wananchi katika msafara wa Raisi

      Kuna raia wa Tegeta wanaosema ulikuwa ni msafara wa Dr. Shein.
      I can do all things through Christ who strengthens ME.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...