Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mgomo wa Mdaktari, Je ni Dhambi?

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Kizamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 389
      Rep Power : 466
      Likes Received
      97
      Likes Given
      3

      Default Mgomo wa Mdaktari, Je ni Dhambi?

      Katika kutafutatafuta channel ya kuangalia, wakati nikimsubiri President kuhutubia taifa kama walivotangaza ITV na amabayo sijajua kama kaingia mitini au vipi, nimefungua channel ya ATN, nikamwona huyu mhindi akisema " repent for the sin of doctors, for their strike" nikajiuliza au huyu kakosa kitu cha kuhubiri. Mimi huyu baba na mkewe siwaamini amini sana kwani kuna ishu nilidili nao personally na niliona walivokuwa wanasema uongo kwenye jambo tulilokuwa tunalishughulikia.

      Wito:
      Kama ni mhubiri na huna jambo la kuhubiri ni vema usiseme tu kwa sababu unataka kusema.

      Hayo ni maoni yangu. Je kwako wewe?

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      keyjey's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 350
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa Mdaktari, Je ni Dhambi?

      Haya ni mambo ya Imani na kwa Imani yake
      huenda ndivyo anavyo amini.

    4. #3
      Shinto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2010
      Posts : 1,783
      Rep Power : 678
      Likes Received
      75
      Likes Given
      10

      Default Re: Mgomo wa Mdaktari, Je ni Dhambi?

      Batili, dhambi na ni kazi ya wafuasi wa shetani.

    5. #4
      Umslpogaaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th April 2008
      Posts : 99
      Rep Power : 586
      Likes Received
      55
      Likes Given
      63

      Default Re: Mgomo wa Mdaktari, Je ni Dhambi?

      Je mgomo wa serikali kususia kutoa huduma kwa wanachi wake walioiweka madarakani ni dhambi?

    6. #5
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Mgomo wa Mdaktari, Je ni Dhambi?

      Angeanza kwa kusema serikali itubu kwanza labda angeweza kunishawishi. Nikitazama maelfu ya watanzania tunakufa kutokana na kukosa huduma nzuri ya afya ya kiwango tunachokiweza (eg. vaccuum to rescue the new born child after inhealing amniotic fluid). Pia nikisikia ufisadi unaotukuzwa, utoroshwaji wa pesa na nyara za serikali ndiyo nachanganyikiwa zaidi. Serikali ingedhibiti ufisadi na viongozi wanaotorosha pesa za watanzania, wangeweza kuboresha zaidi huduma ya afya na nyinginezo nyingi.
      Umslpogaaz likes this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 471
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By Umslpogaaz
      Je mgomo wa serikali kususia kutoa huduma kwa wanachi wake walioiweka madarakani ni dhambi?
      Dhambi ni dhambi hata kama inatendwa na nabii. Kwa wanaoamini biblia, Yesu alimwambia pilato ...... Aliyenileta kwako yu na dhambi kubwa zaidi... Alikuwa akimaanisha kuwa yeye pilato kwa kumhukumu bila hatia yu na dhambi ila waliomfungulia mashtaka wana dhambi kubwa zaidi. Kwa hili la madoctor serikali inawajibika lakini madaktari wana dhambi kubwa ya kuwaacha wagonjwa wakijifia vitandani kwa madai yao wanoyodhani ni muhimu zaidi ya uhai wa mwanadamu. Kwanini waue watu hata ambao wangetibiwa kwa vifaa duni vilivyopo

    9. #7
      Mnyampaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 240
      Rep Power : 471
      Likes Received
      58
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By Lyimo
      Angeanza kwa kusema serikali itubu kwanza labda angeweza kunishawishi. Nikitazama maelfu ya watanzania tunakufa kutokana na kukosa huduma nzuri ya afya ya kiwango tunachokiweza (eg. vaccuum to rescue the new born child after inhealing amniotic fluid). Pia nikisikia ufisadi unaotukuzwa, utoroshwaji wa pesa na nyara za serikali ndiyo nachanganyikiwa zaidi. Serikali ingedhibiti ufisadi na viongozi wanaotorosha pesa za watanzania, wangeweza kuboresha zaidi huduma ya afya na nyinginezo nyingi.
      Lyimo... Naomba nikuelimishe, katika nadharia ya uzalendo maslahi ya umma yanatangulia yale ya binafsi. Iwapo madaktari ni wazalendo wangeanza na kuboreshwa huduma na mazingira ya kazi bila kuunganisha na maslahi binafsi. Kiyaweka yote kwa pamoja hata asiyefikiri sana atajua tu kuwa la kuboresha huduma ni tactic ya kubuy public support kwa ajili ya kufanikisha lao la maslahi.. The end justidies the means.. or viceversa
      Lyimo likes this.

    10. #8
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,107
      Rep Power : 568
      Likes Received
      262
      Likes Given
      84

      Default Re: Mgomo wa Mdaktari, Je ni Dhambi?

      Huyo Mhindi analinda maslahi yake binafsi, kaishiwa mbinu.

    11. #9
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Mgomo wa Mdaktari, Je ni Dhambi?

      Quote By Mnyampaa
      Lyimo... Naomba nikuelimishe, katika nadharia ya uzalendo maslahi ya umma yanatangulia yale ya binafsi. Iwapo madaktari ni wazalendo wangeanza na kuboreshwa huduma na mazingira ya kazi bila kuunganisha na maslahi binafsi. Kiyaweka yote kwa pamoja hata asiyefikiri sana atajua tu kuwa la kuboresha huduma ni tactic ya kubuy public support kwa ajili ya kufanikisha lao la maslahi.. The end justidies the means.. or viceversa
      Lakini ndugu yangu Mnyampaa, tukiondoa unafiki madai yote kwa pamoja nisahihi. Kama utakuwa mfatiliaji mzuri wa sakata hili, kwanini serikali ilisimamisha stahiki za madaktarri tangu 2010 (document zipo, hata ukiomba humu JF utapatiwa). Sema tu, kutokana na madai haya yote kuletwa kwa pamoja, imekuwa ni rahisi kwa kuyapikia propaganda za kisiasa. Sijawahi kusikia kajibu ya serikali hata siku moja yakielezea kuhusu kuweza/kushindwa kuboresha mazingira ya afya. Majibu ya Serikali yamekuwa ni kuhusu maslahi makubwa ya madaktari na kuyalinganisha na ya watumishi wengine ili waweze kuchonganisha madaktari na wananchi. Ingekuwa madaktari ni chama cha kisiasa tungekubali kuwa wameweza kupiga propaganda na kuwapikia fitna madaktari ili wananchi wasiwakubali. Sasa unaweza kuniambia ni vipi serikali imeweza kulishughulikia swala hili bila ya athari? Na je ni lini tutaanza kuwa na uhakika wa kusimamiwa afya zetu na serikali tuliyoipa dhamana? Kipaumbele cha kodi zetu kiko wapi? nk?
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...