Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chadema si mama yangu

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 33 of 33
    1. #1
      SAGANKA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 245
      Likes Received
      187
      Likes Given
      32

      Default Chadema si mama yangu

      Bali ni baba yangu.

      Najua akina Nape, ritz, Zomba na the likes ambao wapambanaji mtanisaidia kuwataja, wamekimbilia post hii wakijua labda Dr. Slaa karudisha kadi na kujiunga na magamba.

      Eee bwana ni mimi Saganka, nasema CHADEMA si mama yangu bali ni baba yangu maana wababa ndo wapiganaji wakuu wa haki katika jamii kama yetu,ndo maana mikutano ya cdm 80% au zaidi ni vidume.

      Baada ya kusoma post hii, magamba hao wameingia mitini.


    2. #21
      SAGANKA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 245
      Likes Received
      187
      Likes Given
      32

      Default Re: Chadema si mama yangu

      Quote By Free World View Post
      Bange za usiku sio nzuri jamaniii!
      Sikuvuta bange usiku mkuu,nilivuta mchana,labda ilikuwa bado kichwani,sina uhakika

    3. #22
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,388
      Rep Power : 7781
      Likes Received
      1560
      Likes Given
      1826

      Default Re: Chadema si mama yangu

      No comment. Nimeishia kucheka tu.

    4. #23
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,215
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6441
      Likes Given
      999

      Default Re: Chadema si mama yangu

      Angalia isije siku moja ukamkataa huyo baba yako usijiaminishe sana kwa hawa wanasiasa uchwara wengi ni waganga njaa utakuja kulia na kusaga meno huku ukimkataa baba yako mzazi mbele za watu.

    5. #24
      issenye's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Posts : 207
      Rep Power : 466
      Likes Received
      70
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema si mama yangu

      Leo nilitarajia kuwa nitapigwa ban ya nguvu. Nape na wenzake watakuja fasta ili kuchangia wakifika macho yatawatoka. Hii ni mbinu nzuri sana ya kuwafikishia ujumbe

    6. #25
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default Re: Chadema si mama yangu

      Chukua like yangu


    7. #26
      SAGANKA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 245
      Likes Received
      187
      Likes Given
      32

      Default Re: Chadema si mama yangu

      Quote By Ritz View Post
      Angalia isije siku moja ukamkataa huyo baba yako usijiaminishe sana kwa hawa wanasiasa uchwara wengi ni waganga njaa utakuja kulia na kusaga meno huku ukimkataa baba yako mzazi mbele za watu.
      Mbona wewe hujamkataa Mr.Dhaifu,kwani yeye sio uchwara.Nenda zako huko pambafe weye!

    8. #27
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Ritz View Post
      Angalia isije siku moja ukamkataa huyo baba yako usijiaminishe sana kwa hawa wanasiasa uchwara wengi ni waganga njaa utakuja kulia na kusaga meno huku ukimkataa baba yako mzazi mbele za watu.
      Hapo kwenye rangi, ni kama ulivyo wewe? Maana wanasiasa wote wa leo ni matumbo tu ndiyo yanawapeleka huko.
      God so loved the world in that, while we were yet sinners, Christ died for us.

    9. #28
      mashami's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th May 2012
      Posts : 169
      Rep Power : 392
      Likes Received
      24
      Likes Given
      1

      Default Re: Chadema si mama yangu

      CHADEMA ni tumaini jipya kwa mtanzania mpenda mabadiliko kama mimi

    10. #29
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,215
      Rep Power : 12772
      Likes Received
      6441
      Likes Given
      999

      Default

      Quote By SAGANKA View Post
      Mbona wewe hujamkataa Mr.Dhaifu,kwani yeye sio uchwara.Nenda zako huko pambafe weye!
      Unatukumbusha mbali sana wewe Chadema-Kata JF miaka ya 1985 taarifa ya habari RTD ikiisha kulikuwa na mazungumzo baada ya habari.

    11. #30
      SAGANKA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 245
      Likes Received
      187
      Likes Given
      32

      Default Re: Chadema si mama yangu

      Quote By Ritz View Post
      Unatukumbusha mbali sana wewe Chadema-Kata JF miaka ya 1985 taarifa ya habari RTD ikiisha kulikuwa na mazungumzo baada ya habari.
      akiri ndogo inaongoza akiri kubwa

    12. #31
      SHEMGUNGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 334
      Rep Power : 441
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Chadema si mama yangu

      daa! mkuu umepona nilitaka nikuchane live duu umeshusha munkal!! ok change may become peopleeee!

    13. #32
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 816
      Rep Power : 570
      Likes Received
      40
      Likes Given
      37

      Default

      Quote By SAGANKA View Post
      Bali ni baba yangu.

      Najua akina Nape, ritz, Zomba na the likes ambao wapambanaji mtanisaidia kuwataja, wamekimbilia post hii wakijua labda Dr. Slaa karudisha kadi na kujiunga na magamba.

      Eee bwana ni mimi Saganka, nasema CHADEMA si mama yangu bali ni baba yangu maana wababa ndo wapiganaji wakuu wa haki katika jamii kama yetu,ndo maana mikutano ya cdm 80% au zaidi ni vidume.

      Baada ya kusoma post hii, magamba hao wameingia mitini.
      Tukusaidiaje weee GAMBAGWANDA?

    14. #33
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,543
      Rep Power : 6185
      Likes Received
      3103
      Likes Given
      1025

      Default Re: Chadema si mama yangu

      Quote By SAGANKA View Post
      Samahani mkuu,ni hasira tu baada ya kuona akina mama wengi bado wameshikilia magamba.Otherwise I respect women,and this is because my mother is a woman,and that will help.Umenisamehe mkuu?
      Mkuu tupo pamoja.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...