Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 35 of 35
    1. #1
      K.Msese's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 260
      Rep Power : 416
      Likes Received
      160
      Likes Given
      240

      Post TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      Kwa mara nyingine tena TBC haijarusha taarifa ya kusafirishwa Dr. Ulimboka, wana harakati waliyozungumza juu ya tukio lile. Ningependa pia kujua mchango wowote uliotolewa na serikali katika kufanikisha safari ya matibabu ya Dr. Uli....! Kama hakuna jitihada yeyote, ni kwanini? Kama hakuna jitihada, je inataka kutuaminisha kuwa Ulimboka amechukuliwa kama adui?

      Kibanga Msese


    2. #21
      Concrete's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 1,741
      Rep Power : 987
      Likes Received
      461
      Likes Given
      0

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      Slogan yao kwa sasa inapaswa kuwa 'UWONGO NA UBABAISHAJI'
      Muda si mrefu itakufa, kwa sasa inaishi kwa mashine inayoitwa ruzuku ya serikali,siku hiyo ruzuku ikasimamishwa kwa masaa 24 tu, huo ndio utakuwa mwisho wake.
      Fununu kutoka chanzo cha ndani kinasema wakati wowote wafanyakazi wa TBC wataingia kwenye mgomo mkubwa:-
      1/Kudai kulipwa pesa zao wanazodai kutoka kwenye malimbikizo ya mishahara,posho na marupurupu mbalimbali.
      2/Kupinga manyanyaso na ubaguzi wa kiitikadi unaifanywa na wakurugenzi wao.
      3/kupinga kuingiliwa kwa utendaji wao wa kitaaluma unaofanywa na watawala na makada wa CCM.

    3. #22
      Brightman Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2009
      Posts : 745
      Rep Power : 671
      Likes Received
      96
      Likes Given
      26

      Default

      Quote By angedizzle View Post
      subirini "Mwananchi TV " mpate raha mpaka kumoyo.....

      sent from my I pad
      Near Magogoni
      Mkuu inaanza lini hiyo TV? Dr.Ulimboka nimemwona kupitia ITV, nimetokwa na machozi kuona jinsi watu wanaotafuta haki wanavyoumizwa, na mafisadi wakiendelea kula kuku kwa mrija. Ebu niishie hapa machozi yameanza tena...

    4. #23
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,889
      Rep Power : 1548
      Likes Received
      833
      Likes Given
      460

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      Inawezekana kauli ya ukombozi ya Dr.Ulimboka pale Airport wakati akiaga, imemstua sana na kumbadilisha mawazo ya yale waliyopanga watuzeveze.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    5. #24
      DURACEF's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Pharmacy
      Posts : 186
      Rep Power : 451
      Likes Received
      36
      Likes Given
      12

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      Quote By K.Msese View Post
      Kwa mara nyingine tena TBC haijarusha taarifa ya kusafirishwa Dr. Ulimboka, wana harakati waliyozungumza juu ya tukio lile. Ningependa pia kujua mchango wowote uliotolewa na serikali katika kufanikisha safari ya matibabu ya Dr. Uli....! Kama hakuna jitihada yeyote, ni kwanini? Kama hakuna jitihada, je inataka kutuaminisha kuwa Ulimboka amechukuliwa kama adui?

      Kibanga Msese
      vichwa maji

    6. #25
      J.K.Rayhope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2011
      Posts : 267
      Rep Power : 439
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By K.Msese View Post
      Kwa mara nyingine tena TBC haijarusha taarifa ya kusafirishwa Dr. Ulimboka, wana harakati waliyozungumza juu ya tukio lile. Ningependa pia kujua mchango wowote uliotolewa na serikali katika kufanikisha safari ya matibabu ya Dr. Uli....! Kama hakuna jitihada yeyote, ni kwanini? Kama hakuna jitihada, je inataka kutuaminisha kuwa Ulimboka amechukuliwa kama adui?

      Kibanga Msese
      Hivi bado unaangalia tbc?tulishasahau.Hata kwenye king'amuzi chao simo,nilivunjilia mbali.Tbc huwa napata hasira hata nikiona nembo yao.Kuna mwandishi 1 ana gari lenye nembo nyuma nilituma chokoraa wakachana na wembe,na sasa tutatumia kombeo tutaitia hasara sana


    7. #26
      Petram's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 428
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      TBC ni hansard ya Bunge.

    8. #27
      Petram's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 428
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      jembe lilikua Tido Mhando, aliwahenyesha wabunge wa CCM kwenye midahalo.

    9. #28
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,505
      Rep Power : 1018
      Likes Received
      377
      Likes Given
      537

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      Mi naona hawa TBC inabidi tuwakabe sana humu JF kiasi kwamba hata wafanya kazi wao walijue kwa uhakika kwamba wanatuboa sana na mpango wao wa kubadili jina na umiliki wa media ya umma kuwa ya ccm,na kuanzia leo mimi nimelikubali jina la TBCCM.!
      Shame on them

    10. #29
      samilakadunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 556
      Likes Received
      108
      Likes Given
      16

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      Yaöekana mpango wa kutoa uhai wa Dr Uli uliandaliwa mdamrefu sana nakila idara ya serikali ilijipanga kuhakikisha wanaitetea serikari na kuficha ukweli!

    11. #30
      imasonda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 10
      Rep Power : 402
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      nawaunga mkono makamanda wate hapa,hata ningeshauri yeyote anaetaka kutangaza biashara yake asitangaze na TBC kwani hakuna mtu ataona huko, TBC is dead kabisa.
      kajima likes this.

    12. #31
      Mr. President's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Black House
      Posts : 1,700
      Rep Power : 776
      Likes Received
      331
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By Mandingo View Post
      Ile slogan yao ya ukweli na uhakika naomba ibadilike iwe
      UWONGO WA UHAKIKA!

      Uko sahihi.....
      TBC hadi leo wanasema Madaktari hawajagoma ... uwongo
      TBC inatangaza UWONGO WA UHAKIKA.... true

    13. #32
      evvy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 153
      Rep Power : 430
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Gwankaja Gwakilingo View Post
      umeona eeeeeee hawa jamaa sijui ni kwanini wanajiita TBC Na kwa nini wasijiite CCMBC
      Umelenga mkubwa!...

    14. #33
      Lenja's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 377
      Likes Received
      6
      Likes Given
      54

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      Quote By angedizzle View Post
      subirini "Mwananchi TV " mpate raha mpaka kumoyo.....

      sent from my I pad
      Near Magogoni
      Hii taarifa ya MwananchiTV nimeisikia mida sasa; itaanza ln! Hiyo nnauhakuka itafunika!

    15. #34
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,555
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By CHEMPO View Post
      Tbc ilaaniwe na ife,,,,,,,
      ilishalaaniwa na Tido Mhando

    16. #35
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: TBC1 na habari ya kusafirishwa kwa Dr. Ulimboka

      Nahis kwa sasa hata watumish wa TBC hawajisikii fahar kujitambulisha kwa jamii kuwa wao ni wana-TBC,compared na kipindi cha tido ambapo wanahabar weeengi walikua na shauku ya kufanya kazi pale

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...