Kwa mara nyingine tena TBC haijarusha taarifa ya kusafirishwa Dr. Ulimboka, wana harakati waliyozungumza juu ya tukio lile. Ningependa pia kujua mchango wowote uliotolewa na serikali katika kufanikisha safari ya matibabu ya Dr. Uli....! Kama hakuna jitihada yeyote, ni kwanini? Kama hakuna jitihada, je inataka kutuaminisha kuwa Ulimboka amechukuliwa kama adui?
Kibanga Msese

Reply With Quote
Follow Us Here