Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 47
    1. #1
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,768
      Rep Power : 1628
      Likes Received
      1185
      Likes Given
      1701

      Default Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Tanzania doctor strike escalates on torture claims


      By Fumbuka Ng'wanakilala | Reuters – Fri, Jun 29, 2012

      DAR ES SALAAM (Reuters) - Doctors on Thursday stepped up their strike for better pay at public hospitals across Tanzania in a sign of solidarity with a leader of a medical group who claimed he was kidnapped and tortured by persons unknown.

      The high cost of living in Tanzania has stoked anti-government sentiment, leading to mounting pressure from public sector workers and others over the rising cost of living.

      Television images showed dozens of medical workers at Tanzania's biggest referral hospital, Muhimbili, singing "solidarity forever," as their leader, Steven Ulimboka, was brought to hospital in an ambulance for treatment.

      Ulimboka, chairman of the Medical Association of Tanzania, had called on Friday for a nationwide strike of doctors to demand better pay and working conditions, leaving many patients unattended in state hospitals.

      He told reporters he was abducted at gunpoint on Tuesday night by five men and taken to a forest on the outskirts of the commercial capital Dar es Salaam where he was beaten.

      There was no immediate independent verification of his account, but authorities promised to investigate his claims.

      "We have ordered a swift investigation to unearth the truth," Prime Minister Mizengo Pinda told parliament.

      Pinda asked military medical staff at the military hospital in Dar es Salaam to treat the many unattended patients.

      Doctors on Friday last week launched another round of strikes after talks with the government over pay and conditions collapsed, ignoring a court order to return to work.

      Health Minister Hussein Mwinyi said the doctors had rejected a 15 percent pay rise that would have increased their salary to around 950,000 shillings from 860,000 shillings.

      The doctors are demanding a salary of 3.5 million shillings.

      Doctors had suspended their previous strike in March after the president met their leaders to end the row.

      Tanzania's inflation rate fell marginally in May, but still remained in double digits at 18.2 percent.

      My take:
      Aliye report hi habari ni mposhaji mkubwa kwani anaonyesha kuwa madaktari wanagoma kwa sababu ya maisha magumu, wakati sio kweli, Ukweli ni kuwa wana sababu zaidi ya hiyo moja.
      Last edited by Kibanga Ampiga Mkoloni; 1st July 2012 at 03:03.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      pgasper's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 292
      Rep Power : 0
      Likes Received
      64
      Likes Given
      97

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By Tume ya katiba
      Siasa na taaluma havitakiwi kuchanganywa ni hatari sana wanachokifanya madr wetu.
      Serikali ndo inaleta element ya siasa kwenye profession.
      Doctors hawana hata chembe ya siasa.
      Hizo ni hisia za serikali dhaifu.
      Itimize basi madai hayo kama madokta wataendelea kugoma.

    4. #22
      pgasper's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 292
      Rep Power : 0
      Likes Received
      64
      Likes Given
      97

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      serikali inalalamika kuwa mgomo unakuwa geared na chadema.
      Ni maswali ambayo Ulimboka ameulizwa countless times wakati akipondwa na watu walipewa dhamana ya kulinda amani na usalama wetu,
      This is high time serkali ipige moto au ifyeke msitu wa mabwepande, watu mazingir na waseme

    5. #23
      pgasper's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 292
      Rep Power : 0
      Likes Received
      64
      Likes Given
      97

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Dalili ya alichokisema mnyika juu ya udhaifu wa serkali ndo haya ya liwalo na liwe ya pinda na baba mwanaasha

    6. #24
      Mdondoaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 4,725
      Rep Power : 1485
      Likes Received
      807
      Likes Given
      342

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By Mkandara
      Mkuu wangu tusidanganyane..Mimi Mbongo kuliko hata hao Madaktari na naingia vichwani mwao. Wakipewa hata millioni 3 bila ongezeko la vifaa wala mazingira bora watarudi kazini kama kazi lakini wapewe vifaa na kuboresha mazingira bila mishahara hawatarudi kazini.. It's all Crystal clear kinachogombewa hapa ni mshahara mkubwa tu, Haya maswala ya sijui Hospital hazina hata Panadol wakati zinazouzwa Phamacy hayahusiani kabisa na mgomo.

      Madaktari walianza vibaya na sii rahisi kunishawishi mtu kama mimi. Walichotakiwa ni kuishambulia Bajeti wakaonyesha udhaifu wa utawala uliopo na jinsi gani mgao wa bajeti ya Afya ilivyokuwa hafifu, uwekezaji hafifu na matumizi ktk maswala yasiyokuwa na maana. Wakawaonyesha wananchi jinsi gani wanashindwa kufanya kazi, kutibu watu na kadhalika kiasi kwamba wananchi wajenge hisia za kuungana nao ktk madai ya mbeleni. Toka mwanzo swala hili lilikuwa political they should involve vyama vya Upinzani na asasi za haki za binadamu, Tucta na kadhalika.

      Wala wasizungumzie mishahara yao iongezwe kiasi gani isipokuwa wapige vita ongezeko la mishahara ya Wabunge, viongozi nawanasiasa wanavyojitanua na kadhalika.. Hapo wangeilazimisha serikali kupanua bajeti ya Afya, wakisha weka fungu mkononi hapo ndipo mishahara itakapo tazamwa ipande lakini sii upandishe mishahara toka bajeti ndogo ambayo haiwezi hata kukidhi mahitaji muhimu. And for that itakuwa tu vita baina ya madaktari na serikali maana tunajua kinachowauma zaidi Madaktari ni ushenzi wa wabunge kujiongezea mishahara wakati wanaenda kupiga domotindi Dodoma - Shame to all of You!
      Mkandara,

      Ndio maana mie sikuwaunga mkono madaktari from the beginning kwani nafahamu kiundani shida kubwa hapa ni madai ya kuwa walipwe mshahara mkubwa. Wamejisahau kuwa wakilipwa mshahara mkubwa na MANESI NAO WATADAI MSHAHARA MKUBWA!!!, Macleaner nao watadai mshahara mkubwa, zitaingia sekta nyengine kama umeme maengineer nao watadai mshahara mkubwa, mapolisi, walimu wahasibu nk.

      Wapuuzi hawa wanajiona wao ni watu muhimu sana katika uchumi simple tu wanaona wivu wabunge walivyojiongezea mishahara (jambo ambalo siwaungi pia wabunge kujiongezea mshahara kwani nadhani wapunguziwe hasa mshahara kwani silioni lolote la maana wanalolifanya huko bungeni). Ila kwa madaktari siwaungi mkono kudai kuongezewa mshahara kwani lina hasara katika uchumi wa Tanzania kuliko wanavyofikiri. Labda watujibu maswali haya:-
      a. Je wanajua athari za kuongezewa mshahara kuwa linaongeza mzigo kwa sisi walipa kodi kwa lipi linalopatikana kutoka kwao??? Huduma zenyewe mbovu za afya hapa nchini kila siku watu wanapelekwa india?

      b. Je wanajua kuwa wakiongezewa mshahara kutachangia kuongezeka mfumuko wa bei Tanzania ambapo kwa sasa hivi tu ni asilimia 18 tunalia na kusaga meno!!!!!

      c. Je wakiboreshewa vifaa vya afya na marupurupu watarudi kazini badala ya kuongezewa mshahara?


      Binafsi ushauri wangu wa bure kwa serikali unabakia ule ule SERIKALI IJITOE KATIKA KUHUDUMIA HOSPITALI NA KUWAACHIA WAJIENDESHE KIBIASHARA. BADALA YAKE IHUDUMIE WATU WASIOJIWEZA KWA KUTOA MATIBABU BURE HALAFU TUONE HII JEURI YA MADAKTARI ITATOKA WAPI!!!!

    7. #25
      pgasper's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 292
      Rep Power : 0
      Likes Received
      64
      Likes Given
      97

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By Mdondoaji
      Mkandara,

      Ndio maana mie sikuwaunga mkono madaktari from the beginning kwani nafahamu kiundani shida kubwa hapa ni madai ya kuwa walipwe mshahara mkubwa. Wamejisahau kuwa wakilipwa mshahara mkubwa na MANESI NAO WATADAI MSHAHARA MKUBWA!!!, Macleaner nao watadai mshahara mkubwa, zitaingia sekta nyengine kama umeme maengineer nao watadai mshahara mkubwa, mapolisi, walimu wahasibu nk.

      !
      Suppose kama unavodhani wakalipwa mishahara mikubwa.
      watazuia manesi, macleaner, walimu kaudai haki zao wakiona ujira wao na kazi zao haziwiani?
      Kimsingi kila mtu ana haki ya kudai kile anchoona kinamstahili, mwinggine hazuiwi kudai haki kisa huyu keshadai.
      Achana na hilo;
      Serkali hata hiyo mishahara imeongeza ili kuwatega madokta?
      How did they reacted?
      Kill Ulimboka!
      Outragous!

    8. Miaka 50

    9. #26
      Mdondoaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 4,725
      Rep Power : 1485
      Likes Received
      807
      Likes Given
      342

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By pgasper
      Suppose kama unavodhani wakalipwa mishahara mikubwa.
      watazuia manesi, macleaner, walimu kaudai haki zao wakiona ujira wao na kazi zao haziwiani?
      Kimsingi kila mtu ana haki ya kudai kile anchoona kinamstahili, mwinggine hazuiwi kudai haki kisa huyu keshadai.
      Achana na hilo;
      Serkali hata hiyo mishahara imeongeza ili kuwatega madokta?
      How did they reacted?
      Kill Ulimboka!
      Outragous!
      Arrogance, stupidity and anger distract human intelligence hebu nisome vizuri halafu unaposema kila mtu ana haki ya kudai haki yake nikuulize wewe madaktari bila ya manesi wanaweza kazi???? Madaktari bila ya maji na umeme kazi itafanyika???? Unadhani hii nchi inaongozwa na madaktari tu hebu tuondolee upuuzi wako hapa!

    10. #27
      pgasper's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 292
      Rep Power : 0
      Likes Received
      64
      Likes Given
      97

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By Mdondoaji
      Arrogance, stupidity and anger distract human intelligence hebu nisome vizuri halafu unaposema kila mtu ana haki ya kudai haki yake nikuulize wewe madaktari bila ya manesi wanaweza kazi???? Madaktari bila ya maji na umeme kazi itafanyika???? Unadhani hii nchi inaongozwa na madaktari tu hebu tuondolee upuuzi wako hapa!
      it is you who's stupid,
      Haijalishi una nafasi nzuri ya kutumia kodi za watanzania.
      Hayo maswali uliyoyauliza kama ungekuwa na jibu kuwa Kikwete anaweza kuwa Rais bila wananchi usingeuliza.
      Kwanini ajilimbikizie hazina ya nchi hali wanabnchi anawaongoza ni maskini?
      Unstoppable likes this.

    11. #28
      Mdondoaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 4,725
      Rep Power : 1485
      Likes Received
      807
      Likes Given
      342

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By pgasper
      it is you who's stupid,
      Haijalishi una nafasi nzuri ya kutumia kodi za watanzania.
      Hayo maswali uliyoyauliza kama ungekuwa na jibu kuwa Kikwete anaweza kuwa Rais bila wananchi usingeuliza.
      Kwanini ajilimbikizie hazina ya nchi hali wanabnchi anawaongoza ni maskini?
      Sijakuita stupid ila nimekutahadharisha kuwa hasira, ujinga na ujeuri vinapoteza akili ya mtu. Hivyo hebu tafakari vizuri nachokisema utakiona kina mantiki. Ila bado hujajibu maswali yangu je hii nchi inaendeshwa na madaktari???? Wepi hawa wasio na uchungu wanaacha watu wanakufa hovyo mahospitali??? au huna hoja ya msingi ya kunishawishi. I wish ningelikuwa katika meza ya majadiliano ushauri wangu kwa Pinda ni huu SERIKALI IJITOE KATIKA KUHUDUMIA HOSPITALI BALI IJIKITE KUHUDUMIA WALIPA KODI TENA WASIOJIWEZA !!!!! HII BIASHARA YA KUHUDUMIA HIZI HOSPITALI NDIO TUMEFIKA HAPA INAHITAJI KUFIKIA TAMATI! ADIOS!!!!

    12. #29
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      910

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Mkandara;
      Unataka kusema hawa madaktari hawastshili kulipwa shs.3.5m? Hebu fanya linganisho karani wa TRA analipwa kiasi hii ni haki yao kimsingi wanastahili hasa ukiangalia umuhimu wa taaluma yao, najua utasema udaktari ni wito kumbuka kuwa mwanasiasa ni wito mbona wao wanalipana 10m na walijiongezea bila mizengwe yeyote ile.

      Chama
      Gongo la Mboto DSM
      jouneGwalu likes this.

    13. #30
      Gwangambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Location : Mabwepande
      Posts : 1,107
      Rep Power : 568
      Likes Received
      262
      Likes Given
      84

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By Mkandara
      Swali kwa Madaktari..
      Mkipewa mshahara wa millioni 3.5 lakini bila vifaa vya kutendea kazi, na kuboreshwa mazingira mtarudi kazini au hamtarudi hadi yote yatimie?.
      Liwalo na liwe!

    14. #31
      Capital's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : SIRTE, LIBYA
      Posts : 321
      Rep Power : 501
      Likes Received
      54
      Likes Given
      62

      Default

      [QUOTE=Mdondoaji;4152518]Mkandara,

      Ndio maana mie sikuwaunga mkono madaktari from the beginning kwani nafahamu kiundani shida kubwa hapa ni madai ya kuwa walipwe mshahara mkubwa. Wamejisahau kuwa wakilipwa mshahara mkubwa na MANESI NAO WATADAI MSHAHARA MKUBWA!!!,
      wewe ndo bogus kabisa! kelele tu na kujaza server na ****! matatizo yote haya ya migomo na ughali wa maisha unatokana na UDHAIFU wa hawa majambazi wanadai wanatuongoza. serikali inaongozwa na watu vimeo yaani 'junks' ambao hawaelewi wafanye nini kuwakomboa watz. madr wao wamekuwa na guts za kusema nini wanataka, siyo kwamba sections zingine zimeridhika, uoga tu ndo unawafanya hivyo. kama unaitetea serikali isiyowajibika, serikali ya hovyo, basi nawe ni mtu hovyo, yaani useless!

      mie ndo CAPITAL bhana.

    15. #32
      Mdondoaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2009
      Posts : 4,725
      Rep Power : 1485
      Likes Received
      807
      Likes Given
      342

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      [QUOTE=Capital;4153083]
      Quote By Mdondoaji
      Mkandara,

      Ndio maana mie sikuwaunga mkono madaktari from the beginning kwani nafahamu kiundani shida kubwa hapa ni madai ya kuwa walipwe mshahara mkubwa. Wamejisahau kuwa wakilipwa mshahara mkubwa na MANESI NAO WATADAI MSHAHARA MKUBWA!!!,
      wewe ndo bogus kabisa! kelele tu na kujaza server na ****! matatizo yote haya ya migomo na ughali wa maisha unatokana na UDHAIFU wa hawa majambazi wanadai wanatuongoza. serikali inaongozwa na watu vimeo yaani 'junks' ambao hawaelewi wafanye nini kuwakomboa watz. madr wao wamekuwa na guts za kusema nini wanataka, siyo kwamba sections zingine zimeridhika, uoga tu ndo unawafanya hivyo. kama unaitetea serikali isiyowajibika, serikali ya hovyo, basi nawe ni mtu hovyo, yaani useless!

      mie ndo CAPITAL bhana.
      Kwahivyo mgomo huu wa madaktari ni kukomboa wananchi kutokana na na serikali isiyowajibika kwa mujibu wa maelezo yako. Sasa hao madaktari ni wanasiasa au matabibu? Kumbe nia ya mgomo huu ni kutaka kuchochea machafuko sio? Basi nia yenu mtaungwa mkono na chama chenu wengine sisi hatutakaa kamwe kuwaunga mkono hadi mje na mpango unaoleweka maana huu ni UNAFIKI MTUPU!!!!

    16. #33
      jouneGwalu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Location : Studio
      Posts : 2,341
      Rep Power : 969
      Likes Received
      1314
      Likes Given
      1755

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By chama
      Mkandara;
      Unataka kusema hawa madaktari hawastshili kulipwa shs.3.5m? Hebu fanya linganisho karani wa TRA analipwa kiasi hii ni haki yao kimsingi wanastahili hasa ukiangalia umuhimu wa taaluma yao, najua utasema udaktari ni wito kumbuka kuwa mwanasiasa ni wito mbona wao wanalipana 10m na walijiongezea bila mizengwe yeyote ile.

      Chama
      Gongo la Mboto DSM

      Hoja kama hizi zinajibiwa kuwa oohhh msiringanishe taaluma na mgawanyo wa jamii....

      Yaani tumechagua kuwa jamii ya kipuuzi kupita maelezo kwa kuamini katika mazoea ya fikra zilizojifungia!!

      Mi nitaiunga mkono serikali ikiamua kuyatelekeza madai ya drs katika eneo la maslahi yao na kuanza kwa maboresho ya vitendea kazi kwa maana ya miundo mbinu ya afya, vifaa, majengo na madawa...

      Kama baada ya hayo drs wakiendelea na mgomo sitawaunga mkono ila nje ya hapo ni upuuzi kuiunga mkono serikali hii kijinga kuata kutokea duniani......

      Ntaendelea kuwaunga mkono drs mpaka hatima ya sekta ya afya!
      chama likes this.

    17. #34
      alberaps's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 241
      Rep Power : 481
      Likes Received
      54
      Likes Given
      77

      Default

      Quote By Mdondoaji
      Mkandara,

      Ndio maana mie sikuwaunga mkono madaktari from the beginning kwani nafahamu kiundani shida kubwa hapa ni madai ya kuwa walipwe mshahara mkubwa. Wamejisahau kuwa wakilipwa mshahara mkubwa na MANESI NAO WATADAI MSHAHARA MKUBWA!!!, Macleaner nao watadai mshahara mkubwa, zitaingia sekta nyengine kama umeme maengineer nao watadai mshahara mkubwa, mapolisi, walimu wahasibu nk.

      Wapuuzi hawa wanajiona wao ni watu muhimu sana katika uchumi simple tu wanaona wivu wabunge walivyojiongezea mishahara (jambo ambalo siwaungi pia wabunge kujiongezea mshahara kwani nadhani wapunguziwe hasa mshahara kwani silioni lolote la maana wanalolifanya huko bungeni). Ila kwa madaktari siwaungi mkono kudai kuongezewa mshahara kwani lina hasara katika uchumi wa Tanzania kuliko wanavyofikiri. Labda watujibu maswali haya:-
      a. Je wanajua athari za kuongezewa mshahara kuwa linaongeza mzigo kwa sisi walipa kodi kwa lipi linalopatikana kutoka kwao??? Huduma zenyewe mbovu za afya hapa nchini kila siku watu wanapelekwa india?

      b. Je wanajua kuwa wakiongezewa mshahara kutachangia kuongezeka mfumuko wa bei Tanzania ambapo kwa sasa hivi tu ni asilimia 18 tunalia na kusaga meno!!!!!

      c. Je wakiboreshewa vifaa vya afya na marupurupu watarudi kazini badala ya kuongezewa mshahara?


      Binafsi ushauri wangu wa bure kwa serikali unabakia ule ule SERIKALI IJITOE KATIKA KUHUDUMIA HOSPITALI NA KUWAACHIA WAJIENDESHE KIBIASHARA. BADALA YAKE IHUDUMIE WATU WASIOJIWEZA KWA KUTOA MATIBABU BURE HALAFU TUONE HII JEURI YA MADAKTARI ITATOKA WAPI!!!!
      Kama madaktari sio watu wa muhimu acha kutokwa povu kakojoe ukalale.

    18. #35
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By chama
      Mkandara;
      Unataka kusema hawa madaktari hawastshili kulipwa shs.3.5m? Hebu fanya linganisho karani wa TRA analipwa kiasi hii ni haki yao kimsingi wanastahili hasa ukiangalia umuhimu wa taaluma yao, najua utasema udaktari ni wito kumbuka kuwa mwanasiasa ni wito mbona wao wanalipana 10m na walijiongezea bila mizengwe yeyote ile.

      Chama
      Gongo la Mboto DSM
      Inasikitisha sana napowasoma wasomi wangu wa JF mnauliza maswali kupindisha hoja. Sijasema madaktari hawafai kupewa Millioni 3.5 hata kidogo tena naweza sema pengine hata hizo ni pungufu lakini njia waliyotumia kuweka madai yao ndio mbovu, dhaifu kifupi PR yao mbovu na kutokana na hali hiyo ndio nimeuliza kama wakipewa mshahara huo bila mambo mengine kutimia watarudi kazini au hapana?

      Na kama hawa Madaktari wanagoma kwa sababu ya wabunge kuilipwa mil 10 acha kazi nenda kagonmbee Ubunge kwani daktari anazuiwa kugombea Ubunge?.. Kwa hali ya hili linchi majimbo yatafika hata 1000 kufikia 2050 chances za Ubunge, Udiwani, Umeya na Unaibu meya, na serikali za mitaa zitaongezeka by 20% or more. Maadam huko ndiko kwenye soko la ajira na malipo mazuri kwa nchi zote za Kiafrika na sii Tanzania peke yake basi malizeni mkataba wenu halafu jikateni muache Udaktari ingieni kwenye profession zinazolipa. The market determine the price!

      Hii ya kulazimisha price kwa sababu ya Umuhimu wako ni sawa na Mkulima aaache kulima kwa sababu anapata mafao duni zaidi ya Mlanguzi au mwenye Restaurant. Hata nyuma ya kina Steve na I phone kuna kichaa au vichaa wasiopata usingizi wakitafuta mbinu za kuboresha simu hizi na hawapokei mshahara mkubwa ziadi ya board ya wakurugenzi wa Apple ambao wao wanalala tu maofisini. Kina sisi wabeba Box tunapokea mshahara mdogo kuliko wale makarani na wahasibu huko maofisini wakati sisi tukizima hizo mashine, hiyo kampuni haitazalisha kitu wala hao wa Ofisini hawatalipwa mishahara. Hii ndio dunia ya Ushindani mkuu wangu huwezi kulazimisha Umuhimu wako kwa kukomoa watu ili utambulike au uheshimike bali ni kazi yako wewe kuitafuta kazi inayolipa vema..

      Swala la wabunge kulipwa mishahara mikubwa ni swala la kisiasa la lazima tulishughulikie kisiasa. Wananchi wote na Madaktari tuwaunge mkono vingozi wanaojitokeza na kupinga matumizi mabaya ya fedha za serikali. Hawa ndio watakao kuja rekebisha kila kitu huko mbeleni lakini mnapowavunja nguvu kisha mnarudi nyuma kuweka madai kama haya wakati jana tu ulimpinga Zitto au Mnyika inakuwa vigumu kwangu mimi Mkandara kukuelewa...

      Mkuu wangu sikubaliani na muundo wa huduma za AFYA na ELIMU nchini!.. sikubaliani nao kabisa lakini hujanisikia nikiacha kuwaunga mkono Chadema japokuwa najua fika wao pia kama CCM wanaunga mkono kuwepo kwa Muafaka wa MoU. I total disagree with the Idea of churches running the game kutokana na WATU na MAZINGIRA, kwa sababu hairuhusiwi kikatiba na zaidi ya hapo lazima tukubali Udini nchini upo na unahitaji cheche moja tu ili moto wa udini usambae nchi nzima na hii MoU ndio kuvutia sigara akribu na pipa la gas..

      Nimelisema sana hapa JF wewe unajua lakini kuna mtu ameniunga mkono ama kunisikia?..Viongozi wangu hawalioni hilo na pengine vyama vyote nchini hawalioni tatizo, hivyo sina budi kwenda na kilichopo siwezi kugoma, kususia ama kuanzisha vurugu kwa sababu serikali, bunge na hata mahakama hawachukulii maanani malalamiko yangu - Hivyo nime chill nakwenda na yale yanayokubalika na wengi nifanyeje walishindwa mitume leo mimi nije shindana na serikali?. Haya maamuzi ya mwisho kutafuta suluhu, hizi hasira za kina Uamsho kuchukua maamuzi magumu na sheria mkononi ndizo nisizokubaliana nazo - Mwisho..
      Exploration of reality

    19. #36
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,896
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      910

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Mkandara;
      Nimekupata tatizo la madai ya madaktari halitokani MoU; wanapigania kuboreshwa kwa maslahi na huduma za afya, hotuba ya mh. Raisi Kikwete imeeleza wazi juhudi za serikali katika kufanikisha madai ya madaktari; mengi hatukuyajua mpaka baada ya hotuba Raisi, mimi nadhani viongozi wanaohusika na majadiliano walikuwa wanaonyeshana ubabe kuliko busara, kama Raisi angekuwa mstari wa mbele kupitia ofisi ya Raisi naamini huu mgogoro usingefikia hapa; imedhihirsha wazi mh. Pinda kazi hii ya usuluhishi imemshinda; inaonekana ndani ya mgomo huu kuna mashinikizo ya kisiasa; wapo wanasiasa wana agenda za siri suala linalipiganiwa si mil.3.5; mimi bado naunga mkono hoja zao ila ikiwa serikali inayafanyia kazi madai yao sababu ya kugoma ilikuwa ni nini? Namsubiri Dr. Mkopi aje na maelezo kama yapo; Mkandara sasa hivi nimeanza kuamini wanasisa wa upinzani wapo ndani ya sakata hili, hawa madaktari wanatumika kisiasa vuta subira utasikia mengi.

      Chama
      Gongo la Mboto DSM

    20. #37
      MASIKITIKO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 205
      Rep Power : 478
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default

      [QUOTE=Mkandara;4157478]Inasikitisha sana napowasoma wasomi wangu wa JF mnauliza maswali kupindisha hoja. Sijasema madaktari hawafai kupewa Millioni 3.5 hata kidogo tena naweza sema pengine hata hizo ni pungufu lakini njia waliyotumia kuweka madai yao ndio mbovu, dhaifu kifupi PR yao mbovu na kutokana na hali hiyo ndio nimeuliza kama wakipewa mshahara huo bila mambo mengine kutimia watarudi kazini au hapana?

      Na kama hawa Madaktari wanagoma kwa sababu ya wabunge kuilipwa mil 10 acha kazi nenda

    21. #38
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,955
      Rep Power : 2368
      Likes Received
      955
      Likes Given
      172

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      Quote By Mkandara
      Swali kwa Madaktari..
      Mkipewa mshahara wa millioni 3.5 lakini bila vifaa vya kutendea kazi, na kuboreshwa mazingira mtarudi kazini au hamtarudi hadi yote yatimie?.
      hahahaha! mkuu swali gumu hili.....
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    22. #39
      namshitu kazeni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 372
      Likes Received
      0
      Likes Given
      30

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      sikubaliani na wewe; daktari kwa mgonjwa anayekuja bila vifaa alivyoombwa kuja navyo hata katika kujifungua anachofanya ni kumshughulikia bila hizo gloves huku akijua kuna homa ya ini na UKIMWI: shida ndiyo hiyo, weka mazingira mtu akija kuna kila kitu hata mafao yakija baadae vitendea kazi vinawaruhusu kusema, kazi iko kama mahali pengine duniani. Hili la Ulimboka nenda kafanye CT scan imekufa; sasa daktari nafanyaje kazi. Au CT scan lipia laki na ishirini na MRI ni laki nne na themanini nani anamudu kiasi hicho. Acha ubinafsi! angalia Vifaa tiba na maana yake katika kutoa tiba stahilifu. Unadhani madaktari wamefanya kazi bila 1.2M toka mwaka 2005 hukuwakijua wanataka zaidi bila kufikiria? usiwarubuni watoto wa wenzio. Tuseme ukweli, tupate hivyo vifaa tiba alafu tuone niaje? Shida ni kwamba ni gharama kubwa kuviweka vinapostahili.

    23. #40
      namshitu kazeni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 372
      Likes Received
      0
      Likes Given
      30

      Default Re: Tanzania doctor strike escalates on torture claims

      kwani watendaji wa afya wote si ana matatizo sawa na wauuguzi, wafundi sanifu kwa fani zao wote walipwe stahili!

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...