Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

    Report Post
    Page 6 of 7 FirstFirst ... 4567 LastLast
    Results 101 to 120 of 121
    1. #1
      Mongoiwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 478
      Rep Power : 669
      Likes Received
      51
      Likes Given
      23

      Default Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Leo Jumamosi, Juni 30, aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, atakuwa na mkutano wa hadhara Ilala Bungoni.

      Vyanzo vyangu vya habari, kutoka karibu na Lema vinasema kuwa leo atalipuka sana. Mojawapo ya masuala atakayolipua ni kuwataja vigogo/kigogo waliohusika katika suala la Dkt. Ulimboka.

      Jamani wenzetu wa habari, sijui vyombo vingapi viko maeneo hayo, mtupatie taarifa hizi mapema iwezekanavyo kama ni kweli. Hatuwezi kusubiri mpaka kesho au usiku.

      Nawasilisha.
      Elli, Saint Ivuga, Nyunyu and 6 others like this.
      Nchi yangu inaangamia kwa kukosa maarifa ya Viongozi

    2. Miaka 50

    3. #101
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Nitarudi kesho!

    4. #102
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2442
      Likes Received
      278
      Likes Given
      286

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Uhuru wa polisi ni kitu gani?
      Au una maanisha nini?

      Kufanya jambo lolote watakalo?

      Umetoa wapi hicho kifungu cha Uhuru wa Polisi? Au ndo sheria za uvunguni ambazo Gaidi Kova huwafunza vijana wake??

      Quote By Kayoka
      anaingilia uhuru wa jeshi la polisi, wacha naye atulie huku tukimwomba mungu amponyeshe mapema dr. Ulli aje awataje waliomteka na kumuumiza.
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    5. #103
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,186
      Rep Power : 24275
      Likes Received
      4682
      Likes Given
      2300

      Default

      Quote By Wakuti
      Pole kama imekugusa ila sina nia ya kubishana na wewe LEMA NI MBAYUWAYU DHOOFU
      haya ni mawazo ya akili za matope.

    6. #104
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,184
      Rep Power : 591
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Lema pia alisema wakati wapo lindi walikutana na membe membe akawaambia akuwahi kuona serikali ya kipuuzi kama hii ya jamaa aliyefanana nae ushaidi anao wa dvd.

    7. #105
      Wakuti's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 164
      Rep Power : 456
      Likes Received
      13
      Likes Given
      29

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Mungi
      haya ni mawazo ya akili za matope.
      Najisikia taaabu kubishana na mbayuwayu mdondo

    8. RukaaJuu Final

    9. #106
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,952
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1177
      Likes Given
      916

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Topical
      Gongo la Mboto..upo?
      nipo Topical mbona hakuna jipya lilosemwa? JK kweli kaleta demokrasia kutoka jambazi hadi mwanasiasa

      Chama
      Gongo la Mboto DSM

    10. #107
      Ukwaju's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Dodoma
      Posts : 3,455
      Rep Power : 1127
      Likes Received
      639
      Likes Given
      829

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Mpaka saa hizi huyo Jembe toka AR hajawataja waliomtenda Dr?

    11. #108
      job abraham's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th June 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Topical
      Nimekuelewa kwakuwa uamsho hawataki muungano chadema pia hawataki muungano..OK asante kwa clarification

      OK msije kabisa Zanzibar msipoteza muda wenu bure..si zanzibar ni kama arusha??

      oops kweli huko cdm kuna viazi..
      Hatuwezi kuja huko nchi jirani,maana tusije tukaolewa na magamba kama mwenzetu ulivyoamua kujisalimisha....

    12. #109
      Kamende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2008
      Posts : 416
      Rep Power : 656
      Likes Received
      35
      Likes Given
      6

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Donyo
      Usitumie lugha kama hii ndugu yangu. vita ni mbaya , mbaya, mbaya sana Mtanzania mwenzangu. Omba Mungu aepushe nchi isifike huko. Ogopa vita, Ogopa njaa. Omba Mungu tusifike huko
      Mkuu Donyo. Hakuna asiyependa AMANI na UTULIVU.
      Kinachopingwa hapa ni pale amani hiyo inapotumika kuwaneemesha waovu, wezi wa rasilimali za nchi na wauaji ama watesi wa wananchi wanyonge (hasa wale wanaotetea haki za wanyonge).
      Kila amani inapotetewa na kundi la hawa waovu, lengo lake ni kuweka mazingira ya utulivu ili wasipingwe wala kuzuiwa kuendeleza dhuluma zao.
      Kwa hiyo wastaarabu na wanaoitakia nchi hii mema watatafuta namna ambayo AMANI itatokana na Uwajibikaji wa watumishi wetu, kupatikana kwa haki ya kila mmoja wetu na kuadhibiwa kwa kila mkosaji bila kujali nasaba yake.
      Akinyamaza wa Kusema atasema wa Kunyamaza

    13. #110
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 820
      Rep Power : 589
      Likes Received
      83
      Likes Given
      14

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      haliwezi kuwa jembe kwani hiyo nijuavyo mimi jembe ni alama ya ccm

    14. #111
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,525
      Rep Power : 773
      Likes Received
      143
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mpepalilambo
      toka lini jambazi akaweza siasa? Kama ni jembe lenu kweli basi hamna watu.
      Vp kuhusu maji marefu?

    15. #112
      Bollo Yang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2009
      Posts : 377
      Rep Power : 573
      Likes Received
      31
      Likes Given
      171

      Default

      Polisi dhaifu wanang'oa meno bila ganzi...bwahahaha

    16. #113
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,612
      Rep Power : 15262
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2868

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni



      Lema kutamka kwamba atawataja waliohusika na mkasa wa Ulimboka, kwa akili ya kawaida tu mtu huwezi kufanya hivyo kwa sababu za kiintelijensia, ambapo hana uthibitisho wa watu hao kwa kuwa ilifanyika kwa siri, na pengine huhitaji muda ili kwani uchunguzi bado unaendelea na kufanya hivyo kunaweza kuingilia shughuli za uchunguzi, hapo busara ni kapa.
      Lema hahusiki moja kwa moja na mgomo wa Madaktari, na hapo kwa busara ya kawaida tu hana sababu ya kuitisha maandamano kwa ajili ya madaktari. Hicho ni kipimo moja wapo kwa Lema kama anafikiri kwanza kabla ya kutoa tamko hadharani au ni shauri ya kuhamasisha hadhara. Siasa si hamasa tu siku hizi ni sayansi zaidi.

    17. #114
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,612
      Rep Power : 15262
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2868

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni



      Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Bw Godbless Lema,
      akizungumza na wafanyabiashara wa soko la Mchikichini Manispaa ya Ilala Dar es Salaam juzi,
      wakati wa Kampeni ya Ondoa CCM Dar es Salaam,
      ambapo pia chama hicho kilitoa tamko la kufanya maandamano ya kuunga mkono mgomo wa madaktari nchi nzima.


      Lema kutamka kwamba atawataja waliohusika na mkasa wa Ulimboka, kwa akili ya kawaida tu mtu huwezi kufanya hivyo kwa sababu za kiintelijensia, ambapo hana uthibitisho wa watu hao kwa kuwa ilifanyika kwa siri, na pengine huhitaji muda ili kwani uchunguzi bado unaendelea na kufanya hivyo kunaweza kuingilia shughuli za uchunguzi, hapo busara ni kapa.

      Lema hahusiki moja kwa moja na mgomo wa Madaktari, na hapo kwa busara ya kawaida tu hana sababu ya kuitisha maandamano kwa ajili ya madaktari. Hicho ni kipimo moja wapo kwa Lema kama anafikiri kwanza kabla ya kutoa tamko hadharani au ni shauri ya kuhamasisha hadhara. Siasa si hamasa tu siku hizi ni sayansi zaidi.

    18. #115
      Kibakamande's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th February 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 370
      Likes Received
      0
      Likes Given
      7

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Ee Mungu tuokoe sisi Watanzania....

    19. #116
      mpepalilambo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 362
      Likes Received
      8
      Likes Given
      3

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Somoche
      Lema ni kamanda msifikiri na yeye mnaweza kumteka..hivi sasa kila mtu atakua anatembea na kisu..ili tujihami na utekaji
      Hana ukamanda wowote, muulize alipokuwa mahabusu alifanywa nini, mbona huwa hasemi? hana ujanja wowote zaidi ya kuwa kibaraka wa mbawa ambaye ndo kisemeo chake yeye na siyo vinginevyo. Halafu ohhhhhhhhh demokrasi shame on you purppets of mbawa

    20. #117
      Somoche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 1,866
      Rep Power : 815
      Likes Received
      346
      Likes Given
      341

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By mpepalilambo
      Hana ukamanda wowote, muulize alipokuwa mahabusu alifanywa nini, mbona huwa hasemi? hana ujanja wowote zaidi ya kuwa kibaraka wa mbawa ambaye ndo kisemeo chake yeye na siyo vinginevyo. Halafu ohhhhhhhhh demokrasi shame on you purppets of mbawa
      Jela hukaa watu tena wapigania haki na Wanaume wa shoka, inaonekana wewe unaogopa jela ila wizi unaiba sana, siku yao ipo inakuja subiri, kiswahili chenyewe shida njaa inakusumbua sasa Mbawa ni nini?~~

    21. #118
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,197
      Rep Power : 3657
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      2192

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Yes Lema keep more pressure, ili tume ya chongo kova iwe makini.Wajaribu wapunguzia wauaji makali ila si kuficha kosa
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    22. #119
      muonamambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 554
      Rep Power : 553
      Likes Received
      164
      Likes Given
      938

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Ngongo
      Suala la Dr Ulimboka unamsubiri Lema akuambie wakati inajulika wazi ACP Hemed Msangi ndiye mhusika mkuu.
      Na kwamba kuna mkono Sa serikali Hilo halina mjadala

    23. #120
      mpepalilambo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 362
      Likes Received
      8
      Likes Given
      3

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Somoche
      Jela hukaa watu tena wapigania haki na Wanaume wa shoka, inaonekana wewe unaogopa jela ila wizi unaiba sana, siku yao ipo inakuja subiri, kiswahili chenyewe shida njaa inakusumbua sasa Mbawa ni nini?~~
      Mwenye njaa ni wewe, akili nyembamba imejaa ushabiki badala ya hoja. kiswahili changu makini ila umeshindwa kubaini maana.

    Page 6 of 7 FirstFirst ... 4567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...