Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

    Report Post
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast
    Results 81 to 100 of 121
    1. #1
      Mongoiwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 478
      Rep Power : 669
      Likes Received
      51
      Likes Given
      23

      Default Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Leo Jumamosi, Juni 30, aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA, Godbless Lema, atakuwa na mkutano wa hadhara Ilala Bungoni.

      Vyanzo vyangu vya habari, kutoka karibu na Lema vinasema kuwa leo atalipuka sana. Mojawapo ya masuala atakayolipua ni kuwataja vigogo/kigogo waliohusika katika suala la Dkt. Ulimboka.

      Jamani wenzetu wa habari, sijui vyombo vingapi viko maeneo hayo, mtupatie taarifa hizi mapema iwezekanavyo kama ni kweli. Hatuwezi kusubiri mpaka kesho au usiku.

      Nawasilisha.
      Elli, Saint Ivuga, Nyunyu and 6 others like this.
      Nchi yangu inaangamia kwa kukosa maarifa ya Viongozi

    2. Miaka 50

    3. #81
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,429
      Rep Power : 10875
      Likes Received
      3806
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Topical
      Nasikia mmeanza kuwa kimada tangu mlipoanza kwenda iikulu kunywa juice, siku hizi kila mkutano lazima muhitaje CUF
      Hatuna haja na CUF labda tuitaje NCCR kwa sababu CUF ni chama cha nchi jirani.

    4. #82
      Tume ya Katiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Location : Chumbuni-Zanzibar
      Posts : 2,688
      Rep Power : 0
      Likes Received
      542
      Likes Given
      273

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Molemo
      Hatuna haja na CUF labda tuitaje NCCR kwa sababu CUF ni chama cha nchi jirani.
      Umevunja katiba

    5. #83
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Molemo
      Hakuna mwana CDM wa kweli anayeweza kujiunga chama kinachokata roho chenye wabunge wawili Tanganyika nzima.Mmezidiwa hata na NCCR? Ni ukweli ulio wazi chama cha Tatu chenye nguvu Tanganyika baada ya CDM na CCM ni NCCR.
      Hakuna mwanachama wa CUF atakayejiunga na chama cha kikabila, (CDM)

      CUF ni chama cha siasa kunachotaka kuchukua madaraka (siyo kuwa wapinzani milele) tumeanza na Zanzibar..

      Tunakuja Tangayika kwa nguvu, wewe ndio unajua ni nchi ya jirani...sasa msihangaike na Zanzibar tuone kama mtapewa Tanzania?? (mtabakie wapinzani milele of course tha is maximum you can go)
      "Mbowe for Presidency 2015""

    6. #84
      proisra's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 373
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Awataje Kwani si wanajulikana? Ulizeni tume ya polisi

    7. #85
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,429
      Rep Power : 10875
      Likes Received
      3806
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Umevunja katiba
      Huo ndiyo ukweli mkuu Uamsho unaoungwa mkono na CUF haitambui muungano

    8. RukaaJuu Final

    9. #86
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Molemo
      Huo ndiyo ukweli mkuu Uamsho unaoungwa mkono na CUF haitambui muungano
      Uamsho wanashida gani si wanatoa mawazo yao??

      CUF inaamini katika serikali TATU (soma katiba na manifesto ya CUF)

      Kabla ya kuanza kusema uwongo wako mchana kweupe???
      "Mbowe for Presidency 2015""

    10. #87
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,429
      Rep Power : 10875
      Likes Received
      3806
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Topical
      Hakuna mwanachama wa CUF atakayejiunga na chama cha kikabila, (CDM)

      CUF ni chama cha siasa kunachotaka kuchukua madaraka (siyo kuwa wapinzani milele) tumeanza na Zanzibar..

      Tunakuja Tangayika kwa nguvu, wewe ndio unajua ni nchi ya jirani...sasa msihangaike na Zanzibar tuone kama mtapewa Tanzania?? (mtabakie wapinzani milele of course tha is maximum you can go)
      Mkuu kundi lenu la Uamsho linaloungwa mkono na CUF halitambui muungano na ndiyo maana CUF imejikita huko nchi jirani.Bakini huko huko huku Bara Uamsho hauwezi kukubalika.Chuki za kidini tumezichoka.

    11. #88
      Radhia Sweety's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 0
      Likes Received
      639
      Likes Given
      4

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Hana lolote huyo Lema. Ana hamu kulimbokiwa tu ili na yeye apelekwe Afrika Kusini kutibiwa.
      Topical likes this.

    12. #89
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,934
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      915

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Nachungulia tu game la Topical hili

      Chama
      Gongo la Mboto DSM

    13. #90
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Molemo
      Mkuu kundi lenu la Uamsho linaloungwa mkono na CUF halitambui muungano na ndiyo maana CUF imejikita huko nchi jirani.Bakini huko huko huku Bara Uamsho hauwezi kukubalika.Chuki za kidini tumezichoka.
      Very interesting, kwakuwa uamsho hawataki muungano (tanganyika) chadema nao hawataki Zanzibar??

      Sawa mkuu endeleeni kubaki huko huko Tanganyika, Lakini CUF tunapiga guu hadi kigoma-mtwara..

      Tunataka serikali tatu, na zote ziongozwe na CUF
      "Mbowe for Presidency 2015""

    14. #91
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,429
      Rep Power : 10875
      Likes Received
      3806
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Topical
      Uamsho wanashida gani si wanatoa mawazo yao??

      CUF inaamini katika serikali TATU (soma katiba na manifesto ya CUF)

      Kabla ya kuanza kusema uwongo wako mchana kweupe???
      Hiyo ni danganya toto mkuu mkuu wangu.Katibu wa itikadi CCM Nape Nauye alisema waziwazi uamsho ni majambazi wakubwa.Pia viongozi wa ccm Zanzibar walisema Waziri wa Sheria Zanzibar Aboubakar Khamisi Bakar aliye kiongozi wa cuf ni mfuasi wa kundi hilo na ndiye anayewalinda.Sasa kwa ushahidi huu wa viongozi wa chama tawala utasema bado cuf inaipenda Tanganyika?

    15. #92
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By chama
      Nachungulia tu game la Topical hili

      Chama
      Gongo la Mboto DSM
      Gongo la Mboto..upo?
      "Mbowe for Presidency 2015""

    16. #93
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Molemo
      Hiyo ni danganya toto mkuu mkuu wangu.Katibu wa itikadi CCM Nape Nauye alisema waziwazi uamsho ni majambazi wakubwa.Pia viongozi wa ccm Zanzibar walisema Waziri wa Sheria Zanzibar Aboubakar Khamisi Bakar aliye kiongozi wa cuf ni mfuasi wa kundi hilo na ndiye anayewalinda.Sasa kwa ushahidi huu wa viongozi wa chama tawala utasema bado cuf inaipenda Tanganyika?
      Kwa hiyo unamsikiliza na kumuamini Nape ..happy to know that..exposed
      "Mbowe for Presidency 2015""

    17. #94
      Mangimeli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 470
      Rep Power : 483
      Likes Received
      50
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Kiumbo
      Jembe letu hilo. Eti pimbi wewe ndio msangi nini?
      hivi bado yupo,simsikii bungeni siku izi

    18. #95
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,429
      Rep Power : 10875
      Likes Received
      3806
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Topical
      Very interesting, kwakuwa uamsho hawataki muungano (tanganyika) chadema nao hawataki Zanzibar??

      Sawa mkuu endeleeni kubaki huko huko Tanganyika, Lakini CUF tunapiga guu hadi kigoma-mtwara..

      Tunataka serikali tatu, na zote ziongozwe na CUF
      Ndoto za Abunuasi.Unaongea kitu unachojua hakiwezi kutokea mpaka kiyama

    19. #96
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Molemo
      Ndoto za Abunuasi.Unaongea kitu unachojua hakiwezi kutokea mpaka kiyama
      Tuombe uhai..ikiwa wewe ndio mpaji sawa lakini ikiwa si wewe..

      CUF itaongoza nchi hii kwa faida ya wananchi waliokata tamaa kwa kukosa haki zao

      HAKI SAWA KWA WOTE, huleta amani, maendeleo, na uwajibikaji..hiki ndicho wananchi makini wanakisubiri kutoka chama makini..
      "Mbowe for Presidency 2015""

    20. #97
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,429
      Rep Power : 10875
      Likes Received
      3806
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Topical
      Tuombe uhai..ikiwa wewe ndio mpaji sawa lakini ikiwa si wewe..

      CUF itaongoza nchi hii kwa faida ya wananchi waliokata tamaa kwa kukosa haki zao

      HAKI SAWA KWA WOTE, huleta amani, maendeleo, na uwajibikaji..hiki ndicho wananchi makini wanakisubiri kutoka chama makini..
      Mkuu pole sana.Hayo maneno waambie watoto wa Chekechea.Huku Tanganyika CUF ni marehemu.Ushahidi mdogo fuatilia harakati zao katika chaguzi ndogo za Igunga na Arumeru Mashariki utaamini maneno yangu na utaacha kujifariji kwa mawazo ya kitoto

    21. #98
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Molemo
      Mkuu pole sana.Hayo maneno waambie watoto wa Chekechea.Huku Tanganyika CUF ni marehemu.Ushahidi mdogo fuatilia harakati zao katika chaguzi ndogo za Igunga na Arumeru Mashariki utaamini maneno yangu na utaacha kujifariji kwa mawazo ya kitoto
      Kama ilivyo chadema huko Zanzibar (mfu bin mfu) hatuchekani..

      Chaguzi hizo mbili si kipimo tosha kwa chama kubwa kama CUF

      Tunaamini katika HAKI SAWA KWA WOTE.

      Kuna kitu kimewahi kushinda haki?? CUF itakuwa Tanganyika usijali mkuu.
      "Mbowe for Presidency 2015""

    22. #99
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,429
      Rep Power : 10875
      Likes Received
      3806
      Likes Given
      426

      Default

      Quote By Topical
      Kama ilivyo chadema huko Zanzibar (mfu bin mfu) hatuchekani..

      Chaguzi hizo mbili si kipimo tosha kwa chama kubwa kama CUF

      Tunaamini katika HAKI SAWA KWA WOTE.

      Kuna kitu kimewahi kushinda haki?? CUF itakuwa Tanganyika usijali mkuu.
      Mkuu kundi la Uamsho linaloungwa mkono na CUF linataka Zanzibar ijitenge sasa mkuu wangu CDM ifate nini tena huko? Isitoshe Zanzibar yote ni sawa na Jimbo moja tu la Arusha mjini.Upo hapo?

    23. #100
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Lema kuwataja waliomteka Dk. Ulimboka leo Ilala Bungoni

      Quote By Molemo
      Mkuu kundi la Uamsho linaloungwa mkono na CUF linataka Zanzibar ijitenge sasa mkuu wangu CDM ifate nini tena huko? Isitoshe Zanzibar yote ni sawa na Jimbo moja tu la Arusha mjini.Upo hapo?
      Nimekuelewa kwakuwa uamsho hawataki muungano chadema pia hawataki muungano..OK asante kwa clarification

      OK msije kabisa Zanzibar msipoteza muda wenu bure..si zanzibar ni kama arusha??

      oops kweli huko cdm kuna viazi..
      "Mbowe for Presidency 2015""

    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...