Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 77
    1. #1
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2449
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      BABA wa Mwenyekiti wa Jumuiya
      ya Madaktari, mzee Steven
      Mwaitenda amejikuta akiangua
      kilio kwa uchungu mbele ya
      wanaharakati ambao
      walimtembelea mwanae, Dk.
      Steven Ulimboka kumpa pole
      kufuatia tukio la kutekwa na
      kujeruhiwa vibaya na watu
      wasiojulikana.
      Hali hiyo ilitokea jana jioni katika
      Taasisi ya Tiba ya Mifupa
      Muhimbili (MOI), ambapo
      wanaharakati kutoka taasisi na
      asasi mbalimbali za utetezi wa
      haki za binadamu walifika kwa
      lengo la kumpa pole Dk. Ulimboka
      kufuatia kitendo kilichomfika.
      Mzee Mwaitenda alijikuta
      akibubujikwa na machozi na
      kushindwa kuendelea
      kuzungumza alipokuwa akitoa
      shukrani kwa wanaharakati hao,
      kwa niaba ya mwanaye ambaye
      wanaharakati hao walishindwa
      kumuona wote kutokana na hali
      yake ilivyo sasa.
      “Niseme wazi nimefarijika sana
      kwa ujio wenu kumwona
      mwanangu dhidi ya mambo ya
      kikatili aliyofanyiwa akitetea haki
      za wengine…,” alisema mzee
      Mwaitenda kabla ya kushindwa
      kuendelea na kuangua kilio mbele
      ya wanaharakati.
      Baada ya tukio hilo baadhi ya
      wanaharakati walimshika
      wakishirikiana na wanafamilia ya
      mzee Mwaitenda na kumbebeleza
      kisha kumtoa mbele ya
      mkusanyiko huo wa
      wanaharakati na kumrudisha
      wodini huku wakimfariji.
      Wakizungumza mara baada ya
      tukio hilo wanaharakati
      wameelezea kusikitishwa na
      vitendo vinavyoendelea MOI eneo
      ambalo amelazwa kiongozi huyo
      wa madaktari ambavyo
      vimeendelea kutishia usalama wa
      Dk. Ulimboka.
      Akifafanua zaidi mwakilishi wa
      wanaharakati hao, Markos Albania
      alisema taarifa walizozipata usiku
      wa juzi kuna wagonjwa ‘feki’
      ambao walijitokeza MOI huku
      wakitaka kulazwa wodi ya
      Wagonjwa Mahututi (ICU)
      alipolazwa Dk. Ulimboka lakini
      baadaye waligoma kuingizwa
      wodini.
      “Wapo wagonjwa ambao
      waliletwa na kutaka kupelekwa
      ICU moja kwa moja…kuna watu
      wanakuja usiku wa manane
      wakitaka kumtembelea Dk.
      Ulimboka…matendo
      yanayoendelea kutokea
      ukilinganisha na kauli za Serikali
      zilizotolewa bungeni yanatishia
      usalama na uhai wa mgonjwa,”
      alisema Albania.
      Aidha amesema kitendo cha
      vyombo vya usalama kuendelea
      kumuhoji Dk. Ulimboka akiwa hoi
      hospitalini si vya kiungwana
      kwani tayari muhusika amewataja
      hadi kwa majina watu ambao
      anawashuku lakini hadi sasa
      hakuna aliyechukuliwa hatua
      yoyote.
      Pamoja na hayo wanaharakati
      hao wameitaka Serikali kuunda
      tume huru mchanganyiko na raia
      ambayo itachunguza kiundani
      suala hilo, kwani hawana imani
      na Jeshi la Polisi ambalo limedai
      kuunda timu ambayo
      inachunguza kwa kina suala hilo.
      Dk. Ulimboka ambaye ni kiongozi
      wa madaktari ambao
      wanaendelea na mgomo wan chi
      nzima kuishinikiza Serikali
      kutekeleza madai yao alitekwa
      juzi na watu wasiojulikana na
      kupigwa na kuteswa kikatili kabla
      ya kutelekezwa katika msitu wa
      Mabwepande.
      *Habari hii imeandaliwa na
      kuletwa hapa na Mtandao wa
      Thehabari.com
      mpiganaji86 likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Do santos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2011
      Posts : 367
      Rep Power : 492
      Likes Received
      76
      Likes Given
      158

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      ukiangalia sentensi yako linakuhusu sana hilo neno
      Quote By Kigogo
      we punguwani nini?sasa ndugu zako wanatuhusu nini sisi?

    4. #22
      zaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 791
      Rep Power : 534
      Likes Received
      234
      Likes Given
      528

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Quote By Tetty
      Msifurahie ya wenzenu,kuna familia yamewakuta haya aliyofanyiwa Dr.Ulimboka wakati wa awamu ya kwanza kwa kisingizio cha uhujumu uchumi,bila hata kufunguliwa mashtaka ,kuteswa na kutupwa tu gerezani.Baada ya miaka yakutumikia kifungo wanaambiwa walikuwa hawana hatia. Hata siye tulio na wagonjwa majumbani bado hatujatoa laana hiyo.Kisasi ni cha mungu.
      Sasa madaktari wamerudi kazini?Je unadhani ni haki kukodisha madaktari wa nje kwa tz.200mil za walipa kodi?Kama wanazo kwa nini wasirekebisha hali za hospitali na kuwalipa hawa watanzania wenzetu vizuri?Kweli ni bora kulipa vizuri mgeni na mwananchi wako kumwacha na njaa?Lazima ziwe ni akili za kichaa.........
      Thank you!!!
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” by Hon Lema, MP - Arusha

    5. #23
      bayanda's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      14

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      gambaaaa!!!!!!! ila mwka huu kitaeleka tu, mambo yote hadharan cjui mtajificha wap!!!!!!!! mungu amjalie apone. na sio wote tulio hapa ikuru tunafurahishwa na hv vitendo vya kinyama.

    6. #24
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,146
      Rep Power : 1527
      Likes Received
      754
      Likes Given
      590

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Quote By Do santos
      acheni kulalama na kutafuta huruma za watz,huyo hajafa sisi tumefiwa na ndugu zetu kwa mgomo wao hamkuona kugoma kwao ni kitendo kisicho cha kiungwana? hali ya kuwa wapo wagonjwa mahututi? na tena wanataabika.mbona hamkuwahimiza kuwatibu wagonjwa wanaoteseka.Acheni ahojiwe hata kama anaumwa,ili ajue uchungu wanaopata wale wagonjwa wakati wao wamegoma kuwatibia.Pumbav
      Usual ****
      Ukweli utakuweka huru daima

    7. #25
      Osaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Location : Morogoro
      Posts : 1,085
      Rep Power : 617
      Likes Received
      265
      Likes Given
      162

      Default

      Quote By tocolyitics
      Acha upuuzi mbona unakuwa fara kama haufikirii. Mwenye kazi ya kuhudumia raia ni hii serikari yenu sikivu inayosikia hata ushauri wa kipuuzi.
      Acha bana! Wewe unadhani serikali ni dude fulani? serikali ni binadamu kawa wewe! Eti mwenye kazi ya kuhudumia raia ni serikali! Poor mind!

    8. Miaka 50

    9. #26
      zaleo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 791
      Rep Power : 534
      Likes Received
      234
      Likes Given
      528

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Nilitaka kumgongea mtu thanx lakini mamodi bwana,...ah! Rudisheni bwana.
      “Mtu anaweza kuzini kwa siri lakini hawezi kuugua ukimwi kwa siri” by Hon Lema, MP - Arusha

    10. #27
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,960
      Rep Power : 0
      Likes Received
      223
      Likes Given
      1

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Quote By Do santos
      acheni kulalama na kutafuta huruma za watz,huyo hajafa sisi tumefiwa na ndugu zetu kwa mgomo wao hamkuona kugoma kwao ni kitendo kisicho cha kiungwana? hali ya kuwa wapo wagonjwa mahututi? na tena wanataabika.mbona hamkuwahimiza kuwatibu wagonjwa wanaoteseka.Acheni ahojiwe hata kama anaumwa,ili ajue uchungu wanaopata wale wagonjwa wakati wao wamegoma kuwatibia.Pumbav
      nashangaa kwa nini hawagomi wakati watanzania maskini wakipelekwa pale wanaangaliwa kama uyoga????

    11. #28
      Do santos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2011
      Posts : 367
      Rep Power : 492
      Likes Received
      76
      Likes Given
      158

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      punguza povu
      Quote By mgomba101
      dos santos umevurugwa kwa kuhemewa ,paka jike wewe

    12. #29
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,960
      Rep Power : 0
      Likes Received
      223
      Likes Given
      1

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Akifafanua kuhusu namna ya wagonjwa watakavyotibiwa katika hospitali hizo za binafsi, Mwamwaja alisema;” Kutakuwa na fomu maalumu ambayo daktari wa Amana, Mwananyamala au Temeke atakayeona mgonjwa anahitaji tiba zaidi, atamjazia ili apokewe ama kupelekwa katika hospitali hizo”.

    13. #30
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,960
      Rep Power : 0
      Likes Received
      223
      Likes Given
      1

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Siku moja baada ya Serikali kutangaza kutumia hospitali za Jeshi na madaktari wastaafu kunusuru afya za wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari nchini, juhudi zaidi zimechukuliwa na sasa itatumia pia hospitali binafsi.

      Hospitali zilizotajwa kukubali kushirikiana na Serikali kutoa huduma za afya kwa watakaohitaji tiba ya haraka na walio katika tiba isiyoweza kusitishwa ni pamoja na TMJ, Regency, Aga Khan, Hindu Mandal, CCBRT na Hospitali ya Jeshi Lugalo.

      Aidha, nguvu zimeongezwa katika hospitali za Mwananyamala, Amana na Temeke za Dar es Salaam kunakodaiwa hakuna mgomo, ili kutotoa rufaa nyingi kwa wagonjwa kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili kunakodaiwa kuwa na mgomo.

    14. #31
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,831
      Rep Power : 5944
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default

      Quote By Do santos
      hapo kwenye red ni kichaga au lugha gani dogo,unajifanya unahasira kama kweli jisaidie haja kubwa tuone.
      Kauli zako hazitofautiani sana na mabosi zako
      1. Wasichana wanaopata mimba wakiwa mashuleni ni viherehere vyao
      2. Wanaoua albino nao wauwawe
      3. Liwalo na liwe
      4. Kama upinzani wanasikia uchungu na hii nchi waende leba wakazae
      5. Kudadadeki

    15. #32
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,896
      Rep Power : 2593
      Likes Received
      689
      Likes Given
      1606

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Quote By ruttashobolwa
      hoja zako ni kama za watoto wadogo! Ndio maana humepandwa na hasira ukatukana kwaajili ya kukosa cha kuandika.

      Sasa umefiwa na nduguzo kwa hiyo una halalisha wengine wauwawe?
      Jaribu kufikiri kwa kina kama wewe unaweza kufanya kazi isiyo endana na malipo?

      Unatakiwa utumie busara unapo ongea kitu, dr ulimboka alikuwa anatetea hata haki zako za kupata huduma bora.

      Halaf hoja yeyote haimalizwi kwa kutukana ni aibu sana.

      NB: Nothing goes for nothing
      Wengine wametumwa mkuu.

    16. #33
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,896
      Rep Power : 2593
      Likes Received
      689
      Likes Given
      1606

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Quote By rais wa tano
      siku moja baada ya serikali kutangaza kutumia hospitali za jeshi na madaktari wastaafu kunusuru afya za wagonjwa kufuatia mgomo wa madaktari nchini, juhudi zaidi zimechukuliwa na sasa itatumia pia hospitali binafsi.

      Hospitali zilizotajwa kukubali kushirikiana na serikali kutoa huduma za afya kwa watakaohitaji tiba ya haraka na walio katika tiba isiyoweza kusitishwa ni pamoja na tmj, regency, aga khan, hindu mandal, ccbrt na hospitali ya jeshi lugalo.

      Aidha, nguvu zimeongezwa katika hospitali za mwananyamala, amana na temeke za dar es salaam kunakodaiwa hakuna mgomo, ili kutotoa rufaa nyingi kwa wagonjwa kwenda hospitali ya taifa muhimbili kunakodaiwa kuwa na mgomo.
      ndiyo suluhu?

    17. #34
      Mtanzanika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 490
      Rep Power : 462
      Likes Received
      72
      Likes Given
      188

      Default

      Quote By solokondo
      Walipelekwa mabwepande kung'olewa kucha na meno hao waliokufa?
      kwa uelewa wngu mdogo kupitia filamu mpaka kung'olewa kucha na meno hiyo ni 'torturing'. bila shaka Dk. alikua subjected to coercive interrogation,may be he was forced to disclose who was the mistermind wa mgomo or nani anawapa back up mpaka kujiamini that much.

      'Mkweli yupamoja na mungu'

    18. #35
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,628
      Rep Power : 11267
      Likes Received
      1457
      Likes Given
      570

      Default

      Quote By Do santos
      acheni kulalama na kutafuta huruma za watz,huyo hajafa sisi tumefiwa na ndugu zetu kwa mgomo wao hamkuona kugoma kwao ni kitendo kisicho cha kiungwana? hali ya kuwa wapo wagonjwa mahututi? na tena wanataabika.mbona hamkuwahimiza kuwatibu wagonjwa wanaoteseka.Acheni ahojiwe hata kama anaumwa,ili ajue uchungu wanaopata wale wagonjwa wakati wao wamegoma kuwatibia.Pumbav


      Hata wagonjwa 1000 wafe,si ndiyo faida ya serikali yako legelege na DHAFU.

    19. #36
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Damu na mateso ya Dr.Ulimboka, haitapotea bure. Mkono wa Mungu wenye haki unamakusudi katika kunusuru maisha ya Dr.Ulimboka kimiujiza. Wazalendo wa kweli tutamuenzi Dr.Ulimboka kwa namna mbalimbali katika historia na harakati zake zote zake kutetea afya zetu wanyonge. Pole na hongera baba mzazi kwa kumlea vizuri Dr.Uli. Poleni ndugu na jamaa, poleni madaktari wote wenye mtazamo chanya katika jambo hili, poleni wanaharakati na watanzania Wazalendo wote.
      Azimio Jipya, Sn2139 and CHEMPO like this.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    20. #37
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Quote By Mwea
      BABA wa Mwenyekiti wa Jumuiya
      ya Madaktari, mzee Steven
      Mwaitenda amejikuta akiangua
      kilio kwa uchungu mbele ya
      wanaharakati ambao
      walimtembelea mwanae, Dk.
      Steven Ulimboka kumpa pole
      kufuatia tukio la kutekwa na
      kujeruhiwa vibaya na watu
      wasiojulikana.
      Hali hiyo ilitokea jana jioni katika
      Taasisi ya Tiba ya Mifupa
      Muhimbili (MOI), ambapo
      wanaharakati kutoka taasisi na
      asasi mbalimbali za utetezi wa
      haki za binadamu walifika kwa
      lengo la kumpa pole Dk. Ulimboka
      kufuatia kitendo kilichomfika.
      Mzee Mwaitenda alijikuta
      akibubujikwa na machozi na
      kushindwa kuendelea
      kuzungumza alipokuwa akitoa
      shukrani kwa wanaharakati hao,
      kwa niaba ya mwanaye ambaye
      wanaharakati hao walishindwa
      kumuona wote kutokana na hali
      yake ilivyo sasa.
      “Niseme wazi nimefarijika sana
      kwa ujio wenu kumwona
      mwanangu dhidi ya mambo ya
      kikatili aliyofanyiwa akitetea haki
      za wengine…,” alisema mzee
      Mwaitenda kabla ya kushindwa
      kuendelea na kuangua kilio mbele
      ya wanaharakati.
      Baada ya tukio hilo baadhi ya
      wanaharakati walimshika
      wakishirikiana na wanafamilia ya
      mzee Mwaitenda na kumbebeleza
      kisha kumtoa mbele ya
      mkusanyiko huo wa
      wanaharakati na kumrudisha
      wodini huku wakimfariji.
      Wakizungumza mara baada ya
      tukio hilo wanaharakati
      wameelezea kusikitishwa na
      vitendo vinavyoendelea MOI eneo
      ambalo amelazwa kiongozi huyo
      wa madaktari ambavyo
      vimeendelea kutishia usalama wa
      Dk. Ulimboka.
      Akifafanua zaidi mwakilishi wa
      wanaharakati hao, Markos Albania
      alisema taarifa walizozipata usiku
      wa juzi kuna wagonjwa ‘feki’
      ambao walijitokeza MOI huku
      wakitaka kulazwa wodi ya
      Wagonjwa Mahututi (ICU)

      alipolazwa Dk. Ulimboka lakini
      baadaye waligoma kuingizwa
      wodini.
      “Wapo wagonjwa ambao
      waliletwa na kutaka kupelekwa
      ICU moja kwa moja…kuna watu
      wanakuja usiku wa manane
      wakitaka kumtembelea Dk.
      Ulimboka…matendo
      yanayoendelea kutokea
      ukilinganisha na kauli za Serikali
      zilizotolewa bungeni yanatishia
      usalama na uhai wa mgonjwa,”
      alisema Albania.
      Aidha amesema kitendo cha
      vyombo vya usalama kuendelea
      kumuhoji Dk. Ulimboka akiwa hoi
      hospitalini si vya kiungwana
      kwani tayari muhusika amewataja
      hadi kwa majina watu ambao
      anawashuku lakini hadi sasa
      hakuna aliyechukuliwa hatua
      yoyote.
      Pamoja na hayo wanaharakati
      hao wameitaka Serikali kuunda
      tume huru mchanganyiko na raia
      ambayo itachunguza kiundani
      suala hilo, kwani hawana imani
      na Jeshi la Polisi ambalo limedai
      kuunda timu ambayo
      inachunguza kwa kina suala hilo.
      Dk. Ulimboka ambaye ni kiongozi
      wa madaktari ambao
      wanaendelea na mgomo wan chi
      nzima kuishinikiza Serikali
      kutekeleza madai yao alitekwa
      juzi na watu wasiojulikana na
      kupigwa na kuteswa kikatili kabla
      ya kutelekezwa katika msitu wa
      Mabwepande.
      *Habari hii imeandaliwa na
      kuletwa hapa na Mtandao wa
      Thehabari.com
      aisee huyu doctor yuko hatarini sana maana yeye ndio main witness, kawaona wabaya wake na anaweza kuwatambua na kusema kila kitu walichofanya kwa hiyo panga pangua watataka kummaliza.
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    21. #38
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,680
      Rep Power : 1304
      Likes Received
      709
      Likes Given
      145

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Kwa sababu ya ulegele wa Mh Jakaya Mrisho Kikwete na ukurutu wa ubongo wake wa uongozi watakufa maelfu kwa maelfu na ndipo watakapojua kuwa Dr Ulimboka ni mkombozi wa kweli

    22. #39
      Join Date : 22nd July 2011
      Posts : 296
      Rep Power : 455
      Likes Received
      79
      Likes Given
      6

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Quote By Osaka
      Acha bana! Wewe unadhani serikali ni dude fulani? serikali ni binadamu kawa wewe! Eti mwenye kazi ya kuhudumia raia ni serikali! Poor mind!
      A government consists of the legislators, administrators, and arbitrators in the administrative bureaucracy who control a state at a given time, and the system by which they are organized. Government is the means by which state policy is enforced, as well as the mechanism for determining the policy of the state.

      Naomba niambie binadamu kama mimi (mmachinga) nakuwaje sehemu ya serikali

    23. #40
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 899
      Rep Power : 529
      Likes Received
      274
      Likes Given
      212

      Default Re: Kama hivi ndivyo ilivyo muda wowote dr. Ulimboka atatutoka duniani, baba yake aangua kilio.

      Quote By Do santos
      acheni kulalama na kutafuta huruma za watz,huyo hajafa sisi tumefiwa na ndugu zetu kwa mgomo wao hamkuona kugoma kwao ni kitendo kisicho cha kiungwana? hali ya kuwa wapo wagonjwa mahututi? na tena wanataabika.mbona hamkuwahimiza kuwatibu wagonjwa wanaoteseka.Acheni ahojiwe hata kama anaumwa,ili ajue uchungu wanaopata wale wagonjwa wakati wao wamegoma kuwatibia.Pumbav
      Mkataba wa wew Mtanzania kutibiwa ni kati yako na serikali, mkataba wa kutibu ni kati ya resikali na Madaktari. Wewe ukipoteza ndugu lalamikia serikali sio madaktari. Kama una elimu japo kiduchu ya sheria utaelewa juu ya hili......LAW OF CONTRACT

    24. Study Abroad
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...