Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lema amvaa Ridhiwani Kikwete... Ni kuhusu umiliki kampuni ya Tanzanite One

    Report Post
    Page 4 of 14 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 276
    1. #1
      SirBonge's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2010
      Posts : 168
      Rep Power : 582
      Likes Received
      91
      Likes Given
      32

      Default Lema amvaa Ridhiwani Kikwete... Ni kuhusu umiliki kampuni ya Tanzanite One

      Hii nime'copy na ku'paste toka kwenye facebook page ya kamanda Lema...........

      Naomba hili liwe wazi kwa Watanzania, Ridhiwan Jakaya Kikwete, chini ya kampuni ambayo wanaharakati tutaleta ushahidi wake kwa wananchi wanaotaka ukombozi, wiki hii alikuwepo Jijini Arusha na tayari ana mkataba wa umiliki wa zaidi ya hisa asilimia 45 za kampuni ya Tanzanite One. Hii ni biashara ya Rais wa nchi. Ametumia madaraka yake kwa siri kupisha umiliki huu kupitia mtoto wake.

      Linaweza kukanushwa na kupingwa lakini muda unafika ambapo umma wa Watanzania utaamua. Hata wakishinda kesi za mahakamani, hawataushinda uamuzi wa umma.

      CCM inakufa, iko hatua za mwisho kabisa.

    2. RukaaJuu Final

    3. #61
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,195
      Rep Power : 2094
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Quote By majebere
      Utamfanya nini wewe? Utabaki kulalama kama kina Lema tu, kama ushahidi upo basi kwanini msiende mahakamani?
      kwani Ghadafi alifanywa nini ?alidani kuna siku atakuja kuuliwa na kuingizwa vijiti matakoni?subiri uone
      mpiganaji86 likes this.
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    4. #62
      Kiraka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Location : ILOGANZALA
      Posts : 1,352
      Rep Power : 743
      Likes Received
      258
      Likes Given
      438

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Quote By Ritz
      Lema taingia mahakama huru ifanya kazi yake kwa umakini wa hali ya kukuvua ubunge kila siku unakuja na stori za vijiweni.
      Ritz hata wewe huamini hili ndio maana ukaandika mahakama huru, kwanini hukusema mahakama tu? Ila tunawaambia ukweli yana mwisho!!!
      Form is temporary, Class is permanent...

    5. #63
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5063
      Likes Received
      3201
      Likes Given
      2661

      Default

      Quote By Filipo
      Huyu dogo ni bonge la fisadi.
      Inabidi Dr Hosea aweke mkakati wa kumvua huyu papa!! Dogo ni billionea ndani ya mwaka 1 tu! Tuna hasira nae sana
      1.Kiwanda cha cement(Mkuranga)
      2.Tanzanite Uno
      3.Lake Oil,Asas,Big bon(sinza)
      4.Mradi wa kuchimba mchanga na kokoto(Iringa)-Hapa ni kwamba ujenzi wote unaofanyika iringa material hayo yanatoka kwake
      5.Mradi wa viwanja
      i-Heka 15 baharini buyuni
      ii-viwanja arusha
      iii-Viwanja kigamboni
      iv-Jumba la kifahari mbezi
      V-Jumba la kifahari mikocheni
      Vi-Ghorofa Magomeni
      Vii-Ghorofa Tandale
      Viii-Darlive
      ix-Ghorofa la vioo tupu gangilonga
      x-ghorofa morogoro msamvu town
      Xi-Maroli 200
      xii-bil64 za EPA

    6. #64
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Madaraka ni upepo tu.. utapita, na sisi tutajichukulia kilicho chetu toka mikononi mwao...
      Do Something......

    7. #65
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,752
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      723
      Likes Given
      147

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Utajiri sio mbaya kama mtu unaupata kupitia njia halali na ugunduzi wa njia mbalimbali za kupatia kipato lakini kupitia mgongo wa nafasi ya kiungozi basi huo sio utajiri wa kulala nao usingizi uongozi ukibadilika tuu hatari ipo ya kuchukuliwa fedha na kurudisha mahala zitakapohusika ndio maana haishi matusi mdomoni kwamba watanzania ni wavivu hatujui tufanyalo kwa sababu anajua yeye atachukua chochote atakacho

    8. Miaka 50

    9. #66
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 508
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Quote By majebere
      Kama una ushahidi peleka mahakamani.
      Kwakuwa mahakaman ni zenu ndio maana mnakimbiliaga huko? Wakati ndio unakaribia sasa wa kukomesha hizo style zenu chafu.
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    10. #67
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By gwanda1
      wewe huna unachokizungumza yaani ungejua nchi za mangaribi zilivyo kerwa na tukio la Lema wala usingejirisha na vijicent unavyopewa kwa kuwalaghai watz time will tell Mungu hayuko mbali ngoja tuone. Kwani Ghadafi na wanae wako wapi?
      Wewe kweli Chadema Addicted kumbe mkikaa huko kwenye vijiwe vyenu ndio mnadanganya nchi za Magharibi zimechukia Lema kuvuliwa ubunge na mahakama...ebu tutajie hizo nchi zilizokerwa basi.

    11. #68
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 1284
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Ritz
      Lema taingia mahakama huru ifanya kazi yake kwa umakini wa hali ya kukuvua ubunge kila siku unakuja na stori za vijiweni.
      mahakama huru ipi unayoizungumzia ww? Au mahakama ya kadhi?

    12. #69
      Shardcole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 4,393
      Rep Power : 1284
      Likes Received
      1032
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Ritz
      Wewe kweli Chadema Addicted kumbe mkikaa huko kwenye vijiwe vyenu ndio mnadanganya nchi za Magharibi zimechukia Lema kuvuliwa ubunge na mahakama...ebu tutajie hizo nchi zilizokerwa basi.
      ni nchi tukufu amabazo zimemshika sana Mnyahez mungu kama vile somalia, iraq, afghanstan etc..

    13. #70
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,696
      Rep Power : 11282
      Likes Received
      1481
      Likes Given
      570

      Default

      Quote By majebere
      Huyu Lema Amekosa mwelekeo .

      Angalia unavyotumia masaburi yako kutoa majibu yasio na chanya humu jamvini jinga kubwa wewe!

      Hauna kichwa cha kufikiri? Nchi yetu inadidimia kila leo kutokana na watu wachache halafu unakuja na majibu kama unatoka chooni mjinga wewe!

    14. #71
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,297
      Rep Power : 12584
      Likes Received
      5843
      Likes Given
      771

      Default

      Quote By gwanda1
      wewe huna unachokizungumza yaani ungejua nchi za mangaribi zilivyo kerwa na tukio la Lema wala usingejirisha na vijicent unavyopewa kwa kuwalaghai watz time will tell Mungu hayuko mbali ngoja tuone. Kwani Ghadafi na wanae wako wapi?
      Wewe kweli Chadema Addicted kumbe mkikaa huko kwenye vijiwe vyenu ndio mnadanganya nchi za Magharibi zimechukia Lema kuvuliwa ubunge na mahakama...ebu tutajie hizo nchi zilizokerwa basi.

    15. #72
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,543
      Rep Power : 2545
      Likes Received
      2118
      Likes Given
      1841

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Samahani ndugu naiba wa Spika, hivi mimi ni Wizi Mkuu au nani, oohh sorry maana jana nilisema ntatoa tamko lakini nikakuta nimeingilia uhuru wa Maha-kama, hivi kweli sikujua kuwa kwa kusema vile naingilia uhuru wao au ilikua ni Hangover tu ndugu wazi-mkuu? sorry kumbe mimi ndio wazi-mkuu, I meant ndugu Supika? Hili koti la uwizi kama vile sio langu vile...mana kila siku nalisahau...aaah tuyaache hayo, Hivi unajua wewe dogo Tundu nakushesimu sana, usiniache nikufanye kama nilichomfanya yule jamaa juzi....sorry naona umekoti vibaya!!!!!!!!!!!!!!!!
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    16. #73
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,185
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      945
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By Filipo
      Huyu dogo ni bonge la fisadi.
      Tangia lini nyoka akamzaa sungura?

    17. #74
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,540
      Rep Power : 2088
      Likes Received
      1084
      Likes Given
      1575

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Quote By zomba
      Uongo mtupu.
      Leta data za kuthibitisha kuwa ni uongo!!!! In short, leta wamiliki wengine wa Tanzanite One tuthibitishe!!!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    18. #75
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,185
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      945
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By majebere
      Huyu Lema Amekosa mwelekeo .
      umemfananisha na nani mpaka kufikia kutoa neno kama hili? Maana kusema ukweli ccm hakuna anaemkaria kamanda lema!

    19. #76
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,185
      Rep Power : 2429
      Likes Received
      945
      Likes Given
      377

      Default

      Quote By majebere
      Kama una ushahidi peleka mahakamani.
      Tangia lini kesi ya nyani akapelekewa ngedere?

    20. #77
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,210
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Mimi ndio maana nasema amekosa mwelekeo,hiyo habari yenyewe kaiweka facebook, wakati mambo yote ya kimbea yako huko.

    21. #78
      moma2k's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th December 2010
      Posts : 172
      Rep Power : 462
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Riziwani, wewe ni mwanasheria mwenzangu.
      Usihangaike na kelele za milango hizo za wachovu.
      Piga business mbele kwa mbele as far as you can.
      Kama kuna mlalamikaji halali mwenye locus standi basi aanzishe suit mahakamani, akiwa na ushahidi mkononi.

    22. #79
      majebere's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 2,210
      Rep Power : 0
      Likes Received
      322
      Likes Given
      111

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Quote By Shine
      umemfananisha na nani mpaka kufikia kutoa neno kama hili? Maana kusema ukweli ccm hakuna anaemkaria kamanda lema!
      mimi nakubaliana na wewe kwenye hili, hakuna mwanasiasa anaemfikia lema kwa kutapatapa.

    23. #80
      moma2k's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th December 2010
      Posts : 172
      Rep Power : 462
      Likes Received
      33
      Likes Given
      0

      Default Re: Kutoka kwenye facebook page ya kamanda Godbless Lema!..Inatia hasira

      Watanzania tuna maneno mengi huku tumekaa vijiweni.
      Twende tukafanye kazi jamani.Tuache kupiga porojo.
      Riziwani ana haki msingi ya kuwa na mali, kama binadamujyeyote yule.
      Kama amepata chance ya ku aquire mali kirahisi basi ni bahati yake!
      Huu ni ulimwengu wa kibepari!
      bucho likes this.

    Page 4 of 14 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...