Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Spika Makinda aache mara moja kulaghai Bunge na Watz kwa ujumla -- kwani wengi tuna uelewa wa mambo kuliko yeye -- hata hizi Kanuni za Bunge anazodai anazisimamia pia tunazifahamu. Anavungavunga tu katika kutoa tafsiri.

      Naomba kumuuliza Spika Makinda hivi: Atueleze bila ya kumung'unya maneno lini suala la kupigwa kwa Dr Ulimboka lilifikishwa mahakamani?

      Kinachofahamika ni kwamba kesi iliyo mahakamani ni ombi la Mwanasheria Mkuu wa serikali dhidi ya Chama cha Madaktari (MAT) kutaka mgomo wa madaktari utangazwe kuwa batili -- ombi ambalo Mahakama ilikubalia mara moja.

      sasa Spika Makinda anapowakatalia Wabunge kuzungumzia suala la kupigwa Dr Ulimboka kwa kusema liko mahakamani -- atuambie ni mahakama ipi, na ni kesi namba ngapi. Labda wengi hatujui.

      Mimi naona Spika huyu ni janga la kitaifa -- naona anachangia kwa kasi kulitumbukiza taifa katika farakano.
      Jungumawe, muchetz, london and 3 others like this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Msolopagazi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2010
      Posts : 487
      Rep Power : 528
      Likes Received
      47
      Likes Given
      18

      Default

      Quote By Kafiribangi
      Spika Makinda aache mara moja kulaghai Bunge na Watz kwa ujumla -- kwani wengi tuna uelewa wa mambo kuliko yeye -- hata hizi Kanuni za Bunge anazodai anazisimamia pia tunazifahamu. Anavungavunga tu katika kutoa tafsiri.

      Naomba kumuuliza Spika Makinda hivi: Atueleze bila ya kumung'unya maneno lini suala la kupigwa kwa Dr Ulimboka lilifikishwa mahakamani?

      Kinachofahamika ni kwamba kesi iliyo mahakamani ni ombi la Mwanasheria Mkuu wa serikali dhidi ya Chama cha Madaktari (MAT) kutaka mgomo wa madaktari utangazwe kuwa batili -- ombi ambalo Mahakama ilikubalia mara moja.

      sasa Spika Makinda anapowakatalia Wabunge kuzungumzia suala la kupigwa Dr Ulimboka kwa kusema liko mahakamani -- atuambie ni mahakama ipi, na ni kesi namba ngapi. Labda wengi hatujui.

      Mimi naona Spika huyu ni janga la kitaifa -- naona anachangia kwa kasi kulitumbukiza taifa katika farakano.

      Huyu mama ni kilaza mno kazi ni kulinda magamba menziye

    4. #3
      Kassim Awadh's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 587
      Rep Power : 480
      Likes Received
      108
      Likes Given
      785

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Tatizo hatumii utashi wake,,kazi yake kubwa ni kuwaridhisha waliomweka pale kwa kigezo cha uanamke
      Mo-TOWN likes this.

    5. #4
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,136
      Rep Power : 14291
      Likes Received
      4020
      Likes Given
      3281

      Default

      Quote By Msolopagazi
      Huyu mama ni kilaza mno kazi ni kulinda magwanda menziye
      mkuu,
      unaimanisha Gamba?

    6. #5
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,733
      Rep Power : 5463
      Likes Received
      1962
      Likes Given
      2652

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Hujaona Pinda jana jioni alivyommwagia sifa kuwa anamtia moyo na akimuangalia sura yake tu anafarijika

    7. Miaka 50

    8. #6
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,458
      Rep Power : 1005
      Likes Received
      365
      Likes Given
      537

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Kiukweli napendekeza wabunge wote kutoka vyama vya upinzani hata kususia bunge,maana sioni mantiki,na wala sioni maana yoyote,kwani pale jambo kubwa kwa maslahi ya watanzania linapopingwa kwa sababu linaweza kuiabisha serikali kwa kutolishughulikia mapema kwangu ni tatizo kubwa.na haya yote yanasababishwa na huyu bibi Kiroboto,ni kabishi haka ka-spika,ni kanafiki ile mbaya,halafu kana-pritend kujua sana kanuni,na wakati mwingine kanagoma tu makusudi bila kuwa na hoja,na haiwezekani spika wa wabunge wote unakuwa na upendeleo wa wazi,na mwisho anaongoza kwa personal interest,mfano kitendo cha kusema mimi sipendi miongozo,pale alipoombwa mwongozo na Mh Mnyika ni kitendo kilichoniuma sana,natamani atokee mbunge akatie mangumi haka kaspika
      mpiganaji86 likes this.

    9. #7
      swrc's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Posts : 442
      Rep Power : 549
      Likes Received
      35
      Likes Given
      18

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Mafisadi, magamba, majambazi, madhaifu....

    10. #8
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 404
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Ana vaginal candidiasis,nahisi muda mwingi hayuko comfortable ktk kiti
      mpiganaji86 and mgomba101 like this.
      Kikwete ni Jasiri Sana

    11. #9
      Mo-TOWN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 1,140
      Rep Power : 5163
      Likes Received
      222
      Likes Given
      84

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Quote By Kafiribangi
      Spika Makinda aache mara moja kulaghai Bunge na Watz kwa ujumla -- kwani wengi tuna uelewa wa mambo kuliko yeye -- hata hizi Kanuni za Bunge anazodai anazisimamia pia tunazifahamu. Anavungavunga tu katika kutoa tafsiri.

      Naomba kumuuliza Spika Makinda hivi: Atueleze bila ya kumung'unya maneno lini suala la kupigwa kwa Dr Ulimboka lilifikishwa mahakamani?

      Kinachofahamika ni kwamba kesi iliyo mahakamani ni ombi la Mwanasheria Mkuu wa serikali dhidi ya Chama cha Madaktari (MAT) kutaka mgomo wa madaktari utangazwe kuwa batili -- ombi ambalo Mahakama ilikubalia mara moja.

      sasa Spika Makinda anapowakatalia Wabunge kuzungumzia suala la kupigwa Dr Ulimboka kwa kusema liko mahakamani -- atuambie ni mahakama ipi, na ni kesi namba ngapi. Labda wengi hatujui.

      Mimi naona Spika huyu ni janga la kitaifa -- naona anachangia kwa kasi kulitumbukiza taifa katika farakano.
      Ilifanywa mizengwe ili Sita, mtu ambaye alikuwa anajua nini maana kuwa spika atoke...siku zote vyeo vya kupewa ni shida sana cost zake ndizo hizi sasa Bunge linaendeshwa kwa intuition...
      IT CAN BE DONE - PLAY YOUR PART!!

    12. #10
      denoo49's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 746
      Rep Power : 758
      Likes Received
      139
      Likes Given
      20

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Nawalaumu na wabunge waliomo bungeni, kutokuomba muongozo kuhusu kauli yake.

    13. #11
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,530
      Rep Power : 1799
      Likes Received
      656
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Moyoni mwake atakuwa anajisikia vibaya sana na aibu maana anawatumikia waliomuweka bila kuwa na uwezo!dhamira haitamuacha kamwe!!!

    14. #12
      Zipuwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2010
      Posts : 2,200
      Rep Power : 870
      Likes Received
      307
      Likes Given
      123

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Huyo mama sijui kwanini wabunge wanamchekea ni miongoni mwa watanzania watetea maovu .....kamwe tusimchekee
      Maisha yetu ni mafupi lazima tuyatete kwa namna yeyote ile!

    15. #13
      denoo49's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Location : Kijijini
      Posts : 746
      Rep Power : 758
      Likes Received
      139
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Skills4Ever
      Moyoni mwake atakuwa anajisikia vibaya sana na aibu maana anawatumikia waliomuweka bila kuwa na uwezo!dhamira haitamuacha kamwe!!!
      mishipa ya aibu ilishamkatika kitambo sana. Sasa hv amebakiza "mental disorder"
      mgomba101 and Sepronia like this.

    16. #14
      Codon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 486
      Likes Received
      75
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By Determine
      Ana vaginal candidiasis,nahisi muda mwingi hayuko comfortable ktk kiti
      Wewe!wewe!Ban hiyo unaibip!Msalimie Unigold ee!
      Determine likes this.

    17. #15
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Kisha kula mkong'oto si aende mahakamani akashtaki. Saa hizi anajuwa machungu yanayowakuta maelfu ya wagonjwa wetu.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    18. #16
      Codon's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th December 2011
      Posts : 553
      Rep Power : 486
      Likes Received
      75
      Likes Given
      20

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Alafu akistaafu viongozi wajao eti wabunge wanaenda kuchukua ushauri kwake!

    19. #17
      Mamndenyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 12,145
      Rep Power : 31827
      Likes Received
      6023
      Likes Given
      19640

      Default Re: Spika Makinda atuambie suala la kupigwa Dr Ulimboka liko katika mahakama ipi?

      Kama siyo wapinzani nisingeangalia bunge asilani.

    20. #18
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,202
      Rep Power : 2624
      Likes Received
      3000
      Likes Given
      13651

      Default

      Quote By zomba
      Kisha kula mkong'oto si aende mahakamani akashtaki. Saa hizi anajuwa machungu yanayowakuta maelfu ya wagonjwa wetu.
      Mr. Layman kwa iyo mahakamani ndo mlalamikaji hupeleka mashtaka ya jinai??
      Duh, hii mpya.


      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    21. #19
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 524
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By zomba
      Kisha kula mkong'oto si aende mahakamani akashtaki. Saa hizi anajuwa machungu yanayowakuta maelfu ya wagonjwa wetu.

      Kwani kwa kumpiga hao maelfu wanapata huduma? He is a hero na he was able to cheat even death, nahisi yamewashuka! Chezea Mungu weye!

    22. #20
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 524
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Zipuwawa
      Huyo mama sijui kwanini wabunge wanamchekea ni miongoni mwa watanzania watetea maovu .....kamwe tusimchekee
      Hivi hamna kifungu chochote cha katiba cha kumuondoa huyu mama pale, anatia aibu mbaya! Yaani siku ukimuona tu jua kuna jambo limepangwa.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...