Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mil. 90 Zinahitajika kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

    Report Post
    Page 4 of 8 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 143
    1. #1
      Mbogela's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2008
      Location : Tanzania
      Posts : 1,154
      Rep Power : 812
      Likes Received
      70
      Likes Given
      37

      Exclamation Mil. 90 Zinahitajika kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Jopo la Madaktari wanaomtibu Dr. Ulimboka katika Hospitali ya Rufaa ya Muhimbili wamesema zinahitajika shilingi Milioni Tisini (Tsh.90,000,000) kwa ajili ya kusaidia matibabu ya Dr. Ulimboka. Madaktari wanasema Dr. Ulimboka ana matatizo ya Ini na kuwa Matatizo hayo ya Ini hayawezi kutibika katika hospitali yetu ya Muhimbili. Jopo la Madaktari limesema mpaka sasa zimepatikana Tsh. milioni 40 zilizochangwa na Madaktari. Dr. Ulimboka anahitaji kusafirishwa kwenda nchini India ambako anaweza kupatiwa matibabu stahiki.

      Nilikuwa napendekeza Chama Cha Madaktari (MAT) au kikundi kingine kuratibu zoezi la kukusanya michango kutoka kwa wananchi wenye nia njema na wanaomtakia kupona Dr. Ulimboka.

      Pamoja na mdai Mengine Madaktari wanasema kuwa “Sisi madaktari kwa umoja wetu, tumechoka kushuhudia Watanzania wakipoteza maisha kwa magonjwa tunayoweza kuyatibu, kufanya kazi katika mazingira magumu huku kukiwa hakuna mipango ya kuboresha mazingira ya kazi, kukosekana kwa dawa na vifaa tiba.”

      Maelezo ya Namna ya kuchangia yalivyotolewa na kaka yake Dr. Ulimboka.

      Haya ni maelezo ya Dkt. Hobokela Stephen, kaka yake Dkt. Ulimboka Stephen.

      Dear all,

      Thank you very much for your candid support in this.

      I would like to bring to your attention that we had a meeting this afternoon between myself and a team of specialist to discuss modalities of collecting contributions.

      In order to efficiently coordinate contributions it was agreed to use m-pesa agent number 31915 belonging to Christine Hobokela and and tigo pesa agent number 05416 belonging to Hedaya Stephen Mwaitenda.

      For those who want to send foreign currency (USD) please send to Dr. Hobokela Stephen, Stanbic Bank Tanzania Limited Account number: 024003849360, SWIFT CODE: SBICTZTX

      The reason I'm sending this is because I have been asked several times to clarify on this and after consuling with MAT president, he advised me to provide this clarification.

      Below are some steps on how to send money to m-pesa and tigo pesa:

      M-pesa

      1. piga *150# OK
      2.Chagua 2, toa pesa.
      3.Ingiza namba ya wakala ambayo ni 31915
      3.Weka kiasi cha pesa unachotaka kuchangia eg 50000
      4.Weka nambari ya siri - namba yako ya siri
      5. Bonyeza 1 kuthibitisha muamala

      Utapata ujumbe kuwa mefanikiwa kutoa pesa kwa Christin Hobokela

      Tigo pesa

      1. piga *150*01# OK
      2.Chagua 3, kutoa pesa.
      3.Ingiza namba ya wakala ambayo ni 05416
      3.Weka kiasi cha pesa unachotaka kuchangia eg 50000
      4.Weka nambari ya siri - namba yako ya siri
      5. Bonyeza 1 kuthibitisha muamala

      Utapata ujumbe kuwa umefanikiwa kutoa pesa kwa Hedaya Mwaitenda
      ----------------
      Once again we thank you very much for your support.

      Hobokela Stephen
      Last edited by Mbogela; 30th June 2012 at 10:15. Reason: Adding Information
      4 UR Business Solution


    2. #61
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,536
      Rep Power : 37791
      Likes Received
      5006
      Likes Given
      2349

      Default

      Quote By asakuta same View Post
      MAELEKEZO RASMI YA KAMATI KUHUSU UCHANGIAJI WA FEDHA ZA MATIBABU YA DR.STEVEN ULIMBOKA.

      Baada ya majadiliano kati ya familia ya Steven Ulimboka,kamati ya jumuiya ya madaktari na MAT.Zifuatazo ni namba za mawakala zitakazotumika kuchangia.
      MPESA 31915
      TIGOPESA 05416.
      CHITAGE.
      asakuta same, tuthibitishie kuwa zitafika kunakotakiwa bila mawaa plse.

    3. #62
      Pendael laizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 945
      Rep Power : 564
      Likes Received
      90
      Likes Given
      5

      Default

      Quote By Jimy P View Post
      Mi nadhani wakati watanzania wanachangia, Madaktari waendelee kuwahudumia wagonjwa wanaoweza kutibiwa hapa hapa nchini haitakuwa kitu cha msingi watanzania wakahangaika na mtu mmoja wakati Mamia ya Wagonjwa wanakufa mahospitalini.

      Halafu ni kweli Madaktari wanalamika dawa hakuna hospitali au ni pendekezo lao la kulipwa Mshahara wa Milioni 3.5 kwa mwezi, katika hili nawaelaza Madaktari wafanye analysis waje na data kama inawezekana ila
      Prof analipwa 2.5M ambaye anamfundisha Daktari.

      Mbunge 2.5M. Nakushauri kaombe Salar slip ya Mbunge wako wa Jimbo atakupa
      Hlafu 60% ya Madai yametekelezwa hata lile mlilotaka kukopeshwa Magari, Posho kuongezwa yametekelezwa, na Mashine mliyokuwa mnahitaji Itengenezwe Wataalam wanakuja kutoka kule mashine ilikokuwa imetengenezwa, Mlikuwa hammtaki waziri ametotolewa ten pamoja na Katibu Mkuu ndugu Blandin Nyoni waelezeni watanzania Ukweli wa Madai yenu kupitia vyombo vya Habari kwa sababu watanzania ndio waajiri wenu Mnalipwa mishahara kodi za Watanzania.
      umechangia ngapi mkuu?manake unaonekana kama kibosile wa magamba.

    4. #63
      Omulangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 729
      Rep Power : 725
      Likes Received
      132
      Likes Given
      8

      Default Re: Naomba uchangie matibabu dr. Ulimboka steven

      Nimesikia bungeni madiwani wapandishiwa posho zao. Je wametoka kiasi gani na kufikia kiasi gani. Na je wako wangapi tanzania?

    5. #64
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,661
      Rep Power : 31609
      Likes Received
      8444
      Likes Given
      8808

      Default

      Quote By palalisote View Post
      "Serikali kwa unafiki wao walijipendekeza eti wapo tayari kugharimia matibabu ya Dr. Ulimboka, madaktari wamegoma kuwa hawawezi kupokea fedha kutoka kwa Yuda Eskarioti"
      wasijempa Polonium bure hao madhalimu!

    6. #65
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,053
      Rep Power : 14671
      Likes Received
      2955
      Likes Given
      2099

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Quote By Nzowa Godat View Post
      Utawaweza wabongoo? Hata ikitokea ajali maiti husachiwa mifukoni!
      Kuna nyuzi nyingine wameandika million sitini na nane (68,000,000) hapa tisini (90,000,000). Bongo Bingo.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe


    7. #66
      Babyemma's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Posts : 133
      Rep Power : 397
      Likes Received
      15
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By MwanaFalsafa1 View Post
      Serikali si ilisema ita gharamia matibabu yake? Au wame badilisha mawazo?
      We weweee hatutaki kabisa hizo hela za mafirauni MAGAIDI zitamfanya asipone buree..wakammaliza nazo kbsaaa tutachanga wenyew km Mungu kamlinda na ataeendelea mlinda..waache hao mashetani CCM wajipatie laana na pesa zetu za kodi..
      Unstoppable likes this.

    8. #67
      Babyemma's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 9th February 2012
      Posts : 133
      Rep Power : 397
      Likes Received
      15
      Likes Given
      16

      Default

      Quote By Jicho langu View Post
      Sichangi hata Mia mdogo wangu alipoteza maisha kwa kukosa care ya Madaktari Leo mjinga mmoja achangiwe mil 90? Mwache afe ....!!
      UTAJIJUUUUUU::::tutachanga na bado,.utakufa wewe ulotumwa na CCM yako pambaaav
      Unstoppable likes this.

    9. #68
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 640
      Likes Received
      160
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mbogela View Post
      Hali ya Dr. Ulimboka kwa sasa sio private issue na wala sio issue ya wanataaluma wenzake ni jambo la watanzania wote, Bunge limeshindwa kujadiri, Wizara yake ya Afya imeshindwa hata kutoa tamko, Ofisi ya waziri Mkuu inayoshughurikia madai ya Madaktari ya kuboresha mazingira ya kazi pamoja na kuboresha huduma za afya kwa ajili ya watanzania. Walio baki ni Raia wa Tanzania, Tunaomba tushirikishwe ipasavyo, Naona ushirikishaji wa wananchi kutoka kwa madaktari sio mzuri sana. Madaktari semeni, kuweni wazi mnataka msaada gani kutoka kwa RAIA, tupo tayari kufanya lile tunaloweza kama halitawezekana tutawaambia hilo tumeshindwa. Tunaomba mpango wa namna michango inavyoweza kukusanywa mara moja kuweza kumsaidia Dr. Ulimboka kutibiwa India.
      kweli kabisa. Wananchi ndio tegemeo kubwa kwa uli.

    10. #69
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 994
      Rep Power : 704
      Likes Received
      214
      Likes Given
      82

      Default

      Quote By Nzowa Godat View Post
      Hivi watanzania wameifanya India kuwa ni tenderer wa kuwatibu! Hakuna matibabu sehemu nyingine duniani isipokuwa India tu? Je, ni wakazi wa dunia nzima wanatibiwa India au ni watanzania tu?
      mheshimiwa nzowa kule uhindini gharama zake ni nafuu sana thats why sirkali imepitisha wabongo twende huko. ila watu km kina mamvi and chenge wao wanaenda jerumani na sehemu nyinginezo expensive excluding uhindini. haya ndo maisha ya bongo sasa.

    11. #70
      Mbogela's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2008
      Location : Tanzania
      Posts : 1,154
      Rep Power : 812
      Likes Received
      70
      Likes Given
      37

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Quote By zomba View Post
      Kuna nyuzi nyingine wameandika million sitini na nane (68,000,000) hapa tisini (90,000,000). Bongo Bingo.
      Hicho ndicho kiwango kilichosomwa na ITV kwatika taarifa yao ya saa 2 Usiku, Tsh.Mil.90
      4 UR Business Solution

    12. FJM is offline
      FJM
      #71
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Quote By Mbogela View Post
      Hicho ndicho kiwango kilichosomwa na ITV kwatika taarifa yao ya saa 2 Usiku, Tsh.Mil.90
      M-Pesa 31915 inafanya kazi poa. nimetuma na zimeenda mara moja.

    13. #72
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 5,193
      Rep Power : 2419
      Likes Received
      998
      Likes Given
      173

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Quote By FJM View Post
      M-Pesa 31915 inafanya kazi poa. nimetuma na zimeenda mara moja.
      kabla hamjatuma thibiisheni hizi # isije akatokea tapeli akajichotea mamilioni faster ..
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    14. #73
      Dawa ya Mjinga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Location : Magubike
      Posts : 160
      Rep Power : 542
      Likes Received
      34
      Likes Given
      76

      Default Re: Naomba uchangie matibabu dr. Ulimboka steven

      Quote By Jimy P View Post
      Mi nadhani wakati watanzania wanachangia, Madaktari waendelee kuwahudumia wagonjwa wanaoweza kutibiwa hapa hapa nchini haitakuwa kitu cha msingi watanzania wakahangaika na mtu mmoja wakati Mamia ya Wagonjwa wanakufa mahospitalini.

      Halafu ni kweli Madaktari wanalamika dawa hakuna hospitali au ni pendekezo lao la kulipwa Mshahara wa Milioni 3.5 kwa mwezi, katika hili nawaelaza Madaktari wafanye analysis waje na data kama inawezekana ila
      Prof analipwa 2.5M ambaye anamfundisha Daktari.

      Mbunge 2.5M. Nakushauri kaombe Salar slip ya Mbunge wako wa Jimbo atakupa
      Hlafu 60% ya Madai yametekelezwa hata lile mlilotaka kukopeshwa Magari, Posho kuongezwa yametekelezwa, na Mashine mliyokuwa mnahitaji Itengenezwe Wataalam wanakuja kutoka kule mashine ilikokuwa imetengenezwa, Mlikuwa hammtaki waziri ametotolewa ten pamoja na Katibu Mkuu ndugu Blandin Nyoni waelezeni watanzania Ukweli wa Madai yenu kupitia vyombo vya Habari kwa sababu watanzania ndio waajiri wenu Mnalipwa mishahara kodi za Watanzania.
      Jimy,
      Hata kama una chuki binafsi na madaktari au una jazba kutokana na uamuzi wao wa kugoma basi uwe mkweli kwa taarifa unazozitoa. Inawezekana kuwa mbunge mshahara wake ni hizo fedha ulizoonyesha lakini mbunge ana posho nyingi sana kiasi kwamba kile anachopeleka nyumbani ni kasma ya nguvu inayokadiriwa kufika milioni 10.
      Kwa upande wa maprofesa hizo data ulizotoa labda ni za miaka kumi iliyopita. Sasa hivi maprofesa mshahara wao ni kuanzia ni TZS 4,016,300/= kwa profesa mshiriki (au wenyewe wanaita Associate professor) na Profesa kamili ananyaka 4,203,300/= au 4,390,300/=. Kwa upande wa shahada ya kwanza tutorial assistant anachukua kati ya TZS 1,188,100/= na 1,372,600/=. Kwa utaratibu wa zamani (sijui kama sasa bado unaendelea) waliosomea MD walikuwa wanaanza kama Wahadhiri wasaidizi na kwa sasa hao mishahara yao ni kati ya 1,482,800/= na 2,078,100/=. Kwa hiyo kama serikali ingetumia busara kidogo tu na kuwaajiri hawa sawa na wanataaluma kutokana na unyeti wa kazi zao kwa uhai wa Watanzania wangeweza kabisa kuwapa mshahara wa TZS 3,500,000/=. Hata kama ingekuwa pungufu ya hapo lakini sio laki tisa. Ina maana kuwa class mate wako aliyebaki MUHAS akaajiriwa kama mhadhiri msaidizi na wewe unayeajiriwa kuwa Daktari kule Ikwiriri tayari mnapishana zaidi ya laki tano. Ikiwa tuna madaktari (MD) wasiozidi 2,500 malipo yao yanawezekana kabisa. Kwani unadhani zinahitajika fedha kiasi gani? Mbona serikali haisemi? Kwa taarifa yako kama kwa wastani kila daktari angelipwa 7,000,000/= (mara mbili ya madai yao maana kuna masinia) basi kwa mwezi serikali ingetumia TZS bilioni 17.5 sawa bilioni 210 kwa mwaka ambayo ni sehemu ndogo sana ya posho za vikao serikali, kwenye mashirika ya umma na serikali za mitaa. Nina uhakika kuwa malipo halisi yatakuwa pungufu ya haya na yanawezekana. Hii ingeonyesha jinsi serikali ilivyo makini na inavyojali uhai wa Watanzania lakini sasa imeonyesha kinyume chake ndio maana haijali kuona mtu ameuwawa, uhai kwa serikali hii si kitu cha thamani hata kidogo. Je, ni mambo mangapi ya kipuuzi yanayofanywa kwa kutumia fedha nyingi za taifa zaidi ya hizi? Yana umuhimu gani kwetu kama Watanzania?
      Ni kuwa tu serikali haitaki na kunapokuwa na watu kama wewe ambaye unaiunga mkono wanafarijika sana maana wajinga ndio waliwao. Hivi kweli ukiwa mgonjwa ukatibiwa na daktari ambaye hajaridhika unadhani utapata huduma inayotakiwa? Walazimisheni, wafukuzeni na muwajengee chuki matunda yake sote tutafaidi. "Mungu hadhihakiwi, kwa maana apandacho mtu ndicho atakachovuna"; na kwa nchi au utawala ni hivyo hivyo.

    15. #74
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 329
      Rep Power : 552
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Quote By Free World View Post
      CHADEMA ikave hizo gharama za matibabu ya kamanda wake, nadhani ruzuku insyopata inatosha
      mungu akuue na akutengeze upya na akili tmamu
      Unstoppable likes this.

    16. #75
      Vome's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th October 2011
      Posts : 58
      Rep Power : 399
      Likes Received
      10
      Likes Given
      47

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Kuna hii taarifa imewekwa Wavuti blog jinsi ya kuchangia. wavuti - wavuti

    17. #76
      gpluse's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 368
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Nashauri uwepo uratibu mzuri wa kuchangisha michango. Watanzania tuko tayari kumsaidia Mtanzania mwenzetu atibiwe na kurejea kusaidia maendeleo ya nchi yetu. Mie binafsi niko tayari kutoa 100,000. I just need assurance kuwa fedha ninazochangaa zitamsaidia mtanzania huyu

    18. #77
      Kichuguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2006
      Location : Popote Porini
      Posts : 6,857
      Rep Power : 3280
      Likes Received
      1342
      Likes Given
      930

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Tutachanga, lakini sasa kwa nini serikali isimplipie kama raia wa Tanzania (siyo kama Dr Ulimboka) wakati wao wamekuwa kila siku wanakimbilia huko India?
      Kichuguuu: Nyumba inayohifadhi mchwa na nguchiro kwa pamoja bila mkwaruzo

    19. #78
      gpluse's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 368
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Wahusika mkumbuke kuweka utaratibu mzuri kwa wale tulio nje ya nchi katika kuchangia tafadhali

    20. #79
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 556
      Likes Received
      86
      Likes Given
      39

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      toka ameanzisha huu mgomo watanzania wangapi wamepoteza maìsha? Asulubiwe

    21. #80
      Mbozib's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2012
      Posts : 369
      Rep Power : 436
      Likes Received
      45
      Likes Given
      5

      Default Re: Mil. 90 Zinahitajika Kuokoa Uhai wa Dr. Ulimboka

      Wa Tz wote wanao penda haki hima tuchangie Dr uli akatibiwe tusikubali serikali dhalimu ya ccm iweke mkono wake hapo.

    Page 4 of 8 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...