Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

    Report Post
    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 162
    1. #1
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,909
      Rep Power : 1701
      Likes Received
      1366
      Likes Given
      284

      Default Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      TAMKO:
      Tamko la Madaktari Bingwa wa mkoa wa Dar es salaam
      (MNH, MOI, Ocean Road na Hospitali za manispaa ya mkoa wa Dar es salaam)

      Kutokana na kikao kilichofanyika leo tarehe 29/06/2012 madaktari bingwa tumeamua yafuatayo:


      • Tunalaani kwa kauli moja kitendo alichofanyiwa daktari na kiongozi wa jumuiya yetu dr stephan ulimboka cha kutekwa kuumizwa na kutupwa msitu wa mabwe pande kitendo hiki kimetuhuzunisha, kimetufadhaisha na kutufanya kuishi katika hofu ya hali ya juu.
      • Unazitaka mamlaka husika kutuhakikishia mustakabali wa usalama wetu sasa na siku za mbeleni katika nchi yetu.
      • Tunalaani juhudi zinazofanywa na wathalimu wote katika fani ya udaktari
      • Tunalaani vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiwa madaktari wenzetu sehemu mbalimbali kama bugando, dodoma na mbeya na kwingineko.
      • Tunatamka wazi kuwa kitendo cha kuwafukuza, kuwanyima mshahara na haki nyingine za mwezi juni ni udhalilishaji na kinyume na amri ya mahakama.
      • Kutokana na vitendo vyo te hapo juu (yaani kutekwa na kuteswa kwa dr ulimboka, unyanyasaji wa madaktari wenzetu) na pia kutoka na ukweli kwamba hali ya dr ulimboka inazidi kudorora, vile vile kwakuwa siku zote serikali imekuwa ikikubali kuwa madai yetu ni ya msingi (lakini haiyatafutii ufumbuzi wowote) tumeamua kusitisha kutoa huduma katika hospitali zote tunazofanyia kazi yaani Muhimbili, MOI, Ocean Road, Amana, Mwananyamala nk. Hadi hapo madai yetu ya msingi yatakaposikilizwa na kutekelezwa.
      • Tunaomba madaktari bingwa wote hapa nchini watuunge mkono katika harakati hizi za kuiboresha sekta nzima ya afya.



      Imetolewa na Dr C. Mng’ong’o
      Mwenyekiti wa Madaktari Bingwa Kanda ya Dar es salaam



      Haya ni maelezo ya Dkt. Hobokela Stephen, kaka yake Dkt. Ulimboka Stephen.

      Dear all,

      Thank you very much for your candid support in this.

      I would like to bring to your attention that we had a meeting this afternoon between myself and a team of specialist to discuss modalities of collecting contributions.

      In order to efficiently coordinate contributions it was agreed to use m-pesa agent number 31915 belonging to Christine Hobokela and and tigo pesa agent number 05416 belonging to Hedaya Stephen Mwaitenda.

      For those who want to send foreign currency (USD) please send to Dr. Hobokela Stephen, Stanbic Bank Tanzania Limited Account number: 024003849360, SWIFT CODE: SBICTZTX

      The reason I'm sending this is because I have been asked several times to clarify on this and after consuling with MAT president, he advised me to provide this clarification.

      Below are some steps on how to send money to m-pesa and tigo pesa:

      M-pesa

      1. piga *150# OK
      2.Chagua 2, toa pesa.
      3.Ingiza namba ya wakala ambayo ni 31915
      3.Weka kiasi cha pesa unachotaka kuchangia eg 50000
      4.Weka nambari ya siri - namba yako ya siri
      5. Bonyeza 1 kuthibitisha muamala

      Utapata ujumbe kuwa mefanikiwa kutoa pesa kwa Christin Hobokela

      Tigo pesa

      1. piga *150*01# OK
      2.Chagua 3, kutoa pesa.
      3.Ingiza namba ya wakala ambayo ni 05416
      3.Weka kiasi cha pesa unachotaka kuchangia eg 50000
      4.Weka nambari ya siri - namba yako ya siri
      5. Bonyeza 1 kuthibitisha muamala

      Utapata ujumbe kuwa umefanikiwa kutoa pesa kwa Hedaya Mwaitenda

      Last edited by Jackbauer; 30th June 2012 at 11:46.
      Tshala, IzeGREAT, Nyunyu and 14 others like this.
      You may succeed in silencing me but that silence comes at a price-Alex litvinenko


    2. #61
      mishalejuu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 385
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      kweli upo tayari kufa ukidai haki yako? eh huogopi kufa? nakushauri uvae bomu ukailipue serikali ufe na hao serikali vichwa ngumu.... iyo itakuwa sacrifaisi nzuri ili sisi tuliobali tutarekebishiwa mambo maisha yatakuwa vizuri ukijitoa muhanga kwa ajili yetu. Tafadhali wanaJF tunaomba ufanye hivyo haraka wiki hii ili madaktari wetu wanaoteswa warekebishiwe mambo yao.

    3. #62
      mishalejuu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 172
      Rep Power : 385
      Likes Received
      21
      Likes Given
      1

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Mandingo naunga mkono maoni yako. tatizo la wanaJF wengi wanamatatizo ya kufikiri. wamejawa na ubaguzi...sijui mtalifikisha taifa hili wapi?

    4. #63
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,347
      Rep Power : 1571
      Likes Received
      812
      Likes Given
      622

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Quote By Mkandara
      Sawa unaunga mkono lakini mbona wanamtibu Ulimboka? Kama wamegoma sii wagome hata kumtibu Ulimboka kwani yeye sii Mtanzania mlipa kodi aliyelazwa kama wale wagonjwa wengineo!
      Unapogoma unagoma hata kumtibu mzazi wako sio kuchagua!

      Mkandara umeingia kwenye awamu ya hoja dhaifu kuliko ulivyo
      Nkoboiboi likes this.
      Ukweli utakuweka huru daima

    5. #64
      Miya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th March 2011
      Posts : 194
      Rep Power : 454
      Likes Received
      28
      Likes Given
      11

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Mkandara ndugu yangu...madaktari wamegoma lakini zipo huduma za dharura ndo hiyo anayopatiwa Dr.Ulimboka na sio madaktari wote wamegoma wapo wengine na hospitali nyingine wanafanya kazi hiyo yote ni kuwajali wananchi wangekuwa hawawajali wangegoma wote je ingekuwaje?unavolalamika Dr.Uilkimboka kutibiwa utafikiri hospitali nzima kalazwa peke yake jamani...profesa maji marefu naye alikuwa na mawazo kama hayo sa iv kaelewa. cha msingi serikali waache kiburi wakubaliane hali iwe shwari.
      Nkoboiboi likes this.

    6. #65
      Gilly's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Posts : 71
      Rep Power : 516
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Mkandara
      Hii ndio kitu nisichokubaliana nacho kabisa!.. Sasa hawa madaktari wanapogoma ndio kusema Dr.Ulimboka kapigwa na wananchi kiasi kwamba wao ndio wachukue adhabu hii?

      Halafu wanaombwa wananchi wale wale waliadhibiwa kuchangia tiba ya Ulimboka wakati wengine tuna wagonjwa wanaotaka huduma tu wapone lakini wanatufia mkononi kwa sababu ya mgomo huu..Nawaomba Madaktari iadhibuni serikali na sii wananchi walipa kodi ambao hawana makosa kabisa.

      TUCTA wametoa kauli na wito kwamba swala hili litafikishwa ktk vyombo vya kimataifa, na hatuelewi mazungumzo baina ya serikali na shirikisho la madaktari limeenda vipi au wamekwama wapi..

      Tunaona migomo hadi Bugando na Hospital za makanisa halafu tukisema mfumo mbaya na wapi penye mapungufu watu wanakuja juu kutetea kanisa ilihali vyombo hivi havifanyi kazi inavyohitajika.

      Kazi kusubiri fedha za donors na misamaha wajirushe kwa sifa ya huduma ambayo haitusaidii wananchi ktk kupunguza gharama za Afya na sasa ndio hatutibiwi kabisaa wakati kodi zetu wanakula.

      Kinachofanywa na madaktari hakina tofauti na UAMSHO, wao wanaona kila haki ya kuchoma makanisa au kugoma lakini wanashindwa kuidhibu serikali yenyewe. Kesho ukisikia Sheikh mkubwa wa UAMSHO kafanyiziwa, utawasikia Wazanzibar na Waislaam wakilaani Wakristu na serikali lakini hawapimi kitendo cha kuchoma makanisa yasiyohusika na mgogoro ndio unafiki ulipoanzia. Vitendo vyetu sisi wenyewe ktk kuwaadhibu wananchi ndivyo vinavyozidi kutugawa.

      Sioni sababu ya madaktari kugoma pasipo kuwashirikisha wananchi, kulifanya swala hili ni lao wao wenyewe kwa kuwasulubu wananchi ii kuikomoa serikali.. Watu wanakufa jamani, muwe na huruma japo kidogo wakati tunaitafuta suluhu.

      TUCTA wamesema watalipeleka swala hili ktk vyombo vya kimataifa, muda wote kwa nini wasihusishwe mapema tukatafuta suluhu badala ya kuwaadhibu wananchi?..
      Mkuu tatizo la mgomo wa maDr ni kutokana na sababu nyingi na madai yao si mishahara tu bali mazingira mazuri ya kufanyia kazi. Wanadai mazingira mazuri ya hospitali vilevile.
      Nkoboiboi likes this.


    7. #66
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 577
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Dr. Olimboka anahitaji mill 90 akatibiwe India, Figo haifanyi kazi hali yake yazidi kuwa tete

      Source ITV habari

      Mpaka sasa anapumulia mashine na figo zake hazifanyi kazi. Madaktari wamejaribu kuzisafisha imeshindikana. Hadi sasa zimepatikana milioni 40 ambazo ni michango ya madaktari wenzake

    8. #67
      MKALIKENYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 747
      Rep Power : 513
      Likes Received
      288
      Likes Given
      428

      Default Re: Dr. Olimboka anahitaji mill 90 akatibiwe India, Figo haifanyi kazi hali yake yazidi kuwa tete

      Huu ni uongo mtupu nadhani umetumwa na mama ako umsaidie kutetea unga baba ako wa kambo.

    9. #68
      Salary Slip's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2012
      Posts : 1,434
      Rep Power : 713
      Likes Received
      680
      Likes Given
      410

      Default Re: Dr. Olimboka anahitaji mill 90 akatibiwe India, Figo haifanyi kazi hali yake yazidi kuwa tete

      Taarifa hiyo ni ya kweli na hata ITV wameitangaza kwenye taarifa yao saa 2 usiku huu.

    10. #69
      Zinjathropus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2010
      Posts : 517
      Rep Power : 544
      Likes Received
      157
      Likes Given
      41

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Quote By Jackbauer
      nimeipata muda si mrefu.jisomee hapo chini



      Chanzo: Kamati kuu ya jumuiya ya madaktari Tanzania

      TAMKO:
      Tamko la Madaktari Bingwa wa mkoa wa Dar es salaam
      (MNH, MOI, Ocean Road na Hospitali za manispaa ya mkoa wa Dar es salaam)

      Kutokana na kikao kilichofanyika leo tarehe 29/06/2012 madaktari bingwa tumeamua yafuatayo:

      Tunalaani kwa kauli moja kitendo alichofanyiwa daktari na kiongozi wa jumuiya yetu dr stephan ulimboka cha kutekwa kuumizwa na kutupwa msitu wa mabwe pande kitendo hiki kimetuhuzunisha, kimetufadhaisha na kutufanya kuishi katika hofu ya hali ya juu.

      Kweli ni cha kinyama na kisichostahili pongezi amna anaependa kutendewa hivyo kwa kile anachosimamia. Lakini kina tofauti gani na mama anaeachwa ajifie kisa mgomo wa madaktari, mama ambae hata siasa zinaendeshwa vipi hajui.

      Quote By Jackbauer
      Unazitaka mamlaka husika kutuhakikishia mustakabali wa usalama wetu sasa na siku za mbeleni katika nchi yetu.
      Ni haki ya kila mtanzania kuhakikishiwa hilo, kila government organ has a role to play kuhakikisha hayo: ulinzi kutuwekea usala wetu, afya kuhakikisha usalama wa afya zetu. Inakuwaje daktari adai alindwe na polisi, lakini daktari hataki kumtibu polisi. Inaingia akilini kweli?

      Quote By Jackbauer
      Tunalaani juhudi zinazofanywa na wathalimu wote katika fani ya udaktari.
      Tunawaunga mkono kwa hili wananchi wote

      Quote By Jackbauer
      Tunalaani vitendo vya unyanyasaji wanavyofanyiwa madaktari wenzetu sehemu mbalimbali kama bugando, dodoma na mbeya na kwingineko.
      Well hapo hu-hypocrite wa madkatari ndipo unapoanzia ni sawa kwa madokta kugoma, na kuachwa mmbembelezwe na soda like spoiled children.

      Quote By Jackbauer
      Tunatamka wazi kuwa kitendo cha kuwafukuza, kuwanyima mshahara na haki nyingine za mwezi juni ni udhalilishaji na kinyume na amri ya mahakama.
      Mahakama hiyo hiyo iliyoamuru madokta wasigome na wakagoma leo iangalie sheria na maamuzi kwa upande wa madokta. haya maamuzi kweli ni yenu au kuna kushinikizwa as times goes inaonekana kama vile hawajui walifanyalo hawa madokta. Una defy court orders and you seek justice through the law, something is not right, unplanned and appears consequences of the actions were not forethought.

      Quote By Jackbauer
      Kutokana na vitendo vyo te hapo juu (yaani kutekwa na kuteswa kwa dr ulimboka, unyanyasaji wa madaktari wenzetu) na pia kutoka na ukweli kwamba hali ya dr ulimboka inazidi kudorora, vile vile kwakuwa siku zote serikali imekuwa ikikubali kuwa madai yetu ni ya msingi (lakini haiyatafutii ufumbuzi wowote) tumeamua kusitisha kutoa huduma katika hospitali zote tunazofanyia kazi yaani Muhimbili, MOI, Ocean Road, Amana, Mwananyamala nk. Hadi hapo madai yetu ya msingi yatakaposikilizwa na kutekelezwa.

      Tunaomba madaktari bingwa wote hapa nchini watuunge mkono katika harakati hizi za kuiboresha sekta nzima ya afya.
      Maana yake mpaka watakapo onekana miungu watu ndio warudi kazini wapi tena zile demands za kuanzisha mgomo in the first place.



      Quote By Jackbauer
      Imetolewa na Dr C. Mng’ong’o
      Mwenyekiti wa Madaktari Bingwa Kanda ya Dar es salaam
      Jamaa wamshauri huyu Dr. Kuziacha siasa kwa wanasiasa maana wanajiingiza kwenye siasa mwishowe demands zao za mgomo zina ishia kuwa vague kabisa.
      Last edited by Zinjathropus; 29th June 2012 at 20:53.

    11. #70
      UTAJUA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 376
      Likes Received
      17
      Likes Given
      82

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Quote By ngam
      Hata mimi nahofia hilo, maana wana nguvu ya dola. Tumuombe Mungu atuonyeshe njia. Tunahitaji sana jitihada na maombi ndugu zangu madaktari. Mungu awabariki. Tuko pamoja
      TRUE MUNGU ni MKUBWA.

    12. #71
      MkamaP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2007
      Posts : 4,675
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      310
      Likes Given
      93

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Quote By Mandingo
      Naunga mkono wagome nchi nzima kabisa.
      Unaunga mkono kwa sababu upo kwa keyboard, lakini mara kwi kwi ikukubana ndo utaona shubiri

    13. #72
      MkamaP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2007
      Posts : 4,675
      Rep Power : 1573
      Likes Received
      310
      Likes Given
      93

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Mgomo wa madaktari haiwa adhibu wanasiasa, ila inawaadhibu wananchi. Lakini hatahivyo nafikiri wangetafuta namna fulani ya kuregurate huu mgomo.

      Mfano wangesema mgomo wetu ni kuwa from now on, hatutatibu polisi na mwana usalama yeyote. Huu ni mfano

    14. #73
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,230
      Rep Power : 619
      Likes Received
      337
      Likes Given
      34

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      hii move inaelekea kubaya sana usikivu wa serilkali upo wapi? mkuu wa nchi hajui aseme nini tulipoambiwa hafai tulishupaza shingo zetu
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    15. #74
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,909
      Rep Power : 1701
      Likes Received
      1366
      Likes Given
      284

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Dr mngo'ngo' is among the few peadiatric surgions in Tanzania.lakini ikiitizama pay slip yake utaliia!
      Ukitazama vifaa anavyotumia utafedheheka!
      Ni mama mwenye upendo sana kwa watoto lakini amechoshwa!

    16. #75
      The Listener's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2012
      Posts : 482
      Rep Power : 468
      Likes Received
      99
      Likes Given
      18

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Quote By Mkandara
      Sawa unaunga mkono lakini mbona wanamtibu Ulimboka? Kama wamegoma sii wagome hata kumtibu Ulimboka kwani yeye sii Mtanzania mlipa kodi aliyelazwa kama wale wagonjwa wengineo!
      Unapogoma unagoma hata kumtibu mzazi wako sio kuchagua!
      Hii ni special case mkuu na sababu kubwa ni kwamba victim ni moja ya source ya mgomo kama watawala wanavyodai na ndo maana other victims (madaktari) wameendelea kumtibu na kumlinda mwenzao. Hii ni sawa na hadithi ya siafu na kiongozi wao. Katika msafara wao mara zote kiongozi akipotezwa njia na siafu wengine wote huparanganyika. Bado wanaonyesha na I hope wataendelea kuonyesha msimamo wao.

    17. #76
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,909
      Rep Power : 1701
      Likes Received
      1366
      Likes Given
      284

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Dr mngo'ngo' is among the few peadiatric surgions in Tanzania.lakini ikiitizama pay slip yake utaliia!
      Ukitazama vifaa anavyotumia utafedheheka!
      Ni mama mwenye upendo sana kwa watoto lakini amechoshwa!

    18. #77
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,176
      Rep Power : 626
      Likes Received
      223
      Likes Given
      207

      Default

      Quote By mgt software
      msipeleke mje kama mmeshindwa kumtibia waiteni madokta bingwa wastaafu, swala lake sio ugonjwa ni kipigo tu, mkipeleka nje watamwakwembe bure.
      Ulimboka ni majeruhi na matatizo yake yanafahamika! hii ya kumpeleka nje vipi tena? inamaana maspesho wetu wameshindwa kumtibu majeruhi kweli? hamna vifaa ama kupisha mgomo?

    19. #78
      Aswel's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 98
      Rep Power : 378
      Likes Received
      25
      Likes Given
      9

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Tusiendelee kusubiri mpaka hali iwetete tushikamane kwa pamoja haki itapatikana. Hayo maandamano yawe kwa nchi nzima ili wakose kwa kukimbilia.

    20. bdo
      #79
      bdo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2006
      Posts : 912
      Rep Power : 894
      Likes Received
      143
      Likes Given
      73

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Quote By Gwamahala
      Binafsi siafiki kupelekwa nje,labda wakaombe ufadhili katika balozi za nje ili wao ndo wampeleke and in that way it will bw easier kwa hao jamaa kumlinda akiwa huko nje. Hawa Wao-M ni hatari sana wanaweza kumfatilia hukohuko nje.

      Naomba mgomo uwe MKUBWA SANA mpaka tuone hawa akina Pinda na wenzake viburi vyao vinaishia wapi.

      Eti wagonjwa wapelekwe Lugalo?Hivi hiyo Lugalo ina madaktari wangapi?


      Hapo kwenye Red, hivi kuna Lugalo ngapi katika nchi hii?

    21. #80
      Mkekuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 714
      Rep Power : 505
      Likes Received
      84
      Likes Given
      0

      Default Re: Tamko la madaktari bingwa MNH, MUHAS na ORCI

      Umoja ni Nguvu.

    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...