Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

    Report Post
    Page 4 of 10 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 197
    1. #1
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,942
      Rep Power : 887
      Likes Received
      382
      Likes Given
      143

      Default Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Watu wasiojukikana walikuwa na nia gani wamezuia msafara wa Rais uliolukuwa unapita maeneo ya Namanga.

      Watu hao walizuia kwa muda wa sakika kadha hivi kabla ya FFU kutinga maeneo hayo na kuwatimua na ndipo msafara ukapita mpaka sasa FFU wapo kwenye purukushani ya sombasomba maeneo hayo ya namanga.

      Chanzo Nimepita hapo muda sio mrefu.

      UHALISIA:
      Quote By quimby_joey
      Pale Namanga kuna sheli ya BigBon iko barabarani kwa nyuma yake amepakana na nyumba za wanakijiji, sasa yeye anadai kanunua hilo eneo lote na anamiliki hati wanakijiji wamesema hawamtambui wala hawajawahi kuuza kwa mtu eneo hilo, kesi ilikwenda baraza la ardhi kwa mbinu na hila akafanikiwa kushinda kwani baraza hilo halina haki kisheria ya kusikiliza kesi hiyo.

      Wananchi wameamua kuipeleka kesi mahakama kuu na wameshatoa notisi ya siku 90 kwa mwanasheria mkuu wa serikali ili kuishitaki wizara ya ardhi, kuna kesi nyingine ya madai ameshtakiwa mahakama kuu kitengo cha ardhi na mzee mmoja amepakana nae kwenye hilo eneo kwa kumuingilia na kuharibu mali zake zote kwa kudai (BigBon) kuwa eneo hilo ni lake. kesi imepangwa kusikilizwa July.

      Leo hii BigBon akijua fika kua kuna kesi mahakamani na hazijasikilizwa bado amepeleka kikundi cha mabaunsa kwenda kuvamia kwa nguvu eneo hilo la wanakijiji kwa lengo la kuwatoa, ndipo vita kali baina ya mabaunsa hao na wanakijiji ilipozuka kwa taarifa nilizozipata, zaidi ya mabaunsa wanne wameuliwa na wanakijiji ila kwasasa hali imetulia.

      Wakati vurugu hizo zikiendelea na msafara wa rais ulikuwa ukipita maeneo hayo hakuna uhusiano wowote kati ya vurugu hizo na msafara huo, ila ilikua ni jambo la heri kwani msafara huo ulisaidia kuzima vurugu hizo baada ya askari wa FFU kufika katika eneo hilo na kuanza kutawanya watu...


      Source: taarifa kutoka kwa mzee mmoja mwanakijiji ambae nae ni mmojawapo kati ya wanakijiji wanaogombania eneo na BigBon
      Quote By Kilahunja
      Source: RADIO ONE
      WANANCH WALIKUWA WANAGOMBANA WAKILALAMIKA NYUMBA ZAO KUVUNJWA NA ENEO KUUZIWA MMILIK MMOJA WA MAFUTA

      VURUGU ZILIANZA KABLA HATA YA MSAFARA WA RAIS KUFIKA ENEO LILE

      KWAHYO SI KWAMBA WANANCH WALIJIPANGA KUZUIA MSAFARA BALI WALIKUA NAVURUGU ZA HAPANAPALE KUZUIA NYUMBA ZAO ZISIVUNJWE.

    2. FemaTV & Radio

    3. #61
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4294
      Likes Given
      1229

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Bado pinda

    4. #62
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3141
      Likes Given
      4053

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By Ritz
      Wameuzuia vipi huo msafara?
      Ritz WAMEZIBA NA KAMBA ZA BUIBUI

    5. #63
      quimby_joey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Deep Sea (200N/M)
      Posts : 324
      Rep Power : 498
      Likes Received
      52
      Likes Given
      132

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By fungamesa
      Mambo mengine mleta Mada kachanganya habari. Mosi kulikuwa na Uvunjaji wa nyumba hapo Namanga- Tegeta kwa hiyo kulikuwa na Mabaunsa waliokuwa wakifanya fujo ndipo Polisi wakaingilia kati. Kupita kwa Rais hakuna uhusiano na tukio hilo
      Pale Namanga kuna sheli ya BigBon iko barabarani kwa nyuma yake amepakana na nyumba za wanakijiji, sasa yeye anadai kanunua hilo eneo lote na anamiliki hati wanakijiji wamesema hawamtambui wala hawajawahi kuuza kwa mtu eneo hilo, kesi ilikwenda baraza la ardhi kwa mbinu na hila akafanikiwa kushinda kwani baraza hilo halina haki kisheria ya kusikiliza kesi hiyo.

      Wananchi wameamua kuipeleka kesi mahakama kuu na wameshatoa notisi ya siku 90 kwa mwanasheria mkuu wa serikali ili kuishitaki wizara ya ardhi, kuna kesi nyingine ya madai ameshtakiwa mahakama kuu kitengo cha ardhi na mzee mmoja amepakana nae kwenye hilo eneo kwa kumuingilia na kuharibu mali zake zote kwa kudai (BigBon) kuwa eneo hilo ni lake. kesi imepangwa kusikilizwa July.

      Leo hii BigBon akijua fika kua kuna kesi mahakamani na hazijasikilizwa bado amepeleka kikundi cha mabaunsa kwenda kuvamia kwa nguvu eneo hilo la wanakijiji kwa lengo la kuwatoa, ndipo vita kali baina ya mabaunsa hao na wanakijiji ilipozuka kwa taarifa nilizozipata, zaidi ya mabaunsa wanne wameuliwa na wanakijiji ila kwasasa hali imetulia.

      Wakati vurugu hizo zikiendelea na msafara wa rais ulikuwa ukipita maeneo hayo hakuna uhusiano wowote kati ya vurugu hizo na msafara huo, ila ilikua ni jambo la heri kwani msafara huo ulisaidia kuzima vurugu hizo baada ya askari wa FFU kufika katika eneo hilo na kuanza kutawanya watu...


      Source: taarifa kutoka kwa mzee mmoja mwanakijiji ambae nae ni mmojawapo kati ya wanakijiji wanaogombania eneo na BigBon

      Lukolo, Kiraka and kanga like this.
      "human beings are born empty slate (tabula rasa): their knowledge comes from experience and perception".


    6. #64
      KISIMASA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 375
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      For the citizens i know i dought the audacity of this information

    7. #65
      Nyambu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2011
      Posts : 45
      Rep Power : 416
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      NIKWELI WAMERUSHA NA JIWE KWENYE GARI YAKE NA MPAKA SASA HAPAELEWEKI TEGETA.

    8. Miaka 50

    9. #66
      Kilahunja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 935
      Rep Power : 562
      Likes Received
      161
      Likes Given
      3

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Source: RADIO ONE
      WANANCH WALIKUWA WANAGOMBANA WAKILALAMIKA NYUMBA ZAO KUVUNJWA NA ENEO KUUZIWA MMILIK MMOJA WA MAFUTA

      VURUGU ZILIANZA KABLA HATA YA MSAFARA WA RAIS KUFIKA ENEO LILE

      KWAHYO SI KWAMBA WANANCH WALIJIPANGA KUZUIA MSAFARA BALI WALIKUA NAVURUGU ZA HAPANAPALE KUZUIA NYUMBA ZAO ZISIVUNJWE.

    10. #67
      Emma.'s Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 0
      Likes Received
      110
      Likes Given
      0

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      A-town hatumtaki pongezi sana

    11. #68
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Kama ni kweli basi kumekucha.. ukombozi uko karibu
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    12. #69
      junior2008's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 512
      Rep Power : 615
      Likes Received
      38
      Likes Given
      1

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By wakati ndio sasa
      Nikweli kabisa,Ni eneo la Tageta-Namanga ni mbele kidogo baada ya kutoka njiapanda ya kwenda wazo kama unaenda bunju,kuna maeneo kuna petrol station,ndipo JK kaonja chungu ya watanzania.
      Thanx for Clarification Mkuu. Sasa inabidi kile aendako iwe hivyo hivyo mshenzi mkubwa huyu!!

    13. #70
      Ndakilawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Kumasi
      Posts : 470
      Rep Power : 492
      Likes Received
      53
      Likes Given
      63

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      wavuta bangi hao

    14. #71
      JOYCE PAUL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2010
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 970
      Rep Power : 674
      Likes Received
      65
      Likes Given
      18

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By Rogi
      Anaelekea msitu wa PANDE
      mh..mkuu unamaaana kuangalia kule alikopigiwa dokta au? kazi ipo
      Rogie likes this.

    15. #72
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,850
      Rep Power : 6966
      Likes Received
      1994
      Likes Given
      1545

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By wakati ndio sasa
      mbona laisi tu!,umesahau mbeya?Watu hufanya taiming ikisha pita kile king'ola watu wanaingia barabarani na ndicho walichofanya leo.
      Mbeya waliupopoa na si kuuzuia. Halafu baada ya king'ora huwa yanafuata magari kadhaa ya polisi pamoja na yale ya wanausalama kabla ya gari la rais. Zaidi ya yote ili hilo liwezekane ni lazima watu wajue kwamba Rais atapita hapo mahali na wajipange kwa ajili ya kuuteka huo msafara. But is not easy man.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    16. #73
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,917
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      482
      Likes Given
      334

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By JOYCE PAUL
      mh..mkuu unamaaana kuangalia kule alikopigiwa dokta au? kazi ipo
      Eeeh mabwepande
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    17. #74
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,850
      Rep Power : 6966
      Likes Received
      1994
      Likes Given
      1545

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By Kiraka
      Kilahunja, hapa alichouliza ni kuwa msafara utazuiwa vipi? nilichojibu ni namna ambavyo unaweza kuzuiwa... ni lazima kuwa hao waliotaka kuzuia walikuwa wame ji organize, yaani kwa akili yako Kilahunja inaweza tokea tu from nowhere watu wakazuia msafara bila kuamua kwa pamoja kufanya hivyo? acha udwanzi bana!!
      Wee lijamaa kumbe hamnazo kabisa! Mbona unauliza swali lilelile nililouliza mimi? Mimi nimeuliza ni nani aliwaambia kama rais atapita hapo? Na wewe unauliza wangeanzaje bila kujiorganize? Hofu yangu ilikuwa ni namna gani wamejiorganize kiasi cha kuweza kujipanga kufanya hayo, na wangewezaje kufanya hayo bila vyombo vya usalama kujua? Sometimes tupunguze ukurupukaji.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    18. #75
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By Lukolo
      Hivi msafara wa rais mnauzuiaje? Hapa bado nahitaji technical explanations za namna ambavyo hili limefanyika.
      udaku street hiyo kuzuia msafara wa Rais ni jambo linalowezekana pengine walikuwa na shida ya kumweleza Rais lakini JF tunachukulia kuwa wamezuia kumpopoa mawe...... stupid thinking

    19. #76
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Kuna mods wamebadilisha heading ya hii thread..
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    20. #77
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By Lukolo
      Mmmh, sijui maana kwa ule msafara wa Rais unavyokuwaga, sioni kabisa hiyo nafasi ya wananchi kuweza kusimama tu barabarani na kuzuia, otherwise waliambiwa kwamba Rais angepita maeneo hayo. Na sijui wakati wa kuzuia barabara walianzaje, ina maana walizuia na magari ya kawaida? Anyway sijui, but nafikiri ni jambo gumu sana, bora mngesema wameupopoa kwa mawe, lakini si kuzuia.
      Haingii akilini labda kama kuna agenda ya siasa ndani ya thread hii

    21. #78
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,175
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2994
      Likes Given
      13624

      Default

      Wazaramo walikua wanataka kumsalimia jk

      Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

    22. #79
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1843
      Likes Received
      590
      Likes Given
      413

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      Quote By samora10
      Msangi hakuwepo kwenye msafara?
      ndio nani huyo ???????

    23. #80
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,564
      Rep Power : 5615
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default re: Vurugu Tegeta, msafara wa JK waathirika pia (Dar)

      kidumu chama cha mapinduzi....

    Page 4 of 10 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...