WADAU WAKATI KILA MTU ANAONGEA KIVYAKE KUHUSU MADAI YA MADAKTARI HEBU TUANGALIE JINSI KAZI ZINAZOLIPA MNO HUKO MAREKANI KUWA NI ZA MADAKTARI WENGINE WANAFUATA. NAFIKIRI HUKU KWETU - TZ MAMBO NI KINYUME. WATU WANAWEZA CHANGIA KWA KULINGANISHA NA UCHUMI NA FINANCIAL RESOURCE LAKINI POINT HAPA NI KWAMBA INATAKIWA KWA RESOURCE TULIZONAZO TUTOE VIPAUMBELE KWA KADA MUHIMU
No. 1 Best-Paying Job: Anesthesiologists
Average Annual Pay: $234,950
Employees in Field: 33,310
No. 2 Best-Paying Job: Surgeons
Average Annual Pay: $231,550
Employees in Field: 42,340
No. 3 Best-Paying Job: Obstetricians and Gynecologists
Average Annual Pay: $218,610
Employees in Field: 20,540
No. 4 Best-Paying Job: Oral and Maxillofacial Surgeons
Average Annual Pay: $217,380
Employees in Field: 5,800
No. 5 Best-Paying Job: Orthodontists
Average Annual Pay: $204,670
Employees in Field: 5,040
Tutoke ktk mgomo wa madaktari na tuongelee kama ulivyoongelea hapo juu. Nafikiri usichukulie kama ulivyochukulia bali tafuta uwiano ktk nchi hiyo hiyo with reference na fani nyingine.
angalia hapa chini
Hi Guys,
do you know how much is salary rate for a exp. 5+ yrs cisco network CCIE (R/S)?
I am offered $100/hr ..but heard most guys are taking $150/hr ? I am still working with my previous employer and not getting well paid..
in dc salary $200k..
please help me out.
there are only 5125 CCIE in US so far , so they can not even bring on H1B quota ..
I appreciate your suggestion ,
thx
mfano huo hapo juu, huyo engineer jamaa anakoplain analipwa 100 kwa saa. sasa tumpigie mahesabu kwa haraka haraka itakuwa 8*100*30*12=288000usd kwa mwaka.
sasa chukulia uwiano best uliyepost hapo juu yani dokta/eng= 235000/28800 = 0.82.
Njoo kwa mshahara wa madokta wa tanzania/engineer wa tanzania uone na uone kama kuna tofauti kubwa na 0.82. Ama ukiona inakuchanganya sana chukua uwiano wa daktari wa marekani na wa kima cha chini cha marekani upate uwiano. Kisha chukua mshahara wa daktari wa tanzania na wa kima cha chini upate uwiano, na baadae linganisha huo uwiano.
Follow Us Here