Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mh. Spika, Nakupa Ushauri: Kabla ya Kuongea kitu Tafakari!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      UTAJUA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 373
      Likes Received
      17
      Likes Given
      82

      Exclamation Mh. Spika, Nakupa Ushauri: Kabla ya Kuongea kitu Tafakari!

      Mh. Spika Hebu angalia unavyoendesha Bunge, kwa kweli Inasikitisha. Sijui Tanzania Tunaelekea wapi.... Maswali ya maana ya Wawakilishi wa Tanzania, Unayakataa yasipewe majibu, Unajibu kwa mkato, Unajibu kwa jinsi unavyojisikia wewe badala ya kwa manufaa ya Tanzania.

      Tafadhali JITAFAKARI Mh.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ramso5's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th December 2011
      Posts : 39
      Rep Power : 383
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Nimeshtuka alipotamka kuwa waandishi wa habari wanaandika habari za 'kipuuzi'. hii ina maana kuwa anayeandika upuuzi ni mpuuzi pia,hivyo hatuna waandishi wa habari

    4. #3
      Lorah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 667
      Rep Power : 681
      Likes Received
      91
      Likes Given
      127

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      hahahahah hasa wale waandishi wa gazeti la uhuru hahah... huyu mama kwa kweli.. Upuuzi na dhaifu lipi tusi jamani....kazi tunayo . kuomba muongozo kwa kujadili watu wanaokufa mikoa mingine isiyokuwa na Lugalo hospital ni kupoteza muda ... na yeye haimuhusu ni suala la serikali... halafu kuna watu wanawaambia ma dr wawe na huruma ... wakati spika aliechaguliwa kuwaongoza wawakilishi wa hao wananchi haimuhusu....
      zululima likes this.

    5. #4
      Rich Dad's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 741
      Rep Power : 576
      Likes Received
      100
      Likes Given
      12

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      She has retarded mind.

    6. #5
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,420
      Rep Power : 7353
      Likes Received
      1071
      Likes Given
      1102

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Quote By Ramso5
      Nimeshtuka alipotamka kuwa waandishi wa habari wanaandika habari za 'kipuuzi'. hii ina maana kuwa anayeandika upuuzi ni mpuuzi pia,hivyo hatuna waandishi wa habari
      Waandishi wanaNUKUU...hivyo kama wao bungeni wanaongea UPUUZI anategemea waandike nini?
      We unazuia maswali kama wewe ndio muulizwa wa swali
      unakatiza hoja kwa kisingizio cha muda halafu unaanza kututambulisha wageni binafs
      unakeme minor things na unaacha mawaziri kutoa majibu ya hovyohovyo na kutoa shukrani zisio na tija...rejea muda waziri wa faranga alivyotumia nusu saa kutaja wabunge 300 kwa majina na uwakilishi wao eti kutambua michango yao,mbona hukumwambie ageneralize tu tua wabunge kadhaa wamec hangia kwa maneno na kadhaa kwa maandishi ili ule muda unaolipiwa posho na air time za TV utumike vema
      mtindo wa kura za ndiyo au hapana ni AIBU.......tumia mifumo ya kisasa na kumbuka kura ni SIRI ya mtu,unatufndisha nini wewe kamakiongozi unapovunja hizo common LAWs?
      zululima and Barakav like this.
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Lorah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 667
      Rep Power : 681
      Likes Received
      91
      Likes Given
      127

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      anakiri maswala ambayo yako mahakamani hayatakiwi kujadiliwa wakati ameacha yamejadiliwa anaelekezwa anakuwa mkali.... Spika dhaifu, Raisi Thaifu n a ule mhimili mwingine Rushwa imetawala... sasa nchi itatawalikaje...
      zululima likes this.

    9. #7
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 524
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Hivi hichi kiburi cha kumwita mtu mpuuzi anakitoa wapi? Hivi viongozi wetu ni lini wataanza kuwajibika kwa matendo yao na maneno yao. Mie mpaka sasa natafakari waziri mkuu alimaanisha nini alivyosema liwalo na liwe. Je ni kuwa watawafukuza madaktari na kwa kuwa wao ni wababe basi kitakachowakuta wananchi ndio hivyo tena, liwalo na liwe?

    10. #8
      Muangila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2010
      Posts : 816
      Rep Power : 633
      Likes Received
      186
      Likes Given
      497

      Default

      Quote By Lorah
      anakiri maswala ambayo yako
      mahakamani hayatakiwi kujadiliwa wakati ameacha yamejadiliwa
      anaelekezwa anakuwa mkali.... Spika dhaifu, Raisi Thaifu n a ule mhimili
      mwingine Rushwa imetawala... sasa nchi itatawalikaje...
      haya ndo natuunda ya kuchagua rais legelege(dhaifu) automatically utapata baraza la mawaziri dhaifu lenye maamuzi dhaifu,viongozi waandamizi km spika dhaifu,na mwishowe serikali yote itakuwa DHAIFU

    11. #9
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 589
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Mtapata raha mimi webondo nitakapokuwa spika. Subirini tu!

    12. #10
      Bitabo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th September 2011
      Posts : 1,376
      Rep Power : 662
      Likes Received
      447
      Likes Given
      262

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Aisee leo nimeamini kuwa kiti cha spika kimejaa upumbavu.
      Issue za leo zote zilikuwa muhimu sana.

      swala la Tandahimba, tatizo ni serikali yenyewe na wala sio wananchi.
      Mgomo wa Drs, mahakama ilishatoa maamuzi kuwa mgomo usitishwe na Drs wamesema mgomo lazima uendelee. Sasa hapa ukisema mgomo hautakiwi kujadiliwa bungeni maana yake ni upumbavu tu wa kiti.

      Mahakama imeshindwa, serikali imeshindwa na muhimili uliobaki ni bunge, nalo linashindwa. sasa wananchi hawana utawala tena.
      Anachomaanisha spika ni kuwa wananchi tutafute suluhisho wenyewe maana mihimili ya Dola imeshindwa.
      Raisi Dhaifu, bunge limejaa uzembe.

      Nadhani tukusanye ujasiri tuanzishe TAHRIR SQUARE YETU
      Uovu wa siku moja, unaondoa wema wa MWAKA MZIMA

    13. #11
      Emma.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 521
      Likes Received
      110
      Likes Given
      0

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Yatamshinda mbona anafikiri bunge ni family yake anamiliki anavyotaka yy anakosea sana

    14. #12
      ELNIN0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Posts : 2,526
      Rep Power : 987
      Likes Received
      248
      Likes Given
      50

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Ukikumbuka mchakato mzima uliopelekea huyu mama kukalia hicho kiti - basi tulijua tu bunge litakuwa la namna gani. cha msingi hata wakizima hoja za maana bado wananchi tunaelewa kinachoendelea.

    15. #13
      simon james's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 277
      Rep Power : 415
      Likes Received
      136
      Likes Given
      8

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Huyu mama hajaolewa ndo mana anakiburi
      UTAJUA likes this.

    16. #14
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1361
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      mi naogopa msitu wa pande vinginevyo ningechangia hapa.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    17. FJM
      #15
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5326
      Likes Given
      4587

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Spika Anne Makinda kama anasoma hapa au kama kuna mtu wake wa karibua basi ningependa kumuambia kuwa hakuna mtu aliyeni-dissapoint kama Anne Makinda. Ameharibu kabisa heshma ya bunge, amegeuza bunge kuwa taasisi ya serikali. Bunge ni mdomo wa watanzania, ndio sehemu ya watanzania kupitia wawakilishi wao wanatunga sheria za nchi na pia kuhoji/kushauri wale wanaopewa dhamna ya kuongoza.

      Lakini kwa sababu anazozijua yeye Anne Makinda, ameamua kuziba watanzania midomo (kuziba wabunge maana yake ni kuziba midomo watanzania waliowatuma). Mtindo wake wa kuongoza vikao vya wawakilishi wa watanzania kwa hasira, pupa, matumizi/tafsiri potufu ya kanuni za bunge na kujiona yeye ndiye mtu pekee anayezielewa kanuni za bunge imechangia sana kujenga chuki kati wa raia na serikali na kwa maana hiyo CCM. Bunge limekuwa la mabavu na mipasho. Ni afadhali mara 1000 Jenista Muhagama angekuwa Spika.

      Wabunge wa CCM wanaweza kufurahia anachokifanya Makinda, lakini gharama za huu uendeshaji mbovu wa bunge watazilipa kwenye sanduku la kura. Ni nadra sana kumpata mtu anayeona kuwa Makinda anaendesha vikao vya bunge vizuri! Lakini pengine tukumbuke jambo moja, Anne Makinda ni mjumbe wa CC ya CCM. Hiki ndio chombo cha juu kabisa cha maamuzi ndani ya CCM. Hivyo ni vigumu huyu mama kwenda kinyume na maazimio ya CC. Hatuna bunge and certainly hatuna spika.

    18. #16
      UTAJUA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 373
      Likes Received
      17
      Likes Given
      82

      Default Re: Mh. Spika Nakupa Ushauri Kabla ya Kuongea kitu Tafakari.

      Quote By FJM
      Spika Anne Makinda kama anasoma hapa au kama kuna mtu wake wa karibua basi ningependa kumuambia kuwa hakuna mtu aliyeni-dissapoint kama Anne Makinda. Ameharibu kabisa heshma ya bunge, amegeuza bunge kuwa taasisi ya serikali. Bunge ni mdomo wa watanzania, ndio sehemu ya watanzania kupitia wawakilishi wao wanatunga sheria za nchi na pia kuhoji/kushauri wale wanaopewa dhamna ya kuongoza.

      Lakini kwa sababu anazozijua yeye Anne Makinda, ameamua kuziba watanzania midomo (kuziba wabunge maana yake ni kuziba midomo watanzania waliowatuma). Mtindo wake wa kuongoza vikao vya wawakilishi wa watanzania kwa hasira, pupa, matumizi/tafsiri potufu ya kanuni za bunge na kujiona yeye ndiye mtu pekee anayezielewa kanuni za bunge imechangia sana kujenga chuki kati wa raia na serikali na kwa maana hiyo CCM. Bunge limekuwa la mabavu na mipasho. Ni afadhali mara 1000 Jenista Muhagama angekuwa Spika.

      Wabunge wa CCM wanaweza kufurahia anachokifanya Makinda, lakini gharama za huu uendeshaji mbovu wa bunge watazilipa kwenye sanduku la kura. Ni nadra sana kumpata mtu anayeona kuwa Makinda anaendesha vikao vya bunge vizuri! Lakini pengine tukumbuke jambo moja, Anne Makinda ni mjumbe wa CC ya CCM. Hiki ndio chombo cha juu kabisa cha maamuzi ndani ya CCM. Hivyo ni vigumu huyu mama kwenda kinyume na maazimio ya CC. Hatuna bunge and certainly hatuna spika.
      Spika unatakiwa uelewe hili Bunge si lako.

    19. #17
      SubiriJibu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2009
      Posts : 270
      Rep Power : 768
      Likes Received
      192
      Likes Given
      163

      Default Re: Mh. Spika, Nakupa Ushauri: Kabla ya Kuongea kitu Tafakari!

      Spika kavunja kanuni gani ya Bunge?
      ...Kanisa halijawahi kumtuhumu Dr. Slaa kwa wizi wa hela za ujio wa Papa...{Jude Thaddaues O.F.M. Cap, Archbishop of Mwanza and President of Tanzania Episcopal Conference (TEC), March 20, 2012}

    20. #18
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2450
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Inkoskaz
      Waandishi wanaNUKUU...hivyo kama wao bungeni wanaongea UPUUZI anategemea waandike nini?
      We unazuia maswali kama wewe ndio muulizwa wa swali
      unakatiza hoja kwa kisingizio cha muda halafu unaanza kututambulisha wageni binafs
      unakeme minor things na unaacha mawaziri kutoa majibu ya hovyohovyo na kutoa shukrani zisio na tija...rejea muda waziri wa faranga alivyotumia nusu saa kutaja wabunge 300 kwa majina na uwakilishi wao eti kutambua michango yao,mbona hukumwambie ageneralize tu tua wabunge kadhaa wamec hangia kwa maneno na kadhaa kwa maandishi ili ule muda unaolipiwa posho na air time za TV utumike vema
      mtindo wa kura za ndiyo au hapana ni AIBU.......tumia mifumo ya kisasa na kumbuka kura ni SIRI ya mtu,unatufndisha nini wewe kamakiongozi unapovunja hizo common LAWs?
      Nimependa uchambuzi wako
      Inkoskaz likes this.

    21. #19
      Chimwailo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 20
      Rep Power : 364
      Likes Received
      2
      Likes Given
      4

      Default Re: Mh. Spika, Nakupa Ushauri: Kabla ya Kuongea kitu Tafakari!

      Quote By SubiriJibu
      Spika kavunja kanuni gani ya Bunge?
      Amevunja amri ya 6.

    22. #20
      MtotoWaMandela's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 58
      Rep Power : 368
      Likes Received
      7
      Likes Given
      1

      Default Re: Mh. Spika, Nakupa Ushauri: Kabla ya Kuongea kitu Tafakari!

      hata kuwekwa kimada wa nusu sekunde hajawai unasema kuolewa,ndio maana anajibujibu ovyo nashushua wabunge,anaongea bila kufikiri.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...