habari wana jamii
naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari
sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini
kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??
watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?
naomba kuwasilisha

Reply With Quote

Follow Us Here