Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: kituko cha Waziri mkuu PINDA

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 34
    1. #1
      Chumba cha siri's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 13
      Rep Power : 349
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Post kituko cha Waziri mkuu PINDA

      habari wana jamii

      naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
      laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

      sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

      kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

      watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?

      naomba kuwasilisha
      mtendakazi likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      dada jane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 503
      Rep Power : 476
      Likes Received
      92
      Likes Given
      0

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Hawaeleweki kwa sababu wanachokifanya hakiendani na dhamana tuliyowapa. So hawana amani kwani dhamira zinawasuta. Akili zao ndogo zinaongoza akili kubwa. Kwa ufupi wanabore.

    4. #3
      KISAKA MORIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 367
      Rep Power : 429
      Likes Received
      30
      Likes Given
      42

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Hamna PM pale', naye ni dhaifu na hafifu sana.

    5. #4
      Kiraka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Location : ILOGANZALA
      Posts : 1,352
      Rep Power : 742
      Likes Received
      258
      Likes Given
      438

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Quote By Chumba cha siri
      habari wana jamii

      naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
      laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

      sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

      kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

      watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?


      naomba kuwasilisha
      Wakati anaongea juzi alikuwa amechanganyikiwa labda, huwezi jua, mbona profesa Maji Marefu alisema hivyo.. na yeye si binadamu, labda mgonjwa!!
      Form is temporary, Class is permanent...

    6. #5
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,743
      Rep Power : 1623
      Likes Received
      1180
      Likes Given
      1700

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Liwalo na liwe
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Lukansola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Location : 6°48′S 39°17′E
      Posts : 3,236
      Rep Power : 1051
      Likes Received
      727
      Likes Given
      971

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      unajua magamba wanadhani watu ni wajinga bado, wanatuona kama watoto kutudanganyishia pipi. mimi mwenyewe nilishangaa kwa kauli hizo za kukurupuka. kwa ufupi pinda ni dhaifu, na wala hana uwezo wa kulitolea ufafanuzi hili

    9. #7
      Moshe Dayan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2008
      Location : haifa-israel
      Posts : 717
      Rep Power : 719
      Likes Received
      334
      Likes Given
      35

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      pinda mpuuzi sana, na yule spika ndo jinga kabisa, kama kesi ipo mahakamani watu waendelee kukosa huduma? Aliulizwa na mbowe, kuna jitihada gani za ziada zinafanyika, akasema ameongea na lugalo, kweli lugalo inaweza kuhudumia mkoa mzima wa dar achilia mbali mikoa!!

      tundu lissu jana aliuliza swali la mantiki sana, kama amefanya kila kitu kwa uwezo wake kwnn asijiuzulu?

      Ameshndwa kazi, from day one nilisema this fella is too soft, mkabisha mkasema apewe muda,, namjua vzr mm nishawahi fanya nae kazi.., muoga kama kunguru

    10. #8
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,767
      Rep Power : 30194
      Likes Received
      4629
      Likes Given
      3477

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Wale ndo nyinyiem bana!

    11. #9
      SAGANKA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 241
      Likes Received
      187
      Likes Given
      32

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Quote By Chumba cha siri
      habari wana jamii

      naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
      laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

      sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

      kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

      watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?

      naomba kuwasilisha
      Damu ya dokta Ulimboka inamtesa na itaendelea kumtesa.

    12. #10
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 507
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Udhaifu = Uwezo uliokusudiwa kutatua au kutekeleza jambo kushidwa kufanikiwa kutokana na nguvu za uwezo huo kuwa ndogo kuliko changamoto zenyewe.

      Sasa we akili zako ndogo kuliko unaemuongoza unafikiri matokeo yake ni nini?
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    13. #11
      mnyikungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2009
      Location : IRINGA
      Posts : 478
      Rep Power : 595
      Likes Received
      63
      Likes Given
      41

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Quote By Chumba cha siri
      habari wana jamii

      naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
      laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

      sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

      kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

      watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?

      naomba kuwasilisha
      kituko cha waziri mkuu kilikuwa jana yaani kuonyesha alivyochanganyikiwa badala ya kusema mheshimiwa spika akasema mheshimiwa waziri mkuu, teh! teh! teh! kweli maji yamemfika shingoni

    14. #12
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 523
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Wanafanya kazi kwa kukurupuka, wanafukiri ubireshaji wa sekta ya afya( health systen strenghening , HSS), inatokea kwa usanii na kutokuwajibika. Kuna hela ya kutosha ya kuimarisha secta ya afya sema wanataka kuichota hiyo hela kwa ajili ya kampeni za uchaguzi, bahati mbaya wamekutana na vichwa vinavyoenda step mbili mbele yao. Wanatuonea sie waaalimu ila na sie twaja maana tumeshafunguka.

    15. #13
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      "Dr Ulimboka akigongwa na Gari au kupigwa na Majambazi msije kusema ni serikali" -Mizengo Peter Kayanza Pinda 2012( CPL building Muhimbili Hospital)
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    16. #14
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 480
      Rep Power : 464
      Likes Received
      98
      Likes Given
      278

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Quote By Chumba cha siri
      habari wana jamii

      naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
      laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

      sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

      kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

      watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?

      naomba kuwasilisha
      Kuna wakati nilisikia alipata four ya karibu na ziro kidato cha nne(sijuwi kama ni kweli au uongo) kama ni kweli basi sishangai kwa alichosema. Kama ni uongo basi ni yale yale ya sintifanywa kitu(impunity)

    17. #15
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      mimi sichangii mpaka msitu wa pande ufyekwe.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    18. #16
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,448
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4284
      Likes Given
      1187

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Mwaka huu atajichanganya sana damu ya mtu noooooooooooooooma

    19. #17
      fikirikwanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 642
      Rep Power : 497
      Likes Received
      149
      Likes Given
      17

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      hopeless PM, i wish he was ousted.

    20. #18
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 521
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Ccm wamekosa watu makini wakufanya haya mambo, kama walitaka kumuua ulimboka dr kwa maslai ya nchi kwanini wafanye kijinga hv! C bora wangemkamata na kumficha sehemu na siku akitoka huko wampoteza kumbulumbu zote? Wajinga gn wapo huko na nyerere alipata wapi wasaidizi wake!? Jk kama vp badili watu wako wa karibu wapo very low sana!

    21. #19
      Nambombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 155
      Rep Power : 382
      Likes Received
      12
      Likes Given
      6

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Quote By Chumba cha siri
      habari wana jamii

      naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
      laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

      sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

      kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

      watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?

      naomba kuwasilisha
      Pinda amechanganyikiwa

    22. #20
      Njaare's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 568
      Rep Power : 660
      Likes Received
      92
      Likes Given
      165

      Default Re: kituko cha Waziri mkuu PINDA

      Quote By Chumba cha siri
      habari wana jamii

      naomba tujadili hili kwa pamoja maana sisi wengine tukisema sana tunaambiwa ni waropokaji
      laini hawa wenzetu huwa na busara kabla ya kusema yess kweli kabisa kwakuwa wao ni viongozi wa serikali na siye wengine ni waandishi tu wa habari

      sio nia yangu kuanza hivyo lakini imenipasa kuanza na hiyo maana hata waandishi nao ni muhimiri wa nne wa serikali hivyo wanaposema kitu au jambo fulani ni lazima serikali ikalichunguza kwa makini

      kilichi nipelekea kusema kituko cha Mh.waziri mkuu ni kutokana ana kauli yake aliyoitoa juzi jumatano pale bungeni wakati akijibu hoja zilizokuwa zikielekezwa kwake naofisi yake kutoka kwa wabunge..alipoulizwa juu ya mgomo wa madaktari alisema kuwa angelitolea ufafanuzi jana lakini kinyume na hapo jana akatueleza kuwa swala hili liko mahakamani hivyo haitakuwa busara yeye kulitolea ufafanuzi swali je?wakati anawaahidi watanzania hakujua kama swala hili liko mahakamani??

      watanzania tuelewe nini juu ya swala hili?

      naomba kuwasilisha
      Kigeugeu

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...