Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Hofu yangu ni hiyo, pengine serikali ilituondoa kidogo kwenye kashfa yao kuu iliyoibuka siku wakati mgomo wa madokta unatokota.

      Hawa mafisadi sita vigogo wa serikali tayari wameuza gesi yetu aliyetupa wenyezi katika pwani yetu ya Bahari ya Hindi. Wameuza kwa wageni na kuwekewa mabilioni huko Uswisi na kilichobaki ni kwa wageni hawa kuweka offshore rigs zao na kuchota gesi (na mafuta?) na kuingiza katika meli za tanker zitakazokuwa zinaegesha kule baharini bila ya sisi kujua.

      Baadhi ya vigo hawa ni bado wako serikalini na majina yao yaweza kujulikana wakati wowote na bila shaka wanahaha.

      Hakika serikali imebanwa mbavu hapa. Jee safari hii watamuuwa nani?
      Ndahani and Profesa like this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,647
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Wataiteka JF na kuipeleka mapori yao kule
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    4. #3
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 484
      Rep Power : 465
      Likes Received
      77
      Likes Given
      0

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Cinema haziishi bongo. Na kweli inawezekana conspirancy.

    5. #4
      Msengapavi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2008
      Posts : 557
      Rep Power : 651
      Likes Received
      50
      Likes Given
      2

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Quote By Counterpunch
      Hofu yangu ni hiyo, pengine serikali ilituondoa kidogo kwenye kashfa yao kuu iliyoibuka siku wakati mgomo wa madokta unatokota.

      Hawa mafisadi sita vigogo wa serikali tayari wameuza gesi yetu aliyetupa wenyezi katika pwani yetu ya Bahari ya Hindi. Wameuza kwa wageni na kuwekewa mabilioni huko Uswisi na kilichobaki ni kwa wageni hawa kuweka offshore rigs zao na kuchota gesi (na mafuta?) na kuingiza katika meli za tanker zitakazokuwa zinaegesha kule baharini bila ya sisi kujua.

      Baadhi ya vigo hawa ni bado wako serikalini na majina yao yaweza kujulikana wakati wowote na bila shaka wanahaha.

      Hakika serikali imebanwa mbavu hapa. Jee safari hii watamuuwa nani?
      Umesema Kweli, unakumbuka la dowans lilivyohafifishwa na Babu wa Loliondo? Sirikali sirikali bwana!

    6. #5
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,851
      Rep Power : 814
      Likes Received
      527
      Likes Given
      8

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      [QUOTE=Msengapavi;4141999]Umesema Kweli, unakumbuka la dowans lilivyohafifishwa na Babu wa Loliondo? Sirikali sirikali bwana![/QUOT
      Tutarudi baadae huko uswizi lakini marekani wapo watasaidia kuwabana, acha sis tushughulike na hawa manyang'au hadi kieleweke tunasubiri kimbunga cha waalimu na sisi wengine tutajiunga kuondoa serikali hii dharimu.hawafiki 2015

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,519
      Rep Power : 19792
      Likes Received
      4314
      Likes Given
      1297

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Your right

    9. #7
      Mbonafingi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th April 2009
      Posts : 112
      Rep Power : 536
      Likes Received
      6
      Likes Given
      5

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Hilo nalo neno!! Lakini watanzania hatudanganyiki tena tutadeal na wote wawili. Pinda atakoma mwaka huu ajiandae kutoa kauli na kuiondoa.

    10. #8
      Madago's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th February 2009
      Posts : 114
      Rep Power : 547
      Likes Received
      6
      Likes Given
      10

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Kwa namna ya ufanisi wa kimafia nchi inavyoonekana kuendeshwa tumeshuhudia spin offs nyingi za namna hii. inawezekana kabisa kudirect attention za watu kutoka kwenye another equally burning issue hii ya mabiioni, tumeona kwenye matukio mengi tu...chezea nguvu ya pesa nyie??
      Inaction is a weapon of mass destruction!

    11. #9
      MVUMBUZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 2,586
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      685
      Likes Given
      374

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Mi nataka tu majina yao yawekwe tuyajue

    12. #10
      Ileje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2011
      Posts : 1,044
      Rep Power : 583
      Likes Received
      406
      Likes Given
      107

      Default Re: Sakata la Dr Ulimboka lisituondoe kwenye suala la vigogo wezi sita walioweka hela Uswisi

      Kwa kuwa wahusika ni vigogo wa kisiasa na serikali ya CCM suala hilo limekwishazimwa!
      Never give up your right!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...