Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,197
      Rep Power : 3657
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      2192

      Default CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Nafungua TV namkuta waziri mkuu tayari kwa mwaswli na majibu papo kwa papo.Mtoto wa mkulima anatabasamu, ingawa si tabasamu la kupendeza kwani limejaa kejeli ni mizaha.Anapewa maswali na wapinzania anakuja na majibu duni,ila analazimisha yakubalike na spika anambeba, PM anahisi noma analazimisha jibu mama akiwa anato amaelezo yake. maelezo ya mama nayo yanaonyesha hajaelewa swali.
      pm anapewa mwanaccm ambaye anaanza kwa uongo, anaelezea mambo ya kufikirika au hata mamabo ya mitaani(tena miataa ya CCM ndio ina watu wa kuamini au kuongea uongo wa kukusudia), PM naye anajibu kwa staili ya kuongezea uchochezi.Wanapongezana,
      Buda si mrefu anasimama tena mpinzani CCM B/C/Orijino. wanajitahidi kuwa katikati kwa kuwashambulia wapinzani rasmi halafu wanarekebisha kwa kuwasifu CCM orijino.
      PM hajakaa sawa zimwi linamrudia ,mwendelezo wa maswali ambao hajaweza yajibu,mama anahisi kuwa inakuwa mbaya, anarukia kuokoa jahazi, kabla hajamaliza PM anahisi hatari anakimbilia kujibu, najibu kichovu km anaomba ushawishi wa huruma, raia nje ya bunge wanachoka, wabunge wa rasmi wa upinzani wanajua bado hajajibu wanongeza dozi.Mchezo mzima wabunge wa CCM orijino hawelezi km jinsi viongozi wao wasivyo elewa.
      wanasimama tena wabunge wa ccm-orijino wanongea kitu kilichotolewa maelekezo muda mfupi, huku wakianza kwa uchechezi na vitisho kwa raia kuhusu wapinzani rasmi.Ghafala akili inaniamka kuwa CCM wana hofu, wanaogopa uchaguzi kwa vile hakuna hela, wanogopa uchaguzi kwa vile majimboyao tayari wanasema hayana amani, kwani walitishiwa na wakatishika sasa wapo tayari kwa vita na kupoteza amani kabisa.Najiuliza lini wameacha tishia wenyewe kuwa wasijipitishe majimbo ya wenzao, na sasa wanataka wapiga mkwara wapinzani.....
      Kabla sijamaliza tafakari kauli za woga, kukata tamaa kwaa wabunge wa ccm,ugumu wa kubalance kt ya kuokoa chama au kujiokoa, anasimama jamaa wa Upinzani rasmi anauliza swali hata mimi nilipenda kuliuliza kwa PM...majibu yake yote,project zake zote zimekwama.Na leo mshirika wake ambaye kamshinda ktk dialogue "presidaa wa Madaktari" katekwa kipuuzi, kateswa kinyama, na kapona kibahati ....PM anakuja na majibu ambayo hata wanywa gongo mitaani hawana mashaka wananyooshea mikono serikali, wanashangaa makomandoo wetu ndicho walichoweza achieve?Wanashangaa kuwa cream yote ya ccm haina anything smart and dissent for a day? MSEMAJI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI KAMBANA PM MARA MBILI AJIUDHULU.PM kusaidiana na akina mama wakajibu kikorofi na kwa aibu.Ila ukweli ni kuwa msemaji alianza kwa hilo PM akajibu bila kujua si mara ya kwanza maswali ya upinzani huwa yanamtega kwa swali lifuatalo.Akthibtisha kuwa ameshindwa kisha akaambiwa wazi kuwa ajitoe tuu.PM na mama wakaamua kwenda kama mob.
      Ki ukweli ni kwamba kila raia yupo sympathetic kwa Ulimboka, kila mtu hanunui idea kuwa kuna watu wanachanga hela kuwahonga madaktari, watu hawanunui habari kuwa amani itatoweka kama hakuna CCM kwani kila siku, nahata bungeni msemaji wa upinzani alihusisha ccm na mauaji na hawakuweza toa majibu.
      CCM wamejiloga na propaganda zao wenyewe, ccm wamezidisha hofu kuhusu CHADEMA NA HATIMA YAO kiasi cha kushindwa fanya chochote ktk mpangilio safi.CCM wamekuwa wapinzani ktk utawala wao.Hawafanyi tena hata mambo wayawezayo vyema kwa ufanisi.Raia wanateseka, raia wanalia, wao wanalia.Wanaleta hofu, hawajui kuwa raia wakipata hofu sana baadaye huiondoa, na wanaweza iondoa vibaya.
      Nashauri PM ajipange, na ule unyago wa wabunge aufanyao kabla ya bunge ili kuikabili CDM aachane nao , awape wabunge uhuru watumie fikra, waongee mamabo ya watanzania, na yanayowashinda wasisingizie mtu wala kutengeneza sifa mbaya kuhusu CDM km za igunga.Kwa raia siku hizi hawaiamini CCM siku hizi kuliko chochote.PM asifanye mzaha na maswali ya CDM kwani ktk bunge hili hakuna swali PM kaweza jibu.Na dharau zake zimemponza kwani akijibu la kwanza kwa kebehi la pili linakuwa gumu zaidi.
      Pasco and 50thebe like this.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Radhia Sweety's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 0
      Likes Received
      640
      Likes Given
      4

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Hii post inahusu nini?
      Pasco likes this.

    4. #3
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Ccm ni kama kupe:
      Ng'ombe anachinjwa kupe hana habari!!!
      Ng'ombe anachunwa kupe hana habari!!!!
      Ngozi inawambwa kupe hana habari!!!!
      Ngozi ikianza kukauka kupe ndo anastuka!!!!"

      Alaa! Huyu ngo’mbe kumbe keshachinjwa!!!
      Nicholas and Nyakipambo like this.

    5. #4
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,197
      Rep Power : 3657
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      2192

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      matokeo ya NEc yatasema mengi
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    6. #5
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22277

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Quote By Radhia Sweety
      Hii post inahusu nini?
      Radhia, humu jf tuna ma great thinkers wa viwango na viwango, hivyo kuna thread nyingine zinawalenga wale wa viwango vya juu sana kiasi kwamba sisi wa viwango vya kati na vya chini, tuatoka kapa kabisa!.

      Kwa thread hii, na mimi pia nimetoka kapa kabisa, ila lazima nikiri wazi, level yake ni ya juu sana, tangu ilipopostiwa ile June 29, ilipata wachangiaji wawili tuu, wewe ukiwa mmoja wapo!. leo tena imeongeza mchangiaji mmoja mimi!. Wee subiria tuu wakija wenyewe watachangia ndipo nasi angalau tutafaidika!.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,197
      Rep Power : 3657
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      2192

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Quote By Pasco
      Radhia, humu jf tuna ma great thinkers wa viwango na viwango, hivyo kuna thread nyingine zinawalenga wale wa viwango vya juu sana kiasi kwamba sisi wa viwango vya kati na vya chini, tuatoka kapa kabisa!.

      Kwa thread hii, na mimi pia nimetoka kapa kabisa, ila lazima nikiri wazi, level yake ni ya juu sana, tangu ilipopostiwa ile June 29, ilipata wachangiaji wawili tuu, wewe ukiwa mmoja wapo!. leo tena imeongeza mchangiaji mmoja mimi!. Wee subiria tuu wakija wenyewe watachangia ndipo nasi angalau tutafaidika!.
      Well, pasco naona unakuza mambo makusudi.Hembu tuambi kinachoendelea ktk chaguzi za CCM sasa hivi?
      Pasco likes this.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    9. #7
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22277

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Quote By Nicholas
      Well, pasco naona unakuza mambo makusudi.Hembu tuambi kinachoendelea ktk chaguzi za CCM sasa hivi?
      Mkuu Nico, uchaguzi ndio huu unaendelea, hakuna formular rasmi, kwa vile CCM imeoza rushwa, mwanzo nilidhani wenye kisu kikali ndio watakaokula nyama!, Nimrodi Mkono ni sime ya makali kuwili!, kapigwa chini!.

      Baadaye nikadhani, uwezo, usafi na uadilifu ni moja ya sifa za kuchagulika!. Sumaye kapigwa chini na Nagu!, kwa uwezo gazi", usafi gani na uadilifu gani?.

      Mavuvuzela ya CCM wakiongozwa na Nape, Mukama na Chiligati, nilidhani wanachukia ufisadi na walipojitathmini kwa nini kura za JK zilipungua ile 2010, wakajiaminisha ni kutokana na chama kuchafuliwa kwa ufisadi na ndia maana wakaanzisha ile vua gamba!. Kumbe hiyo vua gamba ni danganya toto tuu!. Ingekuwa ni kweli, CCM inachukia ufisadi, nilitegemea uchaguzi huu, ile mtu kunyooshewa tuu kidole cha tuhuma zozote za ufisadi, ingekuwa ni tiketi tosha ya kuwazuia hata kuchukua fomu!. Leo Chenge ndio huyo kapita bila kupingwa!, Watu wa EL ndio hao wanapeta kila kona!. chairman ni weak!, hawezi kufanya lolote!.

      Nasubiri line-up hiyo November kujiandaa kusherehekea ushindi 2015!.
      P.

    10. #8
      Nicholas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 5,197
      Rep Power : 3657
      Likes Received
      1315
      Likes Given
      2192

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Quote By Pasco
      Mkuu Nico, uchaguzi ndio huu unaendelea, hakuna formular rasmi, kwa vile CCM imeoza rushwa, mwanzo nilidhani wenye kisu kikali ndio watakaokula nyama!, Nimrodi Mkono ni sime ya makali kuwili!, kapigwa chini!.

      Baadaye nikadhani, uwezo, usafi na uadilifu ni moja ya sifa za kuchagulika!. Sumaye kapigwa chini na Nagu!, kwa uwezo gazi", usafi gani na uadilifu gani?.

      Mavuvuzela ya CCM wakiongozwa na Nape, Mukama na Chiligati, nilidhani wanachukia ufisadi na walipojitathmini kwa nini kura za JK zilipungua ile 2010, wakajiaminisha ni kutokana na chama kuchafuliwa kwa ufisadi na ndia maana wakaanzisha ile vua gamba!. Kumbe hiyo vua gamba ni danganya toto tuu!. Ingekuwa ni kweli, CCM inachukia ufisadi, nilitegemea uchaguzi huu, ile mtu kunyooshewa tuu kidole cha tuhuma zozote za ufisadi, ingekuwa ni tiketi tosha ya kuwazuia hata kuchukua fomu!. Leo Chenge ndio huyo kapita bila kupingwa!, Watu wa EL ndio hao wanapeta kila kona!. chairman ni weak!, hawezi kufanya lolote!.

      Nasubiri line-up hiyo November kujiandaa kusherehekea ushindi 2015!.
      P.
      Nashawishika kusema kuwa bado humu ndani hatukuwa tukikufahamu,tulikuwa tukidhani umepoteza uzalendo sana kiasi cha kutoona jinsi gani CCM walivyojiharibu na kufikia mahali pa kuwa tataizo hata kwa wasiokuwa wana CCM achia kuua kabisa utaifa wetu.

      Kwa haya uliyooandika ni wazi kuwa kuna mambo ya CCM kweli yamekutia hata wewe kichefuchefu.Posting yangu ilikuw ana lengo la kuonyesha jinsi gani CCM wanakuwa behind the schedule.Na mara zote hukurupuka kw ahofu ya wanachokiona kwa CDM bila kujua CDM walijiandaa long time sana kuja mletea CCM dhoruba hivi sasa.Sasa hivi CCM wanakimbizana kuziba matokeo.

      Mfano wa issue ya malawi ndio wanakusanya ushahidi sasa hivi?Walipaswa wakusanye siri kwa kipindi chote cha mizozo.Tazama issue ya Ulimboka wanamfix kiongozi badala ya kufix problem iliyofikisha hapo, tazama issue ya Mwangosi wanakimbilia wagawa waandishi,ila hawajui mwandishi mmoja makini anaweza wamaliza kwa kalamu yake, yote hii ni kuwa saa zote wamechelewa .Kwa sasa wanakimbizana na events .Na wala si courses.
      Pasco likes this.
      SIMPLY THE RADICAL: I can`t wait to see the criminalization of CCM,UWT,Bunch of Policemen/women,and all wanafiki na wachumia tumbo.

    11. #9
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22277

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Quote By Nicholas
      Nashawishika kusema kuwa bado humu ndani hatukuwa tukikufahamu,tulikuwa tukidhani umepoteza uzalendo sana kiasi cha kutoona jinsi gani CCM walivyojiharibu na kufikia mahali pa kuwa tataizo hata kwa wasiokuwa wana CCM achia kuua kabisa utaifa wetu.

      Kwa haya uliyooandika ni wazi kuwa kuna mambo ya CCM kweli yamekutia hata wewe kichefuchefu.Posting yangu ilikuw ana lengo la kuonyesha jinsi gani CCM wanakuwa behind the schedule.Na mara zote hukurupuka kw ahofu ya wanachokiona kwa CDM bila kujua CDM walijiandaa long time sana kuja mletea CCM dhoruba hivi sasa.Sasa hivi CCM wanakimbizana kuziba matokeo.

      Mfano wa issue ya malawi ndio wanakusanya ushahidi sasa hivi?Walipaswa wakusanye siri kwa kipindi chote cha mizozo.Tazama issue ya Ulimboka wanamfix kiongozi badala ya kufix problem iliyofikisha hapo, tazama issue ya Mwangosi wanakimbilia wagawa waandishi,ila hawajui mwandishi mmoja makini anaweza wamaliza kwa kalamu yake, yote hii ni kuwa saa zote wamechelewa .Kwa sasa wanakimbizana na events .Na wala si courses.
      Hili la kuchelewa sio issue kubwa sana, game la 2015 bado gumu, ujanja sio kuwahi, bali kupata!. Kuna chelewa ufike!. All and all, nafanya very close monitoring ya situation na nitakuwa nina update positions.

      P.

    12. #10
      50thebe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 586
      Rep Power : 533
      Likes Received
      165
      Likes Given
      865

      Default Re: CCM:Inahitaji huruma zaidi ya tuonavyo-KILA SIKU WAMECHELEWA NA HAWAELEWI

      Quote By Nicholas

      Nafungua TV namkuta waziri mkuu tayari kwa maswali na majibu papo kwa papo.Mtoto wa mkulima anatabasamu, ingawa si tabasamu la kupendeza kwani limejaa kejeli ni mizaha. Anapewa maswali na wapinzani anakuja na majibu duni,ila analazimisha yakubalike na spika anambeba, PM anahisi noma analazimisha jibu .Mama akiwa anatoa maelezo yake. maelezo ya mama nayo yanaonyesha hajaelewa swali.

      PM anapewa mwanaccm ambaye anaanza kwa uongo, anaelezea mambo ya kufikirika au hata mambo ya mitaani (tena mitaa ya CCM ndio ina watu wa kuamini au kuongea uongo wa kukusudia), PM naye anajibu kwa staili ya kuongezea uchochezi.Kisha CCM Wanapongezana,

      Muda si mrefu anasimama tena mpinzani CCM B/C/Orijino. wanajitahidi kuwa katikati kwa kuwashambulia wapinzani rasmi halafu wanarekebisha kwa kuwasifu CCM orijino.

      PM hajakaa sawa zimwi linamrudia ,mwendelezo wa maswali ambao hajaweza kuyajibu,mama anahisi kuwa inakuwa mbaya, anarukia kuokoa jahazi, kabla hajamaliza , PM anahisi hatari anakimbilia kujibu, anajibu kichovu km anaomba ushawishi wa huruma, raia nje ya bunge wanachoka, wabunge wa rasmi wa upinzani wanajua bado hajajibu , wanongeza dozi.

      Mchezo mzima wabunge wa CCM orijino hawauluewi kama jinsi viongozi wao wasivyo elewa. wanasimama tena wabunge wa ccm-orijino wanaongea kitu kilichotolewa maelekezo muda mfupi, huku wakianza kwa uchochezi na vitisho kwa raia kuhusu wapinzani rasmi. Ghafla akili inaniamka kuwa CCM wana hofu, wanaogopa uchaguzi kwa vile hakuna hela, wanogopa uchaguzi kwa vile majimbo yao tayari wanasema hayana amani, kwani walitishiwa na wakatishika sasa wapo tayari kwa vita na kupoteza amani kabisa. Najiuliza lini wameacha tishia wenyewe kuwa wasijipitishe majimbo ya wenzao, na sasa wanataka wapiga mkwara wapinzani.....

      Kabla sijamaliza tafakari kauli za woga, kukata tamaa kwa wabunge wa ccm, ugumu wa kubalance kati ya kuokoa chama au kujiokoa, anasimama jamaa wa Upinzani rasmi anauliza swali hata mimi nilipenda kuliuliza kwa PM...majibu yake yote,project zake zote zimekwama.
      Na leo mshirika wake ambaye kamshinda ktk dialogue "presidaa wa Madaktari" katekwa kipuuzi, kateswa kinyama, na kapona kibahati ....PM anakuja na majibu ambayo hata wanywa gongo mitaani hawana mashaka wananyooshea vidole serikali, wanashangaa makomandoo wetu ndicho walichoweza achieve? Wanashangaa kuwa cream yote ya ccm haina chocote smart and dissent for a day?

      MSEMAJI WA KAMBI RASMI YA UPINZANI KAMBANA PM MARA MBILI AJIUzulu.PM kusaidiana na mama wakajibu kikorofi na kwa aibu.Ila ukweli ni kuwa msemaji alianza kwa hilo PM akajibu bila kujua si mara ya kwanza maswali ya upinzani huwa yanamtega kwa swali lifuatalo.Akithibtisha kuwa ameshindwa kisha akaambiwa wazi kuwa ajitoe tuu.PM na mama wakaamua kwenda kama mob.

      Ki ukweli ni kwamba kila raia yupo sympathetic kwa Ulimboka, kila mtu hanunui idea kuwa kuna watu wanachanga hela kuwahonga madaktari, watu hawanunui habari kuwa amani itatoweka kama hakuna CCM kwani kila siku, nahata bungeni msemaji wa upinzani alihusisha ccm na mauaji na hawakuweza toa majibu.

      CCM wamejiloga na propaganda zao wenyewe, ccm wamezidisha hofu kuhusu CHADEMA NA HATIMA YAO kiasi cha kushindwa fanya chochote ktk mpangilio safi.CCM wamekuwa wapinzani ktk utawala wao.Hawafanyi tena hata mambo wayawezayo vyema kwa ufanisi.Raia wanateseka? (BILA SHAKA RAIA WANATESWA NA CCM), raia wanalia, wao wanalia (CCM WANAJILIZA).Wanaleta hofu, hawajui kuwa raia wakipata hofu sana baadaye huiondoa, na wanaweza iondoa vibaya.

      Nashauri PM ajipange, na ule unyago wa wabunge aufanyao kabla ya bunge ili kuikabili CDM aachane nao , awape wabunge uhuru watumie fikra, waongee mambo ya watanzania, na yanayowashinda wasisingizie mtu wala kutengeneza sifa mbaya kuhusu CDM km za igunga.Kwa raia siku hizi hawaiamini CCM siku hizi kuliko chochote.PM asifanye mzaha na maswali ya CDM kwani ktk bunge hili hakuna swali PM kaweza jibu.

      Na dharau zake zimemponza kwani akijibu la kwanza kwa kebehi la pili linakuwa gumu zaidi.

      My take:
      Nicholas ukiacha makosa ya kisarufi ujumbe wako murua, CCM kama wana masikio na wasikie. Lakini hali ilivyo sasa, CCM hawasikilizani wao kwa wao na kamwe hawamsikiizi yeyote, maana kwao CCM , mwaka 2015 nchi itakuwa haina mwenyewe hivyo wataumizana sana kwa vijembe na matusi huku wakiendelea kuwatesa zaidi wananchi

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...