Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 45
    1. #1
      komredi ngosha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 360
      Rep Power : 492
      Likes Received
      47
      Likes Given
      12

      Default Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      wana jf,

      Nathibitisha kua kupigwa kwa Dkt Ulimboka serikali ilihusika au kufahamu na kuruhusu itokee kwa sababu hizi:
      Mgomo wa madaktari ni kitu kikubwa, kinahatarisha usalama wa nchi. Kiutaratibu vyombo vyote vya ulinzi vilipaswa kufanya uchunguzi

      Katika uchunguzi wao viongozi wote wa madaktari walitakiwa kuchunguzwa masaa 24 haya yafuatayo:
      1. Wanajadiliana na kupanga nini
      2. Wanawasiliana na nani na kuongea nini
      3. Wako wapi na wanafanya nini

      Narudia, ni ktk masaa yote 24 na hii inahusisha vinasa sauti, eavesdropping, suprise meetings(kama huyo abeid wa ikulu), top classified field agents ktk taxi, wapiga debe, barmaid etc.
      Pia kungekua na physical suspect tracking, kuwafatilia wako wapi na wanafanya nini muda wote.

      upelelezi wote huu kitaaluma ungesimamiwa na vyombo vitatu tofauti, kila kimoja kikijiendesha kivyake kwa ajili ya kua na fair analysis wakati wa kumshauri mkuu wa nchi
      1. Usalama wa Taifa
      2. Idara ya ujasusi jeshini
      3. police

      kama taratibu hizi hazikufanyika, Tanzania haiko salama!

      ushahidi wa kuhusika serikali
      1. Abeid kutoka ikulu
      2. Kuvamiwa Leaders (kumbe walikua wanamfatilia)
      3. Watekaji kudai kawasumbua(ni kweli walikua na hasira kwa kuwalaza nje kumfatilia masaa 24)
      4. Gari halikua na Plate no kusafiri umbali mkubwa(sio ishu sana), ila hizo bunduki na mazingira ya nyumba walizompeleka ni safe house
      5. Kipigo alichopewa ni very pro, walipiga kama wanampiga jasusi mwenzao. (sina uhakika ilikuaje hawakutumia umeme)
      6. Mabishano namna ya kumuua, kama ni kwa sumu au ajali(Kwa mfumo wetu wa ulinzi kama nilivyosema awali unahusisha vyombo vitatu tofauti. Napata hisia waliungana kumtesa ila kumuua wakatofautiana, kila chombo kina kiongozi wake na anafanya kazi kivyake bila kushirikisha upande mwingine)
      7. Hakukua na maandalizi(kawaida ya serikali hii haipangilii mambo na viongozi kuamua kwa pamoja kama wanamuua ulimboka au hapana)


      kama nimechemka, wanausalama wenzangu mtanisaidia

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Papizo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2008
      Location : What for??
      Posts : 3,294
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      400
      Likes Given
      2242

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Serikali inahusikaa kwa kila kitu, ingekuwa haihusiki then why kila mtu ana mashaka na Serikali??Dhaifu(JK) na Mwema achieni madaraka faster, So far hamna hata kitu kimoja kilichosemwa.

    4. #3
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,157
      Rep Power : 31371
      Likes Received
      9571
      Likes Given
      683

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Hiki kipigo cha Dkt. Ulimboka na mgomo wa madaktari si coincidence. Mimi naamini kabisa kuwa serikali ya CCM inahusika moja kwa moja. Hao viongozi wa serikali wanajifanya kusikitika na kukemea lakini mimi naona huo ni usanii na unafiki tu.

      Wamem-single out Ulimboka ili awe mfano kwa wengine na lengo lao kuu ni kuwatisha hao matabibu ili waogope na hatimaye waache kuendelea kufanya hiyo migomo.
      Unstoppable and gfsonwin like this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    5. #4
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Plan ilikuwa:
      Ulimboka anapigwa na kuuawa,
      mwili unaokotwa mabwepande,
      Polisi wanaingilia kati investigation,
      wanatafutwa waliokuwa nae for the past 24hrs,
      Wajumbe wote wa kamati ya jumuiya ya madaktari wanakamatwa,
      Key people wa MAT wanakamatwa,
      wote wanawekwa ndani kusaidia polisi upelelezi,
      Madaktari waliogoma wanachanganyikiwa,
      Pinda anatoa mkwara mzito na madaktari wanakosa mwelekeo,
      mgomo unafika mwisho,
      Pinda na serikali yake wanaibuka kidedea.
      Kamati ya mgomo inasahaulika mahabusu!
      Just trying to decode the plan the government had.
      Shomari, Tiba, Pelosi and 7 others like this.

    6. #5
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Tume wastukia sasa Wanahaha

    7. Miaka 50

    8. #6
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      They were caught off-guard after learning that things went astray, Ulimboka survived!

    9. #7
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Whoever ordered the kill was not smart.
      Whoever took the order was the dumbest.
      One cannot send 3,4,5, people to execute one target.
      Amongst the assassination gang, there was/were some who were pro-doctors!
      It can easily be explained.
      palalisote likes this.

    10. #8
      Sigma's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,258
      Rep Power : 0
      Likes Received
      914
      Likes Given
      613

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Quote By Papizo
      Serikali inahusikaa kwa kila kitu, ingekuwa haihusiki then why kila mtu ana mashaka na Serikali??Dhaifu(JK) na Mwema achieni madaraka faster, So far hamna hata kitu kimoja kilichosemwa.
      Ripoti ya chama cha madokta, MAT na ile ya Jumuiya ya madaktari hakukuwa na sehemu waliyoitaja serkali kuwa inahusika.
      Lakini waziri wa mambo ya ndani, NCHIMBI alikanusha kuwa serkali haijahusika na Assassination attemmpt on Ulimboka.
      Nani ali-accuse serikali?
      palalisote, Ulimakafu and FJM like this.

    11. #9
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Quote By Sigma
      Ripoti ya chama cha madokta, MAT na ile ya Jumuiya ya madaktari hakukuwa na sehemu waliyoitaja serkali kuwa inahusika.
      Lakini waziri wa mambo ya ndani, NCHIMBI alikanusha kuwa serkali haijahusika na Assassination attemmpt on Ulimboka.
      Nani ali-accuse serikali?
      Hakuna hata siku moja serikali yeyote duniani ikakubali kuhusika na mauwaji ya raia wake kwahiyo kukanusha ni kitu tulichokuwa tunakitarajia kutoka kwa wakina Nchimbi
      Papizo likes this.

    12. #10
      Ngarenaro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2011
      Posts : 282
      Rep Power : 433
      Likes Received
      44
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By komredi ngosha
      wana jf,

      Nathibitisha kua kupigwa kwa Dkt Ulimboka serikali ilihusika au kufahamu na kuruhusu itokee kwa sababu hizi:
      Mgomo wa madaktari ni kitu kikubwa, kinahatarisha usalama wa nchi. Kiutaratibu vyombo vyote vya ulinzi vilipaswa kufanya uchunguzi

      Katika uchunguzi wao viongozi wote wa madaktari walitakiwa kuchunguzwa masaa 24 haya yafuatayo:
      1. Wanajadiliana na kupanga nini
      2. Wanawasiliana na nani na kuongea nini
      3. Wako wapi na wanafanya nini

      Narudia, ni ktk masaa yote 24 na hii inahusisha vinasa sauti, eavesdropping, suprise meetings(kama huyo abeid wa ikulu), top classified field agents ktk taxi, wapiga debe, barmaid etc.
      Pia kungekua na physical suspect tracking, kuwafatilia wako wapi na wanafanya nini muda wote.

      upelelezi wote huu kitaaluma ungesimamiwa na vyombo vitatu tofauti, kila kimoja kikijiendesha kivyake kwa ajili ya kua na fair analysis wakati wa kumshauri mkuu wa nchi
      1. Usalama wa Taifa
      2. Idara ya ujasusi jeshini
      3. police

      kama taratibu hizi hazikufanyika, Tanzania haiko salama!

      ushahidi wa kuhusika serikali
      1. Abeid kutoka ikulu
      2. Kuvamiwa Leaders (kumbe walikua wanamfatilia)
      3. Watekaji kudai kawasumbua(ni kweli walikua na hasira kwa kuwalaza nje kumfatilia masaa 24)
      4. Gari halikua na Plate no kusafiri umbali mkubwa(sio ishu sana), ila hizo bunduki na mazingira ya nyumba walizompeleka ni safe house
      5. Kipigo alichopewa ni very pro, walipiga kama wanampiga jasusi mwenzao. (sina uhakika ilikuaje hawakutumia umeme)
      6. Mabishano namna ya kumuua, kama ni kwa sumu au ajali(Kwa mfumo wetu wa ulinzi kama nilivyosema awali unahusisha vyombo vitatu tofauti. Napata hisia waliungana kumtesa ila kumuua wakatofautiana, kila chombo kina kiongozi wake na anafanya kazi kivyake bila kushirikisha upande mwingine)
      7. Hakukua na maandalizi(kawaida ya serikali hii haipangilii mambo na viongozi kuamua kwa pamoja kama wanamuua ulimboka au hapana)


      kama nimechemka, wanausalama wenzangu mtanisaidia


      Mkuu umechemka sana na hii Analyais yako, kama ambavyo ulivyotaka kutuaminisha kua unathitibisha kuwa serikali inahusika, cha ajabu pamoja na hizo arguments zako ktk kujenga hoja, bado umeshindwa ku Justify kuwa Serikali inahusika kwa sababu kwa maelezo hayohayo uliyoyatoa bado mtu mwingine angeweza kusema kuwa Maadui zake binafsi Dr. Ulimboka wanahusika kwa 100% nayeye akaonekana ana point zaidi kuliko wewe.

    13. #11
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,472
      Rep Power : 6167
      Likes Received
      3035
      Likes Given
      1015

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      comrade ngosha ngoja kupambazuke nami nitachangia zaidi kwa sasa sioni vizuri maandishi na nipo mgodini chini. Ila kwenye 24 hr survaillance nadhani uko sahihi sana. Tatizo langu ni kwenye amri na njia ya termination. Huwezi kuwa na amri zinazotoka pande tatu. Uwezekano wa maadui kutumia mkanganyiko uliopo sasa pia upo.

    14. #12
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Binafsi bado naona waliotumwa kazi na mtoa kazi wote ni mambumbu kabisa hivi hata filamu kama 24 hrs huwa hawaangalii jamani? ama hata kusoma novel za james hadley chase ili kuweza kujua oda zinakwendaje katika tukio kama hili?

      manake kama unauwezo tu wa ma fiction ya movies na vitabu vya kijasusi basi utagundua kwamba serikali inaweza kumdaka huyu mtu ndani ya masaa 24 ya siku. jamani siku hizi tunaona GIS ikitumika katika criminal detection na inawezkana why cant they use it wakafanya suvailensi ya eneo la tukio labda the past 48 hrs? definately wataona ni akina nani walio husika. sasa ukiona wako kimya jua they know nani kaanda hii platform.
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    15. #13
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,474
      Rep Power : 679
      Likes Received
      359
      Likes Given
      53

      Default

      Quote By Sigma
      Plan ilikuwa:
      Ulimboka anapigwa na kuuawa,
      mwili unaokotwa mabwepande,
      Polisi wanaingilia kati investigation,
      wanatafutwa waliokuwa nae for the past 24hrs,
      Wajumbe wote wa kamati ya jumuiya ya madaktari wanakamatwa,
      Key people wa MAT wanakamatwa,
      wote wanawekwa ndani kusaidia polisi upelelezi,
      Madaktari waliogoma wanachanganyikiwa,
      Pinda anatoa mkwara mzito na madaktari wanakosa mwelekeo,
      mgomo unafika mwisho,
      Pinda na serikali yake wanaibuka kidedea.
      Kamati ya mgomo inasahaulika mahabusu!
      Just trying to decode the plan the government had.

      Sounds Kama Kweli.
      That's how the 5th Estate operates.

    16. #14
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Watanzania msilalamike! Kiini cha udhaifu wa serikali ni nyie wenyewe! Mnapiga kura kama vipofu na kisha mnalalama kama vichaa! Acheni serikali mliyoipa kura ifanye kazi!! Tulieni! Dumisheni amani na utulivu hadi hapo mtakapopata akili na mang'amuzi mwaka 2015. CCM Oyee!!!
      Ulimakafu and Nyalutubwi like this.

    17. #15
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 694
      Rep Power : 521
      Likes Received
      69
      Likes Given
      30

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      mmeyapata wapi haya? Uchochezi huanza hv hv. Bora ma dr klko ny4e

    18. #16
      SIMBA WA TARANGA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2012
      Location : Kapugi-Tukuyu
      Posts : 976
      Rep Power : 561
      Likes Received
      209
      Likes Given
      150

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      " Mgomo wa madaktari, Liwalo na liwe" Mizengo K.P. Pinda 2012

    19. #17
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,050
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      258

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      [QUOTE=komredi ngosha;4141442]wana jf,

      Nathibitisha kua kupigwa kwa Dkt Ulimboka serikali ilihusika au kufahamu na kuruhusu itokee kwa sababu hizi:
      Mgomo wa madaktari ni kitu kikubwa, kinahatarisha usalama wa nchi. Kiutaratibu vyombo vyote vya ulinzi vilipaswa kufanya uchunguzi

      Katika uchunguzi wao viongozi wote wa madaktari walitakiwa kuchunguzwa masaa 24 haya yafuatayo:
      1. Wanajadiliana na kupanga nini
      2. Wanawasiliana na nani na kuongea nini
      3. Wako wapi na wanafanya nini

      Narudia, ni ktk masaa yote 24 na hii inahusisha vinasa sauti, eavesdropping, suprise meetings(kama huyo abeid wa ikulu), top classified field agents ktk taxi, wapiga debe, barmaid etc.
      Pia kungekua na physical suspect tracking, kuwafatilia wako wapi na wanafanya nini muda wote.

      upelelezi wote huu kitaaluma ungesimamiwa na vyombo vitatu tofauti, kila kimoja kikijiendesha kivyake kwa ajili ya kua na fair analysis wakati wa kumshauri mkuu wa nchi
      1. Usalama wa Taifa
      2. Idara ya ujasusi jeshini
      3. police

      kama taratibu hizi hazikufanyika, Tanzania haiko salama!

      ushahidi wa kuhusika serikali
      1. Abeid kutoka ikulu
      2. Kuvamiwa Leaders (kumbe walikua wanamfatilia)
      3. Watekaji kudai kawasumbua(ni kweli walikua na hasira kwa kuwalaza nje kumfatilia masaa 24)
      4. Gari halikua na Plate no kusafiri umbali mkubwa(sio ishu sana), ila hizo bunduki na mazingira ya nyumba walizompeleka ni safe house
      5. Kipigo alichopewa ni very pro, walipiga kama wanampiga jasusi mwenzao. (sina uhakika ilikuaje hawakutumia umeme)
      6. Mabishano namna ya kumuua, kama ni kwa sumu au ajali(Kwa mfumo wetu wa ulinzi kama nilivyosema awali unahusisha vyombo vitatu tofauti. Napata hisia waliungana kumtesa ila kumuua wakatofautiana, kila chombo kina kiongozi wake na anafanya kazi kivyake bila kushirikisha upande mwingine)
      7. Hakukua na maandalizi(kawaida ya serikali hii haipangilii mambo na viongozi kuamua kwa pamoja kama wanamuua ulimboka au hapana)

      hujachemka mkuu ...yaani uko sahihi kabisa, ila mkuu.. mbona hukutupa hizi habari kabla jamaa yetu hajapigwa? Hii ingetusaidia tujue jinsi ya kumuokoa na kile kipigo
      kama nimechemka, wanausalama wenzangu mtanisaidia[/color]

    20. #18
      Mo-TOWN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 1,134
      Rep Power : 5160
      Likes Received
      219
      Likes Given
      84

      Default

      Quote By Ngarenaro
      Mkuu umechemka sana na hii Analyais yako, kama ambavyo ulivyotaka kutuaminisha kua unathitibisha kuwa serikali inahusika, cha ajabu pamoja na hizo arguments zako ktk kujenga hoja, bado umeshindwa ku Justify kuwa Serikali inahusika kwa sababu kwa maelezo hayohayo uliyoyatoa bado mtu mwingine angeweza kusema kuwa Maadui zake binafsi Dr. Ulimboka wanahusika kwa 100% nayeye akaonekana ana point zaidi kuliko wewe.
      Wewe ndio utakuwa umechemka kupita maelezo. Niseme kam$a wewe ni mwanausalama its likely ukawa sawa na hao waliofell ktk hiyo mission ya kumumdhuru Dr Uli.

      Umechemka sana kwa sababu mchambuzi ameeleza motives za tukio husika. Nakushauri utueleza motives za hao unaodai kuwa ni maadui wa Dr other than Serikali ili tulinganishe hizo hoja.
      Unstoppable likes this.

    21. #19
      Return Of Undertaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Posts : 654
      Rep Power : 539
      Likes Received
      448
      Likes Given
      0

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Its true

    22. #20
      Ulukolokwitanga's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,586
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1428
      Likes Given
      259

      Default Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika

      Tangu Kikwete kaingia madarakani kila kitu kimefeli, usalama wa nchi ni sehemu iliyo fail badly. Sijui ni kwa kuwa ameweka jamaa zake au kwa kuwa wako busy kutafuta mali lakini itaigharimu sana nchi hii hali. Jeshi la polisi limekuwa kama kikundi cha wahalifu, usalama wa taifa wanashindwa hata kutambua mamia ya wasomali wanaopitishwa kwenye malori kila siku kwenda nchi jirani huku jeshi la wananchi likiangalia tu majirani wakifanya mageuzi ya kijeshi but hatuna fund ku cope. Tutajuta kuchagua viongozi dhaifu wasiojua wajibu wao kwa taifa
      Unstoppable likes this.

    23. Study Abroad
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...