Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
wana jf,
Nathibitisha kua kupigwa kwa Dkt Ulimboka serikali ilihusika au kufahamu na kuruhusu itokee kwa sababu hizi:
Mgomo wa madaktari ni kitu kikubwa, kinahatarisha usalama wa nchi. Kiutaratibu vyombo vyote vya ulinzi vilipaswa kufanya uchunguzi
Katika uchunguzi wao viongozi wote wa madaktari walitakiwa kuchunguzwa masaa 24 haya yafuatayo:
1. Wanajadiliana na kupanga nini
2. Wanawasiliana na nani na kuongea nini
3. Wako wapi na wanafanya nini
Narudia, ni ktk masaa yote 24 na hii inahusisha vinasa sauti, eavesdropping, suprise meetings(kama huyo abeid wa ikulu), top classified field agents ktk taxi, wapiga debe, barmaid etc.
Pia kungekua na physical suspect tracking, kuwafatilia wako wapi na wanafanya nini muda wote.
upelelezi wote huu kitaaluma ungesimamiwa na vyombo vitatu tofauti, kila kimoja kikijiendesha kivyake kwa ajili ya kua na fair analysis wakati wa kumshauri mkuu wa nchi
1. Usalama wa Taifa
2. Idara ya ujasusi jeshini
3. police
kama taratibu hizi hazikufanyika, Tanzania haiko salama!
ushahidi wa kuhusika serikali
1. Abeid kutoka ikulu
2. Kuvamiwa Leaders (kumbe walikua wanamfatilia)
3. Watekaji kudai kawasumbua(ni kweli walikua na hasira kwa kuwalaza nje kumfatilia masaa 24)
4. Gari halikua na Plate no kusafiri umbali mkubwa(sio ishu sana), ila hizo bunduki na mazingira ya nyumba walizompeleka ni safe house
5. Kipigo alichopewa ni very pro, walipiga kama wanampiga jasusi mwenzao. (sina uhakika ilikuaje hawakutumia umeme)
6. Mabishano namna ya kumuua, kama ni kwa sumu au ajali(Kwa mfumo wetu wa ulinzi kama nilivyosema awali unahusisha vyombo vitatu tofauti. Napata hisia waliungana kumtesa ila kumuua wakatofautiana, kila chombo kina kiongozi wake na anafanya kazi kivyake bila kushirikisha upande mwingine)
7. Hakukua na maandalizi(kawaida ya serikali hii haipangilii mambo na viongozi kuamua kwa pamoja kama wanamuua ulimboka au hapana)
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
By komredi ngosha
wana jf,
Nathibitisha kua kupigwa kwa Dkt Ulimboka serikali ilihusika au kufahamu na kuruhusu itokee kwa sababu hizi:
Mgomo wa madaktari ni kitu kikubwa, kinahatarisha usalama wa nchi. Kiutaratibu vyombo vyote vya ulinzi vilipaswa kufanya uchunguzi
Katika uchunguzi wao viongozi wote wa madaktari walitakiwa kuchunguzwa masaa 24 haya yafuatayo:
1. Wanajadiliana na kupanga nini
2. Wanawasiliana na nani na kuongea nini
3. Wako wapi na wanafanya nini
Narudia, ni ktk masaa yote 24 na hii inahusisha vinasa sauti, eavesdropping, suprise meetings(kama huyo abeid wa ikulu), top classified field agents ktk taxi, wapiga debe, barmaid etc.
Pia kungekua na physical suspect tracking, kuwafatilia wako wapi na wanafanya nini muda wote.
upelelezi wote huu kitaaluma ungesimamiwa na vyombo vitatu tofauti, kila kimoja kikijiendesha kivyake kwa ajili ya kua na fair analysis wakati wa kumshauri mkuu wa nchi
1. Usalama wa Taifa
2. Idara ya ujasusi jeshini
3. police
kama taratibu hizi hazikufanyika, Tanzania haiko salama!
ushahidi wa kuhusika serikali
1. Abeid kutoka ikulu
2. Kuvamiwa Leaders (kumbe walikua wanamfatilia)
3. Watekaji kudai kawasumbua(ni kweli walikua na hasira kwa kuwalaza nje kumfatilia masaa 24)
4. Gari halikua na Plate no kusafiri umbali mkubwa(sio ishu sana), ila hizo bunduki na mazingira ya nyumba walizompeleka ni safe house
5. Kipigo alichopewa ni very pro, walipiga kama wanampiga jasusi mwenzao. (sina uhakika ilikuaje hawakutumia umeme)
6. Mabishano namna ya kumuua, kama ni kwa sumu au ajali(Kwa mfumo wetu wa ulinzi kama nilivyosema awali unahusisha vyombo vitatu tofauti. Napata hisia waliungana kumtesa ila kumuua wakatofautiana, kila chombo kina kiongozi wake na anafanya kazi kivyake bila kushirikisha upande mwingine)
7. Hakukua na maandalizi(kawaida ya serikali hii haipangilii mambo na viongozi kuamua kwa pamoja kama wanamuua ulimboka au hapana)
kama nimechemka, wanausalama wenzangu mtanisaidia
....Ongeza na hili,
8. Ni kwanini pia vyombo vya habari vya serikali havikutoa habari ya Dr. Uli? si TBC1 wala Daily News; verrrrry bad
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
Kama serikali kwa njia moja au nyingine itaonekana kuhusika +matukio ya awali kol.....a,wan...,sok.... na mwisho itakuwa wewe au mimi Kama tutakuwa wadai wa haki,we need M4C
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
By komredi ngosha
wana jf,
Nathibitisha kua kupigwa kwa Dkt Ulimboka serikali ilihusika au kufahamu na kuruhusu itokee kwa sababu hizi:
Mgomo wa madaktari ni kitu kikubwa, kinahatarisha usalama wa nchi. Kiutaratibu vyombo vyote vya ulinzi vilipaswa kufanya uchunguzi
Katika uchunguzi wao viongozi wote wa madaktari walitakiwa kuchunguzwa masaa 24 haya yafuatayo:
1. Wanajadiliana na kupanga nini
2. Wanawasiliana na nani na kuongea nini
3. Wako wapi na wanafanya nini
Narudia, ni ktk masaa yote 24 na hii inahusisha vinasa sauti, eavesdropping, suprise meetings(kama huyo abeid wa ikulu), top classified field agents ktk taxi, wapiga debe, barmaid etc.
Pia kungekua na physical suspect tracking, kuwafatilia wako wapi na wanafanya nini muda wote.
upelelezi wote huu kitaaluma ungesimamiwa na vyombo vitatu tofauti, kila kimoja kikijiendesha kivyake kwa ajili ya kua na fair analysis wakati wa kumshauri mkuu wa nchi
1. Usalama wa Taifa
2. Idara ya ujasusi jeshini
3. police
kama taratibu hizi hazikufanyika, Tanzania haiko salama!
ushahidi wa kuhusika serikali
1. Abeid kutoka ikulu
2. Kuvamiwa Leaders (kumbe walikua wanamfatilia)
3. Watekaji kudai kawasumbua(ni kweli walikua na hasira kwa kuwalaza nje kumfatilia masaa 24)
4. Gari halikua na Plate no kusafiri umbali mkubwa(sio ishu sana), ila hizo bunduki na mazingira ya nyumba walizompeleka ni safe house
5. Kipigo alichopewa ni very pro, walipiga kama wanampiga jasusi mwenzao. (sina uhakika ilikuaje hawakutumia umeme)
6. Mabishano namna ya kumuua, kama ni kwa sumu au ajali(Kwa mfumo wetu wa ulinzi kama nilivyosema awali unahusisha vyombo vitatu tofauti. Napata hisia waliungana kumtesa ila kumuua wakatofautiana, kila chombo kina kiongozi wake na anafanya kazi kivyake bila kushirikisha upande mwingine)
7. Hakukua na maandalizi(kawaida ya serikali hii haipangilii mambo na viongozi kuamua kwa pamoja kama wanamuua ulimboka au hapana)
kama nimechemka, wanausalama wenzangu mtanisaidia
Tatizo la migomo inayochochewa na Bagman, na maandamano yasiyokwisha, yanaposhindikana au mbinu iliyotumika kushindikana bagman au wale waliopo nyuma yake wanatoa kipigo! 'Wanakulimboka'
Tumieni busara na hekima weanaoumia na kufa ni watanzania, siasa waachieni wana siasa. Acheni kuwa vibaraka! Period!
"In time of war, when truth is so precious, it must be protected by a bodyguard of lies." Winston Churchill
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
By Honolulu
Watanzania msilalamike! Kiini cha udhaifu wa serikali ni nyie wenyewe! Mnapiga kura kama vipofu na kisha mnalalama kama vichaa! Acheni serikali mliyoipa kura ifanye kazi!! Tulieni! Dumisheni amani na utulivu hadi hapo mtakapopata akili na mang'amuzi mwaka 2015. CCM Oyee!!!
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
By Honolulu
Watanzania msilalamike! Kiini cha udhaifu wa serikali ni nyie wenyewe! Mnapiga kura kama vipofu na kisha mnalalama kama vichaa! Acheni serikali mliyoipa kura ifanye kazi!! Tulieni! Dumisheni amani na utulivu hadi hapo mtakapopata akili na mang'amuzi mwaka 2015. CCM Oyee!!!
Maneno yako yanatia hasira lakini ni kweli tupu! Ila mie sikuipigia kura CCM na sitakaa niipigie kura CCM hata wakivaa mavazi meupe kama malaika! Tatizo ni kuwa kuna wanawake wenzetu ambao wako tayari kujigalagaza chini eti wanaishangilia CCM sijui Nape sijui nani! Muda wao utafika na udhalimu wao utakwisha!
“Anyone who has never made a mistake has never tried anything new” - Albert Einstein
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
ndio maana nina hope kua ccm haitashinda 2015 kwa kua kuna hitajika mabadiliko mengi huko serikalini, mkuu wa majeshi, mkuu wa polisi, mkuu wa usalama wa taifa, mkuu wa takukuru hawa wote inabidi kubadilishwa maana hii nchi imeoza
Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde
One man's good fortune is another man's misfortune
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
By komredi ngosha
wana jf,
Nathibitisha kua kupigwa kwa Dkt Ulimboka serikali ilihusika au kufahamu na kuruhusu itokee kwa sababu hizi:
Mgomo wa madaktari ni kitu kikubwa, kinahatarisha usalama wa nchi. Kiutaratibu vyombo vyote vya ulinzi vilipaswa kufanya uchunguzi
Katika uchunguzi wao viongozi wote wa madaktari walitakiwa kuchunguzwa masaa 24 haya yafuatayo:
1. Wanajadiliana na kupanga nini
2. Wanawasiliana na nani na kuongea nini
3. Wako wapi na wanafanya nini...
Bora ulivyojihami kuomba kukosolewa mimi raia lakini nimeona kabisa kuwa nawe ni mmoja kati ya uozo wa jk ndio mnao mfanya anaonekana nchi imemshinda si mnafundshwa maadili au?
Mkuu umechemka sana na hii Analyais yako, kama ambavyo ulivyotaka kutuaminisha kua unathitibisha kuwa serikali inahusika, cha ajabu pamoja na hizo arguments zako ktk kujenga hoja, bado umeshindwa ku Justify kuwa Serikali inahusika kwa sababu kwa maelezo hayohayo uliyoyatoa bado mtu mwingine angeweza kusema kuwa Maadui zake binafsi Dr. Ulimboka wanahusika kwa 100% nayeye akaonekana ana point zaidi kuliko wewe.
Ww ndo unaechemka hapa,while kila kitu kipo wazi!in short hakuna asiejua wht is going on,na ujue watu ckuhizi wanaelewa mambo,hata mpindishe hapa ukweli utabaki kuwa palepale na raia wanaelewa
Nathibitisha kua kupigwa kwa Dkt Ulimboka serikali ilihusika au kufahamu na kuruhusu itokee kwa sababu hizi:
Mgomo wa madaktari ni kitu kikubwa, kinahatarisha usalama wa nchi. Kiutaratibu vyombo vyote vya ulinzi vilipaswa kufanya uchunguzi
Katika uchunguzi wao viongozi wote wa madaktari walitakiwa kuchunguzwa masaa 24 haya yafuatayo:
1. Wanajadiliana na kupanga nini
2. Wanawasiliana na nani na kuongea nini
3. Wako wapi na wanafanya nini
Narudia, ni ktk masaa yote 24 na hii inahusisha vinasa sauti, eavesdropping, suprise meetings(kama huyo abeid wa ikulu), top classified field agents ktk taxi, wapiga debe, barmaid etc.
Pia kungekua na physical suspect tracking, kuwafatilia wako wapi na wanafanya nini muda wote.
upelelezi wote huu kitaaluma ungesimamiwa na vyombo vitatu tofauti, kila kimoja kikijiendesha kivyake kwa ajili ya kua na fair analysis wakati wa kumshauri mkuu wa nchi
1. Usalama wa Taifa
2. Idara ya ujasusi jeshini
3. police
kama taratibu hizi hazikufanyika, Tanzania haiko salama!
ushahidi wa kuhusika serikali
1. Abeid kutoka ikulu
2. Kuvamiwa Leaders (kumbe walikua wanamfatilia)
3. Watekaji kudai kawasumbua(ni kweli walikua na hasira kwa kuwalaza nje kumfatilia masaa 24)
4. Gari halikua na Plate no kusafiri umbali mkubwa(sio ishu sana), ila hizo bunduki na mazingira ya nyumba walizompeleka ni safe house
5. Kipigo alichopewa ni very pro, walipiga kama wanampiga jasusi mwenzao. (sina uhakika ilikuaje hawakutumia umeme)
6. Mabishano namna ya kumuua, kama ni kwa sumu au ajali(Kwa mfumo wetu wa ulinzi kama nilivyosema awali unahusisha vyombo vitatu tofauti. Napata hisia waliungana kumtesa ila kumuua wakatofautiana, kila chombo kina kiongozi wake na anafanya kazi kivyake bila kushirikisha upande mwingine)
7. Hakukua na maandalizi(kawaida ya serikali hii haipangilii mambo na viongozi kuamua kwa pamoja kama wanamuua ulimboka au hapana)
kama nimechemka, wanausalama wenzangu mtanisaidia
mimi si mwana usalama ila huku mtann tunasema ushahid wa mazingira unaitia hatian serikali
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
Hii kashifa na aibu kubwa kwa serikali na vyombo vyetu vya usalama. Na ndiyo maana mpaka sasa hakuna ambaye amekamatwa licha ya wahusika kujulikana. Sitoshangaa baadhi ya wahusika kuuliwa ili kuwalinda walitoa amri ya kutekwa,kuteswa na kumuua Dr. Ulimboka.
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
Kuna mambo bado yananisumbua sana, inakuwaje serikali kupitia vyombo vya usalama wanakuwa na nguvu, uwezo, nia na dhamira ya kufuatilia madaktari 24/7 lakini wanashindwa kugundua maharamia? Dodoma wamekufa waabeshi 42 kwenye container moja. Inakuwaje container litoke nje ya nchi mpaka katikati ya nchi bila vyombo vya ulinzi na usalama kujua? Ni vipi kama wengine wataamua kuja na silaha?
Tunaambiwa huko Mtwara wanapoendesha miradi ya kutafuta mafuta na gesi walinzi wanatoka nchi za kigeni na wanatumia silaha kubwa, Mikoa ya Kagera, Kigoma, Rukwa kuna uvamizi wa kutisha tena wa kutumia silaha za kivita, Ukirudi Serengiti nako kuna kadhia zake. Sasa serikali inatumia resources zake kufuatilia madaktari wakati nchi imezungukwa na maharamia tena wengine wana silaha?
Nasubiri kusikia hotuba ya waziri wa mambo ya ndani, na ile ya waziri wa Ulinzi. Si ajabu watasema 'hali ya usalama nchini ni nzuri'. Tusubiri.
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
By Papizo
Serikali inahusikaa kwa kila kitu, ingekuwa haihusiki then why kila mtu ana mashaka na Serikali??Dhaifu(JK) na Mwema achieni madaraka faster, So far hamna hata kitu kimoja kilichosemwa.
This is correct a hundred percent correct. The governmnent of Tanzania (CCM) can not deny this. This plan must have been planned some times ago and it was the right time for the CCM Mafia to implement this evils. They can not run away from the truth
Re: Tusidanganyane: Kipigo cha Ulimboka Serikali ilihusika
nasikitika kwanini nilizaliwa Tanzania natamani nisingezaliwa katika nchii yenye ubabaishaji na ukandamizaji wa CCM. NATAMANI HATA SASA IKULU IWAKE MOTO NA DHAIFU NA WASAIDIZI WA DHAIFU WAFE WOOTE ASIPONE HATA MMOJA
Follow Us Here