Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 31
    1. #1
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,593
      Rep Power : 2084
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Ni bora kwa sasa kwa kila anaehitaji kuingia hapo kwenye chumba cha mgonjwa NI LAZIMA AWE NA KITAMBULISHO MAALUM NA DHARURA ILIYOMFANYA ATAKE KUMUONA MGONJWA ,ICU si ruhusa mgonjwa kutembelewa ,yaani inakuwa NO ENTRY ,Pia mtembeleaji huyo akubali kusachiwa ,asiruhusiwe kuingia na chochote kile ,silaha simu au pochi vyote akabidhi sehemu maalumu iliyo na dhamana kwa kukaguliwa vilivyo.

      Na jambo hilo liwe kwa yeyote yule bila ya kujali Cheo Chake.
      Mafie PM and DGMCHILO like this.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Radhia Sweety's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 1,333
      Rep Power : 0
      Likes Received
      639
      Likes Given
      4

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Sasa unatoa ushauri au ndiyo unapitisha sheria kabisa?
      Kimox Kimokole likes this.

    4. #3
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,130
      Rep Power : 28891
      Likes Received
      11625
      Likes Given
      4793

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Zomba, u can pass for a witch, u know that?

    5. #4
      Topical's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      853
      Likes Given
      707

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Tunataka rais dikteta kuliko dhaifu
      "Mbowe for Presidency 2015""

    6. #5
      Lambardi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,517
      Rep Power : 0
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Dikteta kwa maana halisia ya mambo makuu ya nchi yetu EPA,Rada,Pesa ya Uswisi,Kagoda,Dowans si wazalendo wanaotetea maslahi ya wanyonge!unataka kuua mtu anaedai CT Scan hospitalini?anaetaka aspirin ziletwe hospitalini!????huo ni udhaifu wa udikteta!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,670
      Rep Power : 1909
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By Radhia Sweety
      Sasa unatoa ushauri au ndiyo unapitisha sheria kabisa?
      Nenda zako subiri kigwagallah afike dsm Leo dingi yako azimishwe

    9. #7
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,670
      Rep Power : 1909
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By zomba
      Kwani Ulimboka bado mzima?

      Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

      Namtakia maisha mema na mgomo mwema.
      Mkuu changia jf umri wako hapa jamvini ni mkubwa sana hata sisi makinda tujifunze kutoka kwako

    10. #8
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By zomba
      Kwani Ulimboka bado mzima?

      Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

      Namtakia maisha mema na mgomo mwema.
      Huyu Zomba ndilo lile jini linaloitwa Maimuna!

    11. #9
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By Lynix
      Mkuu changia jf umri wako hapa jamvini ni mkubwa sana hata sisi makinda tujifunze kutoka kwako
      Sasa hapa nafanya nini kama si kuchangia?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    12. #10
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 1,971
      Rep Power : 880
      Likes Received
      243
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By zomba
      Kwani Ulimboka bado mzima?

      Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

      Namtakia maisha mema na mgomo mwema.
      Ee mwenye enzi Mungu hebu muangalie huyu mtu unaempa pumzi ya bure ni kwa namna gani anavyoitumia vibaya,wajua cha kumlipia kulingana na maneno yake na vitendo vyake

    13. #11
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,593
      Rep Power : 2084
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Watu wanaweza kupita na kaunga tu ndani ya kipochi na mlio ndani ya chumba mkapoteza umri baada ya siku au masaa machache.kuna Kaunga kalimwagwa ndani ya ndege ya Uingereza na majasusi wa Kirusi wakati kuna abiria alikuwa ndio target.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    14. #12
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,670
      Rep Power : 1909
      Likes Received
      1563
      Likes Given
      676

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By zomba
      Sasa hapa nafanya nini kama si kuchangia?
      Kupitia m-pesa mkuu

    15. #13
      betty marandu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 139
      Rep Power : 439
      Likes Received
      15
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By zomba
      Sasa hapa nafanya nini kama si kuchangia?
      Zomba hata kama humwogopi Mungu wala binadamu wenzio kumbuka kuna usemi usemao"mwenzio akinyolewa zako tia maji"kumbuka yalompata Dr.yaweza kukupata au hata zaidi.Au mwenzetu unaijua kesho yako?

    16. #14
      yutong's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2011
      Posts : 1,348
      Rep Power : 683
      Likes Received
      240
      Likes Given
      97

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By zomba
      Kwani Ulimboka bado mzima?

      Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

      Namtakia maisha mema na mgomo mwema.
      Katika kipindi kifupi tumeshuhudia mengi, baadhi ya viongozi kutishiwa na wengine kuugua magonjwa ya ajabu. Pia wabunge/madiwani wamekatwa mapanga, watu wameuawa. Leo hii Ulimboka ametekwa na Kupigwa na hebu angalia pia kisa hiki:

      Dear friends

      Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita.

      Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra. Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja

      Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu. Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake

      Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo. Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata. Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku. Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.

      Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala.

      Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili yaani yeye na mama mmoja. Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32. Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu. Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi. Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga. Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves. Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine. Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea. Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira. Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi. Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote,siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vzr.

      Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka


      Hili pia limetokea karibuni; wewe unathubutu kutamka maneno kama haya hapa? Kumbuka kesho zamu yako na wewe pia na hata yeye akifa hatabeba kifo chako maana na wewe utakufa siku yako tofauti.
      Sign of Victory - R. Kelly

    17. #15
      IPECACUANHA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Posts : 1,092
      Rep Power : 636
      Likes Received
      223
      Likes Given
      50

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By zomba
      Kwani Ulimboka bado mzima?

      Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

      Namtakia maisha mema na mgomo mwema.
      You are pathetic for not considering the majority because of your personel cormfort.

    18. #16
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By betty marandu
      Zomba hata kama humwogopi Mungu wala binadamu wenzio kumbuka kuna usemi usemao"mwenzio akinyolewa zako tia maji"kumbuka yalompata Dr.yaweza kukupata au hata zaidi.Au mwenzetu unaijua kesho yako?
      Na yale yanayowapata wagonjwa wote wanaohaha bila kutibiwa na wengine kupoteza maisha, wewe hayawezi kukupata?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    19. #17
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By zomba
      Kwani Ulimboka bado mzima?

      Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

      Namtakia maisha mema na mgomo mwema.
      I can't believe what you have written zomba! Ina maana una support kitu alichofanyiwa? Kwa mamlaka gani na kwasababu gani? Huoni tutatengeneza magenge ya wahuni kama kule nigeria halafu nchi itakuwa ngumu kuendesheka? Mbona sioni huyu jamaa kama ana tishio lolote sasa watu wanatishika na nini?
      Well, mengine tunamuachia Mwenyezi Mungu, ila malipo hapa hapa duniani.
      Mbalamwezi likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    20. #18
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By zomba
      Na yale yanayowapata wagonjwa wote wanaohaha bila kutibiwa na wengine kupoteza maisha, wewe hayawezi kukupata?
      Kwanini tunataka kutatua tatizo moja kwa kutengeneza lingine? I have never seen such a wisdom anywhere in this world! Tatizo hili la pili limezaa makubwa kuliko lile la kwanza...tumekosa watu wenye busara somewhere....duuh
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    21. #19
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By Ndahani
      I can't believe what you have written zomba! Ina maana una support kitu alichofanyiwa? Kwa mamlaka gani na kwasababu gani? Huoni tutatengeneza magenge ya wahuni kama kule nigeria halafu nchi itakuwa ngumu kuendesheka? Mbona sioni huyu jamaa kama ana tishio lolote sasa watu wanatishika na nini?
      Well, mengine tunamuachia Mwenyezi Mungu, ila malipo hapa hapa duniani.
      Waliomfanyia hivyo wana sababu nzuri sana.
      Kuna mwanamke wa miaka 23 likuwa ajifunguwe kwa opereshen, dokta aliyekuwepo akasema mpelekeni bungeni akapasuliwe, hapa atazaa mwenyewe tu, matokeo yeye na mtoto wamepoteza maisha. Inasikitisha sana.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    22. #20
      Mbalamwezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th September 2007
      Posts : 701
      Rep Power : 739
      Likes Received
      71
      Likes Given
      134

      Default Re: Ulinzi wa Ziada kwa Dr Ulimboka.

      Quote By zomba
      Kwani Ulimboka bado mzima?

      Huyu itakuwa ni robot. Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, kavutwa na gari (ina maana michubuko mwili mzima) na maumivu mwili mzima. Bado yuko hai?

      Namtakia maisha mema na mgomo mwema.
      Uko sahihi Zomba, ila umesahau jambo moja. Ungeandika "Kwani Ulimboka bado mzima?

      Huyu itakuwa ni robot. Tumemvunja Mbavu, Meno. Miguu, Taya, Tumbo, Makalio, tumemvuta na gari (ina maana michubuko mwili mzima) ili apate maumivu mwili mzima, tukamtupa. Yaani kumbe bado yuko hai?."

      Hii ingesaidia kutimiza azma yako ya kuonyesha unyama uliojaaliwa.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...