Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madhara gani hutokea kwa taifa lisilotenda haki kwa raia wake.....

    Report Post
    Results 1 to 2 of 2
    1. #1
      BJEVI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 737
      Rep Power : 570
      Likes Received
      157
      Likes Given
      138

      Default Madhara gani hutokea kwa taifa lisilotenda haki kwa raia wake.....

      Habari JF,

      Ni wazi kuwa hakuna mtu asiyependa kuona haki ikitendeka kwake na kwa jamii inayomzunguka.Kwa muda mrefu hapa TZ haki za raia zimekuwa zikidhulumiwa ama kwa kujua au kwa kutokujua kulingana na mzingira ya mhusika.Tumeshuhudia watu wakiua wengine na kuwanyima haki ya kuishi mfano mauaji ya ALBINO,watu wakibambikizwa kesi,kuvunjiwa makazi bila hata kufidiwa,WIZI WA RASILIMALI ZA TAIFA bila hata wahusika kuchukuliwa hatua kwa sababu ya kulindana n.k.madhara ya ukiukwaji huu wa haki kwa taifa ni pamoja na:

      1.Wakuu wa nchi kudharauliwa hadharani kama kuitwa DHAIFU,kupigwa mawe,manung'uniko yasiyoisha kutoka kwa watawaliwa na mengine mengi yasiyo pendeza...

      2.Changamoto zisizoisha na zisizokuwa na majibu kwa mfano migomo,ukosefu wa ajira,ufisadi,magonjwa na hata watawala utakuta na wenyewe ni wagonjwa,udhalimu,umaskini n.k ....

      3.WATAWALA KUWA NA ROHO NGUMU/KIBURI/KUJIKWEZA/UPENDELEO TENA WA WAZI N.K....


      SWALI.
      wana JF

      Nini kifanyike kuokoa Taifa lisiendelee kukumbwa na madhara zaidi kama ilivyo hapa TZ kwa kutokujua umuhimu wa kutenda au kusimamia utendaji wa haki kwa raia wake ?.JE! RAIA WAVUMILIE ILI KUSUBIRI HURUMA ZA MWENYEZI MUNGU...NINI KIFANYIKE????

    2. Miaka 50

    3. #2
      Masabaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 391
      Likes Received
      18
      Likes Given
      13

      Default Re: Madhara gani hutokea kwa taifa lisilotenda haki kwa raia wake.....

      Ondoa JK DHAIFU na Mtoto wa mkulima FISADI na kuanza upya katika misingi tutakayokubaliana namna bora ya kuendesha TAIFA

    4. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...