Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 769
      Rep Power : 554
      Likes Received
      237
      Likes Given
      3

      Default My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

      Nilijitahidi kusoma Pcb ili nikasome muhimbili medicine nikachemka, hata nilipokuwa Bcom bado nilire-seat biology mambo yakagoma. Nikaachana na udaktari lkn nikapitia wateule wa kozi hiyo nikakutana na A za kumwaga kwenye results zao. Nikaamini kumbe kichwa bora zaidi kwa maana ya matokeo ndo huchaguliwa pale. Nikaangalia kama kuna mtu wa combination za HGE,ECA,HGL,EGM nk sikuwakuta nakutana na hasahasa kitu cha pcb, nikacheki class kwetu nikawakuta pcb,pcm,egm,hge nk tumo. Nikaamini mwili wa binadamu kweli umepewa heshima stahiki. Nikawapigia saluti jamaa zangu walioanza course ya medicine, baada ya miaka 3 nikamaliza na kupata kakazi kangu na kamshahara kangu na mara kagari mara kauwanja nk. baada ya miaka mitatu nikaenda muhimbili pale chuo nakutana na jamaa yangu ndo ameanza internship. Akanizungusha mawodini nakutana na mazingira halisi ya hospitali zetu. Jamaa akaniambia hapa ndo ofisini kwangu, basi nikavuta picha ya ofisi yangu, kiyoyozi mazingira nk. Nikamwambia hongera naona uko busy na ofisi yako na ndo maana mi ninawaheshimu sana. Nikauliza vp mnapwaje lkn? Sio mbaya sana akanijibu kwa upole na kuniomba tuagane nae. Naiomba serikali yangu, mimi siwezi kulalamika eti flan analipwa kidogo ukilinganisha na dr, ntalalamika pale mlinzi wa Tra atakapomzidi mshahara mwalimu basi. Chonde chonde kaeni na hawa ma Dr na muwaongezee halali ya toka mioyoni mwao na mwetu angalieni mpunguze wapi na hata kama ni kidogo muwaongezee jamani watu tunakufaa. My confession!
      654 and mangosutu like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      mozes's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th January 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 383
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default Re: My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

      Umesomeka mkuu

    4. #3
      NgumiJiwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Posts : 732
      Rep Power : 614
      Likes Received
      195
      Likes Given
      52

      Default Re: My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

      Bado una nafasi ya kuwa Daktari mkuu.Vyuo viko vingi siku hizi..Kairuki,IMTU,India nk nk..Msuli wako tu

    5. #4
      CHIETH's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th August 2011
      Location : South Korea
      Posts : 172
      Rep Power : 427
      Likes Received
      63
      Likes Given
      98

      Default Re: My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

      Usijaribu kuitamani hii fani. Ni fani ya kishenzi sana. Katika mafunzo walimu wanaringa, wanatukana wanafunzi na wanaviburi sana. Ukweli ni kwamba hii course ya udaktari hauna raha kuanzia unaposoma hadi kazini. Mimi najuta sana kuja kusomea hii course.Kuna dr mmoja katika chuo kimoja huko kanda ya ziwa kazi yake ni kutukana tu wanafunzi wodini badala ya kufundisha. Wewe acha tu ndugu yangu, kama ulisoma Bcom nakuomba uendelee ukasome MBA accounts utakula nchi bila pressure. Good luck.

    6. #5
      simplemind's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2009
      Posts : 2,848
      Rep Power : 1155
      Likes Received
      509
      Likes Given
      0

      Default Re: My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

      Pole sana. Ungetafuta "path of least resistance" to prosperity ie the siasa path....... African context bila shaka.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,484
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4303
      Likes Given
      1248

      Default Re: My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

      Don give up

    9. #7
      Msendekwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 392
      Rep Power : 441
      Likes Received
      140
      Likes Given
      4

      Default Re: My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

      Heri wewe mtoa post ulieshindwa na ukaamua kuwaheshimu.
      Kuna wengne waliposhindwa kuwa madaktari wakajenga chuki na taaluma na wanataaluma wa udaktari, ht wapewapo nafasi za kufanya maamuzi kwa ma Dr, huwakomoa tu!

    10. #8
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,731
      Rep Power : 723
      Likes Received
      291
      Likes Given
      263

      Default Re: My confession: Nilipenda niwe daktari nikashindwa, nimebakiza heshima kwao.

      HA HA HAA, KAKA POLE SANA, NAONA ULIUTAKA UDAKTARI KWELI. MATOKEO YA FORM SIX JAMAA WAWILI MZUMBE WALIPATA DIV. 1.3 (A A A- PCB), MMOJA AKAENDA KUSOMA PHARMACY NA MWINGINE B.COM. NAOMBA NIHIFADHI MAJINA WANAJAMVI. SIDHANI KAMA HAWA WATAKUWA NA CHUKI ZAIDI YA KUSHANGILIA UAMUZI WAO KWANI JAMAA WANAMSHIKO WA HATARI SANA.
      KI UKWELI, SERIKALI INAPOTEZA WATU MAKINI SANA AMBAO KWA SASA HAWAENDI KUSOMEA UDAKTARI, ESPECIALLY MIAKA YA 2005 MPAKA SASA, MADOGO WANACHANA NA WANASEPA B.COM, BAF, NK. SASA WANAKULA KUKU, NOBLE PROFESSIONALS KAMA MD. SERIKALI INALETA UTANI! INATIA HASIRA SANA MKUU. Pole mkuu kwa kukosa kuitwa Dr. kapige PhD ili uitwe tu man, hata hiyo MD bado unaweza kupiga, siku hizi vyuo vingi man!

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...