Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

    Report Post
    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 129
    1. #1
      Molemo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th September 2010
      Posts : 8,707
      Rep Power : 10935
      Likes Received
      3962
      Likes Given
      426

      Default Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      Mbunge wa Korogwe-CCM Stephen Ngonyani(Profesa Maji Marefu) amemshambulia vikali Dr Stephen Ulimboka kwamba alistahili unyama aliofanyiwa na kuwataka madaktari wasimtibu.Spika Makinda ilibidi aingilie kati na kumuamuru Ngonyani kuacha mara moja kuzungumzia suala hilo ndani ya bunge kwa sababu liko mahakamani.Ngonyani akajitetea kuwa amechanganyikiwa kwa sababu aliumwa sana na watu wakamzushia kifo.Kabla ya kuwa Mbunge Ngonyani amewahi kuwa mganga wa kienyeji.Kauli hiyo ya Ngonyani ilionekana kushangiliwa sana na wabunge wenzake wa CCM huku wale wa CHADEMA wakimzomea.
      Last edited by Molemo; 29th June 2012 at 05:20.


    2. #41
      Mchaka Mchaka's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th July 2010
      Location : Ashmore and Cartier Islands
      Posts : 3,702
      Rep Power : 1218
      Likes Received
      929
      Likes Given
      470

      Default Re: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      Ila majimarefu sio kwamba amechanganyikiwa ila hachambi tu!
      Miili ya waliokufa katika ajali ya Meli ya Spice Islander ipimwe DNA ili kutambua Ndugu zao - Dk. Jakaya .M. Kikwete,, September 2011.

    3. #42
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 407
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      Waganga wengi wa kienyeji wanaoa wanawake wengi.

    4. #43
      BJEVI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 820
      Rep Power : 591
      Likes Received
      167
      Likes Given
      145

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      Hiyo ndo ccm bwana.....wengine photocopy..ha ha ha

    5. #44
      Ngoromiko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 461
      Rep Power : 443
      Likes Received
      85
      Likes Given
      115

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      Uhuru wa mawazo ya kila mtu uheshimiwe, hata kama yako tofauti na ya kwako.

    6. #45
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By mpayukaji View Post
      Hii ndiyo hasara ya kuchagua waganga wa kienyeji na matapeli kuwa wabunge




      Nani angeamini kuwa mbunge ambaye ni mwakilishi wa wananchi angeshangilia uvunjaji sheria na haki za binadamu? Imetokea tena bungeni ambapo mbunge wa Korogwe Vijijini Steven Ngonyani aka Maji Marefu kusema eti kipigo alichopata mwenyekiti wa Jumuia ya Madaktari, Dk Steven Ulimboka kilistahili. Laiti bunge letu lingekuwa ni bunge huyu alipaswa kuwajibishwa mara moja. Maana hii si kashfa ya kawaida.
      weka picha yake ile amabyo inamuonesha na P.o.P,anasema amechanganyikiwa na ugonjwa pamoja na kuzushiwa kifo thats why amesema asitibiwe,,,,


    7. #46
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,169
      Rep Power : 593
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      System is still loading....

    8. #47
      Mpigania Uhuru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 56
      Rep Power : 392
      Likes Received
      30
      Likes Given
      10

      Default Re: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      Kweli shukrani ya punda ni mateke!
      Huyu maji marefu kaja Muhimbili hata miezi mitatu haijapita alikuwa NA Hali mbaya sana anaharisha damu tumemsaidia sana mpaka mwishowe tukampeleka India Leo hii shukurani yake kwa madaktari ni kushangilia Jemedari wetu kupigwa NA watu wa secret service.
      Nina imani ule ugonjwa wake atakua hajapona, ole wake alete makanyagio Muhimbili, atatujua sisi ni nani!
      Usitukane Wakunga Uzazi Ungalipo!

    9. FJM is offline
      FJM
      #48
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      Mbunge kusema alichosema ni jambo moja, lakini response ya Spika ndio itasumbua wengi. Hivi ange-react hivyo hivyo kama angekuwa ni mbunge wa upinzani? Spika anawaundia zengwe wabunge wa ccm na wananchi.
      Mwikimbi likes this.

    10. #49
      sesy nzenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 376
      Likes Received
      11
      Likes Given
      94

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      hajui alitendalo ameshazoea kuua watu kwa uchawi wake.... kwa hiyo kwa hili yeye ni kawaida sana... mungu amsaidie kwa kweli

    11. #50
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,648
      Rep Power : 794
      Likes Received
      222
      Likes Given
      353

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      Hasara na nitatizo kwa mstakabali wa maendeleo ya taifa letu kuwa na wawakilishi kama hawa waliozoea kurubani watu kwa mapepo.Watu wenye roho mbaya kama huyu hawawezi kutetea wananchi.Umaskini wetu utaendelea kututafuna hadi hapo watanzania tutakapoamuka maana tumezidi kulala
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    12. #51
      Shine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2011
      Posts : 9,479
      Rep Power : 2491
      Likes Received
      974
      Likes Given
      385

      Default

      Quote By Nyakageni View Post
      katika mchango wake bungeni leo mbunge wa Korogwe kawatonesha madaktari kidonda! Kasema kama madaktari wamegoma kutibu watu kwa nini wanamtibu dr. Ulimboka? Madam Spika ikabidi amzuie kwamba swala liko mahakamani! Mi nadhani afya yake mgogoro angeishauri serikali yake
      anafikiri kwakutumia masaburi, yeye anafikiri haki inapatikana kwa kuuwa ama kwa nguvu?

    13. #52
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default

      Quote By Ngoromiko View Post
      Uhuru wa mawazo ya kila mtu uheshimiwe, hata kama yako tofauti na ya kwako.
      Brain concasion

    14. #53
      KALYOVATIPI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 1,191
      Rep Power : 596
      Likes Received
      137
      Likes Given
      0

      Default Re: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      Ndo mambo ya kuchanganya siasa na ushirikina jamaa mshirikina sana

    15. #54
      Msambaa mkweli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Posts : 152
      Rep Power : 407
      Likes Received
      26
      Likes Given
      1

      Default Re: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      Dhaifu, mchawi.

    16. #55
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      Huyu ni mchawi, tanzania ni nchi ya pekee kuwa na mchawi bungeni

    17. #56
      TITAN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 261
      Rep Power : 484
      Likes Received
      32
      Likes Given
      46

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      Uyo nae kajaa Mapepo tuu, Marehemu mtarajiwa.
      A house divided against itself cannot stand.

    18. BAK is offline
      BAK
      #57
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,834
      Rep Power : 45015
      Likes Received
      8689
      Likes Given
      8684

      Default Re: Mbunge ashangilia kipigo cha Dk Ulimboka-ni Maji Marefu wa Korogwe vijijini

      Ndiyo matatizo ya kuwa na Wabunge DHAIFU ambao hawana hata sifa ya kuwa wajumbe wa nyumba kumi kumi....Pumbavu kabisa!!
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    19. #58
      Mzee's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 6,826
      Rep Power : 1798
      Likes Received
      743
      Likes Given
      393

      Default Re: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      Hata kama mtu nia adui yako vipi, si busara linapofikia swala la matatizo kufurahia
      complains always hide opportunity

    20. #59
      Indume Yene's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Chumbani
      Posts : 2,169
      Rep Power : 4961
      Likes Received
      340
      Likes Given
      324

      Default Re: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      Quote By Molemo View Post
      Mbunge wa Korogwe-CCM Stephen Ngonyani(Profesa Maji Marefu) amemshambulia vikali Dr Stephen Ulimboka na kuwataka madaktari wasimtibu.Spika Makinda ilibidi aingilie kati na kumuamuru Ngonyani kuacha mara moja kuzungumzia suala hilo ndani ya bunge kwa sababu liko mahakamani.Ngonyani akajitetea kuwa amechanganyikiwa kwa sababu aliumwa sana na watu wakamzushia kifo.Kabla ya kuwa Mbunge Ngonyani amewahi kuwa mganga wa kienyeji.Kauli hiyo ya Ngonyani ilionekana kushangiliwa sana na wabunge wenzake wa CCM.
      Ngonyani ni sehemu tu wabunge genius wa SISIEMU. Sasa go-figure waliobaki ambao si ma-genius wakoje?

    21. #60
      josefast's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Location : Mtaa wa chini
      Posts : 86
      Rep Power : 398
      Likes Received
      5
      Likes Given
      32

      Default Re: Spika Makinda ampiga Stop Stephen Ngonyani kumshambulia Dr Ulimboka

      ni bora alikiri mwenyewe kukataa Jemedar Ulimboka asitibiwe ni ukweli mtupu kwamba alikuwakachanganyikiwa + kupandwa na pepo mchafu

    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...