Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

    Report Post
    Page 11 of 18 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast
    Results 201 to 220 of 349
    1. #1
      Izack Mwanahapa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Location : Mwanza
      Posts : 314
      Rep Power : 471
      Likes Received
      129
      Likes Given
      94

      Default Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Kwa mujibu wa Mwenyekiti wa Madactari, Dr. Ulimboka anaendelea vizuri. Inasemekana Madactari wameendelea kupokea vitisho kwa njia ya sms. Mgaya (Katibu TUCTA) amesema wapo kwenye mchakato wa kuliwasilisha jambo hilo kwenye shirika la kazi Duniani (ILO)






    2. FemaTV & Radio

    3. #201
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,210
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9592
      Likes Given
      683

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Quote By cacico
      u r going TOO FAR! watch your fingers!
      How am I going too far?
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    4. #202
      Domhome's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2010
      Location : Chimbo
      Posts : 703
      Rep Power : 592
      Likes Received
      179
      Likes Given
      141

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Quote By majebere
      Sasa mtu mmoja kula kipigo ndio hakuna amani, amani ipo tena kwa sana na CCM itahakikisha kuwa amani itaendelea kuwepo,usipotoshe umma kijana. Mnakaa kulaumu serikali bila hata kupata ushahidi wowote. CCM itatawala milele, na nyie CDM acheni uhaini,mtafia jela.

      Kuna ushahidi gani unaouhitaji ili ujue kuwa Serikali ndo "the bad animal of this scandal"?
      Suala hapa ni issue ya Dr. Je, Serikali hii inaongozwa na nani? na kwanini uingize CDM hapa?
      Wakati fulani kukaa kimya ni HEKIMA kuliko kujibu UTUMBO hapa!! si lazima kila bandiko ukaja kuchangia...
      “It’s now the moment for political baboons to see their backsides” - Time for politicians to look at themselves in the mirror! (Kenyan human right's activist)

    5. #203
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Shiriki maandamano tarehe 04.07 2012 ubungo mataa kuwa shaidi wakudai huduma bora ya afya mwambie na mwenzako

    6. #204
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,438
      Rep Power : 974
      Likes Received
      367
      Likes Given
      1807

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Quote By dkn
      Mungu amsaidie apone haraka. Mengineyo haki itatendeka hata ikiwa miaka mbele watajulikana, kina Kombe walifanyiwa mchezo kama huu..tumwombee Mungu apone.
      Kwa sala na maombi ya yetu Watanzania wote wenye mapenzi mema na akili timamu, kweli Mwenyezi Mungu atamsaidia apone ili aje kuendeleza mapambano ya kudai haki.


      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    7. #205
      mzamifu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2010
      Location : IN SPACE
      Posts : 922
      Rep Power : 651
      Likes Received
      205
      Likes Given
      173

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Quote By Ndahani
      Kwani wameumbuka kidogo? Mungu ndiye anayetupa na kuchukua uhai kwa sisi tunaoamini. Haya matishio mengine kama wengine hawatakufa hayana tija. Siamini kabisa katika kuteketeza maisha ya mtu au watu wengine....either kwa siasa, ujambazi, wivu au lolote lile!
      Halafu mdunge mmoja akadiriki kusema eti kipigo hicho kinamstahili Huyo mbunge alaaniwe

    8. Miaka 50

    9. FJM
      #206
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,170
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: hali ya Dr Ulimboka yabadilika!!!

      Quote By Mkandara
      Mkuu wangu najua sana kwamba nimeandika mambo mazito sana yanayouma lakini Ndivyo Ilivyo! Na tunaytakiwa kujifunza ktk kila jambo linalotupata hapa duniani maana kinachoendelea nchini haikina huruma kwa watu wengineo. Tazma picha utaona Dr.wetu kawekewa vifaa vya kila aina kuhakikisha anapata huduma ambayo kuna watu 100 hawaipati tena kwa sababu ya mgomo wa Madaktari...

      Kwa kuhemu matukio tunayoishi sasa nisingeta kugeuza huu uzi uwe wa malumbano, lakini itoshe nikisema kuwa sijasoma hiyo post yako hapo juu. I just decided not to.

    10. #207
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: hali ya Dr Ulimboka yabadilika!!!

      Quote By FJM
      Kwa kuhemu matukio tunayoishi sasa nisingeta kugeuza huu uzi uwe wa malumbano, lakini itoshe nikisema kuwa sijasoma hiyo post yako hapo juu. I just decided not to.
      Well n good..Haibadilishi kitu!...
      Exploration of reality

    11. #208
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,744
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      147

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Quote By Mwanaharakatihuru
      Shiriki maandamano tarehe 04.07 2012 ubungo mataa kuwa shaidi wakudai huduma bora ya afya mwambie na mwenzako
      nihesabiye mimi nitakuwepo

    12. #209
      Litvinienko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Posts : 313
      Rep Power : 552
      Likes Received
      105
      Likes Given
      88

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Hata kama azma ya serikali ya kutoa uhai wa Ulimboka ukatimia, kamwe JK na serikali yake watakuwa paranoid for as long as it exists

    13. #210
      kimini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Posts : 39
      Rep Power : 438
      Likes Received
      2
      Likes Given
      21

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      nakuombea*upone haraka Doc*urudi kazini,

    14. #211
      Nyunyu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Location : Here.
      Posts : 3,349
      Rep Power : 2044
      Likes Received
      465
      Likes Given
      2749

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Get well soon kamanda, we are praying for you!!!
      There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela

      e-mail: [email protected]

    15. #212
      Bollo Yang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2009
      Posts : 377
      Rep Power : 573
      Likes Received
      31
      Likes Given
      171

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Wabongo bana, so ndugu zetu wanaondelea kufa kutokana na mgomo wa akina Ulimboka hawana haki ya kuishi ama, mimi simuonei huruma huyu jamaa honestly, mgomo wao unawaumiza ndugu zetu sana, na simuombei kupona.

    16. #213
      Sikonge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 7,852
      Rep Power : 2331
      Likes Received
      2861
      Likes Given
      5519

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Na akifa ndiyo utaumia zaidi.

      Mtanzania kwa sasa upo kati ya NYUNDO na JIWE.

      Sasa kama hutafahamu wapi ukimbilie kujinasua, basi wanakuponda.

      Huyu jamaa anaweza hata kufa kwa mfano, ila bado tatizo halitakwisha.

      Endelea kulaani na ghafla utasikia nyundo Mbaaang, wakati wenzio wanakwenda kutibiwa nje.
      Quote By Bollo Yang
      Wabongo bana, so ndugu zetu wanaondelea kufa kutokana na mgomo wa akina Ulimboka hawana haki ya kuishi ama, mimi simuonei huruma huyu jamaa honestly, mgomo wao unawaumiza ndugu zetu sana, na simuombei kupona.
      Umslpogaaz and Unstoppable like this.
      Nguruwe pita leo sina Mkuki(By Malila wa JF).

    17. #214
      The hammer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Location : Tanzania
      Posts : 121
      Rep Power : 430
      Likes Received
      32
      Likes Given
      18

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      sasa itafika wakati hawa polisi tunaoishi nao mitaani tutawageuzia kibao kwa mishale ndipo watakapooacha kutumikia kila jambo ovu wanalotmwa na viongozi wao.WAKUMBUKE TUNAISHI NAO MITAANI,MAANDAMANO WANATUPIGA TENA HUKU URAIANI KWENY KUTAFUTA HAKI ZETU,AU KWA KUWA WAO HAWANA VYAMA VYA WAFANYAKAZI
      Kiwi likes this.

    18. #215
      tindikalikali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,080
      Rep Power : 1214
      Likes Received
      392
      Likes Given
      89

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      hivi habari ya kamanda Msangi ina ukweli wowote?

    19. #216
      Ruhazwe JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2011
      Posts : 3,171
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      776
      Likes Given
      721

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      eee mwenye Mungu,ulie nusuru uhai wa Dr ulimboka,toka mikononi mwa wakoloni tunakuomba uwe naye mpambanaji huyu,kwani kazi uliyomtuma hajaimaliza

    20. #217
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,732
      Rep Power : 5462
      Likes Received
      1960
      Likes Given
      2652

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Litania ya Huruma ya Mungu Bwana utuhurumie – Bwana utuhurumie
      Kristu utuhurumie – Kristu utuhurumie
      Bwana utuhurumie – Bwana utuhurumie
      Kristu utusikie – Kristu utusikilize
      Baba wa mbinguni Mungu – utuhurumie
      Mwana Mkombozi wa dunia Mungu - utuhurumie
      Roho Mtakatifu Mungu - utuhurumie
      Utatu Mtakatifu Mungu mmoja – utuhurumie.
      Huruma ya Mungu iliyo sifa kuu ya Muumba wetu - Tunakutumainia (iwe kiitikio)
      Huruma ya Mungu iliyo kilele cha ukamilifu wa Mwokozi wetu
      Huruma ya Mungu iliyo upendo usiopimika wa Roho Mtakasa
      Huruma ya Mungu fumbo lisilofahamika la Utatu Mtakatifu
      Huruma ya Mungu iliyo ishara ya uwezo mkuu wa Mungu Mwenyezi
      Huruma ya Mungu iliyofumbuliwa katika kuziumba Roho za Malaika wa mbinguni
      Huruma ya Mungu iliyotuumba na kutuamuru tuwepo bila kutokana na chochote
      Huruma ya Mungu inayotujalia maisha ya kutokufa
      Huruma ya Mungu inayotukinga na adhabu tunazostahili
      Huruma ya Mungu inayotuinua tutoke katika taabu, unyonge na maumivu ya dhambi zetu
      Huruma ya Mungu inayotufanya wenye haki katika Neno aliyejifanya Mtu
      Huruma ya Mungu inayofurika kutoka katika majeraha ya Kristu
      Huruma ya Mungu inayobubujika kutoka ndani ya Moyo Mtakatifu wa Yesu
      Huruma ya Mungu iliyotupatia Bikira Maria Mtukufu awe kwetu Mama wa Huruma
      Huruma ya Mungu iliyoonyeshwa katika kuanzishwa Kanisa Katoliki
      Huruma ya Mungu inayopatikana katika mafumbo ya Sakramenti Takatifu
      Huruma ya Mungu inayotolewa kwa wanadamu wote kwa njia ya Sakramenti ya Ubatizo na Kitubio
      Huruma ya Mungu inayotolewa katika Sakramenti ya Ekaristi na Upadrisho
      Huruma ya Mungu inayoonyeshwa kwetu pale inapotuita na kutuingiza katika kuwatakatifuza wenye haki
      Huruma ya Mungu inayotimilika katika ukamilifu wa watu watakatifu
      Huruma ya Mungu chemchemi ya afya kwa wagonjwa na wote wanaoteseka
      Huruma ya Mungu iliyo faraja ya wote wenye uchungu moyoni
      Huruma ya Mungu iliyo tumaini la roho zinazosumbuliwa na mkato wa tamaa
      Huruma ya Mungu iliyo mwenzi wa daima na popote wa watu wote
      Huruma ya Mungu inayowahi kutuletea neema zake
      Huruma ya Mungu iliyo amani yao wanaokufa
      Huruma ya Mungu iliyo burudisho na faraja yao marehemu wa toharani
      Huruma ya Mungu iliyo furaha ya mbinguni kwa watakatifu wote
      Huruma ya Mungu iliyo taji la watakatifu wote
      Huruma ya Mungu chemchemi ya miujiza isiyokauka
      Mwanakondoo wa Mungu uliyetuonyesha huruma yako kuu katika kuikomboa dunia kwa msalaba wako mtakatifu, - utusamehe ee Bwana
      Mwanakondoo wa Mungu unayejitolea kwetu kwa mapendo na huruma katika kila adhimisho la Sadaka ya Misa Takatifu,- utusikilize ee Bwana
      Mwanakondoo wa Mungu anayeondoa dhambi za dunia kwa njia ya huruma yako isiyo na mwisho,- utuhurumie.
      Kiongozi : Bwana utuhurumie –
      Wote: Kristu utuhurumie, Bwana utuhurumie.
      Kiongozi : Huruma anana za Bwana zi juu ya kazi zake zote –
      Wote: Huruma za Bwana nitaziimba milele.
      Tuombe: Ee Mungu uliye na huruma isiyo na mwisho, na hazina za wema na upendo wako hazina mipaka. Tunakusihi umtazame Stephen Ulimboka huku duniani na kumuongezea huruma yako tena na tena, ili imsaidie asije akakata tamaa hata mara moja, haidhuru akumbane na majaribu makubwa kiasi gani, bali aweze daima kuzielekea na kuzishika amri zako, kwa matumaini na kutimiza mapenzi yako matakatifu, ambayo ndiyo huruma yenyewe. Tunaomba hayo kwa njia ya Bwana wetu Yesu Kristu Mwanao, Mfalme wa Amani na Huruma, aishiye na kutawala nawe, na Roho Mtakatifu, kwa pamoja mkituonyesha huruma, daima na milele. Amina.
      BE RESPECTED............DEMAND RESPECT

    21. #218
      benny50's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 354
      Likes Received
      6
      Likes Given
      11

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      mungu wetu aliye kila kona atamponya dr. kama alivyomnusuru katika kifo, hii ni laana hakika, serikali ya mabavu inataka kuharibu amani katika nchi yetu..mungu isaidie tanzania..mungu mponye dr. ulimboka...amen

    22. #219
      Mangaline's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th May 2012
      Posts : 999
      Rep Power : 613
      Likes Received
      205
      Likes Given
      54

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Mbegu lazima ife, ili izae zaidi. Tunakuombea upone, ingawa hata kama Mungu akipenda vinginevyo, mbegu utakayotuachia haitakufa, bali itazaa zaidi.
      "MUNGU IBARIKI TANGANYIKA, MUNGU IBARIKI ZANZIBARI, RIP TANZANIA"

    23. #220
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,974
      Rep Power : 1643
      Likes Received
      1132
      Likes Given
      410

      Default Re: Dr. Ulimboka: Hali ya afya (Updates)

      Quote By Izack mwanahapa
      Mgaya (Katibu TUCTA) amesema wapo kwenye mchakato wa kuliwasilisha jambo hilo kwenye shirika la kazi Duniani (ILO)

      sina imani na huyo jamaa; yeye anatishiaga kuanzisha mgomo ili apozwe.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    Page 11 of 18 FirstFirst ... 910111213 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...