Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI" Gazeti la CCM

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      kasinge's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd May 2011
      Posts : 75
      Rep Power : 420
      Likes Received
      14
      Likes Given
      24

      Default Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI" Gazeti la CCM

      Kujipendekeza kubaya jamani. Leo nadhani mmeona kichwa cha habari gazeti la UHURU.
      Nimejiuliza hivi, ili Gazeti lina mhariri mkuu? Kasoma wapi? Nani kawambia Ulimboka ni kinara wa mgomo? Ulimboka ni kiongozi wa Doctors' Assassination, anapresent wanachokubaliana madactari katika vikao rasmi. Binafsi nasikitika kuona watu wakipoteza maishasababu ya mgomo huu, lakini alichofanyiwa Dr. Uli, ni unyama unaolitia doa la damu bendera ya kijani ya CCM, ambao sikutegemea Gazeti na hasa la Chama tawala kuusherehekea. Nina wasiwasi na muandishi wa habari ile na hasa Mhariri Mkuu. JIPENDEKEZENI, najua ndo mnapopata kula, lakini mkumbuke na ka taaluma kidogo mlikosomea. Najua wengine hamkusomea mmepewa vyeo tu, lakini semina mmeenda. Jirekebisheni gazeti la UHURU.
      Madela Wa- Madilu likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      MD25's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 1,906
      Rep Power : 898
      Likes Received
      539
      Likes Given
      66

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Mkuu usipoteze muda wako kujadili mambo yanayoandikwa na gazeti la Nape... Isitoshe ilo gazeti halina muda mrefu litakufa kama ilivyokuwa kwa gazeti la Mzarendo..
      genekai likes this.

    4. #3
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 635
      Likes Received
      159
      Likes Given
      0

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Hii inanifanya kuamini Ccm wamemfanyia unyama huo.

    5. #4
      vunjajungu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th November 2011
      Posts : 120
      Rep Power : 402
      Likes Received
      28
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By kasinge
      Kujipendekeza kubaya jamani. Leo nadhani mmeona kichwa cha habari gazeti la UHURU.
      Nimejiuliza hivi, ili Gazeti lina mhariri mkuu? Kasoma wapi? Nani kawambia Ulimboka ni kinara wa mgomo? Ulimboka ni kiongozi wa Doctors' Assassination, anapresent wanachokubaliana madactari katika vikao rasmi. Binafsi nasikitika kuona watu wakipoteza maishasababu ya mgomo huu, lakini alichofanyiwa Dr. Uli, ni unyama unaolitia doa la damu bendera ya kijani ya CCM, ambao sikutegemea Gazeti na hasa la Chama tawala kuusherehekea. Nina wasiwasi na muandishi wa habari ile na hasa Mhariri Mkuu. JIPENDEKEZENI, najua ndo mnapopata kula, lakini mkumbuke na ka taaluma kidogo mlikosomea. Najua wengine hamkusomea mmepewa vyeo tu, lakini semina mmeenda. Jirekebisheni gazeti la UHURU.
      ulimboka ni kiongozi wa doctor's assassination?ni lugha au umedhamiria mkuu?
      kayumba likes this.

    6. #5
      Serendipity's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2009
      Location : Magogoni
      Posts : 442
      Rep Power : 614
      Likes Received
      8
      Likes Given
      1

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Hivi gazeti la Uhuru bado lipo? Kama lipo basi linasomwa na watu wenye IQ ndogo kama wasuasi wa Chama Cha Magamba(ccm)
      If you really want something in this life, you have to work for it. <o></o>

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Tetty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2012
      Posts : 1,132
      Rep Power : 566
      Likes Received
      315
      Likes Given
      204

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Kwani limenunuliwa?Gazeti ambalo limetoka leo hasa ni la Mtanzania lilikuwa halipatikani kwa urahisi.Ni kichaa peke yake atafurahia hilo

    9. ADK
      #7
      ADK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 495
      Rep Power : 470
      Likes Received
      36
      Likes Given
      17

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Ndio mujue watafanya kile tu watakachoagizwa liwalo na liwe

    10. #8
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,450
      Rep Power : 19778
      Likes Received
      4290
      Likes Given
      1187

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Mhariri nape, unategemea nini sasa.

    11. #9
      ndyoko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 4,505
      Rep Power : 1706
      Likes Received
      1199
      Likes Given
      1916

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      'Liwalo na Liwe"
      “If you can not get what you love, then love what you have”

    12. #10
      Fekifeki's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 547
      Rep Power : 488
      Likes Received
      81
      Likes Given
      366

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Wadhaifu walihusika kwa 100%! Dr. alivyo na umuhimu kwetu, uhuru hawakutakiwa kuandika upuuzi kama huu! mwisho wa haya yote ni 2015.

    13. #11
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,815
      Rep Power : 11188
      Likes Received
      7002
      Likes Given
      5176

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Gazeti la UHURU ni gazeti la mazezeta wanaotumwa kuandika bila kufikiria huku wakiwaneemesha wakubwa zao
      KAZI NDIO MSINGI WA MAENDELEO. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUENDELEA KWA MSINGI WA FEDHA. NCHI MASIKINI HAIWEZI KUJITAWALA KAMA INATEGEMEA MSAADA KUTOKA NCHI ZA NJE- J. K. NYERERE

    14. #12
      WISTON MWINUKA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 370
      Likes Received
      2
      Likes Given
      1

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Hivi ni Doctor's Assasination au Doctor's association?

    15. #13
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      390

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Gazeti linawakilisha,uhuru wa kujiamulia mambo watakavyo bila kukosolewa !

    16. #14
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,836
      Rep Power : 30208
      Likes Received
      4669
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By kasinge
      Kujipendekeza kubaya jamani. Leo nadhani mmeona kichwa cha habari gazeti la UHURU.
      Nimejiuliza hivi, ili Gazeti lina mhariri mkuu? Kasoma wapi? Nani kawambia Ulimboka ni kinara wa mgomo? Ulimboka ni kiongozi wa Doctors' Assassination, anapresent wanachokubaliana madactari katika vikao rasmi. Binafsi nasikitika kuona watu wakipoteza maishasababu ya mgomo huu, lakini alichofanyiwa Dr. Uli, ni unyama unaolitia doa la damu bendera ya kijani ya CCM, ambao sikutegemea Gazeti na hasa la Chama tawala kuusherehekea. Nina wasiwasi na muandishi wa habari ile na hasa Mhariri Mkuu. JIPENDEKEZENI, najua ndo mnapopata kula, lakini mkumbuke na ka taaluma kidogo mlikosomea. Najua wengine hamkusomea mmepewa vyeo tu, lakini semina mmeenda. Jirekebisheni gazeti la UHURU.
      Si wanajua kuwa bosi wao ndo kafanya hivyo!

    17. #15
      james chapacha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 476
      Rep Power : 454
      Likes Received
      102
      Likes Given
      24

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Mi ni JOSEPHAT JOSEPH napita tu!!!!!!!!!!!!!

    18. #16
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      please usijadili uhuru na mzalendo hawa waharii ni kama mbwa koko wanakula hata vinyesi vyao wenyewe

    19. #17
      tusichoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Posts : 657
      Rep Power : 543
      Likes Received
      77
      Likes Given
      8

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      shame on them,dhaifu ni dhaifu hawachagui hata jambo la kushangilia,nimeamini ili uwe mshabiki wa ccm unatakiwa uwe fyatu,nyekundu kwao ni nyeupe na nyeupe ni nyekundu ndio maana badala ya kujiuliza nani kamtesa dr wao wanashangilia kwa kuwa wanahusika.

    20. #18
      kanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 725
      Rep Power : 568
      Likes Received
      288
      Likes Given
      409

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Mara nyingi namsitikia ndugu yangu Mhariri Mkuu Bwana Josiah Mfungo kwa nini anaendelea kufanya kazi katika mazingira ya aibu kama hayo na elimu anayo nzuri.Najua uzee umemkamata na anakaribia kustaafu lakini heading zingine zinadhalilisha elimu na utu wake.Siamini kama anajitambulisha katikati ya watu na wasomi jadidi kwamba yeye ni Mhariri Mkuu wa Uhuru na Mzalendo.UCHISWASHA WASWU, TURAGAMO EMISANGO JO OBWANA.

    21. #19
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,725
      Rep Power : 2266
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Quote By King2
      Hii inanifanya kuamini Ccm wamemfanyia unyama huo.
      Sasa hivi CCM ni kama faru aliyejeruhiwa, dawa ni kukaa kwa tahadhari. Kama una LMG basi ni kuelekeza mwelekeo muafaka, na ukiona kifaru anatikisa mkia mimina zote mu kichwa. Haya majamaa ni mafia, lakini yanagongeka kirahisi tu. hayajamfikia Gadafi.
      Simple life is healthier than egoism.

    22. #20
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,864
      Rep Power : 5951
      Likes Received
      800
      Likes Given
      227

      Default Re: Eti: "Mgomo wa madaktari - KINARA HOI " Gazeti la CCM.

      Chief Editor- Nape Sub Editor, Mkama chezea wao wewe!
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...