Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 77
    1. #1
      Don Draper's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 378
      Likes Received
      62
      Likes Given
      25

      Default Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
      Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

      Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

      Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka

    2. Study Abroad

    3. #2
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,539
      Rep Power : 805
      Likes Received
      710
      Likes Given
      64

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Wapi huko kwenye madaktari wa akiba? Mtu anakuwa held hostage kwa sababu hana option nyingine, sio kwa mapenzi yake.
      Jasusi and Unstoppable like this.

    4. #3
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      hao madaktari wapya wa kuajiliwa wako wapi?
      I'm Naturaly Evasive..

    5. #4
      Don Draper's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 378
      Likes Received
      62
      Likes Given
      25

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By Edson
      hao madaktari wapya wa kuajiliwa wako wapi?
      wapo wanatafuta kazi mitaani

    6. #5
      Kachanchabuseta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2010
      Posts : 2,977
      Rep Power : 1053
      Likes Received
      440
      Likes Given
      1133

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By Don Draper
      Nionyeshe wapi nimevunja sheria ja JAMII FORUMS zaidi ya kuwa na mawazo mbadala?

      acha kutisha watu hapa
      Nakupa Onyo la mwisho

      Soon you will see the outcome
      genekai and THE STORM like this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Chum Chang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 997
      Rep Power : 558
      Likes Received
      233
      Likes Given
      281

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Wacheni kutishana
      Kila mtu ana uhuru wa kujieleza

    9. #7
      Blessing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 261
      Rep Power : 565
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By MtamaMchungu
      Wapi huko kwenye madaktari wa akiba? Mtu anakuwa held hostage kwa sababu hana option nyingine, sio kwa mapenzi yake.
      What happened kwa huyo D. Ulimboka ni dhahiri kwa lazima Pinda ajiuzuru kabisa. AVAI KABISA kwani ajui hiyo janga ??? THIS IS A NETWORK YA SERIKALI TUSIDANGANYANI HAPO

    10. #8
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 507
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Hawa watu wametokea wapi? Naona wanataka kutupumzisha na Maban humu ndani jamani.
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    11. #9
      Petram's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 423
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      daktari gan atakaekubali upuuzi wa serikal? Kwa malipo gan? Kuna private hospital nying watapata ajira huko. Au wataenda Rwanda kuna green pasture.

    12. #10
      JACADUOGO2.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 762
      Rep Power : 579
      Likes Received
      173
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Watu wengine hawastahili kuwa humu JF!
      Unstoppable likes this.

    13. #11
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By Don Draper
      Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
      Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

      Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.



      Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka
      Haya ni maneno yako au ya Dr. Ulimboka ? Sijaelewa
      Unstoppable likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    14. #12
      NATA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2007
      Posts : 4,255
      Rep Power : 8416
      Likes Received
      1133
      Likes Given
      390

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By Don Draper
      Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
      Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

      Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

      Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka
      Hapa Weredi unasumbua sana!
      BAK likes this.

    15. #13
      Blessing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 261
      Rep Power : 565
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Naomba kuuliza kwani kwa nini JENGO KUBWA YA BUNGE ???? THIS IS ABUSE OF TANZANIANS RESOURCES. Hiyo Bunge kuna watu wangapi mpaka ijengwe kubwa kiasi hisho ??? Tunaona Wabunge awajii kwenye Bunge haasa mchana kwani wanaenda wapi ??? Na kama wanalipua POSHO hiyo POSHO ya nini wakati awakae Bungeni kutetea WATANZANIA ??? Tunaomba kujua kwa nini wamechenga Bunge Kubwa kiasi hicho ?? na imegaramia Shilingi ngapi wakati inakaa wazi na mtupu mpaka tena Bunge... Watanzania wanakufa na njaa kazi yao CCM nikupiga meza tuu. Tumechoka jamani ni aibu... Angalia Kenya Bunge yao ni kidogo kwani hawa VIOGOZI WETU WA CCM wana matatizo gani ? 10% inatuowa jamani.

    16. #14
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 523
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default

      Quote By Don Draper
      Kama ma daktari waliopo hawakubaliani na terms za serikali hapajaharibika neno.
      Nashauri wajiuzulu na serikali iajiri madaktari wapya ambao wako tayari kuendelea na kazi.

      Haiwezekani taifa la watu milioni 45 kuwa held hostage na kundi la watu ambao hawataki ku reason mbele ya meza ya majadiliano.

      Its about time serikali ikawa decisive na maamuzi. Wapo watu ambao wako stand by kuchukua hizo kazi za hawa jamaa zake akina Dr Ulimboka

      Mbunge wa NgoroNgoro analalamika kuwa wakina mama wajawazito wanajifungulia majumbani na watoto wamekufa kwa kukosa chanjo kutokana na kutokuwepo kwa vituo vya afya na wafanyakazi, kwa kuonyesha mfano tukuombe pamoja na sirikali yako sikivu muanze kuwapeleka hao walioko standby wakaanzie huko.
      Unstoppable likes this.

    17. #15
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By Don Draper
      wapo wanatafuta kazi mitaani
      Labda wewe na njaa zako.....madaktari hawana dhiki za hivyo tena usipotoshe watu hapa!
      Life without problems never make a strong and good person!

    18. #16
      MVENGEVENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 113
      Rep Power : 410
      Likes Received
      25
      Likes Given
      9

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By JACADUOGO2.
      Watu wengine hawastahili kuwa humu JF!
      nakubaliana nawe kama mtu hana hoja zenye mantiki humu JF waende vijiweni wakachonge huko.

    19. #17
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Ni kweli kuwa mgomo wa madaktari unatuathiri watanzania kwa ujumla wenye fedha na wasio na fedha, kinacho nisikitisha ni mapokezi ya jamii (makundi mbambali) hata katika mijadala inayoendelea humu, unaona kabisa mgawanyiko mkubwa ya jamii ya watanzania katika kutatua matatizo hata yaliyo ndani ya uwezo wetu. Hali ya suala hili ilipofikia sasa inahitaji umakini mkubwa hasa baada ya watu kuanza kutekwa na kuteswa, nilidhani wtz tungetumia muda huu kujifunza na kunagalia mustakabali ya nchi yetu bila kujali itikadi zetu na fani zetu. Madaktari wasome upepo unakoelekea, mapokezi ya jamii wanayoitetea katika mgomo unaoendelea, matokeo yake n,k aidha, serikali nayo itafakari kwa undani imani inayojengeka kuwa inahusika na tuhuma za kumtaka Dkt Uliombaka. Kwa upande mwingine sisi kama jamii, wataalam katika fani mbalimbali wanasiasa na viongozi tuliangalie hili suala sasa kwa jicho pevu, weledi na werevu ili kuondoa hisia kwa jamii ambayo imekata tamaa na kuweza kuamini chochote kwa kuwa wanaotakiwa kutoa taarifa za kweli kuhusu nini kipo nyuma ya mgomo huu hawako tayari.


      Madaktari wakae watafakari, juu ya mkakati wanaoutumia ambao kwa sasa inaonyesha total failure na kujipanda kwa njia mbadala isiyo kuwa na mtazamo wa kiubabe bali utalaama na dhamira ilyowazi kwa wote siyo kama ilivyo sasa mgomo huu ni dkt Ulimboka.

    20. #18
      big niga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 369
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By Don Draper
      Nionyeshe wapi nimevunja sheria ja JAMII FORUMS zaidi ya kuwa na mawazo mbadala?

      acha kutisha watu hapa
      ....asikutishe bwana,hawa madakitari wanaojifanya wajanja ni wajinga sana wanajifikilia wao tu,waulize kama wanaweza fanya kazi bila nesi au mtu wa usingizi au driver wa kuwapeleka kazini,waache ubinafsi,wapo wengine ni majina tu kila akiingia theatre anatoka na maetrnal death,wengine wana vyeti feki tunawajua akifika hospital anataka uongozi tu uwezi muona anatibu mtu, hapa kitakachofuata ni kuwataja majina...ndugu yangu usibabaike na hawa wanaokutisha ndo wale wale

    21. #19
      Mfichua siri's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 355
      Likes Received
      17
      Likes Given
      8

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Topic Closed

    22. #20
      MPIGA ZEZE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 574
      Rep Power : 519
      Likes Received
      202
      Likes Given
      198

      Default Re: Dr Ulimboka: Bora serikali iajiri ma daktari wapya.

      Quote By Don Draper
      Nionyeshe wapi nimevunja sheria ja JAMII FORUMS zaidi ya kuwa na mawazo mbadala?

      acha kutisha watu hapa
      Ninapata shida kujua kama hii thinking ni ya kizazi kizee au kipya!!!??? Hawa akina Ulimboko wanatetea maslahi yao kama professionals na wakati huo huo wanatumia akili zao kutetea wananchi (ambao ni mbumbumbu, inaelekea na wewe umo katika kundi hilo) ili serikali iwatengenezee mazingira bora ya kupata huduma za afya - ni wajibu wa serikali kufanya hivyo wala sio msaada au hisani. Ukifukuza akina Ulimboko hujatatua tatizo la msingi - na nyie wapya mtakaoukuja mtafikia hatua ya kutambua kuwa profession yenu inadhalilishwa na mtaanza mgomo!!! Jamani wabongo tumieni bongo zenu badala ya ma.sa.bu.ri yenu. Ingekuwa ni jamii ya waliofumbuka macho wananchi wote tungewaunga mkono madaktari mpaka kieleweke.
      chama and Tetty like this.

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...