Kama walivyofanya na Arab SPRING sasa wanataka kutuletea African SUMMER. Sasa inavyoonekana Tanzania is not immune from this nonsense. Hakuna anayekataa mabadiliko lakini haya mambo ya kuchochea migomo na vurugu sidhali kuna serikali yoyote ile duniani (including hizo za magharibi) zitakubali.
Nashauri kuwa wanaotaka mabadiliko na wanaotaka kugoma wakae mezani na serikali na wajadiliane lakini pia wasikubali kutumiwa kuleta vurugu ndani ya nchi. Serkali naishauri ijaribu kuyamaliza haya mambo kwa amani ikishindikana ivunje mikataba yake na hawa waalimu na madaktari na iajiri wengine wapya baada ya kukubaliana terms.
Serikali nayo iwe wazi kueleza wazi kwa wananchi mazuri na mambo ambayo ishafanya kurekebisha hali maana inavyoonekana kuna one side of the story inayoelezwa na wanao clam kuwa wao ni victims.
Serikali nayo iwe wazi kuwapa ukweli hizi nchi za magharibu na kuzitaja na hizo civil service organisations ambazo zinasponsor hizi vurugu.

Reply With Quote


Follow Us Here