Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      Don Draper's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 138
      Rep Power : 383
      Likes Received
      62
      Likes Given
      25

      Default Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Kama walivyofanya na Arab SPRING sasa wanataka kutuletea African SUMMER. Sasa inavyoonekana Tanzania is not immune from this nonsense. Hakuna anayekataa mabadiliko lakini haya mambo ya kuchochea migomo na vurugu sidhali kuna serikali yoyote ile duniani (including hizo za magharibi) zitakubali.

      Nashauri kuwa wanaotaka mabadiliko na wanaotaka kugoma wakae mezani na serikali na wajadiliane lakini pia wasikubali kutumiwa kuleta vurugu ndani ya nchi. Serkali naishauri ijaribu kuyamaliza haya mambo kwa amani ikishindikana ivunje mikataba yake na hawa waalimu na madaktari na iajiri wengine wapya baada ya kukubaliana terms.

      Serikali nayo iwe wazi kueleza wazi kwa wananchi mazuri na mambo ambayo ishafanya kurekebisha hali maana inavyoonekana kuna one side of the story inayoelezwa na wanao clam kuwa wao ni victims.

      Serikali nayo iwe wazi kuwapa ukweli hizi nchi za magharibu na kuzitaja na hizo civil service organisations ambazo zinasponsor hizi vurugu.
      Barubaru likes this.


    2. #2
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,503
      Rep Power : 689
      Likes Received
      363
      Likes Given
      53

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Kabla ujalaumu Nchi za magharibi, waulize walokutuma haya
      1. Wao wake zao wanajifunguliaga wapi? Sisi wakwetu ni majumbani, njiani na kwenye wodi za msongomanao.

      2. Waulize watoto zao wanasomaga wapi? Sisi wa kwetu hata wenye div 3 kidato cha siku mwaka huu hawawezi jiungaga kwa tcu, mkopo hawapatagi, Primary na sekondari vitabu tabu, maabara hakuna na walim hawalipwi poa sana.

      3. Waulize wanatibiwa wapi? Sisi dawa, gloves tunanunua nje, na kukiwa na mgao no upasuaji, kama ni kansa mpaka tuje Dar. Na uhakika wa kupona ni mdogo.


      Waambie hayo ni machache kuna Ajira, Mashamba, Bei za Bidhaa, Kodi, Starehe etc.

      Usimlaumu Shetani kwa Tamaa zako za mwili.
      Usiwabebeshe magharibi mzigo wa Serikali yako dhaifu.

      Liwalo Na Liwe
      Indume Yene, Mag3, Mwalimu and 9 others like this.

    3. #3
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,552
      Rep Power : 813
      Likes Received
      715
      Likes Given
      64

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Huyu ni wa kumuacha tu, naona ndio vijana wa kazi, anataga thread kama malkia wa kumbikumbi. Leta hata credible theory.

    4. #4
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,431
      Rep Power : 1000
      Likes Received
      801
      Likes Given
      275

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Tusitafute mchawi bure wakati iko wazi kabisa kwamba ulegelege na udhaifu wa serikali yetu ndiyo kichocheo cha migomo katika sekta mbali mbali. Ni vizuri tume ya uchaguzi ipate fundisho kwamba kuwachagulia wananchi kiongozi matokeo yake ndiyo haya tunayoyaona sasa.
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    5. #5
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,907
      Rep Power : 22569
      Likes Received
      6522
      Likes Given
      2933

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Arguments za wenye akili huwa na ushahidi. Huku ni kubwata, na we should feel shame of our dirty words sometimes.
      Watu wanadai haki zao ambazo zipo kimaandishi, pia wanadai kuboreshwa kwa vifaa vya kutendea kazi, matokeo yake mnakuja wanapropaganda na kuzusha vitu baseless.
      Nincompoop! Wewe ni agent wa mfumo wa kibeberu na dawa ya watu wa aina yako ni KUNYONGWA.
      Mwanyasi likes this.


    6. #6
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Maumivu ya tumbo huanza taratibu! Maumivu yakizidi mwone daktari kabla hujachafua mazingira

    7. #7
      makoye2009's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Posts : 1,448
      Rep Power : 806
      Likes Received
      393
      Likes Given
      293

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Magamba's idea!

      Watu wakilalamika kuhusu ugumu wa maisha wametumwa na CHADEMA, Wafanyakazi wakigoma sehemu zao za kazi wametumwa na WAPINZANI, Madaktari wakigoma wanachochewa na nchi za Magharibi. Huu ni ujinga na upuuzi. HAKUNA CHA CHADEMA,HAKUNA CHA UPINZANI WALA HAKUNA CHA NCHI ZA MAGHARIBI.

      HEBU WATANZANIA AMKENI TOKA USINGIZINI. HAPA ANAYECHOCHEA MIGOGORO NA VURUGU ZOTE HIZI NI SERIKALI YA CHAMA CHA MAGAMBA MAANA NI SERIKALI DHAIFU SANA AMBAYO IMESHINDWA KUTAWALA NA SASA IMEAMUA KUTUMIA UDIKTETA(DICTATORSHIP) KUTAWALA! HUU NI UTAWALA WA MABAVU AMBAO KILE SERIKALI WANACHOAMUA NDICHO HICHOHICHO WHETHER YOU LIKE IT OR NOT!

      Purely barbaric,purely dictatorship.

      Najua Magamba hawatakubaliana na hili lakini ni ukweli ulio wazi kabisa
      .
      Uwezo Tunao likes this.

    8. #8
      MVENGEVENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th September 2011
      Posts : 113
      Rep Power : 414
      Likes Received
      25
      Likes Given
      9

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Quote By Don Draper View Post
      Kama walivyofanya na Arab SPRING sasa wanataka kutuletea African SUMMER. Sasa inavyoonekana Tanzania is not immune from this nonsense. Hakuna anayekataa mabadiliko lakini haya mambo ya kuchochea migomo na vurugu sidhali kuna serikali yoyote ile duniani (including hizo za magharibi) zitakubali.

      Nashauri kuwa wanaotaka mabadiliko na wanaotaka kugoma wakae mezani na serikali na wajadiliane lakini pia wasikubali kutumiwa kuleta vurugu ndani ya nchi. Serkali naishauri ijaribu kuyamaliza haya mambo kwa amani ikishindikana ivunje mikataba yake na hawa waalimu na madaktari na iajiri wengine wapya baada ya kukubaliana terms.

      Serikali nayo iwe wazi kueleza wazi kwa wananchi mazuri na mambo ambayo ishafanya kurekebisha hali maana inavyoonekana kuna one side of the story inayoelezwa na wanao clam kuwa wao ni victims.

      Serikali nayo iwe wazi kuwapa ukweli hizi nchi za magharibu na kuzitaja na hizo civil service organisations ambazo zinasponsor hizi vurugu.
      Nonsense!! unakuwa kilaza matatizo mnayajua ni nini unawatupia nchi za magharibi,shame on you!

    9. #9
      mzalendokweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 359
      Rep Power : 432
      Likes Received
      86
      Likes Given
      56

      Default

      Quote By Don Draper View Post
      Kama walivyofanya na Arab SPRING sasa wanataka kutuletea African SUMMER. Sasa inavyoonekana Tanzania is not immune from this nonsense. Hakuna anayekataa mabadiliko lakini haya mambo ya kuchochea migomo na vurugu sidhali kuna serikali yoyote ile duniani (including hizo za magharibi) zitakubali.

      Nashauri kuwa wanaotaka mabadiliko na wanaotaka kugoma wakae mezani na serikali na wajadiliane lakini pia wasikubali kutumiwa kuleta vurugu ndani ya nchi. Serkali naishauri ijaribu kuyamaliza haya mambo kwa amani ikishindikana ivunje mikataba yake na hawa waalimu na madaktari na iajiri wengine wapya baada ya kukubaliana terms.

      Serikali nayo iwe wazi kueleza wazi kwa wananchi mazuri na mambo ambayo ishafanya kurekebisha hali maana inavyoonekana kuna one side of the story inayoelezwa na wanao clam kuwa wao ni victims.

      Serikali nayo iwe wazi kuwapa ukweli hizi nchi za magharibu na kuzitaja na hizo civil service organisations ambazo zinasponsor hizi vurugu.
      Wewe humpi mumeo stahik zake za ndoa alafu akilalamika "ooh najua mama juma ndio anakuchochea"!
      Timiza wajibu wako kwanza

    10. #10
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Msijisumbue kumjibu huyu kilaza.....hana kazi ya kufanya huyu.....yaani amefungua masredi mengi afu hayana kichwa wala miguu.....na akifungua harudi tena anaenda kufungua nyingine.....huyu naona Nape atakuwa anampa elfu tano kwa siku!
      Mwanyasi likes this.
      Life without problems never make a strong and good person!

    11. #11
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2617
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      haya maneno yanatoka kwenye mdomo wako huo huo wa kulia ugali au ule mwengine?? shame on you!

    12. #12
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 972
      Rep Power : 585
      Likes Received
      196
      Likes Given
      52

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Kaangalie haka kajibwa koko kanavyo bweka!

    13. #13
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 987
      Likes Received
      709
      Likes Given
      400

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Cyprian Musiba upupuz@ work!

      Ujinga mtupu.

      Kiganyi, JF.
      Mwanzo - ---------------

    14. FJM is offline
      FJM
      #14
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,213
      Rep Power : 2580
      Likes Received
      5344
      Likes Given
      4607

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Quote By Don Draper View Post
      Kama walivyofanya na Arab SPRING sasa wanataka kutuletea African SUMMER. Sasa inavyoonekana Tanzania is not immune from this nonsense. Hakuna anayekataa mabadiliko lakini haya mambo ya kuchochea migomo na vurugu sidhali kuna serikali yoyote ile duniani (including hizo za magharibi) zitakubali.

      Nashauri kuwa wanaotaka mabadiliko na wanaotaka kugoma wakae mezani na serikali na wajadiliane lakini pia wasikubali kutumiwa kuleta vurugu ndani ya nchi. Serkali naishauri ijaribu kuyamaliza haya mambo kwa amani ikishindikana ivunje mikataba yake na hawa waalimu na madaktari na iajiri wengine wapya baada ya kukubaliana terms.

      Serikali nayo iwe wazi kueleza wazi kwa wananchi mazuri na mambo ambayo ishafanya kurekebisha hali maana inavyoonekana kuna one side of the story inayoelezwa na wanao clam kuwa wao ni victims.

      Serikali nayo iwe wazi kuwapa ukweli hizi nchi za magharibu na kuzitaja na hizo civil service organisations ambazo zinasponsor hizi vurugu.
      Don Draper, kuwa mwangalifu na mtu unayemtuhumu. Serikali ya CCM kama si nchi za magharibu itazama kimoja. Kila kukicha inatembeza bakuli nchi za magharib ikiomba fedha. Sasa mnajidai hamnazo na iko hatari ya kukata mkono unakulisha. Hizi propaganda kama CCM hamkuwa makini itakula kwenu.

    15. #15
      UmkhontoweSizwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2008
      Posts : 2,070
      Rep Power : 949
      Likes Received
      572
      Likes Given
      327

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Mtazisingia na nchi za magharibi wakati haya yote ni matokeo ya udhaifu wenu wenyewe.

    16. #16
      masopakyindi's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 3,875
      Rep Power : 4227
      Likes Received
      1045
      Likes Given
      429

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Siyo siri hata mitandao kama hii ya JF na FB inatumika.
      LEO ,JF ukurasa woote wa siasa ni Ulimboka.
      The message is clear-INCITE!

    17. #17
      mzalendokweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 359
      Rep Power : 432
      Likes Received
      86
      Likes Given
      56

      Default

      Quote By sweetlady View Post
      Msijisumbue kumjibu huyu kilaza.....hana kazi ya kufanya huyu.....yaani amefungua masredi mengi afu hayana kichwa wala miguu.....na akifungua harudi tena anaenda kufungua nyingine.....huyu naona Nape atakuwa anampa elfu tano kwa siku!
      Kweli dadaangu huez jua labla ni Nape mwenyewe mana wanasema in internet world u ll never knw who u er talkin 2 z a dog.
      Mwanyasi likes this.

    18. #18
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 2,014
      Rep Power : 892
      Likes Received
      252
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By Don Draper View Post
      Kama walivyofanya na Arab SPRING sasa wanataka kutuletea African SUMMER. Sasa inavyoonekana Tanzania is not immune from this nonsense. Hakuna anayekataa mabadiliko lakini haya mambo ya kuchochea migomo na vurugu sidhali kuna serikali yoyote ile duniani (including hizo za magharibi) zitakubali.

      Nashauri kuwa wanaotaka mabadiliko na wanaotaka kugoma wakae mezani na serikali na wajadiliane lakini pia wasikubali kutumiwa kuleta vurugu ndani ya nchi. Serkali naishauri ijaribu kuyamaliza haya mambo kwa amani ikishindikana ivunje mikataba yake na hawa waalimu na madaktari na iajiri wengine wapya baada ya kukubaliana terms.

      Serikali nayo iwe wazi kueleza wazi kwa wananchi mazuri na mambo ambayo ishafanya kurekebisha hali maana inavyoonekana kuna one side of the story inayoelezwa na wanao clam kuwa wao ni victims.

      Serikali nayo iwe wazi kuwapa ukweli hizi nchi za magharibu na kuzitaja na hizo civil service organisations ambazo zinasponsor hizi vurugu.
      Unawapotezea muda watanzania kujadili mawazo yako na sio uhalisia Kama unavyotaka kutuaminisha.

    19. #19
      Mwanyasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Karibu na wewe
      Posts : 1,059
      Rep Power : 845
      Likes Received
      505
      Likes Given
      987

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Quote By masopakyindi View Post
      Siyo siri hata mitandao kama hii ya JF na FB inatumika.
      LEO ,JF ukurasa woote wa siasa ni Ulimboka.
      The message is clear-INCITE!
      Wewe endelea kula kyindi na mabhifu ya huruma!
      "Hata siku moja mkaa hauuzwi supermarket" - Mpoki

    20. #20
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,880
      Rep Power : 2982
      Likes Received
      484
      Likes Given
      320

      Default Re: Nchi za Magharibi zinachochea migomo na vurugu Tanzania

      Huyu mtu amenikera kweli leo, yaani kabandika thread nyingi halafu zote ni pumba point, utafikiri kagongwa

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...