Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Huu mgomo unatupeleka wapi na tutafsiri nini?

    Report Post
    Results 1 to 3 of 3
    1. #1
      Makame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2008
      Posts : 513
      Rep Power : 684
      Likes Received
      57
      Likes Given
      23

      Default Huu mgomo unatupeleka wapi na tutafsiri nini?

      TASWIRA
      1.AMRI YA MAHAKAMA IMEVUNJGOMA. SASA SIJUI KAMA KUNA HESHIMA KWA VYOMBO VYETU VYA SHERIA KWENYE HILI?
      2. PINDA NA SERIKALI HAWAJATEKELEZA KWA UKAMILIFU MATAKWA YA MADAKTARI.
      3. ULIMBOKA KATANDIKWA KICHAPO AMBACHO SIJAPATA KUONA TANGU KUZALIWA.
      4. MGONGANO WA MASLAHI BAINA YA MADAKTARI NA SERIKALI UNAELEKEA KUONDOA UWEZEKANO WA MAJADILIANO.
      5. MADAKTARI WENGI SASA WANAGOMA; NA WENGINE WANAFUKUZWA KAZI.
      6.WANYONGE WANAKOSA TIBA, NA WENGINE WATAKUFA. AKINA PINDA NA WENZAO HAWAENDI BUGANDO WALA MWANANYAMALA. NDUGU ZETU AMBAO PIA NI NDUGU ZA MADAKTARI WATAATHIRIKA

      TUNATABIRI NINI?

      1. MAAFA na MAGONJWA.
      2. PENGINE SEKTA NYENGINE ZIKAJIUNGA.
      3. SERIKALI BAADA YA KUFIKIRIA MAENEO MENGINE YA KIMKAKATI, INAJIKUTA INASHUGHULISHWA NA MIGOMO

      UFUMBUZI

      BUSARA ITUMIKE. BUSARA NI BORA KULIKO VIBURI WALA JEURI. WAUNGWANA WAJADILIANE. MADAKTARI WATAFAKARI MAAFA KWA WAHANGA WA MGOMO WAO. TUDUMISHE AMANI
      God made Man, Man made Money, Money made man mad!


    2. #2
      Makame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2008
      Posts : 513
      Rep Power : 684
      Likes Received
      57
      Likes Given
      23

      Default Re: Huu mgomo unatupeleka wapi na tutafsiri nini?

      Na hii thread nimeinyanyua kuelezea hali

      Watoto Zaidi ya 20 Wameuawa Hosipitali ya Amana Jana Usiku, Inatisha Jamani

      Kwa kweli yanayotendeka nchi hii yanatisha sana. Leo Dsm kuna vilio vingi kutokana na watoto wengi kufa jana hosipitali ya Amana kwa kile kinachoelezwa kunyimwa huduma ya oxygen na madaktari. Dada mmoja akibubujikwa na machozi alinieleza kuwa alijifungua jana mchana akiwa salama kabisa na mtoto akaishi kwa masaa 8. Anasema mtoto wake alikuwa amewekewa oxygen ili isaidie mapafu yake maana katika kuzaliwa alimeza maji nadhani. Anasema madaktari waliingia usiku wakachomoa oxygen kwa watoto zaidi ya 20 na wote wamefariki dunia. Naomba kama kuna watu wahusika hapa ikiwemo wanasiasa watusaidie maana kama hali ndio hii watoto wanakufa bure bila kosa. Katika kusaidia nimejaribu angalao kutafuta huduma ya postmortem hosipitali binafsi bila mafanikio angalao tungethibitisha chanzo cha kifo tugeweza kuchukua hatua zaidi.

      Inasikitisha sana jamani na kila mtu mwenye moyo wa huruma atatokwa machozi. Hii inaonekana inasababishwa na madaktari wenye frustration na Kupigwa Dr Ulimboka. Sijui nini kifanyike!

      Source: Mhusika aliyefiwa na mtoto Amana
      God made Man, Man made Money, Money made man mad!

    3. #3
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Huu mgomo unatupeleka wapi na tutafsiri nini?

      Hivi sasa tunaenda kuzika mtoto wa rafiki yetu amekufa kwa sababu serikali imekataa kukaa na madaktari

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...