Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

    Report Post
    Results 1 to 20 of 20
    1. #1
      WOWOWO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Posts : 561
      Rep Power : 595
      Likes Received
      348
      Likes Given
      266

      Default Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Niko kwenye Ofisi moja ya Serikali hapa Posta kuna jamaa anatoa stori kuwa Mbunge wa Wawi (CUF) Hamad Rashid na Mfanyabiashara mwenye kashfa lukuki Yusuph Manji wako mbioni kuanzisha kampuni ya Simu za mkononi ya Talk-tel. Jamaa anaeleza kuwa hata kwenye Kampuni ya Zantel Bw. Manji ana shares nyingi kuliko mtu yeyote.

      Jamaa huyo ametoa taarifa nyingine iliyonishtua kwamba, Spika wa Bunge Anne Makinda ni makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania!

      I have no comment, any one with exclusive details on this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Andre02150's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd February 2010
      Posts : 100
      Rep Power : 492
      Likes Received
      26
      Likes Given
      57

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      well and good..we'll probably get the best phone services at a low cost as opposed to tigo & airtel wanaotuibia mchana kweupe na deal zao za kuongea kwa robo shilling after 11pm

    4. #3
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 958
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      2015 is not far, soon we will take action against corrupt criminal like those one's
      Jasusi likes this.
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    5. #4
      Ndumbayeye's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2009
      Posts : 1,062
      Rep Power : 737
      Likes Received
      97
      Likes Given
      805

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      ajabu gani!
      I HAVE SPOKEN

    6. #5
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,445
      Rep Power : 19777
      Likes Received
      4284
      Likes Given
      1187

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Air time juu, biashara inalipa

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      MKALIKENYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 703
      Rep Power : 499
      Likes Received
      281
      Likes Given
      403

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Hamad rashid ni share holder wa kampuni ya 4G MOBILE yupo na KARAMAGI na watu wengine kama watano si hiyo TALKTEL ya manji.

    9. #7
      Ringo Edmund's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2010
      Location : MDAWI
      Posts : 3,670
      Rep Power : 1360
      Likes Received
      885
      Likes Given
      586

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Wew unayeshangaa haya ndo mimi nakushangaa.
      ​kusema ni fedha na kusikilizwa ni zahabu.

    10. #8
      JahGun's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Posts : 72
      Rep Power : 418
      Likes Received
      15
      Likes Given
      20

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Hii kampuni ipo kweli lakini watu wake wote wote wamekaa kitapeli tapeli hawaeleweki kuna kipindi nilishafika ofisini kwao walikuwa wanahitaji laptops 5 za kuanzia kazi wako Kawe wamepangisha nyumba ya Basil Mramba na Upande mwingine nyumba ya Hamad Rashid ziko mtaa mmoja zinaangaliana.

    11. #9
      wakuziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 123
      Rep Power : 581
      Likes Received
      42
      Likes Given
      43

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      pana ubaya gani watu kuanzisha kampuni ya cm. kama una madai dhidi ya mtu yaanike kwa ushahidi. ACHA WIVU WA KIJINGA! AU KWA SBB MANJI HAELEWANI NA MENGI mchagga mwenzio?

    12. FJM
      #10
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Quote By WOWOWO
      Niko kwenye Ofisi moja ya Serikali hapa Posta kuna jamaa anatoa stori kuwa Mbunge wa Wawi (CUF) Hamad Rashid na Mfanyabiashara mwenye kashfa lukuki Yusuph Manji wako mbioni kuanzisha kampuni ya Simu za mkononi ya Talk-tel. Jamaa anaeleza kuwa hata kwenye Kampuni ya Zantel Bw. Manji ana shares nyingi kuliko mtu yeyote.

      Jamaa huyo ametoa taarifa nyingine iliyonishtua kwamba, Spika wa Bunge Anne Makinda ni makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania!

      I have no comment, any one with exclusive details on this.
      WOWOWO, unakumbuka siku chache kulikuwa na mjadala wa 'promotion? Angalia kwenye website ya Vodacom kama utaona 'Corporate" information za kampuni na hasa board of Directors. Lakini Safaricom - Kenya kila kitu kipo wazi!
      WOWOWO likes this.

    13. #11
      REMSA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 1,479
      Rep Power : 858
      Likes Received
      458
      Likes Given
      754

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      so what!!!!!!

    14. #12
      Macos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Posts : 777
      Rep Power : 717
      Likes Received
      167
      Likes Given
      13

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Quote By WOWOWO
      Niko kwenye Ofisi moja ya Serikali hapa Posta kuna jamaa anatoa stori kuwa Mbunge wa Wawi (CUF) Hamad Rashid na Mfanyabiashara mwenye kashfa lukuki Yusuph Manji wako mbioni kuanzisha kampuni ya Simu za mkononi ya Talk-tel. Jamaa anaeleza kuwa hata kwenye Kampuni ya Zantel Bw. Manji ana shares nyingi kuliko mtu yeyote.

      Jamaa huyo ametoa taarifa nyingine iliyonishtua kwamba, Spika wa Bunge Anne Makinda ni makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania!

      I have no comment, any one with exclusive details on this.
      WOWOWO wowowo kweli..sasa wewe wabongo wanaongea mangapi mitaani..sasa wewe kila story ya mitani unataka kutujazia server yetu....
      kawambie hakuna ajab kwa wao kufungua company ya simu...watu watapata kazi na serikali itapata kodi
      na manji hana chake zantel , hiyo inamiliokiwa na SMZ 17%, MICO 22% AND THE REST OWNED BY ETISALAT OF DUBAI

    15. #13
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 577
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      mwmbie babko naye aende akajiunge

    16. #14
      umsolopagaz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 73
      Rep Power : 373
      Likes Received
      11
      Likes Given
      17

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      ....tatizo ni hamadi rashid, mzanzibar, kuwa sehem ya uwekezeshaji huo wakati punde tu..! sisi watanganyika na wao wazanzibar, tunaingia kwenye transition period kwa lengo la "kugawana mbao"... hii itakuwa ni nyongeza ktk shida tutakazokabiliana nazo ktk kipindi hiko...

    17. #15
      Remmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2009
      Location : home
      Posts : 4,339
      Rep Power : 7766
      Likes Received
      1543
      Likes Given
      1792

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Quote By Ringo Edmund
      Wew unayeshangaa haya ndo mimi nakushangaa.
      hahahaaaaaa............
      ama......tupo tofauti.

    18. #16
      mayenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2009
      Posts : 1,564
      Rep Power : 806
      Likes Received
      305
      Likes Given
      437

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Si ajabu Makinda kuwa Makamu wa bodi ya Vodacom,kama mnakumbuka hata Msekwa aliwahi kuwa mjumbe wa bodi na alikuwa na share moja.Hii ndiyo bongo bwana.

    19. #17
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,966
      Rep Power : 1216
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Sijaona cha kushanganza hapo wacha watu wa wekeze nyumbani sema kama unachuki nao binafsi

    20. #18
      Manyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 1,701
      Rep Power : 716
      Likes Received
      288
      Likes Given
      258

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Ha ha haa, Rais mstaafu mkapa alikuwa anasema Wivu wa Kijinga! japo simsapoti sana kwa sababu issue ni kwamba, asingekuwa mbunge angepata nafasi hiyo ya kuwa Makamu Mwenyekiti? Kama ndiyo haina issue, kama siyo basi hili ni tatizo, na ndicho kinaendelea sana Tanzania. Barick Group walimchagua mwapachu! Lakini jamaa ni jembe toka enzi za PwC!

    21. #19
      chilubi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Posts : 987
      Rep Power : 8079
      Likes Received
      195
      Likes Given
      3

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      Sasa kwani kuna ubaya gani akianzisha iyo kampuni?? Waswahili bana!! Na ishu ya hamad rashid kuanzisha kampuni ya simu sio leo tu, ipo kitambo sana tu!! Pole ndugu, haya kesho njoo utufungulie mada kikwete kanunua boti ya sea xpress, mana ata sijui waswahili wana nini, pesa yake mwenyewe kisha unataka kimpangia vya kitumia, unechuma nae? GET A LIFE

    22. #20
      tanfossil's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 2nd June 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 352
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Hamad Rashid na Yusuph Manji siri kubwa

      What is wrong with this? It is business after all? Watanzania endeleeni na kazi msikuwe na jealousy!

    23. Study Abroad

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...