Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

By
Marksman
huyu kamanda wa Polisi wa kanda Maalum Dsm naye ni fisadi tu. Anaporomosha gorofa pale Ilala makutano ya Pangani na Morogoro Streets karibu na Mahakama ya Mwanzo.
Tetesi zilizowahi kuzagaa ni kwamba alipata pesa nyingi akiwa Mbeya alipokuwa akiruhusu mihadarati kupitishwa na hata kutuma askari kusindikiza au kupokea magari yaliyobeba sheheni hiyo.
Hilo gorofa inasemekana ni la shemeji yake, wengine wanasema ni swahiba tu aitwaye Issa, au maarufu Mister Kep. Wote hawa kwao Kondoa.
Hivyo ili aendelee kula matunda juu ya migongo ya Watanzania masikini, serikali inamuach tu, kwani analipa fadhila kwa kufunika madudu mengi tu ya wakubwa hapa jijini, zikiwemo kashfa zao za ngono, za traffic accidents na hata za mauaji.
Nyingine ni kama hii ya sasa ya Dr Ulimboka -- ni lazime aitetee serikali na timu ya uchunguzi aliosema ameunda kuchunguza itakuwa ni ya magumashi tu.
Mkuu ebu jipange vizuri tukuelewe..
"Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za kupigia kura limekamatwa Tunduma" Dk W. Slaa
Follow Us Here