Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 42
    1. #1
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi?

      huyu kamanda wa Polisi wa kanda Maalum Dsm naye ni fisadi tu. Anaporomosha gorofa pale Ilala makutano ya Pangani na Morogoro Streets karibu na Mahakama ya Mwanzo.

      Tetesi zilizowahi kuzagaa ni kwamba alipata pesa nyingi akiwa Mbeya alipokuwa akiruhusu mihadarati kupitishwa na hata kutuma askari kusindikiza au kupokea magari yaliyobeba sheheni hiyo.

      Hilo gorofa inasemekana ni la shemeji yake, wengine wanasema ni swahiba tu aitwaye Issa, au maarufu Mister Kep. Wote hawa kwao Kondoa.

      Hivyo ili aendelee kula matunda juu ya migongo ya Watanzania masikini, serikali inamuach tu, kwani analipa fadhila kwa kufunika madudu mengi tu ya wakubwa hapa jijini, zikiwemo kashfa zao za ngono, za traffic accidents na hata za mauaji.

      Nyingine ni kama hii ya sasa ya Dr Ulimboka -- ni lazime aitetee serikali na timu ya uchunguzi aliosema ameunda kuchunguza itakuwa ni ya magumashi tu.
      Mtumishi Wetu and Mwanamutapa like this.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person


    2. #2
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2888
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Eeeeeehhhhh 'mh mtoa mada,hayo maneno si mazuri,nakuheshimu'

    3. Ntu is offline
      Ntu
      #3
      Ntu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 93
      Rep Power : 411
      Likes Received
      25
      Likes Given
      84

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Mkuu tupiamo tupicha!

    4. #4
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,834
      Rep Power : 1403
      Likes Received
      842
      Likes Given
      184

      Default

      Quote By Ntu View Post
      Mkuu tupiamo tupicha!
      bila tupicha hayo ni mang'ana !

    5. #5
      kamili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th February 2011
      Posts : 246
      Rep Power : 472
      Likes Received
      59
      Likes Given
      181

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Amepata kutokana na intelijensia.
      Kichuguu likes this.


    6. #6
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,358
      Rep Power : 1848
      Likes Received
      1412
      Likes Given
      0

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Umafya anaofanya unamlipa

    7. #7
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,543
      Rep Power : 42522
      Likes Received
      5076
      Likes Given
      4243

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Hii ni taarifa ya kiintelijinsia!

    8. #8
      cement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Location : Tanganyika-Dar es salaam
      Posts : 438
      Rep Power : 446
      Likes Received
      152
      Likes Given
      173

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Kwikwi kwi hizi ndo habari auwiiiiii hebu tupia picha aiseee kapata wapi pesa tumfanyie calculation kutokana na anachokipata na ujenzi wa ghorofa hy,kapata wapi hela za kununua kiwanja hicho ambacho ni zaidi ya Ml 500?????

    9. #9
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,445
      Rep Power : 931
      Likes Received
      843
      Likes Given
      1599

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Hivi kwanini watu wenye tittle serikalini wakifanya kitu huwa tuna link na ufisadi? ni kweli kuna ambao kweli ni mafisadi lakini kuna ambao sio. Tatizo tumekuwa nchi ya kijamaa muda mrefu na tumesahau kwamba siku hizi mtu unaweza chukua mkopo pia na kufanya biashara huku unafanya kazi. Kama ni suala la ufisadi hata humu JF jamaa wakishuka na kufanyia uchunguzi utakuta mafisadi ni wengi, hata kama umejenga chumba na sebule kwa milioni 6 lakini wakilinganisha na kipato chako na muda uliokaa kazini unaweza kuwa ni fisadi. Ufisadi sio kwa viongozi tu hata huku uswahilini. Mtoa mada nadhani bado ana fikra kwamba unapokuwa mfanyakazi unatakiwa huishi maisha flani hivi.

    10. #10
      Mwakalinga Y. R's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd October 2008
      Location : UVUNGUNI
      Posts : 2,180
      Rep Power : 979
      Likes Received
      931
      Likes Given
      2307

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      source pleaz...
      “Even the smallest person can change the course of the future.”-Galadriel


    11. #11
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,788
      Rep Power : 13847
      Likes Received
      430
      Likes Given
      569

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Itakuwa ni pesa za Kichapo Kitakatifu cha Dr Ulimboka.

    12. #12
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 581
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      hata zzzzombe uzoefu wa uhalifu alifundwa na huyo kamanda

    13. #13
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,187
      Rep Power : 12766
      Likes Received
      6431
      Likes Given
      991

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Quote By Marksman View Post
      huyu kamanda wa Polisi wa kanda Maalum Dsm naye ni fisadi tu. Anaporomosha gorofa pale Ilala makutano ya Pangani na Morogoro Streets karibu na Mahakama ya Mwanzo.

      Tetesi zilizowahi kuzagaa ni kwamba alipata pesa nyingi akiwa Mbeya alipokuwa akiruhusu mihadarati kupitishwa na hata kutuma askari kusindikiza au kupokea magari yaliyobeba sheheni hiyo.

      Hilo gorofa inasemekana ni la shemeji yake, wengine wanasema ni swahiba tu aitwaye Issa, au maarufu Mister Kep. Wote hawa kwao Kondoa.

      Hivyo ili aendelee kula matunda juu ya migongo ya Watanzania masikini, serikali inamuach tu, kwani analipa fadhila kwa kufunika madudu mengi tu ya wakubwa hapa jijini, zikiwemo kashfa zao za ngono, za traffic accidents na hata za mauaji.

      Nyingine ni kama hii ya sasa ya Dr Ulimboka -- ni lazime aitetee serikali na timu ya uchunguzi aliosema ameunda kuchunguza itakuwa ni ya magumashi tu.



      Mkuu ebu jipange vizuri tukuelewe..
      "Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za kupigia kura limekamatwa Tunduma" Dk W. Slaa

    14. #14
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 19,187
      Rep Power : 12766
      Likes Received
      6431
      Likes Given
      991

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Quote By Ecoli View Post
      Itakuwa ni pesa za Kichapo Kitakatifu cha Dr Ulimboka.
      "Kuna kontena la futi 40 lilobeba karatasi za kupigia kura limekamatwa Tunduma" Dk W. Slaa

    15. #15
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 5,125
      Rep Power : 6961
      Likes Received
      1169
      Likes Given
      162

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Intelejinsia inamlipa sana
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    16. #16
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 639
      Likes Received
      160
      Likes Given
      0

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Kesi ya Lile Kontena la Madawa Ya kulevya mbona kimyaa. Labdaa!
      Mtumishi Wetu likes this.

    17. #17
      Ulukolokwitanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th September 2010
      Location : ndzengelendete
      Posts : 2,774
      Rep Power : 5974
      Likes Received
      1504
      Likes Given
      283

      Default

      Quote By Jodoki Kalimilo View Post
      Hivi kwanini watu wenye tittle serikalini wakifanya kitu huwa tuna link na ufisadi? ni kweli kuna ambao kweli ni mafisadi lakini kuna ambao sio. Tatizo tumekuwa nchi ya kijamaa muda mrefu na tumesahau kwamba siku hizi mtu unaweza chukua mkopo pia na kufanya biashara huku unafanya kazi. Kama ni suala la ufisadi hata humu JF jamaa wakishuka na kufanyia uchunguzi utakuta mafisadi ni wengi, hata kama umejenga chumba na sebule kwa milioni 6 lakini wakilinganisha na kipato chako na muda uliokaa kazini unaweza kuwa ni fisadi. Ufisadi sio kwa viongozi tu hata huku uswahilini. Mtoa mada nadhani bado ana fikra kwamba unapokuwa mfanyakazi unatakiwa huishi maisha flani hivi.
      Kwa hiyo unahalalisha ufisadi sio kwa kuwa hata humu wamo?? Hii nchi machizi mko wengi sana. Kwa mshahara wa polisi jinsi ulivyo Kova hajafikisha hata mshahara wa 2M, leo utudanganye anakopesheka kwa 500M unatuona wajinga eeeh. Tunaelewa ili ukopesheke lazima uwe na collaterals na uwezo wa kulipa sio tu kila mtu anakopesheka na kwa bongo cheo cha kova hakimfanyi apate mkopo zaidi ya hutu tumikopo tudogo twa up to 20M. Ingekuwa nchi hii inafuatA utawala wa sheria tungemchunguza Kova na kuangalia kodi anazolipa TRA kwa mwaka na kuhusisha na kipato chake na jengo. Kila kipato halali kinatakiwa kuendana na kodi halali. But CCM hawafanyi hivyo kulinda mfumo fisadi wanaonufaika nao
      Mr. Teacher likes this.

    18. #18
      Atukilia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2009
      Posts : 301
      Rep Power : 586
      Likes Received
      86
      Likes Given
      49

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      nadhani hoja isiwe kuwa anajenga ghorofa hoja iwe kama amepata fedha kwa njia chafu. Inamaana mtu akiba halafu akawa mwendo wa lager hatoshitakiwa kwa vile hakuna kinachoonekana?
      There is a thin line between madness and creativity

    19. #19
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,445
      Rep Power : 931
      Likes Received
      843
      Likes Given
      1599

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Quote By Ulukolokwitanga View Post
      Kwa hiyo unahalalisha ufisadi sio kwa kuwa hata humu wamo?? Hii nchi machizi mko wengi sana. Kwa mshahara wa polisi jinsi ulivyo Kova hajafikisha hata mshahara wa 2M, leo utudanganye anakopesheka kwa 500M unatuona wajinga eeeh. Tunaelewa ili ukopesheke lazima uwe na collaterals na uwezo wa kulipa sio tu kila mtu anakopesheka na kwa bongo cheo cha kova hakimfanyi apate mkopo zaidi ya hutu tumikopo tudogo twa up to 20M. Ingekuwa nchi hii inafuatA utawala wa sheria tungemchunguza Kova na kuangalia kodi anazolipa TRA kwa mwaka na kuhusisha na kipato chake na jengo. Kila kipato halali kinatakiwa kuendana na kodi halali. But CCM hawafanyi hivyo kulinda mfumo fisadi wanaonufaika nao
      Asante kwa kuniita chizi ila lengo la hoja yangu ilikuwa kubadili mtazamo nguvu ya kupiga ufisadi isiishie kwa viongozi wa juu tu hata huku mtaani kuna watu wa kawaida wanakula bata kwa fedha chafu na jamii kubwa inaona kawaida tena akipita mtaani jamaa yupo safi kuna deal alipiga ila kuna group la watu wakifanya ndio tunawaona wao ndio mafisadi. Inaeleweka ili ukope unahitaji collateral lakini hoja yangu hapa ni kwamba mtu anaweza kuchukua mkopo akafanya biashara ili kukuza kipato then baadae anafanya mambo makubwa lakini sijasema mkopo achukue ajenge mjengo kama huo mdau na ndio maana nikataja na umri wa mtu katika utumishi wake. HOJA HAPA HATA HAO VIONGOZI AMBAO NI MAFISADI KABLA YA KUWA VIONGOZI WALITOKA HUKU TULIPO NA KAMA NDIO TULIWALEA HIVYO JUHUDI ZA KUKEMEA PANDE ZOTE ZIFANYIKE JAPO HUWEZI KUONDOA KABISA. Usiumie kwa kumwita mwenzako chizi wakati sifa ya binadamu ni kutofautiana hoja na ndio maana tunafanya mikutano pia tunakutana humu JF kwani hoja ya mtu hata kama ina mapungufu kuna mwingine anaweza akapata point ya kuboresha (ndio maana tupo humu JF)

    20. #20
      sangija's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 433
      Likes Received
      25
      Likes Given
      110

      Default Re: Kova achunguzwe, gorofa analojenga Ilala pesa alipata wapi

      Quote By Bajabiri View Post
      Eeeeeehhhhh 'mh mtoa mada,hayo maneno si mazuri,nakuheshimu'
      Hahaahahahahah! umenchekesha sana usiku huu! make hio sentensi imetolewa na PM baada ya kubanwa swali gumu kujibika!!!! hahahahahah!!!!!!!!!!!!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...