Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

    Report Post
    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 172
    1. #1
      Vancomycin's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 168
      Rep Power : 461
      Likes Received
      108
      Likes Given
      22

      Default Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Taarifa ambazo zimethibitishwa zinatabanaisha kuwa madaktari walio katika uzoefu kazini, INTERN doctors wameanza kufukuzwa katika hospitali mbalimbali ambapo katika hospitali ya DODOMA madaktari 11 kati ya 33 wamefukuzwa na madaktari wote 70 waliokuwepo hospitali ya rufaa mbeya chini ya ulinzi mkali wa polisi wameambiwa waondoke kufikia saa 11 jioni ya leo wakati huo huo mkurugenzi wa hospitali ya BUGANDO amewafukuza madaktari wote 44 na kuwataka warudi wizarani wakati madaktari waliosajiriwa wameamuriwa kufika kesho wawe kazini au la wanafukuzwa.

      Wakati huo huo madaktari wakazi waliitwa na senate ya BUGANDO na kulazimishwa kurudi kazini lakini walikataa mbele ya senate hiyo hivyo wakaambiwa watafutiwa udahili wao na wote kwa pamoja wakapiga makofi wakisema wako tayari kwa hilo.

      Habari zaidi zinazidi kupasha kuwa hospitali ya Mwananyamala wameletewa fomu za kujaza kama wako tayari kuendelea na kazi au la,ila madaktari wamesimamia msimamo wao huo kuwa mgomo uko pale pale.

      Katika hatua nyingine CHUO CHA TIBA BUGANDO NA KILE CHA MUHIMBILI VIKO MBIONI KUFUNGWA kutoka na walimu wao ambao ni madaktari kugoma na mazingira kutokuwa rafiki kwa kujifunzia.

      Wakati hayo yakiendelea taarifa zinasema hsopitali ya Tanga BOMBO imeingia rasmi kwenye mgomo na ile ya MOUNT MERU

      Habari zaidi madaktari wanajiandaa kwa mass resignation muda wowote


      BAK, Papizo, Bantugbro and 14 others like this.
      'Kuuza Ardhi ni kuuza uhuru wetu na haki zetu kwa sababu tu viongozi wamechoka kufikiri' Said A. Arfi,CDM 22/11/'11


    2. Study Abroad

    3. #61
      Mshindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2009
      Location : Right Here!!
      Posts : 436
      Rep Power : 611
      Likes Received
      145
      Likes Given
      194

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
      Karibu jamvini, naona umejiunga leo ili nawe "useme openly"....pyuuu!!
      Sent from @non-smart phone.....bear with me

    4. #62
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
      Hebu sema ni njia gani wangetumia kuidai serikali yenye kiburi za dharau?

    5. #63
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,741
      Rep Power : 30189
      Likes Received
      4620
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By dosama
      Ndio hayo alipanga kuyasema bungeni ila la Olimboka likaingilia mikakati
      Tusiskie kiongozi kaenda kutibiwa india,wallah tena,atakufa mtu!

    6. #64
      Unstoppable's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 938
      Rep Power : 611
      Likes Received
      330
      Likes Given
      2041

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.


      Hapo juu kwenye red ndio ambalo haliwezekani kabisa. Serikali hii haijawahi kujipanga kwenye kitu chochote; so far huwa ina-act kwa kukurupushwa tu. The only option waliyonayo kwasasa ni kubakia kuwa omba omba kwa mataifa makubwa. In other-words; wamekidharau cha nyumbani lakini watakubali kudhalilishwa na wafadhili (kwakufanya kile wafadhili wanataka) ili wapate wanachoomba. Kwakifupi tunarudi kwenye ukoloni kwani, tumeshindwa kukaa wenyewe nakutatua matatizo yetu bila nguvu na jazba. Shame!!!!

      Lorah and Mojo Jay like this.

    7. #65
      KALEBE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Posts : 161
      Rep Power : 425
      Likes Received
      17
      Likes Given
      46

      Default kuweni na huruma

      kwani madaktari wanataka nini hasa mimi mbona sielewi je aliyosema waziri mwenye dhamana dr hussein mwinyi yana ukweli wake? na kama hayana ukweli kwa nini tufike hapa tulipo

    8. Miaka 50

    9. #66
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,638
      Rep Power : 11269
      Likes Received
      1460
      Likes Given
      570

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Kudadekiiiiiiiiiiiii!!!!!



      Mambo sasa yamekaa mahala pake!

    10. #67
      Babkey's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 1,980
      Rep Power : 912
      Likes Received
      396
      Likes Given
      162

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Muhimili 1 unagoma kujadili, kisa swala lipo katika muhimili mwingine... Ghafla muhimili mwingine unainuka na kuanza kutimua...
      Tz ni raha sana...

    11. #68
      Mojo Jay's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      6

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      asa una advice watumie iyo gharama kubwa kuleta doctors kutoka nje sioni unasolve vpi tatizo cause madai ya serikali ni kua hawana hela, sijui resources za kuwapa madaktari madai yao, asa wakiwafukuza wote afu wasafarishe doctors kutoka nje wa kutosha tzania nzima wawape na accomodation, tena hao doctors wa nje wa sha zoea vifaa na mazingira yanayofaa ki ka kazi, vitu ambavo hapa tzania hamna, na ndo moja ya sababau doctors wetu wanagoma iyo hela itokea wapi? kama serikali inaeza afford ilo basi izo hela wapewe tu hawa hawa doctors wetu yaishe,,,doctors hawagomi kwa dai moja tu la posho pia kwa vifaa vya hospital na mambo mengine ili waweze kuboresha huduma zao kwa wananchi...wapo upande wetu cause tuna haki ya kupata health service yenye quality na serikali ni duty yake kuprovide
      nyumba kubwa likes this.

    12. #69
      Lorah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 667
      Rep Power : 681
      Likes Received
      91
      Likes Given
      127

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Quote By kiliochangu
      Kazi kweli kweli. sidhani aliyetoa uamuzi wa kuwafukuza anafikiri kama ma doctor wataendelea na msimamo. usishangae kuona serkali iki-haha kutafuta njia za kutibu wagonjwa. Ndio mwanzo wa Movie picha ndo bado.
      Mwenye akii atumie akili yake 2015
      waache wakishawatimua ndo raha maana baada ya siku 2 watahaha kuwarudisha .. wakiwarudisha watadai mikataba mipya .. wakipewa ile ile watakataa kusaini kuwa hairidhishi... watawawekea matakwa yao halamu movie itaisha kwa serikali kushindwa....duh nimezinduka

    13. #70
      Lorah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 667
      Rep Power : 681
      Likes Received
      91
      Likes Given
      127

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Quote By Puppy
      Na kesho Bungeni utasikia wabunge wanasifu na kushukuru kwa hotuba nzuri ya Ofisi ya "Liwalo Na Liwe".


      Kama Noma na iwe Noma, nikiugua leo nakuzidiwa na kufariki kwa kukosa matibabu sitajilaum nitajiona shujaa katika mapinduzi haya Liwalo Na Liwe bwana.

      Bi. Kiroboto we endeleza kukataa miongozo sisi tutafunga Airpot sijui mtakimbia India kwa Gari au Lah.

      Ukiiona hii Bi Kiroboto kumbuka ile ulosema "Asiekuepo Na Lake Halipo", Wewe kichwani mwangu haupo, tukikutana Tahrir na lako ujue haliko.

      Getwell Soon Ulimboka

      kama sisi wazima tumeshindwa kujitoa mhanga kwa ndugu zetu walioko mahospitalini bsi tusubiri wao watajitoa mhanga kwa ajili yetu na sie tutasema zidumu fikra za serikali dhaifu.

    14. #71
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,086
      Rep Power : 14280
      Likes Received
      3978
      Likes Given
      3243

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Quote By Pombekali
      Tusiskie kiongozi kaenda kutibiwa india,wallah tena,atakufa mtu!
      Hapo Dar mnawalegezea...
      nyumba kubwa and Unstoppable like this.
      Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '





    15. #72
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,602
      Rep Power : 1103
      Likes Received
      997
      Likes Given
      747

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By MwanajamiiOne
      Hivi kwa mwendo huu miaka ijayo mbeleni wenetu watasomea udaktari kweli? Labda kama watakukuwa na uhakika wa ajira za Botswana
      sasa hv tujifunze zaidi tiba asili na dawa za kienyeji kwa mwendo huu twafa woteee maskini!!
      MwanajamiiOne likes this.
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    16. #73
      King2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2011
      Posts : 1,280
      Rep Power : 635
      Likes Received
      159
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Wow! Serikali inaongozwa na Wahuni so mambo lazma wayapeleke kihuni huni. This reminds me back to university.

    17. #74
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 477
      Rep Power : 463
      Likes Received
      71
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Kulaleki wale wa milembe wakigoma waanze bungeni fasta na bi kiroboto.

    18. SG8
      #75
      SG8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th December 2009
      Location : DSM
      Posts : 2,550
      Rep Power : 4176
      Likes Received
      771
      Likes Given
      730

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By gorretti54
      Mgomo utatengeneza mazingira mazuri ya wanetu kukimbilia fani ya udaktari....
      Exactly... Nimeshaanza maandalizi ya kukusanya fungu la kutosha ili My Four Year Old little asome Sayansi tangu Nursery mpaka atakapokuwa Phd ya Udaktari.... Kabisa.... Sio huu Ualimu ambao watu wako kwenye mgogoro na opportunity ime[atikana lakini yenyewe yamelala yanasubiri 10000 za Sensa...
      nyumba kubwa likes this.
      "Tumefika hapa kutokana na udhaifu wa Rais Kikwete,Uzembe wa Bunge na Upuuzi wa CCM"

    19. #76
      Azimio Jipya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Location : Universal Space Station
      Posts : 3,281
      Rep Power : 5414
      Likes Received
      1006
      Likes Given
      1731

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Quote By Elizabeth Dominic
      Nilishasema na naendelea kusema Watanzania/Tanganyika tusipoelekeza hasira zetu pahala sahihi tutaendelea kuumizwa, hii ndio nafasi ya ku vent hasira zetu na concern zote tulizonazo. Jamani time is now, Dr Ulimboka katuonyesha jinsi ya kudai haki na maslahi ya madaktari na Watanzania kwa ujumla.....lets follow suitMimi naamini ukombozi wa Mtanzania/Tanganyika utapatikana kwa roho za ujasiri watu kama Dr Ulimboka Kamanda Godbless Lema na wengine wote waliopoteza maisha au wanaoweka maisha yao hatarini ili tupate kushuhudia na kuikomboa nchi yetu
      @Elizabeth Dominic ... Jua kuwa nilielewa ulichosema!!
      Elizabeth Dominic likes this.
      Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
      "Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.


    20. #77
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,496
      Rep Power : 2078
      Likes Received
      1059
      Likes Given
      1568

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Bado tunahitaji kujifunza namna ya kutatua migogoro!!!! Nchi hii inakoelekea ni kubaya!!!!!!
      Unstoppable likes this.
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    21. #78
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      ​dada eliza mmmh picha yako inavutia

    22. #79
      gango2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Location : From Moshi
      Posts : 682
      Rep Power : 526
      Likes Received
      197
      Likes Given
      166

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By MwanajamiiOne
      Hivi kwa mwendo huu miaka ijayo mbeleni wenetu watasomea udaktari kweli? Labda kama watakukuwa na uhakika wa ajira za Botswana

      sasa kitugani cha ajabu hapo nawe!! si hawataki kufanya kazi waendeleee kukaa wanafanya nini?? walipwe mishahara bila kazi??
      MwanajamiiOne likes this.
      "Kama tunalipa wabunge sitting allowances, basi tulipe walimu standing allowance!"- Dr.Slaa

    23. #80
      Saimon Mapesa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Now days Tanzania , ili upate haki lazima kwanza Tugome, na lazima kwanza sisi tukubali kupoteza uhai wetu ili kizazi kijacho kiweze kuishi vizuri.

    24. FemaTV & Radio
    Page 4 of 9 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...