Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

    Report Post
    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 172
    1. #1
      Vancomycin's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 168
      Rep Power : 461
      Likes Received
      108
      Likes Given
      22

      Default Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Taarifa ambazo zimethibitishwa zinatabanaisha kuwa madaktari walio katika uzoefu kazini, INTERN doctors wameanza kufukuzwa katika hospitali mbalimbali ambapo katika hospitali ya DODOMA madaktari 11 kati ya 33 wamefukuzwa na madaktari wote 70 waliokuwepo hospitali ya rufaa mbeya chini ya ulinzi mkali wa polisi wameambiwa waondoke kufikia saa 11 jioni ya leo wakati huo huo mkurugenzi wa hospitali ya BUGANDO amewafukuza madaktari wote 44 na kuwataka warudi wizarani wakati madaktari waliosajiriwa wameamuriwa kufika kesho wawe kazini au la wanafukuzwa.

      Wakati huo huo madaktari wakazi waliitwa na senate ya BUGANDO na kulazimishwa kurudi kazini lakini walikataa mbele ya senate hiyo hivyo wakaambiwa watafutiwa udahili wao na wote kwa pamoja wakapiga makofi wakisema wako tayari kwa hilo.

      Habari zaidi zinazidi kupasha kuwa hospitali ya Mwananyamala wameletewa fomu za kujaza kama wako tayari kuendelea na kazi au la,ila madaktari wamesimamia msimamo wao huo kuwa mgomo uko pale pale.

      Katika hatua nyingine CHUO CHA TIBA BUGANDO NA KILE CHA MUHIMBILI VIKO MBIONI KUFUNGWA kutoka na walimu wao ambao ni madaktari kugoma na mazingira kutokuwa rafiki kwa kujifunzia.

      Wakati hayo yakiendelea taarifa zinasema hsopitali ya Tanga BOMBO imeingia rasmi kwenye mgomo na ile ya MOUNT MERU

      Habari zaidi madaktari wanajiandaa kwa mass resignation muda wowote


      BAK, Papizo, Bantugbro and 14 others like this.
      'Kuuza Ardhi ni kuuza uhuru wetu na haki zetu kwa sababu tu viongozi wamechoka kufikiri' Said A. Arfi,CDM 22/11/'11


    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Straight corner's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Posts : 177
      Rep Power : 466
      Likes Received
      18
      Likes Given
      23

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Nichukue fursa hii kuwaomba wenye hospitali binafsi wasitumie tatizo hili kunufaika kwa kupandisha gharama za matibabu badala yake wawakarim wagonjwa wetu.
      Lenja likes this.

    4. #42
      gongolamboto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st February 2011
      Posts : 153
      Rep Power : 448
      Likes Received
      26
      Likes Given
      36

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
      Wewe taahira sana. Unachoshangilia nini sasa!!!!!!
      A Conference is a gathering of important people who individually can't do
      anything but together can decide that nothing can be done

    5. #43
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,917
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      482
      Likes Given
      334

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Quote By Elizabeth Dominic
      Nilishasema na naendelea kusema Watanzania/Tanganyika tusipoelekeza hasira zetu pahala sahihi tutaendelea kuumizwa, hii ndio nafasi ya ku vent hasira zetu na concern zote tulizonazo. Jamani time is now, Dr Ulimboka katuonyesha jinsi ya kudai haki na maslahi ya madaktari na Watanzania kwa ujumla.....lets follow suit
      Mimi naamini ukombozi wa Mtanzania/Tanganyika utapatikana kwa roho za ujasiri watu kama Dr Ulimboka Kamanda Godbless Lema na wengine wote waliopoteza maisha au wanaoweka maisha yao hatarini ili tupate kushuhudia na kuikomboa nchi yetu
      Wananchi tumezidi kuwa kimya san..wengi tunaongelea hili suala majumbani mwetu na wengine nyuma ya kiibodi tu. Tunaoumia ni sisi cha ajabu sisi hao hao tuko kimya...Misri ilianza na mtu mmoja na sisi tuanze na DR. ULIMBOKA.
      Mchomamoto likes this.
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    6. #44
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,712
      Rep Power : 907
      Likes Received
      433
      Likes Given
      440

      Default

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
      Kweli ww hamnazo'eti kuanza upya c ujinga'..unajua elimu ya ma drs ni miaka 5 ww?unapoanza upya hao wagonjwa watatibiwa na nani?.do u think drs wakifukuzwa wanashida?kwa taarifa yako wanauwezo hata wa kuwa wafanyabiashara wazuri sana,...think b4 u write!
      Lenja likes this.

    7. #45
      backer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd December 2010
      Posts : 86
      Rep Power : 444
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      serikali iliyoingia madarakan kwa rushwa huwa hawajali.wabunge ml 10 kwa mwezi dr. Kumpa hata ml 2 ni dhambi? Sasa kuwafukuza hawa madr. Then ulete wa nje kwa gharama kubwa zaidi ya hawa waliopo ni akili au matope? Kumbe hata mh waziri mkuu nae yuko hivyo? Alichokuwa analia bungen kipindi cha albino kumbe ni sanaa tupu.duh nimeamin si kila aliae kilio kinatoka moyon.corrupted govenment can not run the country.

    8. Miaka 50

    9. #46
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 533
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Angel Msoffe
      Liwalo na liwe mzee wa mee ajiuzulu
      kauzu huyo mzee,zaidi ya dagaa,wakati mwingine sura ni roho aiseee....tuacheni utani,zee liko kama mamba sura ngumuu...roho mbaya ka nini sijui,malipo hapahapa iko siku itakua zamu yako ku feel maumivu

    10. #47
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,947
      Rep Power : 1531
      Likes Received
      745
      Likes Given
      237

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Quote By only83
      Mungu okoa Taifa hili.
      Taifa hili haliwezi kuokolewa bila sadaka ya damu ya wenye nchi!!

    11. #48
      backer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd December 2010
      Posts : 86
      Rep Power : 444
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      itakuwa kama srya mambo yalianza hivi hivi. Mwisho wa serikali hii dhaifu inayoshindwa kuchukua uamuzi mgum wa kusolve matatizo ya wananchi umezidi kusogea.

    12. #49
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2449
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Nadhani ni wakati wa taasisi ya human right na chama cha Chadema na wananchi kwa ujumla sasa kusimama na kuwatetea kwa namna yoyote ile

    13. #50
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1526
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Kutapatapa huku ndipo kutazidi kukoroga mambo. Hiyo meza moja imeshindikana kivipiii???? Hatujaambiwa hilo?
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    14. #51
      Kailanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 147
      Rep Power : 377
      Likes Received
      32
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
      kwani hao wanajeshi mnaojivunia si ndo' waliochemka last time? Endeeleeni kujazana ujinga!

    15. #52
      Puppy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2011
      Posts : 1,482
      Rep Power : 681
      Likes Received
      360
      Likes Given
      53

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Na kesho Bungeni utasikia wabunge wanasifu na kushukuru kwa hotuba nzuri ya Ofisi ya "Liwalo Na Liwe".


      Kama Noma na iwe Noma, nikiugua leo nakuzidiwa na kufariki kwa kukosa matibabu sitajilaum nitajiona shujaa katika mapinduzi haya Liwalo Na Liwe bwana.

      Bi. Kiroboto we endeleza kukataa miongozo sisi tutafunga Airpot sijui mtakimbia India kwa Gari au Lah.

      Ukiiona hii Bi Kiroboto kumbuka ile ulosema "Asiekuepo Na Lake Halipo", Wewe kichwani mwangu haupo, tukikutana Tahrir na lako ujue haliko.

      Getwell Soon Ulimboka

    16. #53
      Mchomamoto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th August 2011
      Posts : 169
      Rep Power : 425
      Likes Received
      22
      Likes Given
      133

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Kwa jinsi ninavyoona mm hii nchi imeshauzwa sasa!!mm naona poa tu ikiwezekana kila idara igome potelea mbali kila mtu ajijue atakapokwenda aaaaah nchi gani hii ya ajabu,viongozi wamekuwa kama wanatoka mataifa mengine wamekuja kufanya kazi humu kwa muda tu wachume pesa waondoke!!watu wote ni sawa lakini kuna watu wanaonekana ndio wenye haki na nchi hii na wengine tumezaliwa kwa bahati mbaya tu humu!!aah acha tutoweke kwenye ramani ya dunia tu hakuna maana humu!!!MADAKTARI GOMENI TUU!!huyo wa Lindi,Kigoma na kwingineko atajijua mwenyewe.

    17. #54
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By Angel Msoffe
      Ni kwanini serikali haitaki kutekeleza madai ya madaktari?
      Kwa sababu viongozi ni DHAIFU na mawazo yao ni DHAIFU.

    18. #55
      Kakalende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2006
      Posts : 2,916
      Rep Power : 1229
      Likes Received
      381
      Likes Given
      373

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Bora turudi kwenye KIKOMBE CHA BABU.

    19. #56
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,183
      Rep Power : 12009
      Likes Received
      2652
      Likes Given
      1583

      Default

      Quote By Angel Msoffe
      Ni kwanini serikali haitaki kutekeleza madai ya madaktari?
      Ni viburi vinawasumbua. Mia

    20. #57
      mchadema's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th July 2011
      Posts : 236
      Rep Power : 445
      Likes Received
      45
      Likes Given
      110

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
      hapo penye red ndo panatutambulisha wewe ni nani!!!! hv huwa najiuliza watu wenye tope kichwani kama wewe wanaumuhimu gani juu ya nchi, natamani ungegngwa na gari ufilie mbali......

    21. #58
      kiliochangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd February 2012
      Posts : 109
      Rep Power : 386
      Likes Received
      10
      Likes Given
      8

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Quote By only83
      Mungu okoa Taifa hili.
      Kazi kweli kweli. sidhani aliyetoa uamuzi wa kuwafukuza anafikiri kama ma doctor wataendelea na msimamo. usishangae kuona serkali iki-haha kutafuta njia za kutibu wagonjwa. Ndio mwanzo wa Movie picha ndo bado.
      Mwenye akii atumie akili yake 2015

    22. #59
      NGOWILE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Posts : 325
      Rep Power : 842
      Likes Received
      169
      Likes Given
      22

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Ili dhahabu ing'ae ni lazima ipite kwenye moto

    23. cpt
      #60
      cpt's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2010
      Posts : 134
      Rep Power : 484
      Likes Received
      22
      Likes Given
      8

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      kwa wale wenye bima ya afya emh tufanyeni mpango wa kurudishiwa hela zetu za mwezi huu kwa maana ma-dr wamegoma na wao wanalijua hilo,pia wasithubutu kukata hela hadi hapo ma-dr watakaporudi kazini!

    Page 3 of 9 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...