Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

    Report Post
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 172
    1. #1
      Vancomycin's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 168
      Rep Power : 461
      Likes Received
      108
      Likes Given
      22

      Default Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Taarifa ambazo zimethibitishwa zinatabanaisha kuwa madaktari walio katika uzoefu kazini, INTERN doctors wameanza kufukuzwa katika hospitali mbalimbali ambapo katika hospitali ya DODOMA madaktari 11 kati ya 33 wamefukuzwa na madaktari wote 70 waliokuwepo hospitali ya rufaa mbeya chini ya ulinzi mkali wa polisi wameambiwa waondoke kufikia saa 11 jioni ya leo wakati huo huo mkurugenzi wa hospitali ya BUGANDO amewafukuza madaktari wote 44 na kuwataka warudi wizarani wakati madaktari waliosajiriwa wameamuriwa kufika kesho wawe kazini au la wanafukuzwa.

      Wakati huo huo madaktari wakazi waliitwa na senate ya BUGANDO na kulazimishwa kurudi kazini lakini walikataa mbele ya senate hiyo hivyo wakaambiwa watafutiwa udahili wao na wote kwa pamoja wakapiga makofi wakisema wako tayari kwa hilo.

      Habari zaidi zinazidi kupasha kuwa hospitali ya Mwananyamala wameletewa fomu za kujaza kama wako tayari kuendelea na kazi au la,ila madaktari wamesimamia msimamo wao huo kuwa mgomo uko pale pale.

      Katika hatua nyingine CHUO CHA TIBA BUGANDO NA KILE CHA MUHIMBILI VIKO MBIONI KUFUNGWA kutoka na walimu wao ambao ni madaktari kugoma na mazingira kutokuwa rafiki kwa kujifunzia.

      Wakati hayo yakiendelea taarifa zinasema hsopitali ya Tanga BOMBO imeingia rasmi kwenye mgomo na ile ya MOUNT MERU

      Habari zaidi madaktari wanajiandaa kwa mass resignation muda wowote


      BAK, Papizo, Bantugbro and 14 others like this.
      'Kuuza Ardhi ni kuuza uhuru wetu na haki zetu kwa sababu tu viongozi wamechoka kufikiri' Said A. Arfi,CDM 22/11/'11


    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Mpangamji's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Posts : 483
      Rep Power : 554
      Likes Received
      117
      Likes Given
      70

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Kazi ipo, nitarudi kucheki update, asante kwa taarifa, ingawa si nzuri lakini imeficha mabadiliko makubwa
      The truth speaks for itself, it is always in 3-D

    4. cpt
      #22
      cpt's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th May 2010
      Posts : 129
      Rep Power : 482
      Likes Received
      21
      Likes Given
      8

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      hapa panachimbika bila jembe wadau na kwa hii vita kama unajijua wewe ni nyasi kama mimi jiandae kuumia!

    5. #23
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      haya picha ndio kwanza limeanza hili... serikali kama wanazani limeisha wanajidanganya! Ngoja nikanunue pop corn kabisa ili nije kuona muvie lenyewe
      mgomba101 likes this.
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    6. #24
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 958
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Liwalo Naliwe, I support Dr's, Kikwete na Serikali yake ya Udhaifu go to Hell!
      mgomba101 likes this.
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    7. #25
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,729
      Rep Power : 5461
      Likes Received
      1959
      Likes Given
      2652

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Nilishasema na naendelea kusema Watanzania/Tanganyika tusipoelekeza hasira zetu pahala sahihi tutaendelea kuumizwa, hii ndio nafasi ya ku vent hasira zetu na concern zote tulizonazo. Jamani time is now, Dr Ulimboka katuonyesha jinsi ya kudai haki na maslahi ya madaktari na Watanzania kwa ujumla.....lets follow suit
      Mimi naamini ukombozi wa Mtanzania/Tanganyika utapatikana kwa roho za ujasiri watu kama Dr Ulimboka Kamanda Godbless Lema na wengine wote waliopoteza maisha au wanaoweka maisha yao hatarini ili tupate kushuhudia na kuikomboa nchi yetu
      Matata, Rogie, Bigjahman and 3 others like this.

    8. Study Abroad

    9. #26
      bushman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,431
      Rep Power : 719
      Likes Received
      307
      Likes Given
      84

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Hii serikali bado haijaelewa somo kabisa,watu wanaongoza kiujanjaujanja tu hawana lolote ni usanii mtupu,dhaifuuuuuuuuuuuuuuuuu!! !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
      mgomba101 likes this.
      TUSIRUHUSU AKILI NDOGO IONGOZE AKILI KUBWA BY MCH.PETER MSIGWA

    10. #27
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,047
      Rep Power : 2035
      Likes Received
      925
      Likes Given
      3819

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
      wewe subiri uone kitu cha ajabu muda si mrefu baada ya madaktari wote nchi nzima kuacha kazi watafuatiwa na wauguzi nchi nzima halafu tuone nani mjanja kama akina pinda na wenzie wataenda kuwatibu. Ikumbukwe kuwa hili litahusu pia na hospitali za watu binafsi , kwa kifupi mpaka kufikia wiki hii mwishoni nchi itakuwa haina dakatari au muuguzi yupo kituoni tuone serikali kama isopiga mogoti tena kwa madakatari na wauguzi.

      "Serikali iliyochaguliwa na usalama wa taifa kamwe haiwezi kuwatumikia wananchi".
      NG'OMBE and mgomba101 like this.

    11. #28
      50thebe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 584
      Rep Power : 531
      Likes Received
      164
      Likes Given
      861

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      hawa madokta hawa yaani we acha tu..wanachojivunia ni kuwa sio kila mwanasiasa anaweza kuwa dokta, ingawa madokta wote wanaweza kuwa wanasiasa..
      Lorah and mgomba101 like this.

    12. #29
      Mlachake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2009
      Location : Loitokitok Kenya
      Posts : 1,834
      Rep Power : 862
      Likes Received
      513
      Likes Given
      339

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Wenzetu wakipata mafua Breki ya kwanza Airport.

      Ole wenu nyie wa Muhimbili.
      Bantugbro likes this.
      Knowledge is knowing that a tomato is a fruit; wisdom is knowing not to put it in a fruit salad.

    13. #30
      only83's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Mungu okoa Taifa hili.

    14. FJM
      #31
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,167
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5317
      Likes Given
      4585

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Hao waliowafukuza madaktari wako juu ya sheria? Leo Bungeni Spika amesema waziwazi kuwa hata serikali haitaruhusiwa kutoa kauli (kama walivyoahidi jana) kwa sababu hili swala liko mahakamani, na amri ya mahakama ni kuwa pande mbili yaani serikali na madaktari wakae kwenye meza ya mazungumzo. Sasa Mbeya, Bugando na Dodoma ziko juu ya amri ya mahakama? Au hawa wako Kenya?

      Kwa upande mwingine huu ni mtihani kwa mhimili wa dola - Mahakama. Kama hawatesema chochote kwa hizi hospitali za Mbeya, Bugando na Dodoma basi ni wazi mahakama itakuwa inafanya kazi kwa shinikizo la serikali ya ccm. Hili litakuwa agizo la serikali kuwafukuza chini chini bila na mahakama ikae kimya wakati amri yake inapuuzwa! Tusubiri ili tuone independence ya Judiciary yetu.

    15. #32
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 561
      Rep Power : 599
      Likes Received
      135
      Likes Given
      120

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By kadoda11
      kama hizi taarifa ni kweli basi sasa naanza kuamini tahrir square yetu haiko mbali.
      mkuu kadoda11 natamani Tahir square yetu ianze wakati wowote kuanzia sasa.

    16. #33
      Nivea's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 5,680
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3139
      Likes Given
      4053

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Quote By Mzalendo80
      Liwalo Naliwe, I support Dr's, Kikwete na Serikali yake ya Udhaifu go to Hell!
      malizia hivi GO TO HELL AND REST IN PEACE

    17. #34
      Pulpitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 370
      Likes Received
      25
      Likes Given
      1

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Liwalo na liwe mimi nitatibiwa Apollo.pinda.
      Sasa akili kumkichwa wewe ambaye unategemea uduma za hapa bongo.
      Jiulize nani anaumia sasa hivi? Nini atma ya maisha ya watz wasioweza kutibiwa Apollo kama pinda?
      Ila chakusikitisha ni kuwa wananchi tunachukulia ili ni kama tatizo la serikali na Drs wakati ni Tatizo letu na serikali, tuishinikize serikali itupatie uduma bora za afya, watajua watakopotoa Drs wengine au wote tutibiwe india kama wanavyotibiwa wao wakiugua,
      Kila mtu, mwananchi ana aki yao kupatiwa uduma ya afya stahiki kama wanavyopatiwa wabunge na Mawaziri.
      Kama hapa kuna uduma bora mbona wao kila kukicha wanaenda nje kutibiwa, lkn baadae utasikia 40% ya madawa ya malaria ni fake, mara dawa za kupimia magonjwa zimeingizwa nchini zikiwa zimempa expire.
      mwangalizi and Asterisk like this.

    18. #35
      Mr. President's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Black House
      Posts : 1,666
      Rep Power : 765
      Likes Received
      322
      Likes Given
      11

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Acha uendeleeeee nani aliwapa KURA....!!??? mnashangaaa nini!!??

    19. #36
      John locke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th May 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 390
      Likes Received
      29
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Mende0
      Kuna wajinga wanataka wageuze majengo ya hospitali magofu na magodauni yakuwekea mali zao za kifisadi.
      Tafakari chukua hatua!

    20. #37
      Maga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 243
      Rep Power : 480
      Likes Received
      29
      Likes Given
      24

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Nadhani inabidi serikali iache kiburi lazima tutafute suluhisho la kudumu vinginevyo yaliyotokea Tunisia na Misri yatatokea hapa. Ni wakati muafaka serikali iache kutumia mabavu na busara ichukue nafasi yake, siku zote moto hauzimwi kwa mafuta ya taa, Serikali inatakiwa ijue kuwa uhai wa raia wake uko mikononi mwake.

    21. #38
      mwangalizi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th April 2012
      Posts : 87
      Rep Power : 373
      Likes Received
      10
      Likes Given
      4

      Default Re: Madaktari wafukuzwa mbeya,bugando na dodoma......mwananyamala walazimishwa kusaini,vyuo vya udak

      Quote By Kapeleka
      Kufukuzwa madaktari siyo dawa, ila ni funzo. Hakuna haja ya wao kuendelea kuitwa watumishi wa umma wakati hawautumikii umma. 'Fukuza woooteee, kuanza upya si ujinga' Mjomba aliimba. Sifurahii kupigwa Dr. Ulimboka, ila ni funzo kwao na njia ya wananchi kuonesha uchungu wanaoupata kwa mgomo wao. Madaktari hawapaswi kutumia wagonjwa kama kiboko cha kuichapia serikali kwa madai yao hata kama yanamsingi kiasi gani. Sasa je, wamegoma kumuudumia Dr. Ulimboka alipopata matatizo yanayowapata watanzania wengi.

      Nakubaliana na unamuzi wa madakatari kufukuzwa wote wanaogoma, na hata wakitaka kujuizuru wote sawa. Serikali ijipange hata kwa gharama kubwa kuwaleta madaktari kutoka majeshi ya nchi marafiki na mashirika km red cross kusaidia wakati suluhu ikitafutwa ya kudumu.
      Acha ndoto za mchana wewe! Kwani nani anataka kazi bila ya kuwa na nyenzo muhimu? Hao madocta wako watakuja na mashine na dawa zao?

    22. #39
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,435
      Rep Power : 19775
      Likes Received
      4279
      Likes Given
      906

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      Kuwafukuza madaktari si suluhu.

      Akili ndogo kushauri akili kubwa
      Lenja likes this.

    23. #40
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: Madaktari wafukuzwa Mbeya, Bugando na Dodoma... Mwananyamala walazimishwa kusaini...

      hayo maelezo yalitoka jana saa nne usiku kwenda kwa madaktari wa kila mkoa juu ya swala hili...kikubwa madakatati wawe na umoja....
      I'm Naturaly Evasive..

    24. Miaka 50
    Page 2 of 9 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...