Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

    Report Post
    Page 6 of 6 FirstFirst ... 456
    Results 101 to 103 of 103
    1. #1
      Maseto's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 182
      Rep Power : 610
      Likes Received
      92
      Likes Given
      3

      Default Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

      Kitendo cha kumtaka Waziri Mkuu Pinda ajiuzulu, Mhe. Lissu hakutenda haki. Pinda mara alipoteuliwa tu kuwa waziri Mkuu alijitambulisha kuwa ni mtoto wa mkulima.

      Kusema hivyo haimaanishi kuwa yeye ni mkulima. Na wote tunajua jinsi watoto wa wakulima wasivyopenda kilimo. Kwa hiyo kumtaka mtoto wa mkulima arudi kulima, aache ulaji alionao sasa, ni sawa na kumwambia ajiue.

      Lisu alimtaka PM ajiuzulu wadhifa huo kwa kushindwa kutatua suala la mgomo wa madaktari wakati wa maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu,leo asubuhi.Katika hatua ya kustaabisha,Pinda amekiri kuwa amefanya kila awezalo na ameshindwa.Ndipo katika swali la pili la nyongeza,Lisu akirudia wito wake ule ule alioutoa katika swali la msingi,kwa kiingilishi alisema:

      'If you have done everything in your power and failed why don't you resign?'

      Spika akasema swali hilo lisijibiwe kwani limerudiwa.

      Lakini Pinda alisema '...Mhe. Lissu lugha hiyo si nzuri sana... mimi nakuheshimu sana....'


    2. #101
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,172
      Rep Power : 17255
      Likes Received
      1662
      Likes Given
      1188

      Default Re: Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

      Pinda kuachia ngazi kwa kushindwa si ajabu tena kwa kauli yake ya liwalo na liwe na likawa Ulimboka kupigwa hakika anatakiwa aondoke, mbona mwenzie Lowasa alijipima akaona boro kuachia ngazi pamoja na kwamba alikuwa anachapa kazi kuliko pinda?
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    3. #102
      Kigogo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,484
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1302
      Likes Given
      318

      Default Re: Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

      Pinda alisha fail muda mrefu sana basi tu anajilazimisha ....

    4. #103
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1362
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: Tundu Lissu hukumtendea haki Pinda kumtaka ajiuzulu

      Quote By Maseto View Post
      Kitendo cha kumtaka Waziri Mkuu Pinda ajiuzulu, Mhe. Lissu hakutenda haki. Pinda mara alipoteuliwa tu kuwa waziri Mkuu alijitambulisha kuwa ni mtoto wa mkulima.

      Kusema hivyo haimaanishi kuwa yeye ni mkulima. Na wote tunajua jinsi watoto wa wakulima wasivyopenda kilimo. Kwa hiyo kumtaka mtoto wa mkulima arudi kulima, aache ulaji alionao sasa, ni sawa na kumwambia ajiue.

      Lisu alimtaka PM ajiuzulu wadhifa huo kwa kushindwa kutatua suala la mgomo wa madaktari wakati wa maswali ya moja kwa moja kwa Waziri Mkuu,leo asubuhi.Katika hatua ya kustaabisha,Pinda amekiri kuwa amefanya kila awezalo na ameshindwa.Ndipo katika swali la pili la nyongeza,Lisu akirudia wito wake ule ule alioutoa katika swali la msingi,kwa kiingilishi alisema:

      'If you have done everything in your power and failed why don't you resign?'

      Spika akasema swali hilo lisijibiwe kwani limerudiwa.

      Lakini Pinda alisema '...Mhe. Lissu lugha hiyo si nzuri sana... mimi nakuheshimu sana....'

      Wewe ndio hujamtendea haki Tindu Lisu. Muombe msamaha haraka kabla hujapata BAN

    Page 6 of 6 FirstFirst ... 456

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...