Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbunge: CCM WANATAKA KUNIUA

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1210
      Likes Given
      1253

      Default Mbunge: CCM WANATAKA KUNIUA

      MBUNGE wa Ilemela, mkoani Mwanza, Bw. Highness Kiwia (CHADEMA), amefichua mpango wa kutaka kumuua unaofanywa na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), jimboni humo.

      Kiwia alisema huo ni mpango wa muda mrefu ambao ulipangwa na kusisitiza kuwa, mabadiliko katika jiji la Mwanza hayawezi kuzimwa kwa kumuua yeye

      “Hata nikifa leo, wananchi wa Mwanza wataendeleza harakati za kudai mabadiliko, mimi sio kuku wa Krismasi ambao huchinjwa hovyo,” alisema Bw. Kiwia bungeni jana.

      “Nipo tayari kutoa ushahidi wote na majina ya watu wanaotaka kuniua, nitayawasilisha bungeni kwa muda niliopewa,” alisema.

      SOURCE: GAZETI LA MAJIRA

    2. Miaka 50

    3. #2
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default Re: Mbunge: CCM WANATAKA KUNIUA

      duh,kweli magamba noma.
      mh.mbunge wala hawawezi,wataishia kutaka tu.
      mabadiliko haya ni mpango wa mungu ndiyo maana hata walivyokukata mapanga hawakukuua,dr ulimboka nae hawajamuua.wanapigwa upofu hawa wapuuzi.

    4. #3
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,594
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Mbunge: CCM WANATAKA KUNIUA

      Hao CCM mbona wanaua kila siku ,kule Zanzibar si mnaona wakiwapiga watu kama ngedele ,au kwenu wale sio watu ?
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    5. #4
      Ruppy karenston's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2011
      Posts : 396
      Rep Power : 482
      Likes Received
      69
      Likes Given
      26

      Default Re: Mbunge: CCM WANATAKA KUNIUA

      CCM wanachojua ni mauaji tu kweli ni chama cha mauaji

    6. #5
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: Mbunge: CCM WANATAKA KUNIUA

      Hizo ndio dalili za mwisho za anguko kuu la CCM! wameshindwa kushawishi kisiasa sasa wamebadilika kuwa Mafia wanaua bila kificho na kwa kuacha alama dhahiri kuwa ndio wameua!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    7. RukaaJuu Final

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...