Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 99
    1. #1
      anophelesi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th May 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 359
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Bunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?

      Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?

      Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''

      IT IS MORE THAN PAIN
      mzamifu likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Kimbito nyama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 156
      Rep Power : 389
      Likes Received
      38
      Likes Given
      19

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Hajaambiwa adhibitishe kwa maandishi?

    4. #3
      Kizamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th September 2011
      Posts : 389
      Rep Power : 465
      Likes Received
      97
      Likes Given
      3

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Akienda kutibiwa wamnyooshe.
      Bigirita and palalisote like this.

    5. #4
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,913
      Rep Power : 1144
      Likes Received
      480
      Likes Given
      334

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      daah so sad..ulivyosema MIL 10 nimeumia sana kwakweli..huku sisi wengine tunatoil mbaya na bado hakuna posho..
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    6. #5
      mdizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2011
      Posts : 1,106
      Rep Power : 798
      Likes Received
      309
      Likes Given
      66

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      completely nonsense

    7. Miaka 50

    8. #6
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,913
      Rep Power : 1144
      Likes Received
      480
      Likes Given
      334

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By Kimbito nyama
      Hajaambiwa adhibitishe kwa maandishi?
      Hii huwa haiwalengi wabunge wa magamba ni upinzani tu..
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    9. #7
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,714
      Rep Power : 2263
      Likes Received
      599
      Likes Given
      783

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Kuddaadadaadadadek kundi gani hilo nikuchukue mshiko.
      Simple life is healthier than egoism.

    10. #8
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,777
      Rep Power : 772
      Likes Received
      412
      Likes Given
      121

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By Kimbito nyama
      Hajaambiwa adhibitishe kwa maandishi?
      Hili huwa lina macho haambiwi kila Mbunge !!!
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    11. #9
      Wachovu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 222
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Sasa mnaona hajabu ? Tumekubali Akili ndogo Kutawala Akili kubwa

    12. #10
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Achana nao hawa ndio wale wabunge wanaofikiria kwa udhaifu hawataki kutafuta suluhu na madokta wamekazana kutafuta mchawi.yeye kila mwezi ana zaidi ya 10m anashida gani? kweli aliyeshiba hamjui mwenye njaa.

    13. #11
      mchemsho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 2,015
      Rep Power : 809
      Likes Received
      269
      Likes Given
      20

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Hii ni kashfa, mlata umewatusi madaktari, waombe radhi ama umetangaza vita na madktari,

    14. #12
      Rushoke's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 38
      Rep Power : 366
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Hivi ukiwa CCM akili hata ya mtoto wa chekechea unakuwa huna. Shame on her. Ila iko siku.

    15. FJM
      #13
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Hivi ni kwanini wabunge wa CCM wanaona watanzania hawana akili na utashi wa kudai chochote bila ya 'watu fulani'? Na kwa nini Spika hakumtaka Mlata athibitishe madai yake kuwa madaktari wanalipwa ili kufanya nchi isitawalike?

      Katiba mpya ije haraka maana wabunge wa viti maalum CCM ni mzigo kwa walipa kodi.

    16. #14
      Wachovu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 222
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Sasa hivi wasikilize wabunge wanabwabwaja . Jimboni mwangu hatuna Daktari tunaomba Ofisi ya Waziri Mkuu ituletee Daktari ,
      Sikia Sasa Waziri Mkuu "Liwalo na liwe " Nchi hii ina laana

    17. #15
      JahGun's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th May 2011
      Posts : 72
      Rep Power : 418
      Likes Received
      15
      Likes Given
      20

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Huyu halikuwa hana cha kuongea....kuna wabunge wengine ni heri warudi makwao tu wakalee wajukuu...kweli TZ kichwa cha mwendawazimu !

    18. #16
      great 2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 351
      Likes Received
      8
      Likes Given
      2

      Post re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      "ama kweli the beautiful ones are not yet born" mnataka kumdelete dr. ulimboka kisa anatetea haki za madaktari. shame on you CHAMA CHA MAJAMBAZI

    19. #17
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 582
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      jamani viti maalum lazima uoneshe kitu flani hivi,sio makosa yake ni makosa ya kiti anachoitiwa.

    20. #18
      mpepalilambo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 361
      Likes Received
      8
      Likes Given
      3

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Hiyo ni kweli, kundi la madaktari linaloanzia na g..... likishirikiana na dr. majeruhi wamechukua fwedha kuendesha harakati za mgomo kutoka chama kioja cha siasa tanzania na NGO nitaitaja baadaye ili kutoa madai yasiyotekelezeka. Hii ni aibu kubwa, eti kuendeleza maslahi ya chama hicho. ukilitazama kwa undani suala hili ni la kisiasa sana kwani daktari anayeanza kazi alipwe 3.5m huyo ambaye ni specialist alipwe ngapi? haya walimu wenye degree zinazofanana na za madaktari wanalipwa tshs ngapi? mshahara wa kuanzaia tshs 1,100,000 eti ni mdogo? acheni udwanzi sisi walimu tunalipwa 420,000 mnatofauti gani na sisi? hizo ni siasa chafu

    21. #19
      MwanajamiiOne's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 24th July 2008
      Location : On My Seat
      Posts : 9,304
      Rep Power : 13760
      Likes Received
      5148
      Likes Given
      4533

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Mheshimiwa Mlata ahujiwe na Police kwani inaonyesha anajua mengi so ni shahidi muhimu hahahahah!
      LOVE is a flower, and YOU,its only seed
      Mjukuu Mtiifu, 2012.

    22. #20
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,199
      Rep Power : 608
      Likes Received
      326
      Likes Given
      32

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By Kizamani
      Akienda kutibiwa wamnyooshe.
      Comrade wanatibiwa India hawa ndo maana wanauhuru wa kubwabwaja hovyo tu mule ndani
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...