Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

    Report Post
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast
    Results 61 to 80 of 99
    1. #1
      anophelesi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th May 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 359
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Bunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?

      Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?

      Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''

      IT IS MORE THAN PAIN
      mzamifu likes this.

    2. Miaka 50

    3. #61
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      315
      Likes Given
      894

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Staili hiyo ya kuwalipa watu iko huko CCM, kila mwenyekiti wao akitaka kutoa pumba zake anavilipia vile vizee vya chama chao dhaifu ili vije kumshangilia, lakini kwa madaktari hilo haliwezekani,na huyo mbunge lazima awe ni kilaza wa hali ya juu,( kuna mtu ananinong'oneza hapa kumbe mbunge mweyewe ni vitu maalumu.)
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    4. #62
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,050
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      258

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By rogi
      hahaha...sio kile nilichoandika kinadepict kazi yangu..naongelea watanzania wengi kwa ujumla wetu..
      tumekupata mkuu, usijali.

    5. #63
      Optimisticforchange's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 40
      Rep Power : 363
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Curriculum Specialist
      Hailengi wapinzani, inalenga CHADEMA! Ni bora tuwe tunaitenga chadema na wapinzani wengine!
      Good, maana kama upinzani ulikuwepo bungeni siku nyingi. Ila huu wa chadema is what we call credible opposition.

    6. #64
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,836
      Rep Power : 5945
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Mbona wao huwa awaombwi kudhibitisha hizo kauli zao?
      FJM likes this.
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    7. #65
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10025
      Likes Given
      13923

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      hawana fikira hawa wabunge siku zote wamezoea akili za kushikiwa ambazo kamwe hazitoweza kuleta maendeleo katika nchi hii. my signature can tell what i mean
      "thought takes man out of servitude into freedom"
      'daima tudumu katika upendo'

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      Judgement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Location : Town
      Posts : 6,990
      Rep Power : 7205
      Likes Received
      2761
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By mdizi
      completely nonsense
      Hata nyinyi hapa katika hii thrade mnachokiongea also absolutely NONSENSE !
      Coz mnatoka mipovu ku'discus SPECULATION! Martha alichoongea amesema kuna TETESI hajathibitisha. Then hapa watu mnaomba source, kuna source ya tetesi ?
      Mna masikio lakini mnaelewa kimawenge! Watu wazima Nonsense!

    10. #67
      alfazulu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th May 2012
      Posts : 229
      Rep Power : 399
      Likes Received
      28
      Likes Given
      0

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By Kimbito nyama
      Hajaambiwa adhibitishe kwa maandishi?
      Hawezi kuambiwa athibitishe kwa maandishi, wabunge wa nynyem wana kinga. Mhimili wa nne wa nji kaka. Wanabwatuka wanavyotaka, wanahisi kila jambo linahitaji propaganda za kisiasa, lakini katika hilo nashkuru Mungu wananji tunazidi kufumbuliwa juu ya uwezo finyu wa kufikiri wa baadhi ya viongozi.

    11. #68
      Jabulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2009
      Location : Kituo cha Polisi Jamii
      Posts : 2,968
      Rep Power : 1368
      Likes Received
      818
      Likes Given
      254

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Hata wabunge wa CCM walipokuwa wanadai nyongeza ya posho zao walikuwa wamelipwa na kikundi fulani ili nchi isitawalike
      Kamanda wa Polisi Jamii - Kanda Maalumu

    12. #69
      tusichoke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2011
      Posts : 657
      Rep Power : 542
      Likes Received
      77
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By mpepalilambo
      Hiyo ni kweli, kundi la madaktari linaloanzia na g..... likishirikiana na dr. majeruhi wamechukua fwedha kuendesha harakati za mgomo kutoka chama kioja cha siasa tanzania na NGO nitaitaja baadaye ili kutoa madai yasiyotekelezeka. Hii ni aibu kubwa, eti kuendeleza maslahi ya chama hicho. ukilitazama kwa undani suala hili ni la kisiasa sana kwani daktari anayeanza kazi alipwe 3.5m huyo ambaye ni specialist alipwe ngapi? haya walimu wenye degree zinazofanana na za madaktari wanalipwa tshs ngapi? mshahara wa kuanzaia tshs 1,100,000 eti ni mdogo? acheni udwanzi sisi walimu tunalipwa 420,000 mnatofauti gani na sisi? hizo ni siasa chafu
      Kama wewe unalipwa kiasi hicho umelizika usiwazuie wenzako kudai wanachostahili,ujagundua kuwa unalipwa hivyo kutokana na udhaifu wako? Wewe hufai hata kuwa kwenye kundi la walimu kwani walimu wa sasa ni waelewa ndio maana wanaandaa mgomo,

    13. #70
      Mfichua siri's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 355
      Likes Received
      17
      Likes Given
      8

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By anophelesi
      Bunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?

      Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?

      Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''

      IT IS MORE THAN PAIN
      Matusi ya CCM kwa wataalam katika nchi hii tulisha yazoea, kwa maana hiyo wanadai madaktari ni watu wa hovyo kiasi cha kununuliwa na watu wasio itakia mema nchi yetu. Mimi nadhani imefika mahala sasa CCM iache matusi kwa wananchi hata kama wanajivunia tume isiyo huru hawa wananchi wanaweza kuwaondoa madarakani wanapojisahau na kutukana matusi. Nijuavyo mimi madai ya madactari yalikuwepo hata kabla ya wabunge kudai kuongezewa posho lakini wabunge wametekelezewa na madactari wanatukanwa matusi kwamba hawana madai ila wamenunuliwa
      FJM likes this.

    14. #71
      kessy veke's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 6
      Rep Power : 360
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      kweli kaka kunya kanya kuku akinya bata kaarisha

    15. #72
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 290
      Rep Power : 436
      Likes Received
      60
      Likes Given
      125

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      huyo kazi yake ni kufurahisha wakubwa wake ili ateuliwe tena hana lolote na hajui chochote.

    16. #73
      HOMOSAPIEN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Posts : 483
      Rep Power : 508
      Likes Received
      131
      Likes Given
      42

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By Blessing
      Kwa kweli it is NONESENCE - huyo Mbunge aliyo sema hiyo kuwa Madaktari wamelipua ni TAHIRA kabisa --- unajua hawa wanawake wa CCM awana elimu yakutosha kwa hivyo lazima
      waendelea kusema MAFI ili wajulikane. WAJINGA SANA na stupid huyo mwanamke aliyosema hiyo. Madaktari are well qualified and have sense of humour who cannot be easily cheated with money. NONESENSE KABISA KUSEMA HIVYO BUNGENI. We need serious persons jamani Bungeni kuliko USHENZI HII.
      Madaktari wanajipangia ujiko na kuulazimisha kwa nguvu,Heee! na sisi wananchi tunasema hao madaktari wa kileo ni nonsense kabisa,tena siyo serious.tutapendekeza wote wapelekwe JKT ikianza wakafundishwe uzalendo na adabu na heshima kwa nchi,wakigoma kwenda tu strip off hivyo videgree vyao tulivyowasomesha na kodi zetu halafu wanakuja kutunyanyasa navyo.akili zenu zinafikiria kuua tu wananchi wasiokuwa na hatia kwa huduma zenu mbovu na migomo isiyoisha.na sisi tumechoka kunyanyaswa na nyie watoto msiotuheshimu sisi tuliyowaleta duniani mnatuulia nini?.kama haukuridhika na huduma au mshahara wa serikali si ukaanzishe hospitali yako?utuondolee shida na kadhia hii,sijui mnasubiri nini ondokeni mtuachie madaktari wenye moyo na uzalendo wa kutoa huduma siyo nyie wapenda fedha mabaradhuli wakubwa nyie,chezea chochote ila siyo maisha ya mtu.Iliyotokea kwa Ully ni fundisho mjue na sisi wanachi tumechoka pamoja na kuwa siyo sahihi kwa kitendo hiki,lakini kwa mtizamo sahihi hiki ni kisasi kikiendelea na wananchi wataendelea tuone nani mshindi,maisha ya ndugu zetu hayana chama wala mshiko chapa kazi upate fedha si kugoma ili upate fedha wafinyu wa kufikiri nyie,sisi wananchi ndiyo tuliyowatuma hao wabunge huko bungeni watusemee hata wakilipwa ngapi kazi yetu wanaifanya sawia kuwaita wajinga sana inatuumiza sana.Hivi kati ya wabunge na madaktari nani wajinga?.jishusheni muheshimiwe msipojishusha hata sisi wananchi hatutakuwa na huruma na nyinyi.HATUTAKI MCHEZEE MAISHA YETU,MNATUKAANGA NA KODI ZETU.
      THE FUTURE ALWAYS START TOMORROW AND NOT TODAY

    17. MTK
      #74
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 926
      Rep Power : 4494
      Likes Received
      300
      Likes Given
      326

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By anophelesi
      Bunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?

      Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?

      Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''

      IT IS MORE THAN PAIN
      Kama sio UDHAIFU wa Spika; Mlatta alitakiwa aagizwe kutoa ushaidi wa tuhuma nzito kama hizo! anyway Mlatta hapo kafikia upeo wa juu kabisa wa kufikiri. poor her!!

    18. #75
      Takalani Sesame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Location : Mobile
      Posts : 545
      Rep Power : 665
      Likes Received
      137
      Likes Given
      98

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Don't you guys think Didas Masaburi was right when he said about some of our parliamentarians 'organ' of thoughts?
      Those who make peaceful revolution impossible will make violent revolution inevitable.
      John F. Kennedy

    19. #76
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 484
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default

      Mgaya aliambiwa hivyo hivo

    20. #77
      chachu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 101
      Rep Power : 425
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Du unafikiria kwa kutumia ubongo au tope? proffesionalsm ya udoctor to compare with education how come! sio lazima uandike its better to be quite kuliko kuendelea kututia hasira. kimsingi sisaport mgomo hata kidogo nichotaka tulete hoja za kumaliza hizi tofauti.
      Quote By mpepalilambo
      Hiyo ni kweli, kundi la madaktari linaloanzia na g..... likishirikiana na dr. majeruhi wamechukua fwedha kuendesha harakati za mgomo kutoka chama kioja cha siasa tanzania na NGO nitaitaja baadaye ili kutoa madai yasiyotekelezeka. Hii ni aibu kubwa, eti kuendeleza maslahi ya chama hicho. ukilitazama kwa undani suala hili ni la kisiasa sana kwani daktari anayeanza kazi alipwe 3.5m huyo ambaye ni specialist alipwe ngapi? haya walimu wenye degree zinazofanana na za madaktari wanalipwa tshs ngapi? mshahara wa kuanzaia tshs 1,100,000 eti ni mdogo? acheni udwanzi sisi walimu tunalipwa 420,000 mnatofauti gani na sisi? hizo ni siasa chafu

    21. #78
      chachu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 101
      Rep Power : 425
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Reply With Quote


    22. Ongeauchoke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 121
      Rep Power : 457
      Likes Received
      17
      Likes Given
      2

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Anajustify milion 10!

    23. #80
      Christ's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th December 2011
      Posts : 28
      Rep Power : 380
      Likes Received
      7
      Likes Given
      26

      Default Re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By Blessing
      Kwa kweli it is NONESENCE - huyo Mbunge aliyo sema hiyo kuwa Madaktari wamelipua ni TAHIRA kabisa --- unajua hawa wanawake wa CCM awana elimu yakutosha kwa hivyo lazima
      waendelea kusema MAFI ili wajulikane. WAJINGA SANA na stupid huyo mwanamke aliyosema hiyo. Madaktari are well qualified and have sense of humour who cannot be easily cheated with money. NONESENSE KABISA KUSEMA HIVYO BUNGENI. We need serious persons jamani Bungeni kuliko USHENZI HII.
      VYOVYOTE VILE ULIMBOKA GOT WHAT HE DESERVED KWANI HAIWEZEKANI AONGOZE MIGOMO ISIYO NA MKIA WALA KICHWA AKIDHANI YEYE NI YEYE HAKUNA MWINGINE.
      NCHI HII INA DOLA NA DOLA IKO MAKINI KUHAKIKISHA NCHI INATAWALIKA.DEMOKRASIA NA HAKI ZA BINADAMU HAZIRUHUSU KUSAIDIA, KUSHIRIKI WALA KUSHABIKIA KUUA.HAIRUHUSIWI PIA KUSAHAU KWAMBA KUNA SERIKALI INAYOWEZA KUKUNYANG'ANYA HATA VYETI VYAKO VYOTE F4,F6 NA KIJIDIGRII CHAKO HALAFU UKAREJESHWA KIJIJINI KWENU KWA KUPITIA KWA MKUU WAKO WA WILAYA,KATIBU KATA THEN MWENYEKITI WA MTAA WAKO.UKAKAA HUKO HADI UJUTE.
      Chukieni kuleni mkaa wa moto lakini kuna mamlaka.ZIHESHIMIWE.

    24. Study Abroad
    Page 4 of 5 FirstFirst ... 2345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...