Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

    Report Post
    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 99
    1. #1
      anophelesi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th May 2012
      Posts : 39
      Rep Power : 363
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Bunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?

      Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?

      Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''

      IT IS MORE THAN PAIN
      mzamifu likes this.


    2. #21
      wakuziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 123
      Rep Power : 585
      Likes Received
      42
      Likes Given
      43

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      mlata ni mtu mwenye akili zake. hawezi kusema neno from air. anajua analolisema. madaktari wanatumwa. si bure! she is right!

    3. #22
      Mbutunanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th February 2011
      Posts : 182
      Rep Power : 528
      Likes Received
      45
      Likes Given
      65

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Tuwaombe madaktari mumwamndikie barua mlata kupitia kwa spika athibitishe kauli yake. Nimeshangaa hata waziri mkuu kakubaliana na hilo. Je si jana tu naibu spika alisema bunge halisikilizi speculations?

    4. #23
      ByaseL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 1,795
      Rep Power : 950
      Likes Received
      94
      Likes Given
      11

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Kumbe wenzangu bado mnasikiliza utumbo wa wabunge wa CCM?! I stopped long time ago

    5. #24
      Stiphan's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      7

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      CCM wanaaminika,sio lazima wathibitishe..ndo nchi inavyoendeshwa hivyo

    6. #25
      blackpepper's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Posts : 377
      Rep Power : 554
      Likes Received
      6
      Likes Given
      3

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By Kizamani View Post
      Akienda kutibiwa wamnyooshe.
      anatibiwa nje ya inji


    7. #26
      Red Giant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 730
      Rep Power : 3614
      Likes Received
      234
      Likes Given
      282

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By mpepalilambo View Post
      Hiyo ni kweli, kundi la madaktari linaloanzia na g..... likishirikiana na dr. majeruhi wamechukua fwedha kuendesha harakati za mgomo kutoka chama kioja cha siasa tanzania na NGO nitaitaja baadaye ili kutoa madai yasiyotekelezeka. Hii ni aibu kubwa, eti kuendeleza maslahi ya chama hicho. ukilitazama kwa undani suala hili ni la kisiasa sana kwani daktari anayeanza kazi alipwe 3.5m huyo ambaye ni specialist alipwe ngapi? haya walimu wenye degree zinazofanana na za madaktari wanalipwa tshs ngapi? mshahara wa kuanzaia tshs 1,100,000 eti ni mdogo? acheni udwanzi sisi walimu tunalipwa 420,000 mnatofauti gani na sisi? hizo ni siasa chafu
      wabunge wanachukua sh ngapi? wanatofauti gani na nyie walimu?
      COAL UNDER PRESSURE BECOMES DIAMOND

    8. #27
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,648
      Rep Power : 794
      Likes Received
      222
      Likes Given
      353

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Aombe asiugue na kama akiugua akatibiwe nje ya nchi.chama dhaifu na wabunge wanamawazo dhaifu ,hawa hawana huruma kabisa na wananchi
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    9. #28
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,381
      Rep Power : 1252
      Likes Received
      349
      Likes Given
      74

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By brazilian View Post
      Martha Mlata anatumia Makalio yake kufikiri sababu ubongo wake umedumaa sana.
      Sio hivyo tu, akili yake inafaa kuimba nyimbo za kikristo tu na sio kutafakali mambo ya maendeleo ya nchi!! She is a parliamentarian by default!! Ajue hii ndio mara ya mwisho harudi tena mjengoni baada ya katiba mpya kuwa operational.

    10. #29
      nexus white's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th October 2011
      Posts : 27
      Rep Power : 393
      Likes Received
      9
      Likes Given
      11

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Hawa wabunge ni wale ambao wapo kwa ajili ya kuwalamba miguu viongozi wao wa CCM, kama hana hoja bungeni ni bora kunyamaza tu, na pia akumbuke kwamba hata hao kina waziri mkuu na rais si wakweli katika kujibu hoja, wabunge wa CCM ni VILAZA

    11. #30
      Blessing's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2009
      Posts : 261
      Rep Power : 570
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By anophelesi View Post
      Bunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?

      Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?

      Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''

      IT IS MORE THAN PAIN

      Kwa kweli it is NONESENCE - huyo Mbunge aliyo sema hiyo kuwa Madaktari wamelipua ni TAHIRA kabisa --- unajua hawa wanawake wa CCM awana elimu yakutosha kwa hivyo lazima
      waendelea kusema MAFI ili wajulikane. WAJINGA SANA na stupid huyo mwanamke aliyosema hiyo. Madaktari are well qualified and have sense of humour who cannot be easily cheated with money. NONESENSE KABISA KUSEMA HIVYO BUNGENI. We need serious persons jamani Bungeni kuliko USHENZI HII.

    12. #31
      Rohombaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 378
      Rep Power : 478
      Likes Received
      58
      Likes Given
      41

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By anophelesi View Post
      Bunge letu limeendelea kuwa la VITUKO kila uchao! Leo tena Mbunge wa Chama tawala Mh. Martha Mlata kaja na mpya kuwa Mgomo unaoendelea wa madaktari unadhaminiwa na kundi fulani. Hili hakika ni TUSI kubwa kwa madaktari wetu na ni vema AOMBE RADHI. Hivi kweli tumefikia kiwango cha kuwa-underrate madaktari wetu kwa kiwango hiki kwa kuwahusisha na malpractise ya aina hii. Anataka kutuaminisha kuwa wanachodai Madktari sio cha kweli bali wako influenced?

      Tunakumbuka jinsi wabunge walivyozua tafrani wakati serikali hii inaingia madarakani wakidai POSHO ZAIDI NA KUPIGIWA SALUTI, hivi kipindi hicho walilipwa na nani? Wao hivi sasa wamepandishiwa stahili zao kwa 100% hadi 10,000,000/= hili kwao limewezekanaje? Kwa nini kwa madktari, na watumishi wengine, iwe nongwa?

      Au ndio ule msemo wa ''Kunya anakunya kuku, bata anaharisha?''

      IT IS MORE THAN PAIN
      Hili nalo neno. Kazi kwako Kamanda Kova
      Lakum diinukum waliyadiin!!!!

    13. #32
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,803
      Rep Power : 13851
      Likes Received
      432
      Likes Given
      571

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Imewagusa watu flani, tunachofanya ni kukusanya kumkukumbu za mauaji yao.

    14. #33
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : Tandhaniya
      Posts : 4,497
      Rep Power : 1291
      Likes Received
      1242
      Likes Given
      1267

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      hawa wabunge wa siku hizi hovyo sana..kazi yao kubwa ni kupiga makofi bungeni , kusinzia, kutema pumba na kulamba posho wanasepa kusubiri kikao kingine......
      hii nchi sijui kama tutafika kweli

    15. #34
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,204
      Rep Power : 1859
      Likes Received
      1445
      Likes Given
      1560

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Hawa wabunge wa viti maalum toka kwenye hiki CCM aka Chama Cha Magamba ni watu wa ajabu sijawai ona. Kazi yao ni kubwabwaja maneno ya kipuuzi yasiyo na kichwa wala miguu. Na ndio matatizo ya kupewa ubunge kwa urafiki na mapenzi na sio uwezo wa mtu, kwa mazingira kama haya ya mtu kupewa kwasababu ni mpenzi au hawara au rafiki wa kigogo mmoja uwezi tegemea akaongea cha maana bungeni. Wabunge wa namna hii ni mzigo wa Taifa na sisi wananchi walalahoi.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    16. #35
      gmosha48's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 828
      Rep Power : 605
      Likes Received
      256
      Likes Given
      486

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Huyu sasa amekuwa super DHAIFU!
      Ngo'ng'o

    17. #36
      MAPE2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th April 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 366
      Likes Received
      2
      Likes Given
      211

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Quote By kimbito nyama View Post
      hajaambiwa adhibitishe kwa maandishi?
      aambiwe na nani?
      Kwani ni wa upinzani?

    18. #37
      kupelwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2011
      Location : DAR-ES-SALAAM
      Posts : 477
      Rep Power : 491
      Likes Received
      129
      Likes Given
      31

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Tatizo la kuwa na wabunge wa viti maalum wa MAGAMBA kujipendkeza kwa serikali na kufumbia macho ubovu wa serikali hiyo.Hayo nayoyasema mlatha nu kukosa dira ya dhati ya wabunge wa ccm kutatua tatizo la sekta ya afya na kukimbile mambo ya kupoteza muda.Ni mpofu wa serikali yake kuwa ni dhaifu na sera dhaifu.

    19. #38
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default

      Quote By wakuziba View Post
      mlata ni mtu mwenye akili zake. hawezi kusema neno from air. anajua analolisema. madaktari wanatumwa. si bure! she is right!
      si bure na wewe unatumiwa na CHAMA CHA MAJAMBAZI ili kupindisha ukweli.

    20. #39
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Onother silly season

      akili ndogo kutawala kubwa

    21. #40
      Mujumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Location : Soweto
      Posts : 848
      Rep Power : 595
      Likes Received
      266
      Likes Given
      118

      Default re: NONSENSE: Madaktari Wamelipwa na Kundi fulani ili Wagome ILI Nchi isitawalike!

      Tusiweke udini kwenye siasa kwani tanzania aifungamani na upande wowote sote ni ndugu hivyo tusiaribu maana ya jf kwa udini

    Page 2 of 5 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...