Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: IGP Mwema must go now!!

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 61
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,495
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16329
      Likes Given
      8399

      Default IGP Mwema must go now!!

      How long shall we wait for this guy to go? NI kweli wabunge wanaogopa kutaka aondolewe? watu wangapi wameteswa mikononi mwa polisi na kufa; ni mara ngapi tumelalamikia nguvu zinazotumiwa na polisi dhidi ya wanaharakati? Kwanini anaendelea kuwa IGP wakati jeshi lake limehusishwa na kashfa nyingi sana za uvunjaji wa haki za binadamu na zile za kiraia? Na mara ngapi tumeona jeshi hili likitumia "intelligensia" kuzuia maandamano ya kisiasa lakini ikikosa "intelligence" linapokuja suala la utekaji nyara?

      Waliomuua kijana yule wa Ubungo kule Igunga wamepatikana?
      Waliowapiga wabunge Kirumba wamepatikana?
      Tarime?
      Arusha?
      Songea?

      Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Safari_ni_Safari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Location : Kibaruani
      Posts : 11,883
      Rep Power : 24131
      Likes Received
      4612
      Likes Given
      2624

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Ngauti ya Rais itandoka na Rais MMMJ
      Ndahani likes this.

      Soki Ozali Mwasi Yaka, Soki Ozali Mobali Koya Te


    4. #3
      Chamoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 1,379
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      478
      Likes Given
      355

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Du ama kweli mzee wa D**t huwaachii mwaka huu
      If numbers are not beautiful, I don't know what is. - Paul Erdős

    5. #4
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Safari_ni_Safari
      Ngauti ya Rais itandoka na Rais MMMJ
      Haaahaaa! Tuache wachaga tuitwe wachaga mkuu....siku hizi mambo ili yaende inategemea unamjua nani
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    6. #5
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,527
      Rep Power : 3319
      Likes Received
      1206
      Likes Given
      457

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Said Mwema ni kama mwanasiasa. anaamini ni upepo utapita tu.!!
      Ndahani likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      kiagata's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2012
      Posts : 149
      Rep Power : 400
      Likes Received
      29
      Likes Given
      24

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Kila mtu atawajibishwa kwa makosa yake mwenyewe,acha amalize muda wake aende.Amejitahidi sana katika sera ya polisi jamii na maboresha katika Jeshi la polisi.Uelewa wake ni mkubwa kuliko afande Nguguli.Kwasasa kuna unafuu wa dhamana na kujua haki yako kabla na baada ya kukamtwa na kosa linalokukabili.BIG UP MWEMA

    9. CPU
      #7
      CPU's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Location : MotherBoard
      Posts : 3,868
      Rep Power : 1205
      Likes Received
      582
      Likes Given
      246

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By idawa
      Said Mwema ni kama mwanasiasa. anaamini ni upepo utapita tu.!!
      Upepo?? Duuuh!! vimbunga vingine vinaanzaga hivi hivi mjue . . .
      "Want to come see my HARD DRIVE ?"

    10. #8
      mhalisi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 563
      Rep Power : 599
      Likes Received
      137
      Likes Given
      120

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      kwa mujibu wa sheria anatakiwa astaafu mwaka huu.

    11. #9
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      A series of incompetence kwenye handling ya mambo nyeti mpaka tunaogopa!
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    12. #10
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 478
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Ushemeji! nani kachukuliwa dada?
      JK anafagilia sana nepotism. Matokeo yake ni kushindwa kuwawajibisha hata wakifanya madudu kiasi gani.
      Mambo yakimzidi sana ataomba mwongozo kutoka NEC kama alivyofanya kwa akina Ngelejaaa na wenzake. Maamuzi mazito hawezi handsome boy.
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    13. #11
      politiki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Posts : 1,362
      Rep Power : 1338
      Likes Received
      714
      Likes Given
      128

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      How long shall we wait for this guy to go? NI kweli wabunge wanaogopa kutaka aondolewe? watu wangapi wameteswa mikononi mwa polisi na kufa; ni mara ngapi tumelalamikia nguvu zinazotumiwa na polisi dhidi ya wanaharakati? Kwanini anaendelea kuwa IGP wakati jeshi lake limehusishwa na kashfa nyingi sana za uvunjaji wa haki za binadamu na zile za kiraia? Na mara ngapi tumeona jeshi hili likitumia "intelligensia" kuzuia maandamano ya kisiasa lakini ikikosa "intelligence" linapokuja suala la utekaji nyara?

      Waliomuua kijana yule wa Ubungo kule Igunga wamepatikana?
      Waliowapiga wabunge Kirumba wamepatikana?
      Tarime?
      Arusha?
      Songea?

      Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!
      kwako MM,
      It is a structural problem i don't know why can't you see that. removing individual without doing structural changes can not solve the problem. as long as the individual will be accountable to the president expect no changes will be realized.
      jmushi1 likes this.

    14. #12
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,399
      Rep Power : 992
      Likes Received
      350
      Likes Given
      536

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Tatizo ni mfumo,suluhu hapa Mzee Mwanakijiji ni kubadilisha mfumo mzima,na hapa ni kuing'oa Nyinyiemu maana hiyo ndio kansa.

    15. #13
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 900
      Rep Power : 530
      Likes Received
      274
      Likes Given
      212

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Na kuna tetesi kua hua akiona hajaonekana kwenye Tv na vyombo vya habari hua anachukua Silaha na kuita wanahabari kua Zimekamatwa mikononi mwa majambazi na wanawashikilia baadhi yao. Kwa haraka nilibisha kabisa ila hivi karibuni aliibuka na styl yake kama kawa. Nilimtazama na kua na ualakini katika presentation yake, kivipi?

      Kwanza hua anazifumbata silaha kana kwamba hazihitaji uchunguzi zaidi mahakamani, hapa namaanisha "Fingure prints" kwani hua hana special gloves hivyo kufuta ushahidi au kujipa jukumu la kua yeye ndie jambazi kuweka Prints zake pale kwenye silaha.

      Pili matukio yote hua amejipanga kwa kua huongelea sehemu iliyotayarishwa kana kwamba anakuja hutubia waandishi wa habari hadi nembo ya Jeshi la polisi inakuepo.

      Tatu katika matukio yote anayoita waandishi wa habari hakuna picha iliyowahi pigwa wala kuonyeshwa kwa vyombo vya habari zaidi ya maelezo yake na kukumbatio silaha za watuhumiwa wa miaka ya 1994 ambao wako jela tayari. Au ulishawahi kumuona katika eneo la tulio akitoa habari zake LIVE? Nikumbushe labda nimesahau.

      KOVA/ MWEMA ni ceremonial figure tu pale hana chochote zaidi ya hayo niliyoweza kudadavua.........
      Ngonini and Josephine like this.

    16. FJM
      #14
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,168
      Rep Power : 2566
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Mnyika alikuwa sahihi kabisa kusema kuwa tumefika hapa kwa sababu ya 'uzembe wa bunge na upuuzi wa CCM'. Bunge na hawa wabunge wa CCM wangekuwa wanawajali watanzania wangeshapitisha azimio la kubadili uongozi wa polisi. Mauaji ya raia yanatisha! Siku hadi siku raia wanauliwa katika mazingira ya kutatanisha, kwa nini IGP asiwajibike? Hivi kweli wabunge wa CCM hawaguswi na mauaji yanayoendelea nchini? Haoni hofu iliyotanda kwa wananchi kila kona nchi hii?

      Pili, kwa taifa lolote ni hatari sana inapofikia hatua kwamba wananchi wakipatwa na tatizo hata la ki-usalama mahali pa kwanza pa kukimbilia ni 'wanaharakati wa haki za binadamu'! Huu ni msiba wa kitaifa na ni mzigo wa CCM, kwamba raia anavamiwa lakini anakimbilia kwa wanaharakati na sio polisi! Watanzania hawana imani na serikali na vyombo vyake! How can we say tuna serikali? How can we say tuna Jeshi la polisi?

      Niseme hivi, ikifika saa 12 leo jioni bila Jeshi la polisi kukamata watu waliohusika na unyama wa Dr Ulimboka, basi wananchi wanayohaki ya kuamini serikali ya CCM ndio mhusika mkuu. Kwa bahati, Jeshi hili hili la polisi walishaonesha kuwa na 'inteligensia' ya hali juu, hivyo haiwezekani yapite masaa 24 bila kujua wahusika wa unyama uliofanyika mbele ya nyuso zao. Mbona wameweza kuwapata wahalifu huko mbugani? Au kwa sababu ni mzungu?

      Tujipe muda hadi saa 12 jioni ili tujue moja, kama serikali ya CCM ina nia ya kulinda usalama wa raia au wako kuwaangamiza.
      Mzalendo80 likes this.

    17. #15
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,169
      Rep Power : 2189
      Likes Received
      1784
      Likes Given
      2317

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Mkuu MM, Hii nchi ni kama tumelogwa! Viongozi wa CCM wanatoa kauli za ajabu ajabu kipindi kigumu kama hiki.wanafanya mizaha na muelekeo wa nchi.Vyombo vya usalama vyote vinasubiri nchi ivamiwe na akina Idd Amin ndio watulinde!

      Hatuna viongozi wanaoheshimika wanaoweza kushinikiza bila woga haki kutendeka,hakuna waliotayari kuyaweka rehani maisha yao kwa ajili ya Tanzania ya kesho.

      Nasikitika hata wapinzani ule moto wa kususa,kushinikiza ndani na nje ya bunge umepoa ajabu,wakiambiwa kaa chini wanatii alafu wanalalamikia pembeni! Nani atasimama kupaza sauti watawala wakajua la mgambo limelia? Nani ataongea na wananchi wakamwelewa vizuri bila kugawanyika sana?

      Nakosa majibu ya muelekeo wa Taifa hili.Nyerere alikufa na Tanzania yake tumebaki na photocopy!

    18. #16
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,730
      Rep Power : 5462
      Likes Received
      1959
      Likes Given
      2652

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By MTAZAMO
      Mkuu MM, Hii nchi ni kama tumelogwa! Viongozi wa CCM wanatoa kauli za ajabu ajabu kipindi kigumu kama hiki.wanafanya mizaha na muelekeo wa nchi.Vyombo vya usalama vyote vinasubiri nchi ivamiwe na akina Idd Amin ndio watulinde!

      Hatuna viongozi wanaoheshimika wanaoweza kushinikiza bila woga haki kutendeka,hakuna waliotayari kuyaweka rehani maisha yao kwa ajili ya Tanzania ya kesho.

      Nasikitika hata wapinzani ule moto wa kususa,kushinikiza ndani na nje ya bunge umepoa ajabu,wakiambiwa kaa chini wanatii alafu wanalalamikia pembeni! Nani atasimama kupaza sauti watawala wakajua la mgambo limelia? Nani ataongea na wananchi wakamwelewa vizuri bila kugawanyika sana?

      Nakosa majibu ya muelekeo wa Taifa hili.Nyerere alikufa na Tanzania yake tumebaki na photocopy!
      This is our fight! Sisi Watanzania imefikia muda tuache kusubiri mtu kutupigania tunachohitaji ni a unifying voice. Ninaamini nobody is responsible for the well being of my family, my friends and most important my COUNTRY ni mimi mwenyewe ndio nitapigania kama ni kupaza sauti, tunatakiwa kupaza as highest as possible, kama ni kuandamana, tuandamane mpaka! Pale tutapoanza kusimamia maslahi yetu bila kuongozwa na hisia za kisiasa hawatapata pa kutokea.

      We have to chase these crazy baldheads out of town ASAP maana kishanuka!
      BE RESPECTED............DEMAND RESPECT

    19. #17
      cement's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Location : Tanganyika-Dar es salaam
      Posts : 438
      Rep Power : 442
      Likes Received
      152
      Likes Given
      172

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      How long shall we wait for this guy to go? NI kweli wabunge wanaogopa kutaka aondolewe? watu wangapi wameteswa mikononi mwa polisi na kufa; ni mara ngapi tumelalamikia nguvu zinazotumiwa na polisi dhidi ya wanaharakati? Kwanini anaendelea kuwa IGP wakati jeshi lake limehusishwa na kashfa nyingi sana za uvunjaji wa haki za binadamu na zile za kiraia? Na mara ngapi tumeona jeshi hili likitumia "intelligensia" kuzuia maandamano ya kisiasa lakini ikikosa "intelligence" linapokuja suala la utekaji nyara?

      Waliomuua kijana yule wa Ubungo kule Igunga wamepatikana?
      Waliowapiga wabunge Kirumba wamepatikana?
      Tarime?
      Arusha?
      Songea?

      Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!
      Sure i agree with you

    20. #18
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 958
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By FJM
      Mnyika alikuwa sahihi kabisa kusema kuwa tumefika hapa kwa sababu ya 'uzembe wa bunge na upuuzi wa CCM'. Bunge na hawa wabunge wa CCM wangekuwa wanawajali watanzania wangeshapitisha azimio la kubadili uongozi wa polisi. Mauaji ya raia yanatisha! Siku hadi siku raia wanauliwa katika mazingira ya kutatanisha, kwa nini IGP asiwajibike? Hivi kweli wabunge wa CCM hawaguswi na mauaji yanayoendelea nchini? Haoni hofu iliyotanda kwa wananchi kila kona nchi hii?

      Pili, kwa taifa lolote ni hatari sana inapofikia hatua kwamba wananchi wakipatwa na tatizo hata la ki-usalama mahali pa kwanza pa kukimbilia ni 'wanaharakati wa haki za binadamu'! Huu ni msiba wa kitaifa na ni mzigo wa CCM, kwamba raia anavamiwa lakini anakimbilia kwa wanaharakati na sio polisi! Watanzania hawana imani na serikali na vyombo vyake! How can we say tuna serikali? How can we say tuna Jeshi la polisi?

      Niseme hivi, ikifika saa 12 leo jioni bila Jeshi la polisi kukamata watu waliohusika na unyama wa Dr Ulimboka, basi wananchi wanayohaki ya kuamini serikali ya CCM ndio mhusika mkuu. Kwa bahati, Jeshi hili hili la polisi walishaonesha kuwa na 'inteligensia' ya hali juu, hivyo haiwezekani yapite masaa 24 bila kujua wahusika wa unyama uliofanyika mbele ya nyuso zao. Mbona wameweza kuwapata wahalifu huko mbugani? Au kwa sababu ni mzungu?

      Tujipe muda hadi saa 12 jioni ili tujue moja, kama serikali ya CCM ina nia ya kulinda usalama wa raia au wako kuwaangamiza.
      You Have Point Mkuu, Umenena vema
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    21. #19
      Takalani Sesame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2008
      Location : Mobile
      Posts : 545
      Rep Power : 665
      Likes Received
      137
      Likes Given
      98

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Hivi sisi kama wananchi tuna haki gani katika kumshinikiza mteule wa Rais ajiuzulu? Au ndo mapungufu ya katiba tunayoyazungumzia? Maana naona utaratibu wa kujiuzulu kwa makosa ya uwajibikaji ni msamiati mgumu sana hapa kwenye nchi yetu. Na pengine ni kwa kuwa hawa wateule wanajua hatuwezi kufanya kitu, na tutaishia kupiga kelele tu!
      Those who make peaceful revolution impossible will make violent revolution inevitable.
      John F. Kennedy

    22. #20
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,754
      Rep Power : 17945
      Likes Received
      1555
      Likes Given
      1454

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Takalani Sesame
      Hivi sisi kama wananchi tuna haki gani katika kumshinikiza mteule wa Rais ajiuzulu? Au ndo mapungufu ya katiba tunayoyazungumzia? Maana naona utaratibu wa kujiuzulu kwa makosa ya uwajibikaji ni msamiati mgumu sana hapa kwenye nchi yetu. Na pengine ni kwa kuwa hawa wateule wanajua hatuwezi kufanya kitu, na tutaishia kupiga kelele tu!
      Mkuu tuanze kwa kujaribu kutoa maoni yetu kwenye mjadala wa katiba mpya.. Kwa kutoa mawazo yetu katika kupata katiba mpya ambayo kwanza itabadilisha mfumo mzima wa uongozi tulio nao..

    23. Study Abroad
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...