Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: IGP Mwema must go now!!

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 61
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,517
      Rep Power : 46714
      Likes Received
      16430
      Likes Given
      8465

      Default IGP Mwema must go now!!

      How long shall we wait for this guy to go? NI kweli wabunge wanaogopa kutaka aondolewe? watu wangapi wameteswa mikononi mwa polisi na kufa; ni mara ngapi tumelalamikia nguvu zinazotumiwa na polisi dhidi ya wanaharakati? Kwanini anaendelea kuwa IGP wakati jeshi lake limehusishwa na kashfa nyingi sana za uvunjaji wa haki za binadamu na zile za kiraia? Na mara ngapi tumeona jeshi hili likitumia "intelligensia" kuzuia maandamano ya kisiasa lakini ikikosa "intelligence" linapokuja suala la utekaji nyara?

      Waliomuua kijana yule wa Ubungo kule Igunga wamepatikana?
      Waliowapiga wabunge Kirumba wamepatikana?
      Tarime?
      Arusha?
      Songea?

      Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. Miaka 50

    3. #21
      nyabhingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 3,241
      Rep Power : 1295
      Likes Received
      1372
      Likes Given
      2668

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      halafu jamaa akiongea kama lazy flani hivi....
      Every nation in every region now has a decision to make: Either you are with us, or you are with the terrorists.George W. Bush


    4. #22
      Mfichua siri's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th June 2012
      Posts : 37
      Rep Power : 356
      Likes Received
      17
      Likes Given
      8

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      How long shall we wait for this guy to go? NI kweli wabunge wanaogopa kutaka aondolewe? watu wangapi wameteswa mikononi mwa polisi na kufa; ni mara ngapi tumelalamikia nguvu zinazotumiwa na polisi dhidi ya wanaharakati? Kwanini anaendelea kuwa IGP wakati jeshi lake limehusishwa na kashfa nyingi sana za uvunjaji wa haki za binadamu na zile za kiraia? Na mara ngapi tumeona jeshi hili likitumia "intelligensia" kuzuia maandamano ya kisiasa lakini ikikosa "intelligence" linapokuja suala la utekaji nyara?

      Waliomuua kijana yule wa Ubungo kule Igunga wamepatikana?
      Waliowapiga wabunge Kirumba wamepatikana?
      Tarime?
      Arusha?
      Songea?

      Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!
      Unaota ndoto za mchana, hii nchi ingekuwa ya kiuwajibikaji leo hii tusingekuwa na the so Called Kikwete as our president kwasababu amefeli vitu vingi sana alivyoahidi kuvifanya kwa kinywa chake.

    5. #23
      Kakalende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2006
      Posts : 2,916
      Rep Power : 1230
      Likes Received
      382
      Likes Given
      374

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Mzee Mwanakijiji

      Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!
      Mzee, hebu fafanua vizuri hili la ushemeji wake na Rais, nani kaoa kwa mwenzake?
      Volunteers are not paid -- not because they are worthless, but because they're priceless!

    6. #24
      Mzalendo80's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Magogoni, Tanganyika
      Posts : 2,270
      Rep Power : 958
      Likes Received
      815
      Likes Given
      1589

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By nyabhingi
      halafu jamaa akiongea kama lazy flani hivi....

      Anabwia Unga, anatumbo utafikiri anataka kuzaa mapacha
      The CCM is a crime syndicate, Most members and MPs of CCM are corrupt. No conceince, No brains no nothing, just bunches of criminal and theft. Corruption cost mlalahoi in de street.

    7. #25
      Najijua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Location : Morogoro - Tanzania
      Posts : 896
      Rep Power : 590
      Likes Received
      124
      Likes Given
      39

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Nadhani shemeji yake anamlinda, labda anataka watu waingie barabarani kumkataaa na kumshinikiza aondoke, Tz bado hatujafika kiwango cha viongozi kujipima wenyewe na kuachia ngazi
      "Be the Window through which many young will see their future"

    8. RukaaJuu Final

    9. #26
      Baniani Mzuri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 455
      Likes Received
      29
      Likes Given
      4

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Mie sidhani kama mtawala wetu ana upe wa kuona maakamanda wa polisi wa kuwapa vyeo hivyo. Tunataka mfumo mzima wa serikali ubadilishwe

    10. #27
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,256
      Rep Power : 31392
      Likes Received
      9625
      Likes Given
      685

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      What about Kikwete? Shouldn't he go too? If everybody else appointed by him must go so should he.

      I say Kikwete and company, all of them must go.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    11. #28
      Mtagwa lindi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 399
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Binadamu wote nai sawa yote haya kwa sababu Dr kapigwa wangapi wanauawa/wameuawa acha maalbino binamu yangu ameuawa wki iliyopita tu leo kapigwa Dr ndio mnatoa maoni watz tuache mawazo ya zimamoto...

    12. #29
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,179
      Rep Power : 24273
      Likes Received
      4679
      Likes Given
      2299

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Shemeji wa mkubwa aondoke? Hapana! serikali yetu inaongozwa hivyo hivyo!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    13. #30
      Ngongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2008
      Location : Mlima Meru
      Posts : 4,875
      Rep Power : 1978
      Likes Received
      2356
      Likes Given
      3046

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Said Mwema anaonewa kwasababu ya dini yake.

    14. #31
      introvert's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 206
      Rep Power : 481
      Likes Received
      93
      Likes Given
      70

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Usirembe, Kikwete should go. He is a threat to our national security.
      Nyani Ngabu likes this.
      Gott ist tot.

    15. #32
      mwita ke mwita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th August 2010
      Posts : 670
      Rep Power : 0
      Likes Received
      59
      Likes Given
      112

      Default Aidha rpc au igp mmoja inatakiwa ajiuzulu

      kutokana na kifo cha mwangosi inafaa IGP AU RPC ajiuzulu ili kuweka uwajibikaji

    16. #33
      Sometimes's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2010
      Posts : 1,371
      Rep Power : 761
      Likes Received
      232
      Likes Given
      39

      Default Re: Aidha rpc au igp mmoja inatakiwa ajiuzulu

      Siyo kujiuzulu tu. Lazima washitakiwe hasa RPC kwasababu hata Songea amecha ameua watu 4 bila makosa na ile Tume haijatoa majibu hadi milele!

    17. #34
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,917
      Rep Power : 954
      Likes Received
      572
      Likes Given
      632

      Default Re: Aidha rpc au igp mmoja inatakiwa ajiuzulu

      Quote By Sometimes
      Siyo kujiuzulu tu. Lazima washitakiwe hasa RPC kwasababu hata Songea amecha ameua watu 4 bila makosa na ile Tume haijatoa majibu hadi milele!
      Yaani huyu kazi yake ni kuua tu ! Ifike mahali wananchi tuamue tusitegemee hawa watu kujiuzulu hata siku moja !
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    18. #35
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Amesha mwingiza RIZ 1 kwenye NEC ya the Gambaz

    19. #36
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      How long shall we wait for this guy to go? NI kweli wabunge wanaogopa kutaka aondolewe? watu wangapi wameteswa mikononi mwa polisi na kufa; ni mara ngapi tumelalamikia nguvu zinazotumiwa na polisi dhidi ya wanaharakati? Kwanini anaendelea kuwa IGP wakati jeshi lake limehusishwa na kashfa nyingi sana za uvunjaji wa haki za binadamu na zile za kiraia? Na mara ngapi tumeona jeshi hili likitumia "intelligensia" kuzuia maandamano ya kisiasa lakini ikikosa "intelligence" linapokuja suala la utekaji nyara?

      Waliomuua kijana yule wa Ubungo kule Igunga wamepatikana?
      Waliowapiga wabunge Kirumba wamepatikana?
      Tarime?
      Arusha?
      Songea?

      Bado we don't see this pattern of gross incompetence ya Said Mwema na uongozi wa Jeshi la Polisi? Shemeji yaRais? so what? Ushemeji wao unalihusu nini taifa. Said Mwema must go NOW!!! We have had enough of this level of mediocrity!
      Mkuu,maswahiba wake wenyewe hawawajibishwi ndo ije kuwa shemeji?JK ndiyo wa kuondoka.Hata EL angekuwa mtu wa dini yake asingeacha ajiuzulu,hivyi ndivyo nilivyomsoma.Labda abanwe sana ndo atakubali Mwema aachie ngazi.Hadi usawa huu hawalaani mauwaji hayo,hilo ni tosha kujuwa nani yuko nyuma ya mipango yote ya mauwaji na kuihujumu chadema.Kama mnabisha mwulizeni Mh Zitto.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    20. #37
      Josephine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2010
      Posts : 699
      Rep Power : 730
      Likes Received
      756
      Likes Given
      134

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Tatizo la watu wengi,ni kuwa huku kwenye Keyboard.Kutoa ushahuri na shutuma pale zinapobidi,lakini si wapambanaji wa kweli.

      Tuungane na wapambanaji kwa mambo mbalimbali.MMK nakupongeza kaka yangu kwa kuwa karibu na nyumbani.Uliko huko unaweza kuendelea kula chapati na coffee bila kuhitaji kujua lolote la nyumbani,lakini kwa Moyo wako na uzalendo wa ndani unaguswa na kuumizwa na mambo mengi ya huku nyumbani.Asante sana.

      ndugu wana JF,dawa ni kupambana kwa kutumia akili,rasilimali,na vipaji vyetu kwa kubuni njia mbalimbali za kumuondoa adui serikali ya CCM.

      Tanzania hatujawahi kuwa na AMANI YA Kweli toka Nyerere aondoke madarakani,naongea tangu nyerere aondoke madarakani,sababu enzi za mwalimu nilikuwa mtoto nilikula Buruga,na ugali wa yanga duh! na kulala bureeeeeeeeee 70's.Kama HAKI hakuna,huwezi kupata amani.

      Naungana na hoja Said Mwema you must Gooooooooooo!!! & Chagonja Operation Kamanda.Fanyeni hivyo kwa hiari vinginevyo mda waja mtatoka mkiwa na chongo.
      lukindo likes this.
      Zaburi 1:1 Heri mtu yule asiyekwenda katika shahuri la wasio haki;wala hakukusanyika katika njia ya wakosaji;wala hakuketi barazani pa wenye mizaha.

    21. #38
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Bruker
      Nadhani shemeji yake anamlinda, labda anataka watu waingie barabarani kumkataaa na kumshinikiza aondoke, Tz bado hatujafika kiwango cha viongozi kujipima wenyewe na kuachia ngazi
      wana jf, please be considerate.
      mlinzi mkuu kabisa wa mkulu, Sheikh Yahaya ndio kesha tangulia mbele ya haki na sina uhakika kama mrithi wake ana nguvu kama baba. Sasa na huyu akiondoka mnadhani atasurvive vipi!!!?
      Ila sema angewasisitiza vijana wao hawa waache kutuua lakini ndio hivyo tena, maziwa yameshamwagika ni bora kupisha Watanzania wengine wenye nia njema na watanzania wenzao


    22. #39
      jmushi1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2007
      Posts : 14,376
      Rep Power : 16493
      Likes Received
      4301
      Likes Given
      5491

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      JK anajuwa akiwajibishwa mtu,basi ina maana m4c imepata baraka za kutokuwa harrased,wako kwenye hard times,that's. My take.
      "One of the penalties for refusing to participate in politics is that you end up being governed by your inferiors"-Plato

    23. #40
      lukindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th March 2010
      Posts : 1,575
      Rep Power : 781
      Likes Received
      415
      Likes Given
      481

      Default Re: IGP Mwema must go now!!

      Quote By Josephine
      Tatizo la watu wengi,ni kuwa huku kwenye Keyboard.Kutoa ushahuri na shutuma pale zinapobidi,lakini si wapambanaji wa kweli.

      Tuungane na wapambanaji kwa mambo mbalimbali.MMK nakupongeza kaka yangu kwa kuwa karibu na nyumbani.Uliko huko unaweza kuendelea kula chapati na coffee bila kuhitaji kujua lolote la nyumbani,lakini kwa Moyo wako na uzalendo wa ndani unaguswa na kuumizwa na mambo mengi ya huku nyumbani.Asante sana.

      ndugu wana JF,dawa ni kupambana kwa kutumia akili,rasilimali,na vipaji vyetu kwa kubuni njia mbalimbali za kumuondoa adui serikali ya CCM.

      Tanzania hatujawahi kuwa na AMANI YA Kweli toka Nyerere aondoke madarakani,naongea tangu nyerere aondoke madarakani,sababu enzi za mwalimu nilikuwa mtoto nilikula Buruga,na ugali wa yanga duh! na kulala bureeeeeeeeee 70's.Kama HAKI hakuna,huwezi kupata amani.

      Naungana na hoja Said Mwema you must Gooooooooooo!!! & Chagonja Operation Kamanda.Fanyeni hivyo kwa hiari vinginevyo mda waja mtatoka mkiwa na chongo.
      nakuheshimu sana dada Josephine na naamini unachokisema as you a verified user! Umenigusa

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...