Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

    Report Post
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast
    Results 81 to 100 of 137
    1. #1
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,914
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.

    2. Miaka 50

    3. #81
      MissKitim's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 44
      Rep Power : 520
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      USHUHUDA WA KWELI:
      Mimi ukweli nakubaliana na madaktari kwa asilimia mia moja hasa wanapodai kudumishwa kwa huduma mahospitali, uwepo wa vifaa vya tiba na madawa.
      Wiki mbili/tatu zilizopita tulikuwa kikundi ambapo tulitembelea hospitali moja ya mkoa. Na tulienda moja kwa moja katika wodi ya wazazi na watoto. Hali tuliyoikuta huko kwa kweli inasikitisha. Achia wazazi waliolazwa humo ambapo majority ni wa kima cha chini, ambao hata kuwa na uwezo wa kununua vitu muhimu unaona wazi kabisa kwao ni tatizo. Basi tukakaa na wauguzi ili watueleze changamoto na namna gani wanaweza kusaidiwa. Baadae pia tulipata wasaa wa kuongea na mfamasia wa hospitali na haya ndiyo tuliyoelezwa:
      Kwanza – Huwa wana upungufu mkubwa wa vifaa muhimu katika wodi ya wazazi. Cha kwanza ni mipira (mackintosh). Kwa wasioijua hii ni ile mipira ya mikojo ambayo huwa inatumiwa katika wodi ya wazazi. Wengi mjuavyo wamama wanaosubiria kujifungua ama waliojifungua huwa wanakuwa na disharge za maji2/damu. Sasa siku hiyo tuliambiwa stock waliyokuwa nayo ilikuwa imeisha imemamliziwa jana yake, na ilikuwa imebaki 15. Wakati on daily basis wanapokea wagonjwa 25/30. Sasa fikiria ukosefu wa hii mipira impact yake nini? Kwanza inabidi ku-reuse hiyo mipira mara nyingi au wengine kutowekewa kabisa katika magodoro. Matokeo yake ni mfumuko wa maambukizi, kutoka na kulalia magodoro yaliyovujiwa maji2/damu. Haya labda wengine watasema wazazi waingie wodini na mipira yako. Jibu ni kwamba sio kila mtu ana uwezo huo, kwa kifupi wengi wa wazazi tuliowakuta sikuhiyo, unaona kabisa huyu hata ukimwambia kanunue nguo ya ndani ni mtihani mkubwa.

      Pili- walikuwa pia hawana syringes, nazo wanasema huwa zina msimu zikikosekana zimekosekana.Tatu- pia huwa wanaishiwa gloves, siongei sana imagine kuishiwa gloves wodi ya wazazi. Hatari anayokuwa nayo muuguzi. Maaambukizi nje nje.Nne – Huwa wanaishiwa dawa ambazo huwapa wazazi kuzuia utokaji wa damu nyingi baada ya kujifungua.Tano – tulionyeshwa chumba cha njiti. Hiki ni chumba ambacho hulazwa wamama waliojifungua watoto kabla ya siku. Kwa kifupi hakikuwa na mtizamo wa chumba cha njiti badala tuliona kama ni stoo ya vitu chakavu hakina hata kifaa unachoona hiki ndo kinatumika kuokoa maisha ya njiti. Inamaanisha katika mkoa huu ukijifungua njiti, majaliwa ya njiti kupona yanabaki kwa Mwenyezi Mungu.Pia tukapata wasaa wa kuongea na mfamasia na akadai vitu ambavyo unakuta vinakuwa out of stock, unakuwa hata MSD (bohari ya madawa hakuna). Sasa mie sidhani masuala kama hayo hapo juu yanahitaji mjadala, kwenye maslahi sawa. Fikiria hiyo ni hospitali ya mkoa, matatizo ndo hayo.Mimi nilitegemea serikali ingeweka mkakati toka mgomo utangazwe pale mwanzo namba ambavyo itakabiliana na hizi changamoto na kutangaza wazi katika vyombo vya habari ili wananchi wote wajue jitihada zinazoendelea. Tunavyoambiwa serikali inashughulikia wakati husikiii mshindo nyuma kwa kweli unashindwa kuelewa somo.Cha muhimu hata mkikisisitiza madaktari waendelee na huduma wakati vifaa muhimu hamna, huyo mgonjwa anamtibu vipi? Okay kuna wale wakaotibiwa na vile vifaa/dawa vi chache vilivyopo, wengine je? Kwa hiyo kutokana na huduma hafifu watu wanaendelea kufa wakati vifo vyao vingezuilika kama mikakati maalum ya utekelezaji ingewekwa na kufanyiwa kazi. Sioni kama kuna mtu anaona tu raha amuone daktari anapita wodini wakati uwezo wake wa kutibu umepunguzwa kwa asilimia zaidi 50%. Definetely we have to change.Mwisho kuhusu maslahi ya madaktari, mimi naona katika makundi ambayo yanabidi yapate maslahi mazuri hapa nchini ni madaktari, walimu ana may be polisi (wakipunguza rushwa). Ilitakiwa uuguzi uwe ni hot cake katika maslahi lakini pia iwe ni kazi kuupata, kuhakikisha wale wanaoupata wawe ni matabibu wa kweli waliosoma na kufaulu vizuri kabisa kwa vitendo na nadharia.Tusikumbatie mifumo ambayo tunaona haifanyi kazi. Tupitie mifumo yetu na ile ambayo ni hafifu ibadilishwe na ku adopt mifumo yenye tija!!

      Ofcourse mgomo ni mbaya hasa ukikukuta wewe kama victim kipindi unahitaji huduma, lakini migomo husaidia katika kuhakikisha matatizo yanafanyiwa kazi na ni sustainable. So watakaofaidika, ni wale wa hapo mbeleni na kwa kiasi kikubwa vifo vitapungua sana kama kutakuwa na uhakiki wa uwepo wa vifaa, mazingira mazuri na maslahi bora kwa matabibu. EBu turudi nyuma ule mgomo wa kwanza, kama madaktari wasingegoma na kushikilia msimamo wao au wangeamua kurudi mzigoni baada ya kitisho cha kwanza cha kuamriwa warudi kazini tusingejua madudu yaliyokuwa yanaendelea wizara ya afya ambayo yalipelekea uwajibishwaji.
      ......
      MTAZAMO likes this.

    4. #82
      Piere. Fm's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Location : Tanzania.
      Posts : 212
      Rep Power : 457
      Likes Received
      32
      Likes Given
      25

      Default

      Quote By BornTown
      Bravooooooooooooooooooo!!!!!!! !!!! Safi sana mabingwa wote naomba isiwe muhi2 pekeyake mgomo uwe wa nchi nzima eeh "liwalo na liwe" kama mbwai mbawimbwai tu ....
      itakuwa vp endapo ukaugua ghafla utafuta kauli yako? Kitu cha msingi si kuushabikia huu mgomo kwasababu kuna ndugu zetu wanateseka, me nadhan jambo la msingi ungeishaul serikali nin kifanyike ili kuepuka hli janga na si kushabikia tu. TAFAKARI.

    5. #83
      gango2's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2011
      Location : From Moshi
      Posts : 682
      Rep Power : 526
      Likes Received
      197
      Likes Given
      166

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Elli
      Natafuta link ya kuniwezesha kusikiliza bunge online, naomba unisaidie hata kwa PM itakua sawa au jibu hapa hapa na wengine wapate, kulikua na ile ya arusha lakini nimeisahau
      Dullonet Live
      "Kama tunalipa wabunge sitting allowances, basi tulipe walimu standing allowance!"- Dr.Slaa

    6. #84
      sangija's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 429
      Likes Received
      25
      Likes Given
      110

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Kurunzi
      Ngoja tusikie Waziri mkuu atasema nini leo.
      Kwani hujui? atasema ''Liwalo na liwe''

    7. #85
      alberaps's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 241
      Rep Power : 480
      Likes Received
      54
      Likes Given
      77

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Under which and whose law are they using to hold our sick hostage?

      Una mkataba na Daktari yoyote kuwa amtibu mgonjwa Wako? Na akimdunga sindano za magonjwa mengine kwa hasira je Utajuaje/Utafanyaje? Vunja Mkataba kama vip umfukuze kazi mlete wa kutoka china and bla bla bla! U got to be litle bit more serious guys kuna kazi zingine huwezi lazimisha mtu kufanya sio kama kupalilia maharage unaeza enda kagua kama kweli majani hamna shambani!
      kalaghesye likes this.

    8. Study Abroad

    9. #86
      kalaghesye's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th January 2012
      Location : Kibwegere
      Posts : 55
      Rep Power : 381
      Likes Received
      7
      Likes Given
      14

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By mojoki
      swali la msingi sana nalojiuliza mimi, kama watu wanailaani serikali kwa kutaka kumuua mtu anayeongoza mapambano ya kutaka serikali iwaongezee pesa (kama wanavyodai kwamba serikali inahusika), Kwanini pia hawamlaumu huyu mtu kwa kushirikiana na wenzake kuwaua watanzania wenzao (kwa migomo) kutokana na sababu hiyo hiyo ya fedha
      Mahospitali wagonjwa wengi hufa hata wakiwa wanatibiwa kwa ajili ya kukosa vifaa tiba na madawa. Mbona mna macho lakini hamuoni?

    10. #87
      jacobae's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th October 2007
      Posts : 62
      Rep Power : 602
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Elli
      Natafuta link ya kuniwezesha kusikiliza bunge online, naomba unisaidie hata kwa PM itakua sawa au jibu hapa hapa na wengine wapate, kulikua na ile ya arusha lakini nimeisahau
      TuneIn Web Tuner

    11. #88
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,558
      Rep Power : 943
      Likes Received
      677
      Likes Given
      131

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
      Andaeni vitanzi vya kutosha.

    12. #89
      Single D's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Location : Duniani
      Posts : 467
      Rep Power : 718
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      It's what happens when you have Serikali dhaifu isiyojali na kusikiliza.Wataamka baadaye wakati maisha ya wagonjwa yalishaishia kuzimu.
      'Without unity, there is no future for Africa' J.K.Nyerere,1997,Accra Ghana.

    13. #90
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,616
      Rep Power : 5715
      Likes Received
      1040
      Likes Given
      2455

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Maundumula
      Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!

      Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!
      Mkuu, naomba utuelimishe sisi wengine wenye uelewa mdogo jinsi hii ilivyo kuwa ni 'myth' na na jinsi madai mengine kama huduma mbovu na ukosefu wa vifaa kuwa ni 'myth'.
      Semper fi!

    14. #91
      Az 89's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2011
      Posts : 844
      Rep Power : 547
      Likes Received
      156
      Likes Given
      32

      Default

      Quote By Mkirua
      BornTown....chonde chonde kidole na macho.....huyo wa liwalo na liwe athari za mgomo hazimgusi kwa namna yeyote ile...yawezekana hata mimi na wewe hatutibiwi kwenye hizo hospitali za waliogoma au tunakutana nao Regency, Aga Khan, Hindumandal nk....Je watanzania wenzetu wote including ndg zako waliotawanyika maeneo mbali mbali wana uwezo wa kutibiwa huko?? Kwa sasa tu wazima hatujui kesho tutajikuta katika mazingira gani (kama ambavyo Ulimboka hakujua pia)...Mgomo wa madaktari kamwe sio jambo la kushabikia na wanaoadhibiwa katika mgomo huu sio wahusika kwani adhadbu hii haiwagusi wahusika (serekali ) moja kwa moja....
      i beg to submit....
      na wasiwasi na kurugenzi ya mawasiliano ya afya ya kichwa chako!

    15. #92
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 863
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Piere. Fm
      itakuwa vp endapo ukaugua ghafla utafuta kauli yako? Kitu cha msingi si kuushabikia huu mgomo kwasababu kuna ndugu zetu wanateseka, me nadhan jambo la msingi ungeishaul serikali nin kifanyike ili kuepuka hli janga na si kushabikia tu. TAFAKARI.
      Nakimaaniha walichokifanya ni sahihi kwani nimesha lazwa muhimbli tena chini nimetandikiwa godoro tuko wagonjwa 2 godoro moja,sasa jiulizemtu anaitaji drip daktari anakuudumiaje?
      Mama anakwenda kujifungua analazwa chini daktari anamuhudumiaje jiulize tu hata ni wewe utamsaidiaje huyu mama?
      Mazingira ya kufanyia kazi nimibovu hayafai halafu serikali wanasema ni posho madaktari wanadai kumbe sio hawataki kusema ukweli.

      Nilimesha shuhudia kwa macho yangu mtoto anafariki Amana hospital mikononi mwa daktari kwa kukosa kale kasindano kwa kuweka kwenye mshipa ili atundikiwe drip, hospital nzima ilikosa size ya hicho kisindano daktari akatoa hela yake mfukoni akawapa ndugu wa mgonjwa wakatafute hicho kipini walikosa nje sasa kosa ni lanani hapo daktari ama serikali??

      Ukiwa na mgonjwa ama ukaugua wewe mwenyewe ukalazwa kati ta muhimbili, amana, mwananyamala au temeke ndipo utakapo jua madaktari wanamaanisha nini kwenye huu mgomo.

      Chamsingi serikali iwe wazi iseme ukweli isiwapotoshe wananchi??
      Elli, Lukolo, sweke34 and 1 others like this.
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    16. #93
      Nsaro's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 4
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Je waliokosa dawa iweje hukumu yao tumia akili sio
      mkumbo.Hakuna dawa wala vipimo.

    17. #94
      cacico's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th March 2012
      Location : DSM
      Posts : 7,044
      Rep Power : 14517
      Likes Received
      6408
      Likes Given
      4998

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
      u always talk VAPOUR! pathetic!
      "the problem is not me! the problem is you understading me!"

    18. #95
      BASHADA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Posts : 434
      Rep Power : 483
      Likes Received
      107
      Likes Given
      80

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Ulimboka hakutaka kuuawa angetakaiwa afe asingekuwepo leo kuonesha majeraha. Huyo katumiwa na watu wenye kuta hii nchi isitawalike, na wewe unawajuwa ni kina nani.

      Ina maana na wewe unawajua, basi wataje na kama huwataji basi na wewe ni mhusika namba moja waliomtesa Ulimboka, shame on you.
      WAO WANA PESA SISI TUNA MUNGU. WAO WANA NGUVU YA DOLA SISI TUNA NGUVU YA UMMA.

    19. #96
      Eng. Y. Bihagaze's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 8th September 2011
      Location : Czech(but now in DAR)
      Posts : 764
      Rep Power : 5115
      Likes Received
      579
      Likes Given
      111

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Nchi hii IPO?
      Pathologically.."women must bear all loves" ..Atheisms .

    20. #97
      The Eagle2012's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 382
      Likes Received
      24
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Maundumula
      Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!

      Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!

      Mafal* hawataisha Nchi hii!!

    21. #98
      Bigaraone's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th June 2011
      Posts : 472
      Rep Power : 493
      Likes Received
      217
      Likes Given
      1

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.

      Zomba swala la madaktari kugoma sio kama makuri au waendesha daladala au watu wa mabenki. Hii ni sekta muhimu sana na sasa wao tayari washagoma. Tujikite basi katika suluhisho endelevu lakini sio suluhisho litakaloleta matatizo zaidi. Unaongelea kunyonga kama kitu rahisi kufanya. Kwa sheria zetu ili mtu ahukumiwe kunyongwa ni mpaka rais aridhie hukumu ya mahakama. Rais na serikali yake unayoitetea unataka kuiongezea matatizo makubwa zaidi kwanza kwa kuua na pili kutafuta madaktari toka nje. Sijui kama gharama ya vyote viwili ni sawa na kuwatimizia wanachodai hata kama si mara moja lakini kukawepo na payment schedule itakayoridhiwa na pande zote mbili. Tunaweza tukawabeza madaktari kwa msimamo wao lakini umuhimu wao unaonekana jinsi ambavyo hata rais alikutana nao. Ni wangapi wenye bahati hiyo? Ni wachahche na ishara ya umuhimu wao. Cha msingi hapa tulipofika ni tete ni better kutoa mawazo, maoni endelevu yanaweza kuleta suluhu la kudumu katika emergence situation kama tuliokuwa nayo. Na tunachokiandika JF kisiwe tu ari mradi tuandike tukujua watu wanasoma na kufanya filtering ya maoni na yale constructive yanachukuliwa sio lazima tutangaziwe.

      Sasa nisije nikawa retrogressive in my analysis. Napendekeza.

      1.Sherehe kubwa za kitaifa ziadhimishwe sio kwa mtindo wa sasa wa gwaride, mialiko ya wageni na mengine yenye gharama bali watu katika wilaya, kata na vitongoji wafanye shughuli za maendeleo kama kusafisha mitaa na kupanda miti

      2. Misafara ya viongozi ipunguzwe mpaka nusu labda ya wanausalama ili viongozi wetu wasijedhuriwa. Mfano magari yakiwa yanamsubiri mkubwa madereva huyaacha silence na AC zikiwa on for several hours. Nafikiri hapa ndio tunatakiwa kubana matumizi.

      3. Magari yatakayopunguzwa through cutting of misafara yauzwe na pesa ielekezwe huduma za jamii kama afya.

      4. Safari za nje za viongozi zipunguzwe na kama ilivyo no.2 hata delegation inayaokwenda na viongozi ipunguzwe. Dunia imeendelea maana tunazo teleconference facilities viongozi badala ya kusafiri wazitumie kuwasiliana.
      5.Wigo wa kodi (tax base) uongezwe hasa kwenye wachimbaji wa madini, mafuta, gesi na simu a=za mikononi. Wenzetu waliotuzunguka maeneo niliyotaja yamekuwa ndio chanzo cha mapato ya serikali kwetu ni kinyume chake.

      Nawakilisha

    22. #99
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,384
      Rep Power : 1027
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      595

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Az 89
      na wasiwasi na kurugenzi ya mawasiliano ya afya ya kichwa chako!
      Ni haki yako haswa uwezo wa kufikiri unapolingana na mkia wa mbuzi...sitakulaumu kwa hilo provided kuwa tupo dunia mbili tofauti interms of IQ.....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    23. #100
      rikado's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th September 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Mgomo si jambo jema kabisa, na pia kumpiga Bw. Ulimboka ni jambo baya kabisa katika kulishughulikia suala kama hili. Kwahiyo kinachotakiwa ni kulishughulikia jambo hili ili lisiendelee kuleta madhara kwa watanzania. Tatizo hapa haifahamiki vizuri commitment ya serikali ilikuwa itekeleze haya madai ya madaktari katika time frame ipi! na hili ndo naona ni kikwazo hapa, uwazi unahitajika ili kujenga uaminifu katika jambo hili. Serikali ituweke wazi katika hili, sisi kama raia wa tanzania hatuna wa umlilia zaidi ya serikali ambayo inawajibika kwa wananchi kwa namna yote ile. hivyo ni ushauri tu, jambo hili liwekwe wazi ili wananchi wafahamu na pia madaktari wapate kuelewa kipi kipi serikali itawatekelezea na kipi kwa sasa hakiwezekani na mbadala wake ni nini! Mi nauhakika kabisa madaktari ni wasomi na waelewa, na watakuwa tayari kungoja ili wananchi wasio na hatia wasiendelee kuadhibiwa.

    24. FemaTV & Radio
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...