Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

    Report Post
    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 137
    1. #1
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.

    2. Miaka 50

    3. #41
      BongoLogik's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2009
      Posts : 254
      Rep Power : 548
      Likes Received
      40
      Likes Given
      40

      Default

      Quote By zomba
      hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
      listen you masaburi type of a guy!
      You can force a donkey to go to the river but you can not force it to drink your filthy water!

    4. #42
      measkron's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 1,566
      Rep Power : 11273
      Likes Received
      680
      Likes Given
      1275

      Default

      Quote By zomba
      Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
      Vipi wanafunzi wanaomaliza darasa la Saba bila kujua kusoma wala kuandika waalimu tuwafanye nini?

    5. #43
      jigoku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Posts : 1,445
      Rep Power : 1003
      Likes Received
      365
      Likes Given
      537

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Mkirua
      Tatizo ni pale madai hayo yanapoambatanishwa na madai ya mshahara wa milioni 3.....difficult to comprehend........
      Hivi serikali iliwezaje kulipa shilingi milioni 152 kila siku kipindi cha richmond?hivi pesa za rada zimeliwa kiasi gani tukiachia zile zilizogundulika na zikabatizwa jina la chenji ya rada,kana kwamba tulilipa kiasi kadhaa na kisaha muuzaji akawa hana chenji,je zile za rada alizokula chenge naye akazibatiza vijisenti,pesa zililiwa kwenye sakata ya EPA,kumbuka zilizoliwa na kina kagoda,meremeta nk,juzi tu tumeambiwa zingine ziko Swiss bank zaidi ya billion 300,na ufisadi mwingine mwingi tu.je ni kweli haiwezekani kulipa mishahara mizuri kwa madaktari wetu?hata kama si kwa kiwango cha mil 3 walivyoomba madaktari je offer ya serikali walitoa ngapi?maana serikali hawakutoa offer,leo unawalaumu si upuuzi huo.wote mnashabikia ujinga na kuwakatisha tamaa madaktari juu ya kutetea maslahi yao,maslahi ya wananchi na kuleta mapinduzi yenye tija katika sector ya afya mlaaniwe kabisa.

    6. #44
      Ndakilawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2011
      Location : Kumasi
      Posts : 470
      Rep Power : 493
      Likes Received
      53
      Likes Given
      63

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      nipo mbele yenu wataalamu!

    7. #45
      TrueVoter's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2008
      Posts : 280
      Rep Power : 632
      Likes Received
      29
      Likes Given
      6

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Mkirua
      BornTown....chonde chonde kidole na macho.....huyo wa liwalo na liwe athari za mgomo hazimgusi kwa namna yeyote ile...yawezekana hata mimi na wewe hatutibiwi kwenye hizo hospitali za waliogoma au tunakutana nao Regency, Aga Khan, Hindumandal nk....Je watanzania wenzetu wote including ndg zako waliotawanyika maeneo mbali mbali wana uwezo wa kutibiwa huko?? Kwa sasa tu wazima hatujui kesho tutajikuta katika mazingira gani (kama ambavyo Ulimboka hakujua pia)...Mgomo wa madaktari kamwe sio jambo la kushabikia na wanaoadhibiwa katika mgomo huu sio wahusika kwani adhadbu hii haiwagusi wahusika (serekali ) moja kwa moja....
      i beg to submit....
      Mkirua una matatizo, hivi serikali inapofanya maamuzi ya kijinga wangapi wanaatirika na kwa kiwango kipi? unaweza kueleza, na kwa nini unashindwa kujua kila mtu above 18 ana wajibu kwa kila jambo linalomzunguka, raia asipopiga kura atawajibika kwa hilo be it kwa mazuri au kwa mabaya, watu gn hao unaowatetea ambao hawawajibiki kwa haya yanayotokea, either kwa kukaa kimya kwao, au uchaguzi mbovu wa wanaotoa maamuzi au uzembe mwingine wowote ulioleta hali hii.., hebu eleza bwana, sioni maana kila wakati kuelezea madhara ya matokeo ya hali hii bila kueleza chanzo na vilivyosababisha, utapataje suluhisho..!

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      DURACEF's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Pharmacy
      Posts : 186
      Rep Power : 447
      Likes Received
      36
      Likes Given
      12

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
      Bogus,ndio maana mlitaka kumuua ulimboka,safari hii 2taona

    10. #47
      Morinyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 700
      Rep Power : 703
      Likes Received
      149
      Likes Given
      75

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Froida
      Imekuwaje amri ya Raisi Dhaifu JK ikashindwa usicheze na mungu muuaji mkubwa ni KIKWETE ambaye fedha za kununulia dawa yeye amempa mwanawe ridhiwani anunue malori 10,000,mwanae halfani kipande chote cha kigamboni anakimiliki,Miraji viwanja vyote vya burka,na fedha zote za safari zake zilizobaki kazihamishia taasisi ya mkewe WAMA, hizo zote ukijumlisha wangepewa akina ulimboka na wafanyakazi wa sekta nyingine ya afya wangekuwa sasa hivi wanatutibu Muhimbili

      Jaribu kuwa serious kidogo watu wanaongelea mambo muhimu ya msingi wewe unaleta mambo yasiyo na ukweli wowote.

    11. #48
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2885
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Maundumula
      Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!

      Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!
      even bajeti ya nchi inahitaji pesa mkuu,,,hutak pesa wewe????dawa zinakosekana na watu wameficha mabilion abroad hawa nao si wapenda pesa????

    12. MTK
      #49
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 936
      Rep Power : 4497
      Likes Received
      303
      Likes Given
      333

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Kurunzi
      Ngoja tusikie Waziri mkuu atasema nini leo.
      Kaufyata! baada ya jaribio la kumuua Uli lazima kapata tumbo la hiari! lolote atakaloongeza juu ya "LIWALO NA LIWE" lazima litachafua hali ya hewa zaidi na madhara yake yatakuwa makubwa zaidi, lazima aufyate kwa sasa.

    13. #50
      WATANABE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 783
      Rep Power : 571
      Likes Received
      272
      Likes Given
      83

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Maundumula
      Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!

      Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!
      Madaktari wamechoka kushuhudia watanzania wakipoteza msia kwa kukosekana kwa sindano za kuwatundikia dripu, akina mama wakipoteza wato to wachanga kwa kukosekana kwa pmpu za kuwanyonya maji machafu vichanga hivyo vilivyomeza wakai wa kujifumgua ambazo huuzwa si zaidi ya Shilingi elfu 20,000/= n.k
      "Hatuwezi kutatua matatizo kwa akili ile ile ambayo ilisababisha yawepo"..Mch. Peter Msigwa

    14. #51
      Dr. Wansegamila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : Kwetu pazuri
      Posts : 345
      Rep Power : 2082
      Likes Received
      143
      Likes Given
      88

      Default

      Quote By Kurunzi
      Ngoja tusikie Waziri mkuu atasema nini leo.
      waziri mkuu bwana pinda akili ameghairi kutoa kauli ya serikali bungeni leo, eti amegundua kwamba hilo swala linashughulikiwa na mhimili mwingine.........!! Ndo uwezo wa akili za viongozi wenu ulipoishia hapo,wanatishia kujamba wakati wanaumwa diarhea.

    15. #52
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,754
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      728
      Likes Given
      147

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Morinyo
      Jaribu kuwa serious kidogo watu wanaongelea mambo muhimu ya msingi wewe unaleta mambo yasiyo na ukweli wowote.
      Ukweli wenyewe ndio huo Kikwete alidhani IKULU nikwenda kucheza ndomboro na kujinufaisha yeye na familia yake he has to rip what he saw

    16. #53
      evvy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 153
      Rep Power : 427
      Likes Received
      24
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By BornTown
      Bravooooooooooooooooooo!!!!!!! !!!! Safi sana mabingwa wote naomba isiwe muhi2 pekeyake mgomo uwe wa nchi nzima eeh "liwalo na liwe" kama mbwai mbawimbwai tu ....
      Asante

    17. #54
      Madago's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th February 2009
      Posts : 114
      Rep Power : 547
      Likes Received
      6
      Likes Given
      10

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Tulio mikoani tunaona mazingira mabpvu ya kazi ambayo madaktari wanalazimishwa kufanyia kazi kitu ambacho kina ulimboka kinawapa nguvu kufanya mgomo, si kuttea maslahi yao bnafsi tu bali ya watanzania. Nyie mnaotukana madaktari ndio ninyininyi mnao lalamika huduma mbofu kisa mkienda hospitai mkiambiwa mnunue vifaa wakati vinatakiwa kutolewa bure ila gov haitimilizi, wao wanaenda nje! Hospitali moja kubwa wakati fulani ilikua haina hata syringe...these are the issues mgomo huu una adress, na ndio maana utaendelea.
      Inaction is a weapon of mass destruction!

    18. #55
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Hizi ni propaganda za kisiasa zinazosambazwa na kushabikiwa na wahuni, wachochezi na walafi wa madaraka; kwa ufupi hali katika hospitali ya Taifa Muhimbili kwa leo ipo shwari Madaktari wameshatii order ya Mahakama na wanachapa kazi kama huamini pita ujionee mwenyewe hali inavyokwenda; Aidha kuna upungu mdogo wa Resident Docka ambao huwa ni wanafunzi wa Chuo cha Muhimbili kwa masamo ya Udaktari Bingwa ambao kwasasa wapo katika likizo ya wiki Mbili kujiandaa na mitihani ya UE ambayo itaanza tarehe 9/7/2012; hivyo pengo lililo achwa na Resident Doctor ambao hufanya kazi za mabingwa ndio kunafanya watu wasiofatilia mambo kwa kina kufikiri kuwa kuna Mgomo wama daktari Bingwa kumbe sivyo.

      Wananchi msipotoshwe na kikundi cha watu wachache wakiwemo viongozi wa Jumuia ya madaktari ambao wanalazimisha mgomo kuwepo sivyo kwa maslahi ya wanasiasa wachache wanaowatumia bila kujali uhai wa Mtanzania
      Quote By meningitis
      speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    19. #56
      Jabusanga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 3rd September 2010
      Posts : 12
      Rep Power : 445
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By rais wa tano
      madaktari.
      Washenzi kabisa.
      Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
      Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
      Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
      Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

      Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

      Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

      Uzalendo unahitajika!

      Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

      Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.

      Wewe ndio wa ajabu kweli,naona majibu unayo hukutakiwa hata kupoteza muda wako kuandika haya..

    20. #57
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,968
      Rep Power : 2608
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Madktari komaeni mpaka kieleweke.Namtakia afya njema Dr. Ulimboka.

    21. #58
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By DURACEF
      Bogus,ndio maana mlitaka kumuua ulimboka,safari hii 2taona
      Ulimboka hakutaka kuuawa angetakaiwa afe asingekuwepo leo kuonesha majeraha. Huyo katumiwa na watu wenye kuta hii nchi isitawalike, na wewe unawajuwa ni kina nani.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    22. #59
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By measkron
      Vipi wanafunzi wanaomaliza darasa la Saba bila kujua kusoma wala kuandika waalimu tuwafanye nini?
      Wewe umemaliza darasa la ngapi, mbona tupo wote mtandaoni? MoU?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    23. #60
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By BongoLogik
      listen you masaburi type of a guy!
      You can force a donkey to go to the river but you can not force it to drink your filthy water!
      Who is forcing who here by using the blood of our poor sick? Think!
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...