Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

    Report Post
    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 137
    1. #1
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Nyakageni's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 0
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By ellyjr8
      hivi wewe ni zomba au zoba??!
      kawaida yake. Mpotezee

    4. #22
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Ndahani
      zomba, wapi zinapatikana kozi nzuri za diplomasia na propaganda maana nilitegema haya mambo yangeweza kuwa contained
      Hakuna diplomasi njema kama kuwa wa kweli na wenu uwazi, tutazame ni nani anawachochea hawa madaktari kugoma hata baadaya kutimiziwa masharti yao mengi? Jee, Ulimboka ni kibaraka wa watu fulani, kama ndio, kwanini asiuliwe kwa kuwa kibaraka? ikiwa vibaka tu tunawaua huyu kibaraka anaepelekea wagonjwa wetu kuendelea kuteseka kwanini asiuliwe? yeye na wenzake wanaomtumia kwa kuwa anapewa na kaahidiwa kuwa atalipwa?
      BigMan and Ndahani like this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    5. #23
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,482
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4302
      Likes Given
      1248

      Default

      Quote By Maundumula
      Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!

      Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!
      nothing goes for nothing

    6. #24
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Maundumula
      Kuna hii myth eti madaktari wanapigania kuboreshwa huduma za afya!

      Hawana cha huduma za afya wala nini kwao muhimu ni pesa tu hata ikibidi watu wafe wao wapate pesa!
      Tatizo ni pale madai hayo yanapoambatanishwa na madai ya mshahara wa milioni 3.....difficult to comprehend........
      Maundumula likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    7. #25
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,482
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4302
      Likes Given
      1248

      Default

      Quote By zomba
      Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
      nina wasi wasi na afya yako ya kichwa.

    8. Miaka 50

    9. #26
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Hakuna diplomasi njema kama kuwa wa kweli na wenu uwazi, tutazame ni nani anawachochea hawa madaktari kugoma hata baadaya kutimiziwa masharti yao mengi? Jee, Ulimboka ni kibaraka wa watu fulani, kama ndio, kwanini asiuliwe kwa kuwa kibaraka? ikiwa vibaka tu tunawaua huyu kibaraka anaepelekea wagonjwa wetu kuendelea kuteseka kwanini asiuliwe? yeye na wenzake wanaomtumia kwa kuwa anapewa na kaahidiwa kuwa atalipwa?
      Siwezi kujua nani anawachochea ila naamini ni dhamira yao ya kuwa na maisha bora kama wakurugenzi wa wilaya, wabunge na mawaziri. Mambo yao yaliyotekelezwa ni yapi? Sina shaka na ubora wa akili za madaktari maana wale wachache ninaowajua, they are really good...watashamishiwa hivi hivi tu nao wafuate kichwa kichwa? Kuna viashiria vingine ndio vinawashawishi waweze kudai hiko wanachodai.
      Ndumbayeye likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    10. #27
      Lekanjobe Kubinika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2006
      Location : Tanzania
      Posts : 2,399
      Rep Power : 1656
      Likes Received
      313
      Likes Given
      578

      Default re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Watawaita wanajeshi toka Lugalo. Sasa inasemekana mipango inaenda vizuri kuleta waganga kutoka nje ya nchi LIWALO NA LIWE anao mpango kamambe ndio maana ya maneno ya kiburi kutokauka mdomoni dhidi ya madaktari. Tusubiri manesi waweke silaha chini nao, maana watafanya kazi na nani wakati mabosi wao wameweka silaha chini? Ofcourse wabunge na serikali wataenda Apollo Hospital, pesa TRA wanaitafuta.
      "Uwe na Bidii kama vile utaishi milele, uwe mwaminifu kama vile utakufa kesho" (Indira Gandhi)

    11. #28
      anjnr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 243
      Rep Power : 476
      Likes Received
      44
      Likes Given
      116

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      source please!!!
      Mrimi likes this.

    12. #29
      Rogie's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 22nd November 2010
      Location : Darul Islamia
      Posts : 1,917
      Rep Power : 1146
      Likes Received
      485
      Likes Given
      334

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By ellyjr8
      hivi wewe ni zomba au zoba??!
      Zombie
      "You have your people,and I have mine"
      [email protected]

    13. #30
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1036
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By BornTown
      Bravooooooooooooooooooo!!!!!!! !!!! Safi sana mabingwa wote naomba isiwe muhi2 pekeyake mgomo uwe wa nchi nzima eeh "liwalo na liwe" kama mbwai mbawimbwai tu ....
      BornTown....chonde chonde kidole na macho.....huyo wa liwalo na liwe athari za mgomo hazimgusi kwa namna yeyote ile...yawezekana hata mimi na wewe hatutibiwi kwenye hizo hospitali za waliogoma au tunakutana nao Regency, Aga Khan, Hindumandal nk....Je watanzania wenzetu wote including ndg zako waliotawanyika maeneo mbali mbali wana uwezo wa kutibiwa huko?? Kwa sasa tu wazima hatujui kesho tutajikuta katika mazingira gani (kama ambavyo Ulimboka hakujua pia)...Mgomo wa madaktari kamwe sio jambo la kushabikia na wanaoadhibiwa katika mgomo huu sio wahusika kwani adhadbu hii haiwagusi wahusika (serekali ) moja kwa moja....
      i beg to submit....
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    14. #31
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,744
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      721
      Likes Given
      147

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Hakuna diplomasi njema kama kuwa wa kweli na wenu uwazi, tutazame ni nani anawachochea hawa madaktari kugoma hata baadaya kutimiziwa masharti yao mengi? Jee, Ulimboka ni kibaraka wa watu fulani, kama ndio, kwanini asiuliwe kwa kuwa kibaraka? ikiwa vibaka tu tunawaua huyu kibaraka anaepelekea wagonjwa wetu kuendelea kuteseka kwanini asiuliwe? yeye na wenzake wanaomtumia kwa kuwa anapewa na kaahidiwa kuwa atalipwa?
      Imekuwaje amri ya Raisi Dhaifu JK ikashindwa usicheze na mungu muuaji mkubwa ni KIKWETE ambaye fedha za kununulia dawa yeye amempa mwanawe ridhiwani anunue malori 10,000,mwanae halfani kipande chote cha kigamboni anakimiliki,Miraji viwanja vyote vya burka,na fedha zote za safari zake zilizobaki kazihamishia taasisi ya mkewe WAMA, hizo zote ukijumlisha wangepewa akina ulimboka na wafanyakazi wa sekta nyingine ya afya wangekuwa sasa hivi wanatutibu Muhimbili
      kalaghesye likes this.

    15. #32
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,744
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      721
      Likes Given
      147

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By rais wa tano
      madaktari.
      Washenzi kabisa.
      Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
      Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
      Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
      Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

      Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

      Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

      Uzalendo unahitajika!

      Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

      Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.

      Mshenzi na firauni ni wewe na taahira kabisa kama ulidhani madaktari na wakutomaswa mboni za macho umekosea mwambie Pinda akarudishe zile bilioni 300 uswisi zije zinunue vitanda vya kuzalia wanawake

    16. #33
      mojoki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 904
      Rep Power : 616
      Likes Received
      128
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By rais wa tano
      madaktari.
      Washenzi kabisa.
      Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
      Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
      Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
      Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

      Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

      Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

      Uzalendo unahitajika!

      Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

      Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.

      swali la msingi sana nalojiuliza mimi, kama watu wanailaani serikali kwa kutaka kumuua mtu anayeongoza mapambano ya kutaka serikali iwaongezee pesa (kama wanavyodai kwamba serikali inahusika), Kwanini pia hawamlaumu huyu mtu kwa kushirikiana na wenzake kuwaua watanzania wenzao (kwa migomo) kutokana na sababu hiyo hiyo ya fedha

    17. #34
      kindafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 257
      Rep Power : 488
      Likes Received
      83
      Likes Given
      62

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Bravo Drs! Mtu akiwauliza, jibu ni "Liwalo na liwe"!!!!

    18. #35
      Kimbito nyama's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 156
      Rep Power : 390
      Likes Received
      38
      Likes Given
      19

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By rais wa tano
      madaktari.
      Washenzi kabisa.
      Pengine hawana dini ni 'makafiri'.
      Mmepewa fani muhimu sana kwa maisha yetu kama wanadamu.
      Mnapogoma kwa sababu ya madai yenu kwa serikali, hamtutendei haki watanzania, hasa sisi wa kipato duni tunaojazana kwenye hospitali zenu zenye huduma mbofu mbofu.
      Eti mnagoma kuishinikiza serikali, hao wakubwa waa swrikalini wana uwezo wa kutibiwa popote hata kama msingekupo ninyi.

      Kuna wapumbavu wengine wanalishabikia hili suala kisiasa, acheni hizo.

      Fikiria kama wewe ndo ungekuwa pale na mgonjwa wako mahututi halafu unambiwa kuna mgomo..

      Uzalendo unahitajika!

      Mbona enzi ya mwalimu hakukuwa upuuzi huu?

      Eti migomo inatokea wakati huu ambao wenye taaluma hiyo tunashudia wakiishi maisha ya kifahari.

      Kenge mweupe

    19. #36
      Wile GAMBA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Posts : 529
      Rep Power : 494
      Likes Received
      158
      Likes Given
      594

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By Elli
      Natafuta link ya kuniwezesha kusikiliza bunge online, naomba unisaidie hata kwa PM itakua sawa au jibu hapa hapa na wengine wapate, kulikua na ile ya arusha lakini nimeisahau
      wazo zuri sana na mimi pia nahitahi

    20. #37
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 573
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Teh teh teh teh!!!!
      Safi sana ma Dr.hivi babu wa loliondo yupo nikapige kikombe cha emergence fasta???
      Sikonge likes this.

    21. #38
      mchemsho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Posts : 2,015
      Rep Power : 810
      Likes Received
      269
      Likes Given
      20

      Default

      Quote By rais wa tano
      madaktari.
      Washenzi kabisa.

      unatafuta umaarufu sio?? Nenda kanye kweupe ubungo mataa..focus on 2sides of a show u punk

    22. #39
      Daudi Mchambuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 6,190
      Rep Power : 1954
      Likes Received
      2996
      Likes Given
      13635

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      Quote By zomba
      Hao madaktari wahukumiwe kifo kwa kila mgonjwa atae kufa kuanzia amri ya mahakama ya kuwata warudi kazini ilipotolewa.
      Mr. Layman, Under which and whose law??
      "Serikalii hii ni IMPOTENT kuanzia yule wa juu hadi walioko chini" by Dr. Slaa

    23. #40
      Wile GAMBA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Posts : 529
      Rep Power : 494
      Likes Received
      158
      Likes Given
      594

      Default Re: Madaktari bingwa Muhimbili waanza mgomo

      ni upuuzi wa hali ya juu kusema madokta wanachochewa au hawachochewi, kitu cha msingi ni kujiuliza kama madai yao yana msingi au la, hapo nitaona unaongea kwa kutumia akili

    Page 2 of 7 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...