speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.
speacilists at MNH -TOTAL TOOLS DOWN,Watamtibu mgonjwa mmoja tu-jemedari ulimboka stephen.
Hakuna diplomasi njema kama kuwa wa kweli na wenu uwazi, tutazame ni nani anawachochea hawa madaktari kugoma hata baadaya kutimiziwa masharti yao mengi? Jee, Ulimboka ni kibaraka wa watu fulani, kama ndio, kwanini asiuliwe kwa kuwa kibaraka? ikiwa vibaka tu tunawaua huyu kibaraka anaepelekea wagonjwa wetu kuendelea kuteseka kwanini asiuliwe? yeye na wenzake wanaomtumia kwa kuwa anapewa na kaahidiwa kuwa atalipwa?
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Siwezi kujua nani anawachochea ila naamini ni dhamira yao ya kuwa na maisha bora kama wakurugenzi wa wilaya, wabunge na mawaziri. Mambo yao yaliyotekelezwa ni yapi? Sina shaka na ubora wa akili za madaktari maana wale wachache ninaowajua, they are really good...watashamishiwa hivi hivi tu nao wafuate kichwa kichwa? Kuna viashiria vingine ndio vinawashawishi waweze kudai hiko wanachodai.
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Watawaita wanajeshi toka Lugalo. Sasa inasemekana mipango inaenda vizuri kuleta waganga kutoka nje ya nchi LIWALO NA LIWE anao mpango kamambe ndio maana ya maneno ya kiburi kutokauka mdomoni dhidi ya madaktari. Tusubiri manesi waweke silaha chini nao, maana watafanya kazi na nani wakati mabosi wao wameweka silaha chini? Ofcourse wabunge na serikali wataenda Apollo Hospital, pesa TRA wanaitafuta.
"Uwe na Bidii kama vile utaishi milele, uwe mwaminifu kama vile utakufa kesho" (Indira Gandhi)
source please!!!
BornTown....chonde chonde kidole na macho.....huyo wa liwalo na liwe athari za mgomo hazimgusi kwa namna yeyote ile...yawezekana hata mimi na wewe hatutibiwi kwenye hizo hospitali za waliogoma au tunakutana nao Regency, Aga Khan, Hindumandal nk....Je watanzania wenzetu wote including ndg zako waliotawanyika maeneo mbali mbali wana uwezo wa kutibiwa huko?? Kwa sasa tu wazima hatujui kesho tutajikuta katika mazingira gani (kama ambavyo Ulimboka hakujua pia)...Mgomo wa madaktari kamwe sio jambo la kushabikia na wanaoadhibiwa katika mgomo huu sio wahusika kwani adhadbu hii haiwagusi wahusika (serekali ) moja kwa moja....
i beg to submit....
The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!
Imekuwaje amri ya Raisi Dhaifu JK ikashindwa usicheze na mungu muuaji mkubwa ni KIKWETE ambaye fedha za kununulia dawa yeye amempa mwanawe ridhiwani anunue malori 10,000,mwanae halfani kipande chote cha kigamboni anakimiliki,Miraji viwanja vyote vya burka,na fedha zote za safari zake zilizobaki kazihamishia taasisi ya mkewe WAMA, hizo zote ukijumlisha wangepewa akina ulimboka na wafanyakazi wa sekta nyingine ya afya wangekuwa sasa hivi wanatutibu Muhimbili
swali la msingi sana nalojiuliza mimi, kama watu wanailaani serikali kwa kutaka kumuua mtu anayeongoza mapambano ya kutaka serikali iwaongezee pesa (kama wanavyodai kwamba serikali inahusika), Kwanini pia hawamlaumu huyu mtu kwa kushirikiana na wenzake kuwaua watanzania wenzao (kwa migomo) kutokana na sababu hiyo hiyo ya fedha
Bravo Drs! Mtu akiwauliza, jibu ni "Liwalo na liwe"!!!!
Teh teh teh teh!!!!
Safi sana ma Dr.hivi babu wa loliondo yupo nikapige kikombe cha emergence fasta???
ni upuuzi wa hali ya juu kusema madokta wanachochewa au hawachochewi, kitu cha msingi ni kujiuliza kama madai yao yana msingi au la, hapo nitaona unaongea kwa kutumia akili
Follow Us Here