Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 66
    1. #1
      SirBonge's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2010
      Posts : 167
      Rep Power : 582
      Likes Received
      91
      Likes Given
      32

      Default Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!

      My take:
      -Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
      -Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi!
      Avanti likes this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Bajabiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st December 2010
      Posts : 9,741
      Rep Power : 2884
      Likes Received
      1115
      Likes Given
      52

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Eh,haya LIWALO NA LIWE..........

    4. #3
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 627
      Rep Power : 0
      Likes Received
      183
      Likes Given
      1

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Hapa kazi ipo Ngoja tusubiri

    5. #4
      Avanti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2010
      Posts : 696
      Rep Power : 582
      Likes Received
      103
      Likes Given
      260

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      [QUOTE=SirBonge;4135547]SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!

      My take:
      -Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
      -Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi![/QUOTE

      Safi sana! Mgomo wa madktari uliua ndugu yangu, timua tu, ni bora tujue hatuna madaktari nchi hii ili tumwombe mungu atuponeshe kwa magonjwa yatayotujia, kwanza watu wenyewe wanapeleka madawa ya serikali kenye dispensari zao.
      Maundumula and mito like this.

    6. #5
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 547
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      jamba jamba ya ccm na wadhaifu wake ...we dont care haturudi nyuma

    7. Study Abroad

    8. #6
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,158
      Rep Power : 24268
      Likes Received
      4669
      Likes Given
      2294

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Pinda: LIWALO NA LIWE
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    9. #7
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 478
      Rep Power : 463
      Likes Received
      71
      Likes Given
      0

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Kweli liwalo na liwe.

    10. #8
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,479
      Rep Power : 896
      Likes Received
      506
      Likes Given
      74

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Timua wote maana wanacheza na maisha ya watu, kama mshahara hautoshi si unaacha kazi tu.
      greenstar and meinulf like this.

    11. #9
      Baniani Mzuri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 455
      Likes Received
      29
      Likes Given
      4

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Liwale na liwe ndo inaanza kiukweli cjui tutafika wapi hii nchi bila madaktari... watoto wenyewe wa cku hizi wote wanakimbilia H kunani hawataki shida

    12. #10
      rosemarie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,732
      Rep Power : 1366
      Likes Received
      280
      Likes Given
      142

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      liwalo na liwe la pinda,ina maana tutakufa au potelea mbali,jamaa ovyo kabisa
      mwarain likes this.
      ccm inakufa,asante mungu umesikia kilio chetu!!!!!!!

    13. #11
      lutamyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 347
      Rep Power : 539
      Likes Received
      66
      Likes Given
      202

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Safi sana! Mgomo wa madktari uliua ndugu yangu, timua tu, ni bora tujue hatuna madaktari nchi hii ili tumwombe mungu atuponeshe kwa magonjwa yatayotujia, kwanza watu wenyewe wanapeleka madawa ya serikali kenye dispensari zao.[/QUOTE]

      Nadhani umesahau kuwa wewe uliwahi kwenda Samunge kwa babu sasa hivi wanakurahisishia kwenda Bagamoyo. Ili uzidi kuwakandamiza Wadanganyika. Tatizo la Watanzania kila mtu anatumia masaburi kufikiri kwa kuzani yeye ndiye mwenye haki kisa tu ya harufu ya waridi anayoinusa. Ndugu endelea tu kufaidi mfumohuu kandamizi unaokurinda.
      Sikonge, greenstar and yatima like this.
      OLE WAO WANAOONEKANA KWA WATU KUWA NI WENYE HAKI BALI NDANI WAMEJAA UNAFIKI NA MAASI (Mathayo 23:27-28)

    14. #12
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Hao wanajeshi wao wako wapi? Madaktari wasioweza hata kuwasha mashine ya xray...hakika watz mmezoea kudanganywa
      yatima likes this.
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    15. #13
      John locke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th May 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 391
      Likes Received
      29
      Likes Given
      17

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Sijui taifa langu linaelekea wapi????

    16. #14
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      hatutekelezi dai lolote, mkuu wenu tumempiga na mkigoma tunawatimua kazi LIWALO NA LIWE sisi tunatibiwa nje ya nchi bana! Ala!
      Sikonge and greenstar like this.

    17. #15
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,558
      Rep Power : 943
      Likes Received
      677
      Likes Given
      131

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Kuna baadhi ya watu tukisema ilibidi wawe Gombe hamtuelewi!

      LIWALO NA LIWE ni neno la magombe huko msituni.

    18. #16
      Mrimi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 1,225
      Rep Power : 734
      Likes Received
      327
      Likes Given
      314

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By SirBonge
      SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!

      My take:
      -Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
      -Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi!
      Source mkuu!!!
      Isije ikawa trick ya kuwavunja nguvu madocs.

    19. #17
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By SirBonge
      SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!

      My take:
      -Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
      -Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi!
      Hii safi sana, wakagome majumbani kwao.
      greenstar likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    20. #18
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 577
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By SirBonge
      SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!

      My take:
      -Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
      -Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi!
      Wao wana madaraka , madaktari wana taaluma mabavu haya nani anaumia?
      gfsonwin likes this.

    21. #19
      William wa Ukweli's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 59
      Rep Power : 359
      Likes Received
      7
      Likes Given
      2

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Imbaaa.....eeeh....mtoto...naa a...taka...tambaaaa....kwa hisani ya epiq nation...part of etsalat??!!

      Huu mgomo wa madaktari ni kwa hisani ya serikali 'sikivu' ya CCM, 'party of the elite'!!!

    22. #20
      Kidogo chetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 478
      Rep Power : 577
      Likes Received
      53
      Likes Given
      130

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By Likwanda
      Timua wote maana wanacheza na maisha ya watu, kama mshahara hautoshi si unaacha kazi tu.
      Kiazi wewe mbona wabunge wanaongezewa kila kuchapo
      yatima likes this.

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...