Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 66
    1. #1
      SirBonge's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2010
      Posts : 167
      Rep Power : 582
      Likes Received
      91
      Likes Given
      32

      Default Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!

      My take:
      -Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
      -Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi!
      Avanti likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      whitehorse's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th August 2009
      Posts : 49
      Rep Power : 504
      Likes Received
      6
      Likes Given
      9

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      [QUOTE=Avanti;4135567]
      Quote By SirBonge
      SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!

      My take:
      -Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari
      -Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi![/QUOTE

      Safi sana! Mgomo wa madktari uliua ndugu yangu, timua tu, ni bora tujue hatuna madaktari nchi hii ili tumwombe mungu atuponeshe kwa magonjwa yatayotujia, kwanza watu wenyewe wanapeleka madawa ya serikali kenye dispensari zao.
      acha ujinga weee huyo ndugu yako alijipangia na siku ya kuzaliwa, nani kasema anayetibiwa hafi.... amka chizi wewe kila mtu anakufa tu..... nawe utakufa tuuu hata kwa kuchomwa mwiba.

    4. #42
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,836
      Rep Power : 30208
      Likes Received
      4670
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By MESTOD
      Kuna baadhi ya watu tukisema ilibidi wawe Gombe hamtuelewi!

      LIWALO NA LIWE ni neno la magombe huko msituni.
      Mkuu mimi Gombe siitaji tena! Baba v alinambia anatumikia ban kwa kumtaja mzee wa gombe! LIWALO NA LIWE,

    5. #43
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,725
      Rep Power : 2266
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By Likwanda
      Timua wote maana wanacheza na maisha ya watu, kama mshahara hautoshi si unaacha kazi tu.
      Babu wa Loliondo yupo hai?
      Simple life is healthier than egoism.

    6. #44
      Aggrey86's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 696
      Rep Power : 0
      Likes Received
      80
      Likes Given
      88

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Hahaha!! mtawarudisha tu,chezea daktari wewe pinda hujui umuhinmu wake au sababu ninyi mtaenda india mkiumwa!!

    7. #45
      dogojanja 87's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 272
      Rep Power : 414
      Likes Received
      44
      Likes Given
      25

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Mr DHAIFU and Mr LIWALO NA LIWE @work..nchi imewashinda

    8. Miaka 50

    9. #46
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,696
      Rep Power : 904
      Likes Received
      432
      Likes Given
      440

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      uwezo wa kuwatimua hawana!...trust me!tutackia kwny vyombo vya habari!

    10. #47
      Mr Emmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Posts : 631
      Rep Power : 594
      Likes Received
      74
      Likes Given
      16

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Liwalo na Liwe mida ya mchana tunang'oa watukutu wote muhimbili; na liwalo na liwe
      Communist likes this.
      Uhuru wa kweli wa Taifa utaletwa na Mapinduzi ya kweli ya Fikra ndani ya Wanachama na wapenzi wa CCM!@

    11. #48
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,908
      Rep Power : 5059
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Potelea mbali liwalo na liwe-Pinda

    12. #49
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,725
      Rep Power : 2266
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By Likwanda
      Timua wote maana wanacheza na maisha ya watu, kama mshahara hautoshi si unaacha kazi tu.
      Niliwahi kujibiwa hivyo na bosi wangu nikiwa kijana mdogo. Lile shirika halipo tena, mimi niliacha kweli.
      Simple life is healthier than egoism.

    13. #50
      Sting007's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th July 2011
      Posts : 215
      Rep Power : 438
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Botswana mnaitajika sana ndugu zangu madaktari tena kwa maslai makubwa msijali.

    14. #51
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 757
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Ingekuwa enzi za mwalimu wote hao waliogoma chapa viboko mbele ya wake/waume na watoto zao nyambaff

    15. #52
      MESTOD's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Posts : 2,558
      Rep Power : 943
      Likes Received
      677
      Likes Given
      131

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By Pombekali
      Mkuu mimi Gombe siitaji tena! Baba v alinambia anatumikia ban kwa kumtaja mzee wa gombe! LIWALO NA LIWE,

      Kumbe kunyamazishana kupo hadi huku?

    16. #53
      tongi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th March 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 384
      Likes Received
      24
      Likes Given
      23

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      [QUOTE=Avanti;4135567]
      Quote By SirBonge
      SASA LIMEKUWA.....Asubuhi hii Intern Drs 11 waliokuwa wamegoma wametimuliwa kazi katika Haospitali ya mkoa wa Dodoma...........Haya yanategemewa pia katika hospitali nyingine zote zilizogoma!My take:-Moto hauzimwi kwa petrol, sasa ni vita rasmi kati ya serikali na madaktari-Ikumbukwe kwamba chokochoko zote hizi zilianzia kwa Intern Drs, nahisi makubwa zaidi![/QUOTESafi sana! Mgomo wa madktari uliua ndugu yangu, timua tu, ni bora tujue hatuna madaktari nchi hii ili tumwombe mungu atuponeshe kwa magonjwa yatayotujia, kwanza watu wenyewe wanapeleka madawa ya serikali kenye dispensari zao.
      Ndugu yako asingekufa?????

    17. #54
      tongi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th March 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 384
      Likes Received
      24
      Likes Given
      23

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By mopaozi
      Ingekuwa enzi za mwalimu wote hao waliogoma chapa viboko mbele ya wake/waume na watoto zao nyambaff
      usizungumizie enzi ambazo hazipo

    18. #55
      admiral elect's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th November 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 394
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By John locke
      Sijui taifa langu linaelekea wapi????
      kwenye ukombozi
      THE WAVES AND THE WINDS ARE ALWAYS ON THE SIDE OF THE ABLEST NAVIGATORS

    19. #56
      Kashindye J.J's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 387
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By mtu wenu
      Hivi kwanini serikali haitaki kujifunza?
      Hii inaipotezea uhalali wa kutawala,kwani ina dhamana ya kujali na kutunza afya za watanzania!
      Ee Mungu tusaidie sisi watanzania!
      Mungu ibariki Tanzania.
      Kwa haya yanayoendelea ya kunyanyasana na watu kutumia mabavu unadhani Mungu ataibariki TZ? THUBUTUU! Kila kukicha na laana tu. Tuombe atakase uovu kwanza

    20. #57
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Viongozi wa Nchi hi bwana maslahi kwa wenzao wanaona kama adui wa taifa gusa ya kwao uone

    21. #58
      Ishaka's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st November 2011
      Posts : 64
      Rep Power : 394
      Likes Received
      8
      Likes Given
      13

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Quote By Kidogo chetu
      Kiazi wewe mbona wabunge wanaongezewa kila kuchapo

    22. #59
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,556
      Rep Power : 5614
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      wawafukuze tu madaktari wote, wao si wanatibiwa india???

    23. #60
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,763
      Rep Power : 1627
      Likes Received
      1185
      Likes Given
      1701

      Default Re: Kazi ndo kwanza inaanza: Madaktari 11 watimuliwa dodoma

      Dr. Kikwete vipi hajaenda kuwa saidia?
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...