Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

    Report Post
    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234
    Results 61 to 74 of 74
    1. #1
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Kuna taarifa kuwa katibu wa Medical Association of Tanganyika (MAT) ameanza kupigiwa simu na watu wasioeleweka kama ilivyomtokea Dr. Ulimboka.

      Madaktari wameshapeana taarifa na wameahidi kumlinda kwa gharama yoyote. Hii inamaanisha ni vita dhahiri kati ya wahudumu wa afya na serikali.

      Tuendelee kuona mwisho wa sakata hili tete!

      GET WELL SOON DR STEPHEN ULIMBOKA!
      Last edited by Jackbauer; 27th June 2012 at 23:20.
      You may succeed in silencing me but that silence comes at a price-Alex litvinenko

    2. Miaka 50

    3. #61
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By Froida
      Ni wewe tu mwenye akili za mbayuwayu ndie unayejua kuwa madaktari wanalipwa watanzania wanajua madaktari wandai haki zao na ni haki yao ya kikatiba
      Haki yao ipi wanaodai ambavyo wamekataliwa? unadai haki kwa kuwaweka rehani wagonjwa, huna mwanao anaeumwa na kwenda Muhimbili ndiyo maana unasema hayo.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    4. #62
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,742
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      146

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By zomba
      Haki yao ipi wanaodai ambavyo wamekataliwa? unadai haki kwa kuwaweka rehani wagonjwa, huna mwanao anaeumwa na kwenda Muhimbili ndiyo maana unasema hayo.
      Kichwa chako ni matope hata tukigonga na nyundo hutaelewa aliyewaweka wagonjwa rehani ni mwenyekiti wako wa chama cha CCM,Raisi wa Jamhuri ya Muungano na Amri jeshi mkuu Mh.Dr Jakaya Mrisho Kikwete kwa kushindwa kukusanya kodi,kubuni njia sahihi za uchumi,kupunguza matumizi ya serikali,wizi wa wazi wa mali za umma,fedha zote hizo angezidhibiti leo hii asingekuwa anapanga Kumuua daktari ulimboka angekuwa anaagiza hazina kutekeleza matakwa ya madaktari

    5. #63
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By davidie
      we acha ubwege! Kama unauchungu na nchi hii jiulize ni kiasi gani hao wapumbavu unaowaita viongozi ambavyo wanaiba na kujinufaisha binafsi nafamilia zao wakati ni mali ya taifa la tanzania? Kwani wanatofauti gani na wauaji ambao wanaua watu pasipo na sababu, kama nchi hii ingefuata misingi ya utawala bora pasingetokea dr ulimboka na wala migomo tusingeisikia, zaidi hao viongozi wako wala rushwa wangekua marehemu yaani wangekuwa wameshanyongwa tusingeshuhudia upuuzi huu, nenda china uone kama kuna ujinga huu wa mtu kuiba kisha anaundiwa tume na baadae anapewa kitengo kingine, ila madaktari wanapodai haki zao wanaonekana wauaji pumbaaaaaaf zenu wote wenye fikra mgando kama fisi maji.
      Wewe achana na viongozi, hapa tunaongelea wagonjwa wetu wanaokufa kwa kuwekwa mateka na hawa viongozi wa madaktari wanaotumiwa ili "nchi isitawalike"? huna mgonjwa wako aliyepo hospitali kwa wakati huu, au wagonjwa zako wanaenda kwenye hospitali za MoU tu.

      Usiweke rehani wagonjwa wetu kwa wizi na ufisadi ambao leo hii ndiyo unaibuliwa na kuchukuliwa hatua.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    6. #64
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By Froida
      Kichwa chako ni matope hata tukigonga na nyundo hutaelewa aliyewaweka wagonjwa rehani ni mwenyekiti wako wa chama cha CCM,Raisi wa Jamhuri ya Muungano na Amri jeshi mkuu Mh.Dr Jakaya Mrisho Kikwete kwa kushindwa kukusanya kodi,kubuni njia sahihi za uchumi,kupunguza matumizi ya serikali,wizi wa wazi wa mali za umma,fedha zote hizo angezidhibiti leo hii asingekuwa anapanga Kumuua daktari ulimboka angekuwa anaagiza hazina kutekeleza matakwa ya madaktari
      Kumbe ni Kikwete na si maslahi ya madaktari? sasa mnachokificha ni nini siku zote? mmeshindwa kwenye majukwaa ya siasa mnatumia wagonjwa? hayo ndio maelekezo mnayopewa?

      Sasa ndio msahau kabisa kuwa kuna siku mtakuja kuitawala hii nchi. Mkimaliza wagonjwa ingieni mitaani.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    7. #65
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,742
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      146

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By zomba
      Kumbe ni Kikwete na si maslahi ya madaktari? sasa mnachokificha ni nini siku zote? mmeshindwa kwenye majukwaa ya siasa mnatumia wagonjwa? hayo ndio maelekezo mnayopewa?

      Sasa ndio msahau kabisa kuwa kuna siku mtakuja kuitawala hii nchi. Mkimaliza wagonjwa ingieni mitaani.
      Tafadhali Zomba usiwe mjinga, na kujaza jaziba zisizonatija ,sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote ,lakini pia sipingani na wale wanaotaka na kupenda siasa kwa ufuasi kama mimi ambavyo ni mfuasi wa siasa za ukweli na uhakika

      Ngoja ni Kwambie Madaktari ni wananchi wa nchi hii na wanayo haki ya kuonyesha hisia zao pale inapoonekana wanapuuzwa kwa makusudi na watawala ili kuboreshewa maslahi yao na maeneo wanayotendea kazi kama watanzania wengine walivyoboreshewa kwenye maeneo yao ya kazi

      Kuwaunganisha madaktari na siasa wakati wao wamesimamia haki yao ya msingi ya Kikatiba kudai haki nadhani unajichlewesha mwenyewe kwenye ufahamu sitahiki
      swala la kusema hatutawala nchi hii kamwe nadhani unapotoka sana,kwa sababu mpaka sasa tumeshajua kwamba usalama wa taifa ndio wanaovuruga demokrasia,jeshi wanajua hilo,polisi wanajua hilo,wananchi wanajua hilo

      lakini duniani pote hakuna bunduki,wa kifaru kinachozidi nguvu ya umma kama wananchi wameamua chama chochote kitatawala hata ikibidi baada ya kuua wengi tu

      Aliyewamaliza wangojwa ni serikali dhaifu ya CCM na haitabaki salama kwa hili

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,613
      Rep Power : 783
      Likes Received
      218
      Likes Given
      344

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      waache chuki kila mtu anahaki ya kuishi .wasitishiane maisha pale mtu anapotetea maslahi ya wengi
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    10. #67
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By Froida
      Tafadhali Zomba usiwe mjinga, na kujaza jaziba zisizonatija ,sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote ,lakini pia sipingani na wale wanaotaka na kupenda siasa kwa ufuasi kama mimi ambavyo ni mfuasi wa siasa za ukweli na uhakika

      Ngoja ni Kwambie Madaktari ni wananchi wa nchi hii na wanayo haki ya kuonyesha hisia zao pale inapoonekana wanapuuzwa kwa makusudi na watawala ili kuboreshewa maslahi yao na maeneo wanayotendea kazi kama watanzania wengine walivyoboreshewa kwenye maeneo yao ya kazi

      Kuwaunganisha madaktari na siasa wakati wao wamesimamia haki yao ya msingi ya Kikatiba kudai haki nadhani unajichlewesha mwenyewe kwenye ufahamu sitahiki
      swala la kusema hatutawala nchi hii kamwe nadhani unapotoka sana,kwa sababu mpaka sasa tumeshajua kwamba usalama wa taifa ndio wanaovuruga demokrasia,jeshi wanajua hilo,polisi wanajua hilo,wananchi wanajua hilo

      lakini duniani pote hakuna bunduki,wa kifaru kinachozidi nguvu ya umma kama wananchi wameamua chama chochote kitatawala hata ikibidi baada ya kuua wengi tu

      Aliyewamaliza wangojwa ni serikali dhaifu ya CCM na haitabaki salama kwa hili
      Ungekuwa unafatilia siasa za ukweli ungejuwa kuwa madaktari mapaka waziri na naibu wake na katibu mkuu wametolewa kazi hizo ili kuwakubalia matakwa yao. Mishhara nyumba, namadai mengine kibao yameshatimizwa na wanaambiwa mengine tunayatimiza kuanzia bajeti hii ijayo, sasa ni nini zaidi kinachowafanya wauwe wagonjwa wetu.

      Kwanza hao madaktari hawatakiwi walipwe zaidi ya wengine kwani wao wameruhusiwa kufanya kazi zao kwenye kliniki na hospitali za private ili wazidishe vipato vyao. Lakini bado tu.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    11. #68
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,742
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      720
      Likes Given
      146

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By zomba
      Ungekuwa unafatilia siasa za ukweli ungejuwa kuwa madaktari mapaka waziri na naibu wake na katibu mkuu wametolewa kazi hizo ili kuwakubalia matakwa yao. Mishhara nyumba, namadai mengine kibao yameshatimizwa na wanaambiwa mengine tunayatimiza kuanzia bajeti hii ijayo, sasa ni nini zaidi kinachowafanya wauwe wagonjwa wetu.

      Kwanza hao madaktari hawatakiwi walipwe zaidi ya wengine kwani wao wameruhusiwa kufanya kazi zao kwenye kliniki na hospitali za private ili wazidishe vipato vyao. Lakini bado tu.
      Hapo ndipo unapojichanganya nani ambaye hajaruhusiwa kufanya ujasiriamali sio azimio la Zanzibar lilopitisha hili kiasi cha kwamba wafanyakazi wengine wote wa serikali wanaendesha miradi yao bila wasiwasi,daktari maisha yake ni hospitali fanya sensa uone hata dispensary za madaktari hapa DSM zinafika hata 50, mara nyingi wanahama hospitari moja hadi nyingine angalau kujazia kibaba
      ukweli mahitaji yao hayajatimizwa na ingekuwa serikali ya busara ingetumia dialogue zaidi ya mapambano na mauaji siku zote waswahili walisema kauli mali lakini sio dharau na kuthibitisha vitu vya uongo

    12. #69
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,657
      Rep Power : 716
      Likes Received
      290
      Likes Given
      36

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Nina hakika mchezo huu utaigharimu nchi kuingia kwenye machafuko yanayoepukika

    13. #70
      gilguy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th June 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 352
      Likes Received
      4
      Likes Given
      1

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      kicho kimrija kinachokupa kiburi kutetea serekali mbovu kitakatika tu.kama waligoma na hicho kiserekali kikasema kitatatua hayo madai kimefanya nini.ukiendelea kutetea upuuzi na wewe kimrija kikikatika watakufanyia zaidi ya ulimboka.tumia akili yako sawasawa.

    14. #71
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By Froida
      Hapo ndipo unapojichanganya nani ambaye hajaruhusiwa kufanya ujasiriamali sio azimio la Zanzibar lilopitisha hili kiasi cha kwamba wafanyakazi wengine wote wa serikali wanaendesha miradi yao bila wasiwasi,daktari maisha yake ni hospitali fanya sensa uone hata dispensary za madaktari hapa DSM zinafika hata 50, mara nyingi wanahama hospitari moja hadi nyingine angalau kujazia kibaba
      ukweli mahitaji yao hayajatimizwa na ingekuwa serikali ya busara ingetumia dialogue zaidi ya mapambano na mauaji siku zote waswahili walisema kauli mali lakini sio dharau na kuthibitisha vitu vya uongo
      Kumbe hata unachokiongelea hukijui.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    15. #72
      Things Fall Apart's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th June 2012
      Posts : 22
      Rep Power : 352
      Likes Received
      6
      Likes Given
      1

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      ...namshauri Dk. Mkopi asipuuzie suala lililompata mwenzie. Chukuwa tahadhari dokta. Lisemwalo lipo kama halipo LAJA! ...kinga ni bora kuliko tiba.

      May God help this victim to recover soon. Pole Dk Ulimboka

    16. #73
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By Froida
      Kichwa chako ni matope hata tukigonga na nyundo hutaelewa aliyewaweka wagonjwa rehani ni mwenyekiti wako wa chama cha CCM,Raisi wa Jamhuri ya Muungano na Amri jeshi mkuu Mh.Dr Jakaya Mrisho Kikwete kwa kushindwa kukusanya kodi,kubuni njia sahihi za uchumi,kupunguza matumizi ya serikali,wizi wa wazi wa mali za umma,fedha zote hizo angezidhibiti leo hii asingekuwa anapanga Kumuua daktari ulimboka angekuwa anaagiza hazina kutekeleza matakwa ya madaktari
      Froida, chonde chonde...hujasoma hapo chini nini! Eti System At Work
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    17. #74
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,065
      Rep Power : 31286
      Likes Received
      7470
      Likes Given
      7485

      Default Re: Katibu wa MAT Taifa aanza kupigiwa simu kama Dr. Ulimboka...

      Quote By Kailanga
      Kwani hamkuelewa pinda alivyosema "liwalo na liwe"?
      alikua na maana gani kwani?
      "Ingawa tunatumia AVATARS na USERNAMES ambazo ni FAKE, bado haibadilishi uhalisia wa MIOYO YETU"



    Page 4 of 4 FirstFirst ... 234

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...