Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

    Report Post
    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast
    Results 61 to 80 of 118
    1. #1
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 573
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Akihojiwa na star tv Nepi kadai wanalipwa kutokana na kodi za watanzania na kutowatibu ni kukosa shukrani ya kodi za watanzania. Amewataka wawatumikie watanzania kama wanavyolipwa mishahara inayotokana na kodi za watanzania hao.

      Wazo langu.

      Nape analipwa na nani na mshahara wake je unamuhimu kama wa mshahara wa dakatari kitaifa??
      Sufa, Crashwise, Ndahani and 1 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #61
      ndevu mzazi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Posts : 246
      Rep Power : 430
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      ole wao viongozi waumwe!duh kumbe kuna apollo!ndo maana ya kauli ya liwalo na liwe.

    4. #62
      Kizotaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 263
      Rep Power : 421
      Likes Received
      48
      Likes Given
      283

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Quote By vngenge
      Pitieni paper yake ya masters kama hajadesa, huyu jamaa zero kabisa. Yeye ndo hana shukrani kwani analipwa na fedha la walalahoi halafu hataki kutetea mazingira bora ya walalahoi kutibiwa, dawa, vifaa pamoja na wanaowatibu walalahoi kufanya tiba kwa moyo huku akiachia watu waibe mabilioni na kuhifadhi uswisi na visiwa gani cjui huko na kuviita vijisent kisha haohao kuwapa uenyekiti wa kamati ya bunge ya fedha na uchumi. Hatuoni aibu. Kwanza aseme uvuaji gamba umefikia wapi?
      Mkuu naunga mkono hoja kwa asilimia mia

    5. #63
      Isoliwaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 372
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Nape Nauye hana akili hata chembe kwakuwa anafikiri yeye kuwa na degree ya MBA (corporate management aliyoichakachua pale Mzumbe campus ni sawa na madaktari walivyoisotea kwa miaka zaidi ya mitano? ni lazima asome na aalewe kuwa theories za labor maarket zinatambua remunaration (mishahara na level of education of a person.

    6. #64
      Isoliwaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 372
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      By the way ninajua kuwa kumuombea mtu mabaya ni makosa makubwa na ni dhambi lakini kwa hakika ninatamanai mungu awachukue akina Nape, Pinda, Lukuvi, Kikwete, akina Job Ndugai spika Makinda Mkuchuika yaani wote wafe hata ikiwezekana kwa ajali tu ili rasilimali zetu na vizazi vijavyo vipate kuishi na kufaidi maendeleo
      Msingi Hoja likes this.

    7. #65
      Kizotaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 263
      Rep Power : 421
      Likes Received
      48
      Likes Given
      283

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Akaamrishe vibaraka wao 'wakuu wa mikoa' anakoelekea huyu si kuzuri.

    8. FemaTV & Radio

    9. #66
      Isoliwaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 372
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Quote By Amanikavu
      Mkuu naunga mkono hoja kwa asilimia mia
      Yeye ni nape ni nani?je ni Mungu? la hasha ni mtu wa kawaida sana aliezaliwa kwenye familia yenye pesa hajapata taabu na misukosuko kama waliyopipitia madaktari ki masomo. Yaye ni kati ya watu wachache waliochakachua degree pale mzumbe campus

    10. #67
      Isoliwaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 372
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      huyu jamaa aitwae Nape sijui angefanya kazi gani maishani kama vyama vya siasa vingefutiliwa mbali na nchi kuongozwa na wanajeshi au professionals

    11. #68
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      NI MNAFIKI SANA ANAHANGAHIKA SABABU ANAJUA SIKU ZAKE ZINAHESABIKA
      HAJUI MAFISADI ANAOWASEMA WANAMILIKI40% YA VODACOM NA HAO MABWANA NI WAFADHILI WAKUU WA CCM SASA LOWASA KAENDA ZIARANI FOR 14 DAYS,CHENGE NI MWENYEKITI WA KAMATI YA FEDHA,LOWASA NI MWENYEKITI KAMATI YA MAMBO YA NJE ROSTAM ANAZIDI KUCHIMBA MADINI KULE KAHAMA MITAMBO YAKE IN TENDER YA MAISHA SASA NAPE UTAPONEA WAPI SIKU 90 ZIMEKUSHINDA NA HAO MAFISADI WANAJIPANGA KUCHUKUA CHAMA NA CCM HAINA UBAVU WA KUWATEMA HAWA SABABU WANAWAJUA SANA MKIHONGWA KIDOGO MNAGEUKANA SASA USICHEZE NA HAO WATU UTAANGAMIA NA KUPOTEA KWENYE ANGA ZA SIASA NENDA KULE CCJ MLIPOANZISHA CHAMA CHENU POLE SANA NA WACHA KULALAMIKA HUKUPANGA MAMBO YAKO VIZURI POLE KWA MAUMIVU YA KUAMBIWA UKWELI

    12. #69
      WATANABE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 783
      Rep Power : 571
      Likes Received
      272
      Likes Given
      83

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Quote By dosama
      Akihojiwa na star tv Nepi kadai wanalipwa kutokana na kodi za watanzania na kutowatibu ni kukosa shukrani ya kodi za watanzania. Amewataka wawatumikie watanzania kama wanavyolipwa mishahara inayotokana na kodi za watanzania hao.

      Wazo langu.



      Nape analipwa na nani na mshahara wake je unamuhimu kama wa mshahara wa dakatari kitaifa??
      Kama hizo hospitali hamna hata sindano za kuwawekea wagonjwa dripu za Shs 250/=, hamna pampu za kuwanyonua vichanga maji machafu wayanywayo wakati wa kijifungua zinzouza Shs 3000/= n.k madakatari wataendeleaje kuvumilia kuwaona watanzania wenza wakipoteza maisha kwa sababuz zisizo za msingi? Ni heri watanzania wachache wapoteze maisha katika migomo i hii ili hatimaye maboresho ya sekta ya afya yafanyike ili kunusuru maisha ya maekfu ya watanzania uyanayopotea kila mwaka ilihali viongozi wa CCM kama akina Nape wakijilundikia mafedha huko Uswisi
      "Hatuwezi kutatua matatizo kwa akili ile ile ambayo ilisababisha yawepo"..Mch. Peter Msigwa

    13. #70
      idawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 4,599
      Rep Power : 3333
      Likes Received
      1227
      Likes Given
      461

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Naendelea kuwashukuru sana sana kwa matusi na kejeli zenu kwangu......be blessed!!!
      jibu hoja.! Unamshukuru nani.? kwani kuna ccm humu ambaye ndio mwajiri wako.?

    14. #71
      Isoliwaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 372
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      wewe nape (nepi)hatukutukani tunakueleza ukweli nchii imekosa mvuto imekosa amani na haina watu wakuweza kubadili hili ndani ccm kwa sababu samaki mmjoa akioza wote wameoza. wewe si mkweli ni muongo na muhuni tu ambae anapaswa kupuuzwa yaani hata huyo aliekupa kazi ya kuongea hayo ambayo umekuwa ukiyaongea anajua wewe ni kilaza kwa kuwa hata yeye ni kilaza. Tunahitaji madiliko ya kiuongozi, kitaasisi, kisiasa na kimuundo and I can not see you and your CCM part being part of the process. Ninaamini mungu ni wa wote na ni mwaminifu na husikia vilio vya wajane wenye njaa na wenye matatizo mbalimbali nina matumaini kwa mungu kuwa siku moja nyie CCM mtatoka madarakani na Tanzania itakuwa taifa huru tena. Kilichotokea Misri, Libya , kenya ninakuja Tanzania. Eee mungu tusaidie kukiua hiki chama kinachoitwa CCM

    15. #72
      Isoliwaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 372
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Nape Nnauye ninamfananisha na shetani aitwaye Lusfer

    16. #73
      Asterisk's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 215
      Rep Power : 394
      Likes Received
      49
      Likes Given
      107

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      NIMEHUZUNIKA KWA KATIBU MWENEZI NA ITIKADI UNAJIBU MAJIBU YA KUTIA HURUMA, Usitake tukuonee huruma, ELEZA HOJA, Sijaona mtu hata mmoja kwenye hii thread aliyepumbazwa na maneno yako ya kutia huruma, JIBU HOJA KATIBU, we are all great thinkers, na siyo maneno ya kutaka uonewe HURUMA,

      Ukiona watu wote wapo against you, jaribu kurudi na kujiangalia na ikiwezekana kusaihishwa,,

      KWANINI UWE WEWE TUU, ACCEPT CHALLENGE NAPE.

    17. #74
      kisururu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Posts : 227
      Rep Power : 0
      Likes Received
      60
      Likes Given
      49

      Default

      Quote By Nnauye Jr
      Nawashukuru sana, NAWASHUKURU SANA KWA MATUSI NA KEJELI ZENU. NI KAMA VILE MNAJUA KAMA NALIPWA MSHAHARA AU LA! NARUDIA NAWASHUKURU SANA SANA..... BE BLESSED KWA MATUSI NA KEJELI ZENU ZOTE KWANGU.
      Bwambwa wewe

    18. #75
      haf2006's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 352
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      We Nape sometime uwe unaangalia hali imekaaje make si kila jambo hata la kitaalamu linahitaji propaganda za kijinga namna hiyo, utazidi kushusha hadhi yako ikiwemo kuchafua chama chako hivi hivi.Dogo uwe unasoma matukio usisikie tu na kuruka hewani.Hebu nikuulize, umemsikia baba mwanaasha anaropoka? bado anasoma mood ya watanzania ili aweze kutoa neno ambalo litakuwa limekaa sawa na myoyo ya watz wengi hususani ukizingatia kwamba Govt na chama chako kimehusika direct na sasa mnaunda tume ya kupoteza ushahidi. yaani ninyi kuua kwenu raha mumeua chacha wangwe, ukerewe na ilemela mmewakosakosa wabunge wao, mwakyembe mmemiss round ya 1ya gari, hii ya pili najua mnamliwaza tu na uwazri lakini mnajua jeneza na bendera viko tayari, rafiki yangu prof mwandosya naskia ni nyie haohao CCM na Usalama(majambazi) ya taifa, Prof wetu wa katiba mkammaliza nyie haohao kisa mgombea binafsi na leo mnashadadia ajenda iliyofanya mumuondoshe duniani, Balali mkamficha na kutudanganya ati amekufa huku payroll za BOTmpaka sasa inaonyesha yuko hai na analipwa mshahara, ndugu yangu kigwangala wa nzega naye nasikia naye yuko kwenye rada zenu anytime mnaweza kumchacha wangwe. sasa mnataka nani awatetee watanzania, basi tujengeeni godown mtuweke humo tusione ya nje ya dunia. shame on you. you will visit the hell one day

    19. #76
      Isoliwaya's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 60
      Rep Power : 372
      Likes Received
      6
      Likes Given
      2

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Quote By greenstar
      Pole kaka yangu Nape,mimi nimeamua kutochangia hoja humu JF kwa vile wamejaa mazezeta,vichaa,wanafiki na watu wambea mbea.Namasha na CHADEMA kuwatuma wajisajili JF ili wawe wanaeneza chuki na uadui wa wananchi na CCM pamoja na SERIKALI yao kwa kubeza jitihadi za CCM kujenga uchumi imara.Wamesahau maadili ndiyo msingi wa maendeleo kwa taifa lolote lenye nia ya dhati.
      Kila kitu kwa CCM ni kibaya tu?...nimeamini CHADEMA ni chama cha wanaharakati ambao wanajaribu kutumia rafu kupata ridhaa ya kushika dola.....Naapa kupambana na hila chafu za CHADEMA,SIKIKA,LHRC,UAMUSHO nk..kulinda amani ya Tanzania.
      Tuonane ili tupange mbinu mpya za kuwashinda waasi hao ...au ni PM sasa hivi jinsi ya kuonana.
      Infact you are not different from Nape. Nani kakuambia nchi hii kuna maadili? jE CCm wana maadili?yakupeleka pesa Uswis? ya kutaka kumuua Dr Ulimbuka? Je wewe unaemtetea Nape Una akili na maadili kweli? una jua maana ya maadili? je CCM inajenga uchumi wenye maadili kama wewe unavyoidai? angalia tofauti ya kipato (income gap) angalia mambo ya msingi yanayoleta maendeleo.Je Tanzania haya mambo yapo?

    20. #77
      Msingi Hoja's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 17
      Rep Power : 411
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Quote By REMSA
      Nakumbuka bibi alikuwaga anasema hivi mara nyingi watoto wa nje ya ndoa ni wasumbufu sana!!!!
      haaaaa haaaa haaaaa haaaa kumbe huyu **** mtoto wa mpango wa kando

    21. #78
      great 2012's Avatar
      Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 23
      Rep Power : 352
      Likes Received
      8
      Likes Given
      2

      Unhappy Nape acha undundu wewe

      "Hakuna daktari aliyesoma kwa 100% bila serikali kumsaidia" maneno ya Nape akiongea na waandishi wa habari jijini mbeya. hivi serikali ya Tanzania imemsomesha nani na lini? mimi ni kati ya watu tuliofukuzwa pale udsm mwaka 2007 kisa nilishindwa kulipa 40% eti wewe Nape unajishaua kwa kusema kuwa serikali inachangia masomo ya madaktari na watanzania. kama mnawasaidia watanzania ni kwanini mlianzisha kile kirusi HESLB? mimi mnavyojua ukimsaidia mtu wala huna haja ya kudai, mbona kaserikali dhaifu ka CCM kanawadai wanaolipa kodi, walipe mikopo iliyowapoesha wakiwa wanasoma elimu ya juu? Nape Nnauye labda wewe na mafisadi wenzio ndio mlisomeshwa na kaserikali kenu, ndio maana hamna uchungu na Nchi hii MNAROPOKA ROPOKA TU.

    22. #79
      ndevu mzazi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Posts : 246
      Rep Power : 430
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania

      Kachanchabuseta likes this.

    23. #80
      ndevu mzazi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th November 2011
      Posts : 246
      Rep Power : 430
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default Re: Nape atoa neno kwenye Mgomo wa madaktari adai hawana shukrani kwa watanzania


      nani alalamike nape au huyu jemedari?

    Page 4 of 6 FirstFirst ... 23456 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...