Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    Report Post
    Page 3 of 40 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 791
    1. #1
      Fred Katulanda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Mwanza, Tanzania
      Posts : 197
      Rep Power : 455
      Likes Received
      200
      Likes Given
      67

      Default Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      "Ndugu zangu,

      Najaribu kutuliza mawazo ili angalau niweze kuwapa kidogo tulipofikia na tunakoelekea juu ya suala hili. Kwa kweli haivumiliki ukimwona ulimboka kwa jinsi alivyotendewa na hali aliyonayo; kwa wale wanaojua hali za kitabibu, "this is a very unstable condition that demands permanent watch 24/7".

      Kwa taarifa tulizokusanya, ulimboka na mwenzake waliitwa na Afisa mmoja (Jina linahifadhiwa) ili kuzungumza mambo (fulani) na wakiwa wanaendelea na mazungumzo bila kuwa na mwelekeo wa muafaka, jamaa akawasiliana na watu (fulani) kwa simu. Ghafla wakajitokeza "ASKARI" wakawataka yule (Afisa) na Dr (aliyeongozana na Ulimboka) waendelee na shughuli zao na kuwambia "Tunamtaka huyu". Wakatumia nguvu, wakamburuta na kumtia kwenye gari jeusi na kuondoka naye wakidai wanampeleka Polisi.

      Huku wakiwa wanamtesa, walimlazimisha mambo kadhaa (kwa sasa tusiyataje) wakaenda naye asikokujua, wakampiga sana kwa ngumi, mateke na magongo na wakati mwengine wakitumia Bunduki zao. Wakiwa wanampiga pia walikuwa wakisema kuwa amewatesa/wasumbua sana na kuwa anajifanya mjanja mbele ya (Srk) na hivyo wanamalizana naye; akapoteza fahamu...

      Wakamtupa eneo la mapori huko Tegeta hadi alipookotwa na wananchi asubuhi na kukabidhiwa mikononi mwa Wanaharakati waliompeleka Hospitali Muhimbili.

      Wakati akipokelewa MOI tayari baadhi ya wanaharakati walishafika eneo lile, kumbe kati ya walimpokea alikuwamo kijana anayesadikiwa kuwa ni "Askari". Huyu aligundulika baada ya mda mfupi akiwa amejificha chooni akiwasiliana kwa simu na watu aliokuwa akiwaambia " Hajafa. Bado anahema.... na maneno mengine yaliyoashiria kuwa waliofanya 'kazi' ile hawakukamilisha 'maagizo'. Vijana wakamfundisha adabu kwa hasira na kumkuta akiwa na Redio Call, ambayo baada ya muda mfupi Polisi FFU walifika na gari na vifaa vya vurugu wakiisaka ile Radio.


      Nashindwa kuendelea....."
      NB: Haya ni maelezo ya mwanaharakati Albanie Marcossy wa LHRC
      Quote By Mupirocin
      Katika taarifa ya habari mtu aliyekuwa akimtafuta mfululizo kwa siku tatu ni mtu wa Ikulu aitwaye kwa jina moja David na baadaye aliondoka kumfuata huyu David na baadaye akatekwa infront of him. Kwa mwenye akili anajua tu hii ni plan from somewhere
      Quote By Azimio Jipya
      Mbona hili wala sio siri tena ... Jamaa alimpigia simu wakamalize maongezi LEADERS CLUB!!! Ulimboka akaondoka na Rafiki yake mmoja! Wakati wanongea na huyo Jamaa hakueelwana ...

      Jamaa akapiga simu kwa hao wanjeshi walikuja kumburuza na kumchukua ... wakamuacha Rafiki wa ulimboka na huyo jamaa mwingine kwa kusema hatuwahitaji nyie tunamuhitaji Dr Ulimboka ....!

      Rafiki wa Ulimboka ... Akapiga simu kwa waaharakati wa Haki za Binadamu ..Hellen Kijo Bisimba at al .. na usiku huo wakaanza kumtafuta na kuripoti vituoa mbalimbali vya Polisi ...lakini Kila kituo wakidai ... hamjui huyo mtu .... labda waje asubuni .... na subuhi? Wapata habari toka kituo cha polisi tegata .... kaokotwa mtu ....blabalahhhh!!

      Source. Hellen Kijo Bisimba!!
      Lyimo, BAK, Ibambasi and 63 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #41
      Pulpitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 371
      Likes Received
      25
      Likes Given
      1

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Wanaweza wakamuua Dr but hawawezi kuua mawazo yake ya ukombozi kwa wana taharuma ya Udaktari na tasnia ya afya kwa ujumla.Aluta continue, Ata tunisia wanyonge ndio waliotia chachu kuiondoa serikali ya kifedhuli madarakani, sitegemei mwana ccm au mafisadi waunge mkono jitihada hizi za ukombozi but ni wale tu wanaopata shida na kuathirika na wizi huu na uonevu.

    4. #42
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,848
      Rep Power : 3546
      Likes Received
      540
      Likes Given
      5158

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Quote By Fred Katulanda
      "Ndugu zangu,
      Najaribu kutuliza mawazo ili angalau niweze kuwapa kidogo tulipofikia na tunakoelekea juu ya suala hili. Kwa kweli haivumiliki ukimwona ulimboka kwa jinsi alivyotendewa na hali aliyonayo; kwa wale wanaojua hali za kitabibu, "this is a very unstable condition that demands permanent watch 24/7".
      Kwa taarifa tulizokusanya, ulimboka na mwenzake waliitwa na Afisa mmoja (Jina linahifadhiwa) ili kuzungumza mambo (fulani) na wakiwa wanaendelea na mazungumzo bila kuwa na mwelekeo wa muafaka, jamaa akawasiliana na watu (fulani) kwa simu. Ghafla wakajitokeza "ASKARI" wakawataka yule (Afisa) na Dr (aliyeongozana na Ulimboka) waendelee na shughuli zao na kuwambia "Tunamtaka huyu". Wakatumia nguvu, wakamburuta na kumtia kwenye gari jeusi na kuondoka naye wakidai wanampeleka Polisi.

      Huku wakiwa wanamtesa, walimlazimisha mambo kadhaa (kwa sasa tusiyataje) wakaenda naye asikokujua, wakampiga sana kwa ngumi, mateke na magongo na wakati mwengine wakitumia Bunduki zao. Wakiwa wanampiga pia walikuwa wakisema kuwa amewatesa/wasumbua sana na kuwa anajifanya mjanja mbele ya (Srk) na hivyo wanamalizana naye; akapoteza fahamu...

      Wakamtupa eneo la mapori huko Tegeta hadi alipookotwa na wananchi asubuhi na kukabidhiwa mikononi mwa Wanaharakati waliompeleka Hospitali Muhimbili.

      Wakati akipokelewa MOI tayari baadhi ya wanaharakati walishafika eneo lile, kumbe kati ya walimpokea alikuwamo kijana anayesadikiwa kuwa ni "Askari". Huyu aligundulika baada ya mda mfupi akiwa amejificha chooni akiwasiliana kwa simu na watu aliokuwa akiwaambia " Hajafa. Bado anahema.... na maneno mengine yaliyoashiria kuwa waliofanya 'kazi' ile hawakukamilisha 'maagizo'. Vijana wakamfundisha adabu kwa hasira na kumkuta akiwa na RedioCall, ambayo baada ya muda mfupi Polisi FFU walifika na gari na vifaa vya vurugu wakiisaka ile Radio.


      Nashindwa kuendelea....."
      NB: Haya ni maelezo ya mwanaharakati Albanie Marcossy aliyehusika kumsaka kama nilivyoyanukuu Mabadiliko Forums.
      Mkuu ahsante kwa taarifa hivi yamekuwa hayo, wakimuuwa Dr Ulimboka watapata faida gani au wanataka kuwatisha madaktari??? Ndugu zake wawafungulie mashitaka hao waliofanya unyama huo, kuanzia huyo ofisa na watu aliowatumia!!! Hii serikali imechoka kukaa madarakani wamekuwa wauuwaji mara Igunga, Arusha mjini, Arumeru, sasa Dar kwa daktari!!!


    5. #43
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2266
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Hivi wao wananguvu kuliko Gadafi eee.
      Papizo likes this.
      Simple life is healthier than egoism.

    6. #44
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2266
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Quote By FirstLady1
      Sijui ni lini hii serikali itaondoka madarakani
      Inaondoka kwa kasi ya ajabu dada.
      FirstLady1 likes this.
      Simple life is healthier than egoism.

    7. #45
      wikolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 454
      Rep Power : 526
      Likes Received
      131
      Likes Given
      60

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Hii inatisha sana. Pole sana doctor Ulimboka kwa masahibu yaliyokufika.

    8. Miaka 50

    9. #46
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Maskini Tanzania yangu jamani, tumefika hapa. uuuuuuuuuuuuuuuwwwwiiiiiiiiiii iiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii

    10. #47
      NgumiJiwe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Posts : 732
      Rep Power : 614
      Likes Received
      195
      Likes Given
      52

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Mkuu wa emergency dept anazuia gari kwenda kumchukua Daktari mwenzake aliyeokotwa akiwa hajitambui?
      Aisee ndiyo maana migomo yenu haifanikiwi wakuu...

    11. #48
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Ukitaka kujua Tanzania ni nchi ya Amani au siyo ya Amani Dai chako!
      Mtumishi Wetu and FJM like this.

    12. #49
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,300
      Rep Power : 748
      Likes Received
      430
      Likes Given
      362

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Quote By Fred Katulanda
      "
      Huku wakiwa wanamtesa, walimlazimisha mambo kadhaa (kwa sasa tusiyataje) wakaenda naye asikokujua, wakampiga sana kwa ngumi, mateke na magongo na wakati mwengine wakitumia Bunduki zao. Wakiwa wanampiga pia walikuwa wakisema kuwa amewatesa/wasumbua sana na kuwa anajifanya mjanja mbele ya (Srk) na hivyo wanamalizana naye; akapoteza fahamu...
      Haya maneno kayasema ulimboka mwenyewe au?
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    13. #50
      spartacus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2010
      Posts : 355
      Rep Power : 510
      Likes Received
      100
      Likes Given
      50

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      If they wanted him DEAD, he'd be dead by now, na mngekuwa mnaongea mambo mengine kabisa.......probably, they still need him for something..........the big question is wat is it??

      and kimtazamo wangu, 1st, wat has bin done to him isnt fair, Unless, he(ulimboka) framed it....najua kwa hili, wengi mtanilaumu, but mkisoma stories nyingi kama hizi, mtaona, ulimboka hatokuwa wa kwanza, kufake something like this, but FOR GOOD REASONS..............cause, seriously, kama wangetaka afe, angekufa longtym........

      2dnly, killing one person for the benefit of two or more people, i find it reasonable................

    14. #51
      Konya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th June 2011
      Posts : 815
      Rep Power : 566
      Likes Received
      79
      Likes Given
      1

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      ilikuwa ni kulazimishwa kifo kisichopangwa na MUNGU,na MUNGU amsimamie aweze ku recover na kupona ili uma upatekujua kiundani kilichomsibu mpaka kufikia hatua ya kuuwawa na hao manyang'au

    15. #52
      Baniani Mzuri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 455
      Likes Received
      29
      Likes Given
      4

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Nashukuru kwa taarifa mwisho wa siku ukweli utajulikana

    16. #53
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Quote By Bigirita
      hafifu
      dhaifu
      Bigirita likes this.

    17. #54
      Mpitagwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 927
      Rep Power : 552
      Likes Received
      321
      Likes Given
      204

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Mbaya sana hii, na ni kuongeza chumvi kwenye kidonda. Alijisema Shaf Adam Shafi kuwa YANAMWISHO

    18. #55
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,593
      Rep Power : 2085
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default RAIS JAKAYA KUWA MUUNGWANA JIUZULU MARA MOJA. Chance for You.

      Ikiwa serikali ya Kikwete imehusika au haikuhusika ,basi Raisi Jakaya hana budi kujiuzulu kiungwana kabisa . Raisi awe Muungwana ajiuzulu bila ya tatizo lolote.Na hili litapokewa kwa ukunjufu kabisa.Ili kupisha uchunguzi
      Nivea likes this.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    19. #56
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,170
      Rep Power : 24271
      Likes Received
      4677
      Likes Given
      2296

      Default

      Quote By Communist
      Hivi wao wananguvu kuliko Gadafi eee.
      ndiyo, kwasababu wana support ya Obama na Cameron
      mk83 likes this.

    20. #57
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,882
      Rep Power : 2291
      Likes Received
      1144
      Likes Given
      1488

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Wapiganaji popote pale mlipo,

      kwa misingi ya mwitiko kwa
      vitisho vilivyotolewa na baadhi ya maafisa waandamizi wa serikali kwa Dr Ulimboka na kutokea vile vile walivyowahi kutamka, huyu kiongozi mahiri wa masuala ya utibabu nchini huenda tusiwe naye ndani ya siku chache zijazo endapo 'Wale Madaktari Wenyewe Wale' watakua wamemsogelea hapo kitandani mwake kwa sura ya aina yoyote ile.

      Na huo ndio udhaifu wa roho zilizojaa chuki, hila na visasi vitakavyoonelea kuwa ni vema na tena inafaa. Maombi ni kwa Mungu Baba Mwenyezi juu mbinguni toka kwa kila Mtanzania tangu dakika hii hapa.

      Na enyi Madaktari na watumishi wengine wa tiba nchini; kutawanyika kwenu kutakua na machozi ya DAMU YA DOKTA ULIMBOKA bila chenga.

      Lakini endapo Dr Ulimboka ataaga dunia, wala sitoshngaa makubwa zaidi yakitusalimu mitaani baada ya madhila haya yote.

    21. #58
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1163
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Quote By spartacus
      If they wanted him DEAD, he'd be dead by now, na mngekuwa mnaongea mambo mengine kabisa.......probably, they still need him for something..........the big question is wat is it??

      and kimtazamo wangu, 1st, wat has bin done to him isnt fair, Unless, he(ulimboka) framed it....najua kwa hili, wengi mtanilaumu, but mkisoma stories nyingi kama hizi, mtaona, ulimboka hatokuwa wa kwanza, kufake something like this, but FOR GOOD REASONS..............cause, seriously, kama wangetaka afe, angekufa longtym........

      2dnly, killing one person for the benefit of two or more people, i find it reasonable................
      Are u naive or plain stupid ? to fake so as to gain what ? for all those injuries sustained ?
      Bigirita and Determine like this.

    22. #59
      akelu kungisi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 382
      Likes Received
      19
      Likes Given
      3

      Default Re: RAIS JAKAYA KUWA MUUNGWANA JIUZULU MARA MOJA. Chance for You.

      CCM na serikali yao wauaji wakubwa! Tumuombee Ulimboka apone haraka!

    23. #60
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,606
      Rep Power : 13887
      Likes Received
      3263
      Likes Given
      1768

      Default re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Mungu awasamehe hawajui watendalo....lkn watalipa

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    Page 3 of 40 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...