Najaribu kutuliza mawazo ili angalau niweze kuwapa kidogo tulipofikia na tunakoelekea juu ya suala hili. Kwa kweli haivumiliki ukimwona ulimboka kwa jinsi alivyotendewa na hali aliyonayo; kwa wale wanaojua hali za kitabibu, "this is a very unstable condition that demands permanent watch 24/7".
Kwa taarifa tulizokusanya, ulimboka na mwenzake waliitwa na Afisa mmoja (Jina linahifadhiwa) ili kuzungumza mambo (fulani) na wakiwa wanaendelea na mazungumzo bila kuwa na mwelekeo wa muafaka, jamaa akawasiliana na watu (fulani) kwa simu. Ghafla wakajitokeza "ASKARI" wakawataka yule (Afisa) na Dr (aliyeongozana na Ulimboka) waendelee na shughuli zao na kuwambia "Tunamtaka huyu". Wakatumia nguvu, wakamburuta na kumtia kwenye gari jeusi na kuondoka naye wakidai wanampeleka Polisi.
Huku wakiwa wanamtesa, walimlazimisha mambo kadhaa (kwa sasa tusiyataje) wakaenda naye asikokujua, wakampiga sana kwa ngumi, mateke na magongo na wakati mwengine wakitumia Bunduki zao. Wakiwa wanampiga pia walikuwa wakisema kuwa amewatesa/wasumbua sana na kuwa anajifanya mjanja mbele ya (Srk) na hivyo wanamalizana naye; akapoteza fahamu...
Wakamtupa eneo la mapori huko Tegeta hadi alipookotwa na wananchi asubuhi na kukabidhiwa mikononi mwa Wanaharakati waliompeleka Hospitali Muhimbili.
Wakati akipokelewa MOI tayari baadhi ya wanaharakati walishafika eneo lile, kumbe kati ya walimpokea alikuwamo kijana anayesadikiwa kuwa ni "Askari". Huyu aligundulika baada ya mda mfupi akiwa amejificha chooni akiwasiliana kwa simu na watu aliokuwa akiwaambia " Hajafa. Bado anahema.... na maneno mengine yaliyoashiria kuwa waliofanya 'kazi' ile hawakukamilisha 'maagizo'. Vijana wakamfundisha adabu kwa hasira na kumkuta akiwa na Redio Call, ambayo baada ya muda mfupi Polisi FFU walifika na gari na vifaa vya vurugu wakiisaka ile Radio.
Nashindwa kuendelea....." NB: Haya ni maelezo ya mwanaharakati Albanie Marcossy wa LHRC
By Mupirocin
Katika taarifa ya habari mtu aliyekuwa akimtafuta mfululizo kwa siku tatu ni mtu wa Ikulu aitwaye kwa jina moja David na baadaye aliondoka kumfuata huyu David na baadaye akatekwa infront of him. Kwa mwenye akili anajua tu hii ni plan from somewhere
By Azimio Jipya
Mbona hili wala sio siri tena ... Jamaa alimpigia simu wakamalize maongezi LEADERS CLUB!!! Ulimboka akaondoka na Rafiki yake mmoja! Wakati wanongea na huyo Jamaa hakueelwana ...
Jamaa akapiga simu kwa hao wanjeshi walikuja kumburuza na kumchukua ... wakamuacha Rafiki wa ulimboka na huyo jamaa mwingine kwa kusema hatuwahitaji nyie tunamuhitaji Dr Ulimboka ....!
Rafiki wa Ulimboka ... Akapiga simu kwa waaharakati wa Haki za Binadamu ..Hellen Kijo Bisimba at al .. na usiku huo wakaanza kumtafuta na kuripoti vituoa mbalimbali vya Polisi ...lakini Kila kituo wakidai ... hamjui huyo mtu .... labda waje asubuni .... na subuhi? Wapata habari toka kituo cha polisi tegata .... kaokotwa mtu ....blabalahhhh!!
To make your story total and complete add this!!1. Afsa aliyekuwa naongea naye alimchukua alimuita kando akiwa hapo LEADERS CLUB! Na Ma Dr wenzake usiku huo.2. Baada ya kutoonekana wenzake hapo Leders Club waliwasilina na Watu wa haki za binadamu na kuwajulisha.3. Ma Dr wenzake this time wakina na Hellen Kijo Bisimba ... (manomuona hapo kwenye picha za DR ulimboka)... waliondoka na kwenda kuripoti kwenye vituo kadhaa vya polisi.4. Polisi wote walisema hawana taaarifa ya mtu kama huyo na walishauriwa kurejea subuhi .5. Asubuhi wakapata taarifa toka kituo cha polisi cha Tegeta kuwa ameletwa na wanchi waliomuokota njiani...6. Source ... Hellen Kijo Bisimba ...Mwanaharakati ...!!!
Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
"Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.
Hivi kama kumuua dr. Ulimboka ni ufumbuzi wa kudumu wa tatizo lililopo kwa nini wasiwakamate madaktari wote nchini wawapeleke gas chamber wawaue kama Adolf Hitler alivyowafanyia wayahudi?! damu ya Ulimboka iliyovuja itakuwa chachu ya mabadiliko ya kisiasa, kiuchumi na kijamii. Ewe Mwenyezi Mungu inusuru Tanzania yetu isibadilike na kuwa "A man eat man society" kama nchi fulani hapa afrika mashariki!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!!!!!
Before the victory is won, even some will have to face physical death. But if physical death is the price that some must pay, to free their children from a permanent psychological death,then nothing shall be more redemptive. We shall over come.
Ninamfahamu vizuri Albanie Marcossy. Ni mtu makini kwenye kufatilia mambo bila woga, bila shaka tutapata taarifa ya uhakika iliyofanyiwa uchunguzi pia.
"Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"
Mama Heleni Kidjo bisimba mungu akujalie Kwa ujasiri ulionao kama Njelekela na Mwafongo aliadhibiwa kwa kuwa na watoto madawa ya kulevya wanaweza kukataa kutoa gari lakini wewe ukaweza kumsaidia tunakupongeza sana wewe ni Mwanamke jasiri wa Mfano nchii hii
Hii hatari sana maana nchi yetu ni ya amani lakini kuna matukio huwa yanatokea ukiyaangalia yanatia kichefuchefu, hii yote ni kutokana na nchi yetu bado watu wake wengi si waumini wa kutofautiana hoja ndio maana hata katika maisha yetu ya kwaida huwa mtu akiwa mbishi sana kwenye jamii huwa anachukuliwa kama adui badala ya kumkusanyia vielelezo ili aache kubisha vivyo hivyo kwenye serikali yetu nako ni yaleyale mtu anafanya kosa ambalo linaleta madhara kwa taifa akiambiwa wakati na yeye anajua amefanya kosa anawaona wale waliogundua uovu kama ni maadui. Kiukweli tumeshuhudia mashaidi wa kesi mbalimbali wanakufa katika mazingira ya utata wakati kesi zipo katika hatua ngumu na huwezi sema wameuliwa kwa kuwa hakuna ushahidi. Hii ni sawa na Kubenea alivyomwagiwa tindikali kutokana na kusema ukweli
Too sad,
Tumuombee apone haraka ili tuujue ukweli. ni nafasi nyingine tena Watanzania tumepewa na Mungu ili tuikomboe nchi toka wa wadhalimu CCM.
Kwa asilimia kubwa mazingira yanaonyesha serikali imehusika moja kwa moja na tukio hili, ngoja tusubiri statements zao, maana wamezoea kupindisha ukweli wakidhani bado tuko mwaka 47.
A conclusion is the place where you got tired of thinking
To make your story total and complete add this!!1. Afsa aliyekuwa naongea naye alimchukua alimuita kando akiwa hapo LEADERS CLUB! Na Ma Dr wenzake usiku huo.2. Baada ya kutoonekana wenzake hapo Leders Club waliwasilina na Watu wa haki za binadamu na kuwajulisha.3. Ma Dr wenzake this time wakina na Hellen Kijo Bisimba ... (manomuona hapo kwenye picha za DR ulimboka)... waliondoka na kwenda kuripoti kwenye vituo kadhaa vya polisi.4. Polisi wote walisema hawana taaarifa ya mtu kama huyo na walishauriwa kurejea subuhi .5. Asubuhi wakapata taarifa toka kituo cha polisi cha Tegeta kuwa ameletwa na wanchi waliomuokota njiani...6. Source ... Hellen Kijo Bisimba ...Mwanaharakati ...!!!
kumbe jamaa alichukuliwa mapema tena akiwa na madokta wenzake na huyo afisa anafahamika changanya na askari kukamatwa akiwasiliana na wakubwa wake= jibu ni serikali 100%
Auuuuuuuuwi Dhaifu wameanza kazi, ila haina noma iko siku. Ni mbaya kuweka kisasi moyoni lakin kama ilivyo "Liwalo Na Liwe" siku kikinuka tutakutana tu
Follow Us Here